USIKU WA MAOMBI 28/04/2023 by Innocent Morris
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
- USIKU WA MAOMBI 28/04/2023 by Innocent Morris
Instagram Page: holyspiritconnect
Facebook Page: Holy Spirit Connect
Contact: +255652796450 (WhatsApp)
Instagram Link:
/ holyspiritconnect
Facebook Link:
/ holyspiritconnect
TH-cam Link:
/ holyspiritconnect
Nimempokea Bwana Yesu
Mtumishi nimempokea bwana yesu leo
Ni wewe tu YESU wa kuabudiwa na kupewa Sifa na Shukrani.....Amen
Asante kwawakomboa wazazi wangu kwajina la yesu
Bwana yesu niko hapa tenda mujiza katika uchumi wangu. Nipate fedha
Bwana Yesu pigania haki yangu jela kwa miezi nane Sasa fungua mlango yote niweze kukutumikia jinsi ipasavyo Mungu nijaze na uwepo wako Sana Amina
Yaani BWANA YESU sna viffaa halloo hii international Duh KWA KWELI MHHHH SIKUJUA yaani acha BWANA GLORY TO GOD YEHOVAH HALLELUIAH AMEN
God bless Pastor Morris nd his ministry...Amen
Asante mungu kwakunifungua mungu wangu
katika maombi haya Mungu sikilizeni haja ya moyo Wangu
bariki maisha yangu bariki mama yangu baba yangu bariki family yangu bariki ndugu jamaa majiran i zangu adui zangu marafiki zangu ASANT MUNGU nahamini kwako nitapata kweli Asant yesu usiku huu tenda miujiza bwana
Ameen ameeen
Mungu akubariki sana sana sana
Unirehemu ee bwana sawa sawa na Mapenzi yako🙏🏻
Asante kwakusaidia nfugu zangu kwa Nina la yeah christo🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bwana yesu kutana na uwitaji wangu nitoe kwenye nyumba za kupanga nipe nyumba yangu Sasa na familia yangu
Mtumishi nimempokea Yesu leo
Oh yesu niunganishe na hi ibaada ya uponyaji
Amen to
Mungu kumbukA familiar yangu
I receive I receive I receive I receive I receive I receive I receive I
😮Ee Bwana unasitahili peke yako Bwana yesu unasitahili kuabudiwa jeova niwewe niwewe tuu
Haleluya Mungu akubariki kwa mawombiako nimebariikiwa kwa maombiako pamoja naneno urio tusomea kwa Luka1:37Mungu aenderee kukupa nguvu nakaongeze mafuta ya maombi iri uenderee kutubariki wamini tuomwamini Bwana Yesu Kristo Amina
Asante mtumishi nimempokea.yes.amina
Mwe/mungu nakuomba uibariki Kila hatua zangu kwa kina la yesu kristo aliye hai.
Ahsante sana mtumishi hata mimi kupitia maombi yako nimeona hakuna kama yeye mungu wetu wa mbinguni
Mungu kutana na mahitaji ya watoto wangu 31:07
Baba. Yangu naomba katika maombi haya nitambulike mbelezako naitaji msaada wako yehova
Asante kwakumkomboa mtoto wangu kwajina layesu christo
Nime barikiwa katika Jina la Yesu
Ni kumbuke mtumishi Mungu afungue njia zangu zi mefungika yangu Ni kuwa mdogo
Ee mungu naomba uyakumbuke maombi haya 🤲🙏🙏🙏
Ameen ameeen
AMEN Mtumishi wa MUNGU.Ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Mungu.Ubarikiwe
Asante yesu juu ya maitaji yangu rohon mungu unaweza yote nitete bwana yesu
Namshukuru mungu,mungu akubariki mchunguji mungu anatenda roho mtakatifu kanitembelea
Bwana Mungu Ninaomba Mme wangu arudi nyumbani tuishi pamoja maana hakunileta kwake kunitekekeza na hali yangu ya udhaifu WA afya maana nami sikupenda kuwa hivi .
Ubarikiweeee naamin napona
MTUMISHI YOUR EXCALLENCY HONORED TREASURED IN THE BODY OF CHRIST SIKUJUI HUNIJUI ILA TUMEUNGANISHWA KWA DAMU YA YESU YAANI HATA SIJUI IMEKUWAJE NIMEAMKA USINGIZINI CM ILIKUWA ON NIMEKUTANA NA HILI STOMIC NOM KWA KINYWA CHA MAOMBI HAYA DUH DAFI SANA SIKULALA MPAKA KUNAPAMBAZUKA NADHANGAA WHAT IS GOING ON THIS IS A BIG MIRACLE TO ME INDEED GLORY TO GOD HAKIKA MHH MHHH MHHH ❤❤❤❤❤❤❤
Sorry I meant Atomic Bom
Nimempokea Yesu awe mwokozi wa maisha yangu amina.
Ee Bwana Yesu wewe usikiae kuomba kwangu unibariki na familia yangu
Naomba buana yesu uniwezesh nipate mkee muema
Mtumishi nimepokea bwana yesu leo
Bwana Yesu hakuna jambo ambalo ni gumu,kwako yote yanawezekana
Mutumumishi nimepokeys Bwana Yesu Leo Ivi Nikushukuru saana
Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU
Ameen
Ninaomba Bwana Yesu umguse mtoto wangu Mreen aweze kusikia kama ulivyomuumba baba .
Bwana nirehemu
Ameen
Amen Amen akuna kinaco kushinda BWANA YESU
In the Mighty Name of the Lord Jesus,my Father my God remember my entire family, Amen!
Ashukuriwe mwenyezi mungu kupitia maomba haya tumekuwa na usiku mzuri tumeamka salama
Bwana Yesu nakuinua ni wewe peke yako hakuna kama wewe Yesu,niponye na uniokoe Yesu
Ahsante sana innocent kwa maombi yako mungu amenisaidia sasa nimejua kuombana nimebakiwa
Ee mungu mwokoe mmume wangu ktk mate ya makahaba mmpe ifahamu akumbuke familia yake
Nimepokea bwana yesu leo
Bwana yesu naomba unisamehe yote niliyokukosea, na unifungue na vifungo vyote nilivyofungwa na wachawi najua wewe peke yako unaweza yote, basi baba Fanya jambo kwenye maisha yangu nataka kabla mwaka huu haujaisha nipokee hitaji la moyo wangu. Amina.
Ameen ameeen
Mungu akufungulie milango ya baraka katika kila eneo la maisha yako katika jina la Yesu Kristo
Nimempokea bwana yesu❤🙏 Amen 🙏
Mungu kasikie roho yangu na hitaji langu
asante mungu kwa majabu yako katika maisha yako
Bwana Yesu nakuinua wewe ni wewe tu ni Mungu pekeako hakuna kama wewe pigania familia yangu ndoa yangu na uchumi nakuhitaji Yesu
Ameen ameeen
Asante kwakuharibu nguvu zagiza
Mungu bariki mtoto wangu anapo fanya mtiani
Mungu baba Ninaomba uguse afya yangu ambayo imesanbabisha Mme wangu kunikimbia alisema amechoshwa na hali hii
Amen 🙏
I receive I receive I receive I
Asante mungu kwa uzima na afya ulionijaalia mpk sana ninakuona wewe peke yako 🙏🏽
Ehee nimeona yesu uniongoze .
Ameen
AMEN Mtumishi wa MUNGU.ila ujitahidi kuanza na herufi kubwa unapoandika Yesu.Ubarikiwe
BWANA YESU naomba unikomboe kwenye maisha yangu famili yanga uchum afya nyumban watoto wangu shule wafunguliwe kielimu Kwa jina la YESU christo amen
I receive I receive I receive
Naomba mtu mzuri wakumuja mungu ilitupatane tuishi pamoja
Amen
Usiku hui mokozi Yesu naomba ulinzi mimi n'a familia yangu
Ameen ameeen
Bwana Yesu. Mponye mjukuu wangu Baraka damu ya Yesu imponye
Bwana YESU nakuinua ni wewe peke yako hakuna kama wewe YESU niponye na nniokoe YESU
Nitakusifu kila wakati wewe Jehovah
Ameen. Haleluya
@@holyspiritconnectno
Amen Amen I receive I
Niremu mwana wa daudi ukaniponye kwa Jina la Yesu amen
Asante YESU
AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN
Glory to our living God
Bwana yesu naomba unikomboe kwenye maisha yangu pamoja na familia yangu
L😅
Wastahili Jehovah
Ameen
Naomba maobezi ya biashara yanga yaspare zamangari nipate wateja katika dukalangu Kwa jina la YESU christo
Ameen Ameen
Bwana yesu n wewe tu unae yajua maisha uangu hakuna mwana damu ama mtu anae yajua maisha yangu na famila yangu anaomba ukaniondolee roho ya kurudi nyuma kila nguvu za hiza zinazo niandama na zikataa katika jina la yesu nakataa lana za uko kila madhabau yanayo jengwa kupitia ndoto ama maneno ya wana damu usiku huu wa saa saba nina nena uhai nina nena uzima mana n ww bwana uyajuwae maisha yangu hakuna mwana damu awezae kupingana na we jehova na nakataa kila roho zinazo nirudisha nyuma kila nao niwazia mabaya na amin ya kwamba hawatani pata mana upo pamoja nami
0
0
0
0
00
Mtumishi nineokoka leo
Bwana yesu kupitia. Hi neno anikomboe kwa onngojwa. Ni
Miye. Ngoy moni
Amen Amen
🙏🙏🙏
I happry pray to me God so i need to pray me but i want to l m atrist bicousi to me l'm to pray so bicousi to faithe them Luka 1:37theki you me to pray muhubri 7:12. muniombee mungu anirudishie hakiri nirikuwa nao mbere yakucapa naona satani ameninyanganya. God bressi you.
Hakuna lisilowezekana kwako Baba
Hakika
Aminaaaaaa
Yesu nikumbuke na mimi
Nimeokoka leo Amen
HALELUJAH MTUMISHI WA MUNGU MUNGU AKUBARIKI
Amen ubarikiwe
Ameen
Amen amen,naamin yote yanawezekana🙏🏼
Amina 🙏 MUNGU nina Imani kwamba yote ambao imenishinda Kwako yanawezzkana naamini Kwako nadjuwa unaona yote ninayo pitiya,naimani kwamba kwako notaweza eeeeh Bwana 🙏
Nakimbilia kwako yesu wangu naomba unisaidie baba.bwana yesu magumu yote nakuletea wewe bwana yesu uyapoke
Ameen ameeen ameeen
Ameen
AMEN Mtumishi wa Mungu Aliye hai.Ila unapoandika jina lolote la Mungu Anza kwa herufi kubwa mpendwa . Ubarikiwe.
@@rahelchilale1075Asante
.
Amen amen 🙏
Mwana yesu nimponye na maginjwa
Yesu nishindanie
Amina Ee mungu yote yaliyo nishinda, kwako yanawezekana kwa nguvu zako nayakibidhi kwako Amina🙏🙏🙏
Amen.Mungu ondelea mtoto wangu roho ya uwoga na mpe usingizi na amani
Hakuna linaloshindikana kwako Yesu
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲🤲
Kila roho inayonitesa naomba iniachilie masaa roho ya umaskini madeni talaka kuangaika ufukara magonjwa out 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mtumishi nimeokoka
Ninajuwa hakuna kitu kina mushida Mungu najuwa Mungu ataniponya