MFANYAKAZI wa MOCHWARI Afunguka - "WATU WANATAKA MAJI YA MAITI, HUWA TUNAWACHAPA BAKORA!"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- MFANYAKAZI wa MOCHWARI Afunguka - "WATU WANATAKA MAJI YA MAITI, HUWA TUNAWACHAPA BAKORA!"
MFANYAKAZI wa nyumba ya Kuhifadhia Marehemu Katika Hosptali Ya Mount Meru iliyopo Mkoani Arusha ameleza changamoto aliyoipitia wakati wa wimbi kubwa la taharuki ya ugonjwa wa Corona Ulivyoingia Nchini na changamoto zingine tangu ameanza kuhudumu kwa miaka 18 iliyopita.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Mtangazaji na Rasta wote wapo vizuri. Maswali yote tunayojiulizaga kuhusu mochwari, kama yamejibiwa.
Labda moja la namna gani alizoea hiyo kazi, coz mwanzoni nahisi nae alikuwa anaogopa.
Huyo mlinzi katuongopea bwana watu huwa wanakimbia hiyo kazi mchana kweupe
@@azizaaziza9113 Inakuwaje mpk wanakimbia. Kwani wanakuwa na matarajio gani wanapoitaka?
Yaani huyu kaka ni jasiri mnoo na huduma yake ni nzuri Mungu aendelee kumlinda.
Nimejitadi kusikiliza mbk mwisho lakin alhamdulillah nimejalibu kusikiluza kwa makin ili niulize lakin yote yameulizwa na kujibu respect mtangazi much love From UAE
presenter na mhojiwa mko"NOMA"ile mbaya!!! This is what we call jounarlism; keep it up bro watching from europe.
Mtangazaji unauliza maswali vzr Sana babu big up Sana🤛
Mwanadamu asiye na akili umuua mwanadamu mwenzake hali nae ni marehemu mtarajiwa
Safi sana kaka unamsimamo na kazi yako na una hofu ya mungu maan haya maji kweli wapeni bakola aseee imani chafu
Nimempenda rasta ako sawa sana mugu akubariki sana 🙏🏾❤️
Good presenter and Good interview 💪
Unakaz nzuri na roho mzuri sana rasta mungu akutunze
Ha ha,we pia waweza kuifanya?
Rasta yupo vizuri sana,hongera sana,Mungu akubariki
JAMAA NIMEKUELEWA MSTARI WA MWISHO,
TUWAJALI NDUGU ZETU WAKIWA HAI, SIO MTU KAFA NDIO MNAMJALI HAINA MAANA YOYOTE
✍️👊
Mna wazimu hamna maadili.. maiti wa kike hawezi kukoshwa na mwanamme. Kidini khaswa kiislam hairuhusiwi... hao wengine sielewi .hata iyo kuzalishwa pia kidini mjamzito azalishwe na doctor mwanamke namshkuru Allah kuniumba muislamu na kufata maagizo ya dini yangu ALHAMDULILAH 🤲
Hiyo ndio Africa ndugu yangu
mtangazaji upo vizuri sana sana sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa............
Najivunia kuwa muislamu
Maiti wa jinsia ya kike huoshwa na wanawake na wanaume huoshwa na wanaume.
umepotea kweli ww mfisha uchi hazai unaogopa kuoshwa ukiwa umekufa na mwanaume rakin kuzalishwa Anaweza kukuzalisha mwalimu wako kipofu
Huyo wa kike kabulini huwa anapelekwa na nani? majibu plz
Bado mshamba sanaa,,,,,kuna baadhi ya sekta hakuna usawa wa jinsia
Nimekujibia mtamshi yako
Kwa sababu amefariki ndio asipewe
Heshima yake mbona huendi kumtupa jalalani
Huyu Rasta ako very mature and I love his courage.
Kaka nice sana mungu akulinde na akusaidie
Good Interview congratulations
Yaongopesha jamani ,ewow Mungu wangu umetupea talanta nyingi i say💃💃💃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Da, mtaua wachawi wa watu rasta mjue lo, sio kwa huduma hiyo ya mzigo wa bakora. Bora mngewalaza pembeni ya maiti ili uchawi uwatoke. Cheka sana leo, bakora tu babake🤣🤣🤣🤣 Da, Mtangazaji nimekukubali, point juu ya swali, haemi mtu, na wala halipotei bando huku. 🙌🙌✌
Imagine baada bakora hizo unawekwa washinda na maiti😂😂😂
@@georgeonyango8505 Lazima utubu tu🤣
Kazi kazi
😄😄😄😄
@@georgeonyango8505 😄😄😄eti ushinde na maiti
Mungu akulipe. Watandikeni wakome mungu atakulipa kwa hilo
Rasta ni Imani,dred ni mtindo wa nywele 😄😄
Alhamdulillillah kua muislam maana ni lazima ni wanistir wanawake wenzang
Alhamdulillah
Kabisa Alhamdulillah
Kweli kabisa Salma ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
@@awadhally1052 🙏🙏
Wewenae unajisemeatuu kamavile hujierewi kwahiyo hatasku yakuzaa skuya kujifungua utamtafta daktali wakowakike au mbona unajifanya
Good interview.
Mtangazaji. Wew n shujaa. Mbunifu.. utafika mbal sana
MUNGU akulipe Wema 😭🙏🏻
Mungu akubariki kuto ukweli woteee
Mtangazaji ametisha sana maswali mazuri mno
Mungu awapee nguvu aki 🙏
Hii kaz naipenda Sana Ila sijapata nafax ya kaz Kama kunakaz munambie wadau
Duh kazi kwelikweli
Maswali Mazuri Sana.👏
Hongera sana ni mara yakwanza kumsikiya mtangazaji muzuri kama wewe
Jiran mwenye huduma kubwa kwa jamii pamoja sn brother mwenyez mungu akutunze sn kaka
Unajibu vzr Nimependa
Safi
RASTA za mapenz big up
Waoo
👍
Ok ongera Sana kwa kazi njema
Maswali yapo vizuri na majibu pia yapo vizuri kiufupi mpo vizuri
Ras Big up sana kwa majibu mazur
Naomba kazi
You can not be normal ...No! Hela wanaoroa wanaotaka hayo maji ni mengi lazima umuogope tu Mungu ndio ikatae
Mtangazaji auliza maswali vizuri mkono ukiwa juu ya jeneza mm siwezi kweli 😂😂😂😂
Nakubari
Nimependa hiyo
Mjuba anajielewa kinoma
Wagwan Ras👊👊
Weacha tu namkumbuka jamaa yang aliye niandalia Baba yang mzazi ase wako vzr sana
Yaani ni mtu mzuri sana
Nice
Maji ya maiti yanatumiwa na baadhi ya manabii na yakiwa ndani ya makanisa yao huitwa maji ya upako. Mwenye masikio ya kusikia na asikie.
nikwl, mm nishawahi hudhulia kanisa moja kubwa pale arusha jmn wat ni wengi sana sana, lakn vit nilivovikuta pale niliondok mwenyew nakimbia naangalia nyuma km kun mt ananifata,haya makanisa yaogop sana
Sasa kumbe mnapewa maji ya maiti waliokwisha kufa ndio mana hata mkifahamishwa hamuelewi ati kumbe mnauliwa nyoyo?
Ndio mnapoambiwa makanisani mnaushirikina mwingi haya hayo maji ya mfu yakazi gani? Ukichukulia mbali maiti wenyewe wengine mana majosho ya janaba, hedhi, nifasi. Na huo ni uchafu wanaoupenda mashaitwani/majini?
@@alhamdulillah5796 we nae hebu kanye huko ,kila comment upo ,yaan uko kidini zaid wakat wenzako wana comment walichokiona kwenye hayo makanisa ya kilokole, ah unaona huyo aliyekoment ni muislam?
Acha uwongo
du huy mshikaj analoho ngumu du kuikeel mm siwez kabisa🎉😢😮
Duh
Kazi ni kazi
Mwenyezi mungu akupewepes wakazi rasi
Good
Ras yupo vzr sana anavyojibu maswar siopw
ipo vzur 👍
Hi bro
Uyu kaka alikua mkali siku mama yngu amefariki alinichenchia nlikua nalia akaniambia marehem wote wataamka nliogopa nikanyamaza nikavumilia mama yng akachomwa sindano mm nikatoka nliumia sana kumuacha mama 😭😭😭
Pole sana kwa kufiwa na mama ila sasa umenichekesh ety marehemu wote wataamka kisa upo unalia
Asante ila iyo siku ilikua hatari alafu nasikia wanaongeaga nao 🤣🤣🤣 nakumbuka marehem mama aliwai kuniambia alivyoenda kwa kuutafuta mwili wa baba uyo rasi alisema na baba aaah kumbe mda wote tunakutafuta kumbe uko hapa aya mkeo kaja
@@witnesskessy8828 😂🤣😂🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂
😀😀😀😀😀
Huyo mzee nimempenda aki mungu akumpe maisha marefu
Keep not easy na hiyo job
Ni
Nataka hii kazi
Rasta mungu azidi kukutunza.
Pongezi kwa ko brother
Mtangazaji yupo poa kwa maswali na jamaa anayejibu Yuko poa kwa kujibu maswali.
Hiyo coz ipo wapi jamani naitaka
Jamaa yupo making saana🙏
Daktari hana jinsia 😅
Kweli
Ni kwanini mtu umupeleke ndugu yako kwenda kuonya na waitu wasio muhusu kwanini tusiwakoshe sisi ndugu kwahiyo inamaana gani dah naomba mungu kama Niko karibu na ndugu zangu wanikoshe wao sio wanipeleke huko dah wakinipeke wameninyanyapa
Uwiiiiii huyu Kaka jasiriiii
Kwani kuna Meru Tz?Hongera Sir
Meru ipo Arusha Tanzania
kajibu vzur sana
Una ujasiri Kaka mm hAta kupitia hAta karibu na kaburi nyakati za usiku siwez sembuze Mauro balahaaa
Hahahaaaaa... rasta anajibu simpo sana jamani
Okok
nimependa dreads hizo!
Wakristo hamna kitu kabisa yan Mwanaume anamuosha mait mwanamke daaaaaah
Sasa pale mtu anakuwa haelewi kitu,haya mbn wanawake wanaenda kujifunguwa na daktl wa kiume
kuku wewe
Kuna unafki mwingi hapa, wanaume waislam hua hamna wake, hamuoi? Cha ajabu ni kipi
Cha ajabu kipi, mbona hamchagui walimu? Au wauguzi? Au daktari?
Nimemkubal sana Rasta hata Mtangazaji yuko vizuri
Maswal yenye akil na majibu yenye kueleweka 💪
Rasta Ana point interview ilikuwa nzr , mjali mtu akiwa hai
Mambo yote yamewekwa wazi. Ahsanteni
Ata mm nikipata hi chance napiga kazi
Muuuh katika yote hii ya maiti yakike kuishwa na mwana ume muuuh sipati picha huko mochwari 😢 wanavo kuwa wanamuosha kwenye mapaja
Hao watakua wakristo muislam mwanamke anaoswa na mwanamke na wanaume anaoswa na mwanaume
@@annajulius4440 ss huwa tunatiwaudhu ndiyo tunakafiniwa tunaoswa tunasafika haswa maashallah nakwa nini tuvhunhuliwe na wanaume wanawske hawapo na pia sana ndugu ndiyo tunaoshanawenyewe napia ss ukimuosha. Maiti umuangalii kama nyie uislam raha Allhamdulillah Ya Allah kwa kunipa Bahati ya kuwa Muislam💕
@@hanifatanzania7258 haswa
Mmh !anakosha jinsi zote.subhanallah.
Tatizo akili zenu mmezielekeza kwenye zinaa, zinaa zinaa, mbona hujafikiria wakienda hospital na wanatibiwa na wanaume?
Nakukubali mwamba, unajiamini sana asee
Je nafax yakaz naipata m nataman hii kaz Ila sijapata nafas
Duuuh yaani weweee
mis 2021
🙄🙄💔
Bakora tena jaman hatari sana Ras
Watu Msizani Bakola Ni Fimbo Kukuchapa No Bakola Pesa Ndefu Yani Awakuonei Uruma Mbere Ya Pesa Akuna Fimbo Za Miti Fimbo Za Noti Izo Sema Jamaa Anasema Kiutu Uzima
Hafanyi humjui huyu rasta ni mtu poa sana na ana msaada mnooo
😄😄😄😄
Hapo aliposema tuwajali ndugu wakiwa hai na sio wakiwa wamekufa ameongea point kubwa sana
Huyu anaficha mengi,,, nadhani hii motuari Ni private ,,, hawataki kuharibu kazi ya mwenye Mochwari.
𝗔𝗟𝗜𝗬𝗘𝗞𝗪𝗔𝗠𝗕𝗜𝗔 𝗡𝗜 𝗣𝗥𝗔𝗩𝗘𝗧𝗜 𝗡𝗜 𝗡𝗔𝗡𝗜??? 𝗔𝗨 𝗛𝗨𝗝𝗨𝗜 𝗞𝗔𝗠𝗔 𝗛𝗜𝗜 𝗡𝗗𝗜𝗬𝗢 𝗛𝗢𝗦𝗣𝗜𝗧𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗞𝗢𝗔 𝗪𝗔 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔? ??? 𝗛𝗜 𝗛𝗢𝗦𝗣𝗜𝗧𝗔𝗟𝗜 𝗦𝗜𝗬𝗢 𝗣𝗥𝗔𝗩𝗘𝗧𝗜 𝗠𝗞𝗨𝗨 𝗛𝗜𝗜 𝗡𝗜 𝗛𝗢𝗦𝗣𝗧𝗔𝗟𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗞𝗢𝗔 𝗪𝗔 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 ....𝗞𝗔𝗥𝗜𝗕𝗨 𝗧𝗨𝗞𝗨𝗛𝗨𝗗𝗨𝗠𝗜𝗘 𝗠𝗞𝗨𝗨🤪🤪🤪🤪
Kweli kabisa,aje wanawachapa wanaoitaji maji ya maiti,mnaletewa pesa mnawapa bakora uongo huo.
@@puritypurie8947 😄😄😄
huyu jamaa anajibu maswali vzr sana! wengi wanadhani mtu akifa anakuwa anafaham kile kinachoendelea
Abira wangu wangu uyu nampeleka kazn asee
Jamaa anamoyo san
Baadhi ya vtuo vya afya huwa inatokea hyo
mi nashangaa sana jinsi nyumba za maiti zinavyofanywa kama mahali pagumu, au pakutisha.K wakati nnchi nyingine hiyo ni biashara. tena mtu anafanya nyia nyumbani kwake , tena ni biashara muhimu sana inaingiza pesa za kutosha tuu. Waafrica tunafanya kufa kama kitu cha ajabu.
Ras naomba kazi
Mtangazaji wetu mbona yy hawiki pozi kwa jeneza kama Rasta
Anatisha mungu ambariki