Heri yeye anaechoma maiti kuliko raia wanaochoma mwizi(Mimi shemeji yangu ni Muingland lkn pia alipofariki alichomewa kwao England ,mdogo wangu ndio aloenda akarudi na jivu
SUBHANNALLAH...! Kweli raha kuwa Muislamu MashaAllah. Coz Uislamu faradhi/mambo muhimu ya kumfanyia maiti ni ma4; 1) kumuosha, 2) kumvisha Sanda, 3) kumsalia na 4/mwisho ni kumzika Kaburini kwa kuzingatia vigezo na cfa za Kaburi kwa mujibu wa Kaburi la Muislamu. Kuichelewesha maiti zaidi ya cku, Wks, miezi ni kuinyima/kuicheleweshea haki zake/malipo yake marehemu eg' kama marehemu ni wa Peponi mnamchelewesha kwenda ku2mia/kufurahia kheri zake na kinyume chake kama marehemu anashari/dhambi zake (m2 wa Motoni) kumchelewesha kumzika inaweza kupelekea kushea nae adhabu zake/ghadhabu za Allah zinaweza kukukuteni/kuuipateni nyote kwa kumchelewesha kumpeleka akahukumiewe. But inashangaza na kusikitisha kuona/kusikia ndg kuridhia ndg wenu/maiti wenu achomwe moto na kumuogopa hata kutorithi v2 vyake, bac hata c wange wapa Masikini hivyo via!. Jamani nyie msobahatika kuwa Waislamu hebu usomeni Uislamu muuelewe/ulizeni mueleweshwe msikubali kusikiliza na kuamini uzushi na propaganda za Wapagani/Makafiri (Wafuasi wa Shetani). Kuzika ni miongoni mwa ibada kama ibada zingine na image yeyote ili iitwe ibada lazima ibada hiyo iwe imekubalika/imerdhiwa na Mungu co kujibunia /kuji2ngia. But Wasokuwa Waislamu hawana dini balinwamenibunia mifumo ya kuabudu na kujifanya ndo mfumo/njia walofundishwa na Mungu kumbe ni Ushetani, Upagni na Ukafiri m2pu. So someni maana ukweli hamfanyi ibada za kweli ni kujifurahisha nafc zenu 2..! Hata ndoa means c ndoa bali ni kuhizinisha kuzini/zinaa kwa kurithi mila/dini (njia) iloaccwa na Wapagani/Makafiri kama msingi wa upatikanaji wa dini c sahihi means ibada zote zifanywazo c sahihi/ni batiri. So jiandaeni ya kumjibu Allah/Mola Muumba.
Nakushauri brother hiyo kazi ni haramu iache kabisa mara moja ya kuzika kwa kuunguza hatakama unalipwa pesa nyingi hili jambo ni haramu anae azibu kwa moto ni Allah pekee subhanallah wallahi ikiwa ww ni muislam sema alhamdulillah mshukuru sana Allah
Hao Wakristo wanaochoma moto maiti wanakosea. Wakristo tumeambiwa na Mungu wetu ndani ya Biblia kuwa, mtu akifa sharti azikwe ardhini, kwasababu sisi binadamu ni mavumbi na mavumbi hurudi tena
Hapo kwenye kuchoma na vitu vyake laptop simu itakuwa iPhone hizo turudie kidogo aiseee mmmh sema we Baba nenda kalime Mungu atakusaidia dhambi Sana tumeumbwa Kwa udongo na tutarud udongon sijaona sehem ilioandikwa tuchomane jmn Alhamdulilah kuzaliwa muislam
Aliesikia mmalekani anatumia na ufuta kuongeza spidi ya moto alafu analusha ili na yeye asiungue tujuane hapa kumbe nalo linaogopa bhana daah moto mchezo
Sishangai sana..nilivokuwa mdogo kule kwetu upareni kulikuwa na mmakonde mkata mkonge alikuwa anasifika kwa kula watu, na tuliammini hivyo...so its more likely huyu bwana akawa na hiyo roho...
Anaonekana hajui anachokiongea, mafuta lita elfu 50 alafu inahitajika lita elfu 3, mafuta tu ni milion 15....naona mosh wa mwili wa binaadam umeshaanza kumuathiri
@@walivyojuma7095 usishereke ujinga na maagizo ya mwenyeezi mungu subhannallah wataallah mnayajua semeni na njaa zenu mwenyeezi mungu pekee ndie ajuae adhabu ya viumbe vyote have anice good day think twice as a human being tchaooooo
Kama Unamuona jamaa ni Bonge la Hodari gonga like hapa
Wengine munajifanya kulaani hyo kaz lkn mukisia sauti ya mwizi munatoka majumbani kiberit na petrol kumchoma mwizi
Umeshasema mwizi
Heri yeye anaechoma maiti kuliko raia wanaochoma mwizi(Mimi shemeji yangu ni Muingland lkn pia alipofariki alichomewa kwao England ,mdogo wangu ndio aloenda akarudi na jivu
Tunaongea tu ila wote atuna akika km kizikwa chin ya udongo ndo njia sahihi
Wewe akili auna mwiz alitumwa kuiba
Ni kweli kaka iyo ni kazi km kazi nyingine ila dahh km ni mpenzi wako mhhhhh anaweza kukumaliza ila ni hisisia zangu🤗🤗
Duuuuh kama umeshangaa kama mimi like
Kelvin huu mtihani wallah
Sio wakitoto inabidi uwe na roho ngumu
Sasa kushangaa nn mbona nivitu vyakawaida saana ivyo
@@walivyojuma7095 hahaaaa
Du
Aiseee huyu kweli kazoea kuchoma choma mpaka miwani yake aliyotuvalia ni ya kuchomea watu
😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🌹
😀😀
Umenichekesha eti miwani yke
😂😂😂😂
Halafu unasema eti we Unafanya KAZI ngumu, Sikia madini HAYO, halafu jamaa hawazi wala nini
Jamaaa ashazoea
Kabisa yan
Ooooo kaz yazege ngumu...mamaeeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani uyu ukiingia ktk angazake anakuona kama andaz2
@@richardb.masika4375 😁😁
Kama unaona miwani ya muojiwa inakuzinguwa gonga like hap chin🤙
H TV
Hahahaha. Watanzania kwa woga. Toooo
SELLAH TV jamaa ana roho ngumu huyu
SELLAH TV jamaa ana roho ngumu huyu
🤣🤣
Kama ww nimuislamu basi mshkuru Allah namuombe upatemwishomwemaa.
Minazi Parasu amini amin amin
Minazi Parasu Alhamdulillah
Aameen inshaallah
Amiin
Uislamu wapi na wapi, kwani jamaa anachoma na kuwatafuna? Mtu akifa mwili wake kwisha unarudi kwenye majivu.
Amiin Allahumma Amiin
ALie sikia mtu anakithembe kama hamorpa agonge like hapa
Na wewe ukifa uchomwe tu
@@ashurasaburi8967 kwel
@@ashurasaburi8967 hahaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
The way he is speaking kama anachoma takataka😭😭
Hahahhaha si ndo hapo ,
Kwahiyoo anaombea wakufee wengiii
Maiti ni takataka tu, tena angalau taka taka unaweza kurecycle. Vitabu vinasema binadamu ni udongo tu, ukishakufa huna thamani tena.
Hahahah
Huyu jamaa ana roho ngumu kama nn
Atar sana ni kwel kabisa kama anachoma takataka an
@@emmanuelandrew9941 dahhh hatarii sana
Alie sikia kifua chest weka like hapa
Hahaaaa kifua chest
Uislamu ni Neema kutoka kwa Muumba. Alhamdulillah. Nakushukuru Mola wangu nimezaliwa katika Uislamu na nife na kuzikwa Kiislamu. Allahuma Amiin.
Alhamdulilah
Uislamu ni neema Alhamdulilah Allah amekataza kiumbe kumchoma moto kiumbe mwenzake
Ila ukaruhusu mtu kumchinja binadamu mwenzie.
Alhamdulillah
Mussa Shehiza to
@@Dhulqarnain-qc6gz sema sema
@@Dhulqarnain-qc6gz hapana... Ao una uthibisho kwa hilo
Nimeona Kama miladi Ayo umeishiwa pozi Leo kwa interview ya ajabu leo
😂😂😂😂😂
Kiuno nde kinachelewa 😀😀😀😀😀😀😀😀 nde kichwa kinalia pauuuuuuu kama umesikia gonga like
duh umenishinda tabia imebid nirudie kumskiliza tena nmecheka mwenyew kma chiz
@@sophiakitaly3227 nomaaa sana
😂😂😂😂😂😂😂😂
@@sophiakitaly3227 kazi kazi
@@tktvtz 😂😃😂😂😂 et pauuuuuuu nimecheka kinyama
Aliyesikia lose report tujuane
Alhamdulillah kuwa muislam
Let's appreciate together we can in God we trust say alhamdullillah
Allah atujalie tufe halikua tupo waislamu thabiti
Alhamdhulillah
Alhamdhulillah
Naam da Asia hakika tunafaraja kubwa kua waislamu
Mmh inatisha aseeee. Mungu tusamee madhambi yetu,turehemu kwa rehema yako iliyo kuu
Aliyesikia magogo mabichi atie like hapo
🐱🐱🐱
“mtu mweusi anapokuwa na njaa ndio anakuwa na akili” 😂
Hahahah
😜😜😜
Kama
Hap 🤣🤣🤣 Km Mazur
Astaghafrullah Astaghafrullah Astaghafrullah kwa nini hamuwaziki muogope mungu kaka yangu tubu kabla nawe siku haijakufika
Asa kosa lake ni nini wakt kila jamii ina utaratibu wake wa mazishi
Ukifa huna thamani tu ni vumbi tu ww
Kuzika ni utamaduni
Hiyo ni sheria ya China..kila nchi inasheria zake
😀😀😀 nimesoma comment nimechekaa, jamani huyu baharia hana makosa,cose kila kabila wanautaratibu wao, sema inshu iliyopo hapa wote tuliosikiliza ni waogaa,maana yeye hapa ameangalia pesaa, uwoga akaweka pembeni😀😀😀
Dah Al hamdulillah Allah atustiri sisi na vizazi vyetu na waislamu wote kwa ujumla in sha Allah
Amiin Allahumma Amiin
Shukran na ww pia
@@masoudyrashidy9041 👍
Amiiiin..
Amiin
Sasa akukute na mkewake anakuchoma kama wachina😂😂😂
Kama unaamini kwamba mtu hawezi fanya kazi hii bila ukatili gonga like hapa
Sio wachina tu hata wewe mtangazaji ukianguka tu hapo amekupiga moto
siyo kuchoma bali ni mazishi maana kunaaina nyingi za mazishi.
ukisikia wanaozika wanasema majivu kwa makivu ndiyo hii.
Mtu mweusi akishiba hana hakiri 😂🤣😂🤣
😆🤣🤣😆umefanya nicheke kwa sauti wallah
Ha ha ha ha ha ha katutukana hapa .
the twen 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mtangazaji nakuona umee vaa kofia juu.... Ndio ujuwe na mm pia nafanya utafiti wangu 🤣🤣🤣 kwenye miwani
Tena kaigeuza kwanyuma
Hahahaha
Hahaaa
Huyu jamaa ni mtu safi sana, So cool...Big up Mmarekani...
SUBHANNALLAH...! Kweli raha kuwa Muislamu MashaAllah. Coz Uislamu faradhi/mambo muhimu ya kumfanyia maiti ni ma4; 1) kumuosha, 2) kumvisha Sanda, 3) kumsalia na 4/mwisho ni kumzika Kaburini kwa kuzingatia vigezo na cfa za Kaburi kwa mujibu wa Kaburi la Muislamu. Kuichelewesha maiti zaidi ya cku, Wks, miezi ni kuinyima/kuicheleweshea haki zake/malipo yake marehemu eg' kama marehemu ni wa Peponi mnamchelewesha kwenda ku2mia/kufurahia kheri zake na kinyume chake kama marehemu anashari/dhambi zake (m2 wa Motoni) kumchelewesha kumzika inaweza kupelekea kushea nae adhabu zake/ghadhabu za Allah zinaweza kukukuteni/kuuipateni nyote kwa kumchelewesha kumpeleka akahukumiewe. But inashangaza na kusikitisha kuona/kusikia ndg kuridhia ndg wenu/maiti wenu achomwe moto na kumuogopa hata kutorithi v2 vyake, bac hata c wange wapa Masikini hivyo via!. Jamani nyie msobahatika kuwa Waislamu hebu usomeni Uislamu muuelewe/ulizeni mueleweshwe msikubali kusikiliza na kuamini uzushi na propaganda za Wapagani/Makafiri (Wafuasi wa Shetani). Kuzika ni miongoni mwa ibada kama ibada zingine na image yeyote ili iitwe ibada lazima ibada hiyo iwe imekubalika/imerdhiwa na Mungu co kujibunia /kuji2ngia. But Wasokuwa Waislamu hawana dini balinwamenibunia mifumo ya kuabudu na kujifanya ndo mfumo/njia walofundishwa na Mungu kumbe ni Ushetani, Upagni na Ukafiri m2pu. So someni maana ukweli hamfanyi ibada za kweli ni kujifurahisha nafc zenu 2..! Hata ndoa means c ndoa bali ni kuhizinisha kuzini/zinaa kwa kurithi mila/dini (njia) iloaccwa na Wapagani/Makafiri kama msingi wa upatikanaji wa dini c sahihi means ibada zote zifanywazo c sahihi/ni batiri. So jiandaeni ya kumjibu Allah/Mola Muumba.
waislam mna vikosi vingi sana vya kigaidi hapa duniani.
hakuna raha yeyote hile
Huna haki ya kumuita Mtu Kafiri
@@betramraphael7219kujitoa muhanga na kuvalishwa mabomu we huogop,
Jamaaa nimekubali sana yani kumbe ni party time bt style ana kazi yake!
Yan hata mkeo akizingua unaweza mchoma wew
Florah Burton yaah
Nakweli kbs
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅
No he can't do that mbona ni kazi kama kazi ingine
@@bigbossmanbossman6946 sio kwa kaz iyo changamoto ujue
Ni kweli kuna mchina mmoja niliwahi shuhudia alikaa mochwari kama mwezi hv
Duuh !! Kweli njaa lakini hizi nyengine si kazi
Ni kazi
Hii ndiyo maana ya man at work daah
Hatar
No joke bro amechoma maiti mpaka ndevu zimeungua,,
Creative man like u never die poor!!
Obsolutely
Mnaobisha na nyie mtachomwa na mmarekan 😀😂
Subhanallah
Kwani hamuwajui wahindi au no jambo LA ajabu
👏everything can be bargained
Duh😭😭😭
Wanaita ku Burne ,kama simple ,sasa wewe mzee baba km huyu endelea kungua km hatoku Burne fasta
Namjuwa huyo Mmarekani yuko mtwara
Ni mmarekani?
Kama umesikia kwamba mtu Mweusi akiwa na njaa anakuwa na akili gonga like tuwende pamoja!
Yaani anavyosema Hilo neno Kuchoma utafikiri anachoma mishikaki kumbe watu
Kumbeeee ndio maana yulenwa Geza ULOLE NI MMAKONDE NDIO MAANA ALIMCHOMA.NAOMI MKEWE NI UJUZI WA.KIMAKONDE.
Rahima Aaaa 🤣🤣🤣
Bora kazi
Rahima Aaaa 😀😀😀😀
Fasta masaa3 mpka 4 daaaaa!
Shezi wewe mbona sisi tunazikwa kikawaida wamakonde hatuchomani.moto?
Duuuu!!! Na wachina kumbe wanachoma maiti??
Lucy Masuod na me ndo kwanza nasikia leo
@@mariamvicent7312 najionea maajabu ya dunia wenzetu sijui wana imani za aina gani kwa kweli
Yeah
Waachoma ndio kwasababu ya maeneo ya mazikio kuwa machache huko kwao tofauti na miaka mingi iliyokwishapita
Sasa hujui kama binadamu Anachomwa kwa mafuta ya samli na ufuta .....hujatembelea hata wanapochoma bhaniani .....
TUKARIBIE KUCHECK MECH KATI YA LIBYA VS TANZANIA SAA NNE USIKU LINK HII HAPA th-cam.com/video/kr9Xv3uEhdE/w-d-xo.html
Subhanallah ndio leo naskia
Duh,,atari sana..UOGA WAKO NDO UMASIKINI WAKO!!!
🙌🙌🙌 big up master
vp kuhusu msimamo wa imani yako?
Nakushauri brother hiyo kazi ni haramu iache kabisa mara moja ya kuzika kwa kuunguza hatakama unalipwa pesa nyingi hili jambo ni haramu anae azibu kwa moto ni Allah pekee subhanallah wallahi ikiwa ww ni muislam sema alhamdulillah mshukuru sana Allah
Kazi kazi tu. Utakuta kajenga hapo, watoto wanasoma vzr, na anasaidia ndugu kwa kazi yake
Kaz kazi
Kwani mkisikia makabila wanachoma maiti ,nyie mnahc wanawapeleka kwenye machine? Maana mnavoshangaa
Duh mungu akusamehe yallahbi dah mungu nisamehe na nipe iman
Hongera baba Ila usiwe unachioma cm laptop
Hao Wakristo wanaochoma moto maiti wanakosea. Wakristo tumeambiwa na Mungu wetu ndani ya Biblia kuwa, mtu akifa sharti azikwe ardhini, kwasababu sisi binadamu ni mavumbi na mavumbi hurudi tena
Hapo kwenye kuchoma na vitu vyake laptop simu itakuwa iPhone hizo turudie kidogo aiseee mmmh sema we Baba nenda kalime Mungu atakusaidia dhambi Sana tumeumbwa Kwa udongo na tutarud udongon sijaona sehem ilioandikwa tuchomane jmn Alhamdulilah kuzaliwa muislam
Nilwachoma pale wa nne kule nilchoma watano hela iz ogopa
Mmh kaazi kweli kweli
Iyo si dhambi ww ndo imani yao wachina nawazungu nawabaniani nikawaida niimani tu iyo mbona poa tu hakuna dhambi yoyote
Hii dunia🤔
@@walivyojuma7095 the devol is a liar only God knows about everything ☝️☝️☝️unatumika vibaya aisee
Kazi kazi....
Sura yake tu inaonyesha ana roho ngumu
😂😂😂😂😂
Kwani anachochea kama jiko la kuni
Alli Habibu jamaa ni mshkaji sana ana roho nzuri huwez amini ni mshkaji wang anajiita jeshi
Huyu jamaa yupo pic sana anakula bata hakuna mfano unajua kwa nn anajiita marekani sababu anavaa American but
haaaaa mungu wangu asa ndonasema ata mke anamoyo sana kwakweli kukakaa na mume uyo yataka moyo sana
Mmmmh , wonders shall never end wallah🙄🙄🙄mmmh aiseeee mungu tunusuruuuu
Allhamdulllah yarabbi tupe mwisho mwema
Ameen
Amiin
Duuuuu....kule Angola nimechoma wanne....mtwara nimechoma wawili......HUYU JAMAA KIBOKO
😳😳😳😳😳😳 Heee tutaona mengi jaman 🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
Yani.nahela.zake zinachomwa.nakadizake yabenki.inacomwa
One of the best interview Never seen b4, Safi Ayo
Iyo niatari nimekumbuka jana kunamwizi wa bodaboda kachomwa moto uku kwetu adi kufa majira ya asubui saa 5 moshi njoro sokoni
Thawa thawa, thatha mbona unafanya kadhi ya ibilithi, akifika huko kama ana dhambi motoni watachoma nini? 😂😂😂
Duhhh ama kweli "tonge tu lipatikane" kazi kazi tu
Ndo jambo la msingi hilo
Watu wanasikia tuf tuf tuf wanadhani mchina anachomwa kumbe mm kudadadeki
😂😂😂😂
Aliesikia mmalekani anatumia na ufuta kuongeza spidi ya moto alafu analusha ili na yeye asiungue tujuane hapa kumbe nalo linaogopa bhana daah moto mchezo
Sio kuchoma, ni kuteketeza hiyo ipo world wide hata ww mtangazaj ukiandika usia wako kua unataka mwil wako uteketezwe bas utafanyiwa hivyo
Sishangai sana..nilivokuwa mdogo kule kwetu upareni kulikuwa na mmakonde mkata mkonge alikuwa anasifika kwa kula watu, na tuliammini hivyo...so its more likely huyu bwana akawa na hiyo roho...
Kbsa
Uislam ni mzuri sana🤔
Amina Hasan Kwani maiti za kiislamu hazichomwi ndugu
Alhamdulilah gjala neema l islam
Alhamdhulillah
Amina Hasan...acha nyege ww... Uislam ni mzuri usingekufa mbwa wewe
Amina Hasan , tupe evidences
I hope u dont have the spirit of burning even those live plz
Hahahaha
Hongera saaaana! Ila Wewe unae mu Interview, jaribu kuandaa maswali hasa kuyaandika ndipo utoe Interview.
Mtu mweusi anapokuwa na njaa ndo anapokuwa na akili daaahhhh huyu jamaa noma
Muamerika uyu😂😂😂😂😂😂😂😂
Hatari jmn🙁
Hi miwan nimeikalili
Sitonunua kamwe
Hata nipew bule sitoichukua
Hahahaha
Upumbvu huo
Kazi nzuri baba
Uncle wangu mm hatari sana nakumbuka enzi zile kibanda wazi umetisha unamisemo kama yote
Nakuomba unifundishe broo mm kuna watu nataka niwachome wazima wanapuwa Shenz zao
Ebu jianze mwenyeo ata mkono au kidole kabla hujawanza wao nyooo mrudie mungu wee hasira hasara
😂
😂😂😂
Jichome kwanza ww mkono
😂😂😂😂😂
Kwann wasimwacheme wenyewe mbona ss tukifa tunazikwa na watu wetu kwann wao watafute hiyo siyo kazi baba
Waoga sana hao jamaa.
Wachome baba roho zao zimeshatangulia kwenye pepo huo ni mwili tu ila una moyo
Bado mnachoma kiloko sana ,zipo machine za kisasa zakuchomea
Piga kazi baba bola upate lidhiki yako kuliko kuiba
Kwahyo hapati dhambi au?
Madhimbi yote anatwishwa yy za wale anowachoma
@@khadijakhadija6212 Subhanallah
@@khadijakhadija6212 hamna kitu kama hiko!
@@damianlugendo9161 hamna kitu km hiko nini
Unaona raha kuchoma eee?,we ngoja tu.
😂😂😂
angoje nini mbona nyie mnafanya unzinzi amogopi
Nayeye atachomwa muache aropoke fal ww
mnamtixhia na huna kitu! mwenzio anatafta hela kwan anachoma mzima, x anachoma mait na ndo mazixh yao
leo nimejua kwa nini uko hivyo ulivyo. tangu nimekufahamu kaka sikujua kuwa unapiga ishu hizi. asante ayo
Hihihihihi
Hata mm napenda kuchomwa kweli yaani mchanga tani na tani yaani kuzikwa mm sipendi kabisa hi niyakutoka moyoni
Yani hiyo kazi ya kuchoma Moto watu mpk imekubadilisha rangi umekua kijivu
HAHAAAAAAAA
😂😂😂😂😂
Kama umesikia spitali gonga like hapa😜
😂😂😂😂
😂😂
Anaonekana hajui anachokiongea, mafuta lita elfu 50 alafu inahitajika lita elfu 3, mafuta tu ni milion 15....naona mosh wa mwili wa binaadam umeshaanza kumuathiri
Vibali ndio vinanichelewesha kuwachoma moto
Mcba mkubwa huu kaka yaqoub salim Allah atusalim salama na vizaz vyetu
😸
Shikamoo PESA!!
TUKARIBIE KUCHECK MECH KATI YA LIBYA VS TANZANIA SAA NNE USIKU th-cam.com/video/kr9Xv3uEhdE/w-d-xo.html
safi sana umeongea vizuri
Dah! Namfahamu huyu jamaa.😂
Me mwenyewe ni mshikaji wangu sana anasifa sana
Ana sifa kivipi?
@@patrickjohn9495 halafu mmakonde huyuu 😆😆
LAILAHA ILALLAH
Subhanallah.hatakama kazi ni kazi lakini hii hatari manake yanatisha!!!!
Mtu mweusi anapokuwa na njaa ndipo anapokuwa na akili,akishiba anakuwa hana akili.Na kazi hii sijasomea kokote ni njaa tu😂😁
Duh🤨
Nitext WhatsApp 0692293581
Acha hiyo kazi unajibebea lawama aisee dini zengine majanga matupu tuseme alhamdullillah mmmmm kazi ipo dunia hii acha tu.
Huyo Hana dini kabisa
wallah Alhamdulillah
Hakuna dhambi kila mmoja na imani yao
@@walivyojuma7095 usishereke ujinga na maagizo ya mwenyeezi mungu subhannallah wataallah mnayajua semeni na njaa zenu mwenyeezi mungu pekee ndie ajuae adhabu ya viumbe vyote have anice good day think twice as a human being tchaooooo
Iyo imani yako peke yako kila mtu naimani yako ujinga kwako ww
🙄🙄🙄🤔🤔Sasaaa kama marehemu anawekewa alichokuwa anapenda...sasaa kama alikuwa anapenda ngono jee?!?!😆😆
Huyu jamaa mke wake atakua anamuogapa sana .
Duh wa Kwanza like zangu