Ichi kipindi kitakuja kufanya makubwa Sanaa kwa positive way.nazani wasaniii watajifunza Sanaa na Wenda watakuja kukataa mwamba asiingie location make wanaogopa kukosolewa
Nimejifunza ki2 kupitia hiki kipindi: usimzalau m2 kwa Kuwa unachokifanya yeye hawezi. kwa kumsikiliza! neno lake linaweza likakusogeza japo yeye hawezi kufanya. "Watu wanashauri vitu vizuri japo wao hawawezi kufanya mziki"
Kubwa la wachawiiiiiiiiii freemanson mdidimizaji wa wasanii Umemdidimiza hamonize mpaka leo hasikiki analima korosho kwao Umemdidimiza rayvany kwa mikataba ya kinyonyaji mpaka leo yupo muhimbili kalazwa hawezi kufanya tena mziki Unamroga rich mavoko akishika maiki tu mistari inapotea hawezi tena kuimba
Diamond hajawah fanya kibovu.. Mungu amuweke sana Big Platnumz
Ichi kipindi kitakuja kufanya makubwa Sanaa kwa positive way.nazani wasaniii watajifunza Sanaa na Wenda watakuja kukataa mwamba asiingie location make wanaogopa kukosolewa
Diamond platnumz anawang'arisha watu jamani MWAMBA KACHIL anakua mweupe saizi
Oya mwamba naitwa Jack from Australia, ebu mujikosowe kwenye neno la kusema Africa is watching kwenda world is watching Asante!!!
🇦🇺
Diamond anaakili ya kibiashara kwenye hiyo glas nyekundu anabrand EP yake ya #FOA it's not fair aise
Mtu amegharamia kila kitu kujibrand kidogo tu mnaona ajabu
Watoto wa masikini hajawah kuishiwa lawama
Sema Mama wa wigi anaupiga mwingi sana💯
Wabongo Kw Kujudge...Anyways respect from Kenya...🙏😂😂😂
Hii vidéo nili ipenda sana ! Nyimbo ina kaa pow sana ! Barnaba wewe moto
DIAMOND NI BRAND
MUDA WOTE YEYE NI MTU
WAKUJITANGAZA NA NDIYO
MAANA AMETOKEA NA KOPO
LA -FOA sawa dada
#AVATASTAR255 🎶🎶👈
Nimejifunza ki2 kupitia hiki kipindi: usimzalau m2 kwa Kuwa unachokifanya yeye hawezi.
kwa kumsikiliza! neno lake linaweza likakusogeza japo yeye hawezi kufanya.
"Watu wanashauri vitu vizuri japo wao hawawezi kufanya mziki"
🔥❤🔥
Good
Dada wa nguo nyekundu yuko smart sana kauliza swali zuri hapo tulipigwa
Simbaaaaa 🇨🇩🙋
👏👏👏👏👏👏👏🔥
Imara location you were not present..hiii episode iko chini
Mbona jina la director hanscana halidisplay kwenye video?Na wakati wote wameshiriki?
I love the song
I like it
Tume pigwa, alafu video inapo Anza tunaona jastin compos hatumuoni hascana vip naomba mnijibu
It’s that lady make up for me 😂😂
Hahaha I tell you!
@@jenahando2747 She looks like Australia 🇦🇺 zombie ## horror movie
Nice
Cool
Mtu imara uko nondo mpk bas man🔥🔥🔥🔥
Hapo kwa barnaba hamjapigwa hiyo location ni ya njee so egelikuwa ndani hapo tugesema tumepigwa but njee haina tatizo ni uhalisiya flani
wanazingua mavidio queen 👑
Video iko poa sana
Nani amemwona boss kimaro kwa hili banda la video
Waaa! 🇰🇪
Tambuwa mwamba iyo video ya african byut diamond aliluwa ajava meno ya zahabu iyo ya adissi ameva meno ya zahabu ata nyinyi banda amuwoni 🔥🔥🔥
Wow 😮
Simba noma kwenye hii video
Dada mwenye gauni jekundu we Mzur mwayaaaa
Unyama ni mwingi gg ya leo
Ni kweli hapo kwenye hizo pete na vidole ziko sawa
Nyinyi Noma
Sema maneno meng kuzid kipindi
Uyo dada alosanuka kuhus FOA katisha
Mhh huyu shoga alovaa Nguo nyeusi huo wanja wa nyusi 😂😂😂🇬🇧
Kwenye kikombe kwel tumepigwa @Mtu Imara
👌✌️hiii
Kupitia video ya hadithi pia diamond anatangaza ep yake ya #FOA kwaiyo sioni kama kuna kipigo apo
Huyo mwenye kope kubwa ka mdoli wa kichina😆
📸📸📸📸
Tumepigwa
What's up
Bom trabalho
Mwamba ludi nazile 5 zabandan itakua imala sana💣
Mwamba mbn b mkubwa haonekan kwann???
iyo ya maua maua najua ni ameshut hanscana maana anapenda shuti za maua uyooo
Kichupa kizuri
Kubwa la wachawiiiiiiiiii freemanson mdidimizaji wa wasanii
Umemdidimiza hamonize mpaka leo hasikiki analima korosho kwao
Umemdidimiza rayvany kwa mikataba ya kinyonyaji mpaka leo yupo muhimbili kalazwa hawezi kufanya tena mziki
Unamroga rich mavoko akishika maiki tu mistari inapotea hawezi tena kuimba
Simba namkubalii
Eyebrows moja nono kama surrender bridge 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Walete Tena m2 imara
Simba ni mmoja2
Tumepgwa
Kuna wanja hapo 😂😂😂 Ni htr
Ilo glasi kumepiguha
Hatujapigwa kwasababu diamond kubeba ile cup pengne ni kwa ajili ya biashara...lazma kulikuwa na maongezi ya kibiashara
Mwamba wee ni mwamba kwl kwel dah
Siyo poa
Mama wabanda lavedeo jmn🤣🤣🤣
Unyama ni mwingi
African beauty vidole vyote alikua amevaa pete hii Hadith ajavaa Pete vidole vyote
Simbaa 😁😁
Hapo kwenye glass hakuna cha kupigwa maana Brand ya Diamond n kubwa mara dufu na kuonekana kwa hiyo hashtag n kitu kikubwa san
ogg
Kumamake huyo demu kaeka kope kama mabati
Mbona directer jina ni moja tu?
Wametupiga kweny grass ya #FOA# apo
Diamond n mfanya biashara so anatembea na fursa
🤣🤣🤣wacha uongo kipusa. Huyo vixen muoga
#Foa
Hatujapigwa
Aja pewa lakusa na basata uyo dem si mtanzania ange kuwa wambele adi titi zinge gusishwa
SIKILIZA WIMBO WA MANDONGA ALIO MCHANA MWAKINYO BAADA YA KUPIGWA 👇
th-cam.com/video/f4_I1TtBfyc/w-d-xo.html
Sema na ww mtuimara punguza izo
Changa wapi geng, kila masaa sijui nini nini geng. Inaboa
Katombwe
Banda lenu nilawasani tu wa WCB 😆😆😆🇨🇩
Owongo huwoo😂😂
😂😂😂
NMepigua
Iyo grass ya foa tumepigwa
Erty
Tumepigwa apokwene girasi
Tume pigwa 😂😂😂
Hio ni uongo bwana
Mopao
Tumepingwa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
GUSA HAPA th-cam.com/video/TNPxt7ltHSo/w-d-xo.html
MWIJAKU KAYAKANYAGA UKO KWA MWAKINYO 👇
th-cam.com/video/f4_I1TtBfyc/w-d-xo.html
😂😂😂
Hizo kope sasa 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣yaani kama mchawi kapotea chaka
⏩🥰HI FRIENDS ❤️ LEO NAMTAMBULISHA MPENZI WANGU 🤣🤣🤣 SHEMEJI YENU NAOMBA USHAURI WENU HUYU APA👇
th-cam.com/video/Pla6c5WGotA/w-d-xo.html
th-cam.com/video/EDlvq5luglo/w-d-xo.html
th-cam.com/video/1k7DzYYBYqQ/w-d-xo.html. Simba Ni mmoja tu mjini wengine wako porini
Tumepigwa
Wametupiga kweny grass ya #FOA# apo
GUSA HAPA th-cam.com/video/TNPxt7ltHSo/w-d-xo.html
⏩🥰HI FRIENDS ❤️ LEO NAMTAMBULISHA MPENZI WANGU 🤣🤣🤣 SHEMEJI YENU NAOMBA USHAURI WENU HUYU APA👇
th-cam.com/video/Pla6c5WGotA/w-d-xo.html
th-cam.com/video/EDlvq5luglo/w-d-xo.html