RAIS SAMIA AWAAMBIA CHADEMA - "KWA SURA NAZOZIONA, HAMNA NIA YA KUSHIKA DOLA 2025"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- RAIS SAMIA AWAAMBIA CHADEMA - "KWA SURA NAZOZIONA, HAMNA NIA YA KUSHIKA DOLA 2025"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Mama anatumia sayansi ya siasa ipasavyoo kwa namna hii atabeba kiurahisi sanaa
Hayo Ni mawazo ya mommy kana 25 ataongoza lakini lolote laweza kutokea. Kikubwa Ni tumehuru ya uchaguzi anaeshinda ashinde sio haramu
Nakuunga mkono mama 25 yako
Mimi naona Lema na mdomo wake, hakuelewi Mama.
Hahaaaa
Mmmm,hh.Hofu yangu ni magoli ya mkono kuchukuliwa Mazoezi na kuandaliwa.Kipenga cha Filimbi Ni Katiba mpya na Tume Huru.Wizi wa kura ni Dhambi na Laana kwa Mungu. na Taifa.Taifa kuheshimika Duniani ni kutenda Haki ya Kuchagua na Kuchaguliwa Kwa Haki.mipasho si mizuri.Sura zatuwakilisha wa Upande Sauti za Mabadiriko.
safi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Mama kwa Chadema amewaweza 😂😂😂😂
Heshima ya nchi duniani inafaida gani wakati wananchi wanamaisha magumu. Vitu vimepanda bei, matozo Kila mahali,Hela zinapigwa na madeni ya nchi yanaongezeka. Siasa ya inchi hii sijui tutapona lini . Wote wanawaza 2025 Ili wajue namna gani wataendelea kushibisha matumbo Yao. Mama endelea kuupiga mwingi hayo majamaa umesha yakamata tayari 😁🤣. Siasa ya Tanzania ni kama ugomvi wa nyumba ya urithi.
Kwa hili mama 25 una kura yangu
I have been in justbed Hotel,there rooms er highly highgenic cleaned, very quiet, rooms tendants er obediently. The hotel is near town centre even you can walk by foot. I wish to visit again Bangkok, I shall sleep there.
Nisiwe mnafiki leo Dalali mjinga nimefurahi
Chadema Watahisjia mdomo kama Raila Udinga wa Kenya . Najua hiyo tarifa tosha kwa CHADEMA. Sasa mtegemee watu kutekwa na kuwawa maana wanajua hawata pata ushindi
Dah Rais wetu unatupa raha burudani sana mimi ni Mwanachama wako lakini katk hili mama umevunja record safi sana umeonyesha mfano sasa wenzangu mnaopenda vya kunyonga mnatamani kufa
Mimi n chadema lakini nimebarikiwa Sana kwa hatua hii ya maridhiano siasa sio uadui.hongera mwkt Mbowe na Hongera Mama Yetu samia
Nchi huiwezi acha mbwembwe.
Nimeanza Kukuelewa Mzazi
HII NDIVYO INAVYOTAKAKIW
This is what we call democracy. Hongera sana Mama president. Museveni anatakiwa kupata somo hapa. Wapinzani sio maadui. Ni wananchi na wenye nchi kama wale wengine walioshika dola. Michango Yao katika ujenzi wa taifa ni muhimu sana. Endelea mama kufanya nao kazi.
Mumy dola ni lako hakuna mtu atakutoa tuachie wabunge wewe zeekea ikulu atakae kupinga Sina tusi lakumpa mama lv u.....♥️♥️♥️💋💋💋
🤣🤣🤣mama unaupiga mwingi sana lema kimyaaa
Mmh we mama kweli umenigusa uko vzr
Umekaa na upinzani ubarikiwe mama yetu
Samia huna mpinzani mpaka hapo ulipofika mama piga kazi upande wa Rais niwewe tu wabunge ndio kuvumbi kitatokea wachape kazi
TANZANIA SASA HAKUNA UPINZANI NI CHAMA KIMOJA TU.. BILA SHAKA CCM 2025 ITAENDELEA KUTAWALA
SIANAJUA JINSI CHADEMA WANAVYOO OMBA OMBA HELA KILA SAAAA ,VIONGOZI WOTE WA CHADEMA WAMEKULA MIRUNGULA
Hahahh
wapumbavu wa ccm hata mkiulizwa mlungula kias gani hujui yani ni kama zezeta limekoment.
@@emmapaul1766 we kuma ya mama yako ikome CCM tumesha wafira Chadomo
Hawana hiyo dhamira mama hahahahahaaaa
Hongera Raisi Samia
Mama,nakuita tena,mama nakupenda sana,peponi utakaa sehem ya pekee
Sana sana nafurahi sana. Rais wangu Mama Samia
Kwani wao nani kawaambiya Ccm wana sura za kuiyongoza Tanzania pumbavu mkubwa tunahitaji Katiba mpya mambo ya kifalme basi
Kujiona wamefanikiwa kudhulumu watu wananchi wanalipa kodi na matozo tele halafu wao wanaishi bure mishahara yao haikatwi tax washenzi wakubwa
Hivi ndo inatakiwa sio kutafutana kama panya na paka.
Mama safi sana sana
I a preciate mama
Mda wote ushingi.mama yetu samiia .ongera mungu.azidi.kukuweka
Siasa ya vyama vingi ni utapeli tu wanatoka kupiga kelele wakikutana wanakuywa pamoja hii mifumo ya hovyo kabisa ya kula ruzuku bora kibaki kimoja tu
Heshima ya nchi duniani inafaida gani wakati wananchi wanamaisha magumu. Vitu vimepanda bei, matozo Kila mahali,Hela zinapigwa na madeni ya nchi yanaongezeka. Siasa ya inchi hii sijui tutapona lini . Wote wanawaza 2025 Ili wajue namna gani wataendelea kushibisha matumbo Yao. Mama endelea kuupiga mwingi hayo majamaa umesha yakamata tayari 😁🤣. Siasa ya Tanzania ni kama ugomvi wa nyumba ya urithi.
Hii ndio athari ya ras schools.... Common sense hainaga nafasi kwenye adopted knowledge.
Hiii Akili nyingi Mheshimiwe Tunakuombea Atukuzwe Bwana Mwema Atutangulia 2023 Ktk Jina la Yesu Kristo Aliyehai Barikiwa
Kwahaya Samia nimekuenda kuliko Mr wasiojurikana jpm
Ubinafsi ni tatizo,wote kwa Kama tukiacha katiba ituongoze bila kuiruka tanzania ni top ya matajiri duniani watu wataona maajabu,
Mamatutazame kama mama zilepesa ulizo SEMA tulipwe zmegeuka tatizo kakika family's nilawma tup pesa yenye laki tatu mama tunaomba utuahalie upya mama kwako Kila kitu kinawezekana
Hivi nikweli kwa kipind hiki kifup nchi imepata heshima kwel au tumerudi kuwa omba omba
Kwa hili nampitisha Mama 2025 kuwa Rais😂wetu
AKILI KUBWA tuko pamoja tumuombe Mwenyezi Mungu atujalie pia wakati ni sasa
Hongera Sana mama Samia kwa kutuunganisha Watanzania.
Mbowe kamaliza kazi aliyo iahidiwa
7
Tz tuna bonge la rais kwelikweli
Kwa mara ya kwanza nasema,I love you Samia
Ahahahahahaha
Mungu wangu,njaa Madam
DNA ya 80% kupinga vyama vingi bado ina nguvu sana 💪🇹🇿👍
Lema bado ajamwelewa mama ninavyoona
huyu msma anaimani na malezi ya kuwapenda wote watanzania huu ndio uislam safi mama ana nia njema kwa watanzania wote
Uwislam unaongilianaje hapa
Powerful message from a powerful humble minded LEADER
Mimi naona Lema na mdomo wake, hakuelewi Mama.
Siasa ni mchezo mama kasema
Asante mama
Nakweli 25hawawezi ch
Hawatarudia ujinga huo. CDM wapo chali mpaka muda huu.
mamayenu amepewa kadi ya chadema wajinga wajinga bakin na ujinga wenu huko limumba
We kwenda turudishie mtoto wetu
Hiyo ndio Ccm ina mbinu 99.9.999
😂😂
Mama huyu
Mashaa Allah nzuri
Mama yetu jamani nakupenda mama yetu wape
basi bana
Kura yangu unayo mama
mama una busara na unamaqdili ya kiungu nakupenda mama
@@evalineemmanuel8178 umeona eeh
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Chadema wamekwisha aki mbona mlikuwa hamumkubali JPM au ndo alikuwa hawapi asali
Pamoja na umauti wake bado hatumkubali pia
chadema iishe kwa ujinga ulionao wewe mbona kichekesho.
jpm alikua dkiteta
hongera sana mama yetu samia
Busara ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Dhambi ya kuiba kura kuzurumu huchomoki
Chadema wamefeli
Wamefeli kivipi wakati ndo ushindi mkubwa
Rais mwema sana sana umeheshimisha nchi yetu, nakupenda.mama
Ww ni kipindi gan nchi hii ilikua haishimiki unamanisha nchi imepata uhuru kupitia kwk
So amazing kwenye kitchen part.Vidume ndani.Mungu atunusuru.Boys and girls together.Mchungaji Hananja anasema Kuna vitu havikubari story.Wengine wanasema cheki mguu wa bia ule.🤣🤣🤣🤣.Natania tu. Uwo ndiyo usawa tunaotaka Yani umekaa na Wanawake alafu unajihisi wewe pia katika wao hatari Sana hii.
Shusha garama za vitu maliza miradi aliyoacha magufuli sio kutupigia makelele!
kwahio we unaona anapiga unaakiri Kama ya mwendazake
Du Kuna kauli zinaumiza Sana! Et kwa kipindi hiki kifupi nchi inaheshimika duniani kwel? Hapo mnatupa viulizo Sana kuhusu kuondoka kwa JPm! Nchi inaheshimika na wasio iishi wananchi tunalia et nchi inaheshimika huko duniani haya Mungu yupo
Bado unamkumbuka dikteta2 mjinga wewe
Hongera mama nimekusoma