Pastor Tony Kapola : NGUVU YA MANENO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 53

  • @addemilongwi9160
    @addemilongwi9160 6 วันที่ผ่านมา

    Nafuta maneno yote niliyojitamkia vibaya iwe mauti, kutofanikiwa lakini leo hi nayafuta kwa jina la Yesu

  • @ashcanva3097
    @ashcanva3097 2 ปีที่แล้ว +5

    God if there is any word I spoke that it's working against me today,I repent...clean my tongue,purify it

  • @agustmathew6046
    @agustmathew6046 2 ปีที่แล้ว +6

    amen pastor hiyo roho ya maarifa
    Bwana ameichilia kwajili yangu, ujinga wakiroho nakimwili, unanitoka kwa mafundisho, yako, naamini sana katika Yesu nakatika pastor Tonny
    Kapola, kwakua neno unalo sema ni kweli kwakua linakua na nguvu ya maarifa ya neno la
    Mungu ndani yake, nabarikiwa kupitia wewe Pastor.

  • @blessedtumaini516
    @blessedtumaini516 ปีที่แล้ว

    Ee Bwana Mungu naomba unirehemu na unipe neema niwe mwepesi wa kusikia na si mwepesi wa kukasirika na kusema katika jina la Yesu Kristo Amina. YAKOBO 1:19-20. Barikiwa sana Mtu wa Mungu.

  • @meggy5268
    @meggy5268 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu maneno yote niliyonena labda kama yananiandama basi leo nayatengua kwa jina la yesu.Naomba nianze mwanzo mpya wa maisha yangu ili bwana niijue na niuone ukuu wako kwa Maisha yangu

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 5 หลายเดือนก่อน

    Namkubali sana huyu mchungaji. Mimi huwa sikubali kirahisi🙏 ila msikoti vibaya mimi huwa sichukii watu.

  • @user-xi3uo2nn1e
    @user-xi3uo2nn1e 8 วันที่ผ่านมา

    Aaaaameeeeeni

  • @meggy5268
    @meggy5268 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu nayatengua maneno yote niliyonena nanena uzima ,afya na ufanisi kwangu na jamii yangu eeeh Mungu nisimamie

  • @anethgodfrey9543
    @anethgodfrey9543 ปีที่แล้ว

    Kinywa huumba asante kwa neno MUNGU akupe maono mengi zaidi

  • @justinefelix4544
    @justinefelix4544 ปีที่แล้ว

    Thanks pastor umenipa lililo jipya kwenye maisha na uzima wa roho

  • @maombikitumaini2074
    @maombikitumaini2074 10 หลายเดือนก่อน

    Vema mutu wa Mungu ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri ❤

  • @nisenshoo1740
    @nisenshoo1740 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante kwa mafundisho Baba Mchungajii

  • @DevotaJohn-id1td
    @DevotaJohn-id1td ปีที่แล้ว

    Samahan pastor je nawezaje kujiondoa kwenye hayo maneno

  • @teacher_gilala
    @teacher_gilala ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @SAMBACHEFOUNDATION
    @SAMBACHEFOUNDATION 10 หลายเดือนก่อน

    Amen 🙏

  • @priscillamutave892
    @priscillamutave892 ปีที่แล้ว

    Mimi nitafanikiwa maishani katika jina la Yesu.

  • @monicawakati9346
    @monicawakati9346 ปีที่แล้ว +1

    Eeeenh bwana niokoe na mauti niokoe mimi nipe nguvu mimi natoa kila rahana juu yang najitamkia maneno ya ushindi juu yang

    • @monicawakati9346
      @monicawakati9346 ปีที่แล้ว

      Najisafisha kwa damu ya yesu kristo kwa kila rahana au neno baya niliotamka juu yang

  • @jacquelinemwazyele8904
    @jacquelinemwazyele8904 ปีที่แล้ว

    Emeen ubarikiwe mtumishi

  • @edwardpapianomigembe7553
    @edwardpapianomigembe7553 ปีที่แล้ว

    Nguvu ya Maneno.🙏🙏🙏

  • @barakasonga8043
    @barakasonga8043 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana Pastor...nabarikiwa sana na mafunzo yako

  • @FadhlunaJuma
    @FadhlunaJuma 7 วันที่ผ่านมา

    Duuu

  • @marthamussa9771
    @marthamussa9771 ปีที่แล้ว

    Barikiwa mtumishi

  • @maryagan8006
    @maryagan8006 ปีที่แล้ว

    Emen ,, mungu wangu natamani nikujie zaídi

  • @kizitokasulamo9167
    @kizitokasulamo9167 ปีที่แล้ว

    Aminaa baba🙏🙏🙏🙏

  • @DayanaSospeter-sy8wl
    @DayanaSospeter-sy8wl ปีที่แล้ว

    May God bless u more

  • @shigongodaniel-uz3vz
    @shigongodaniel-uz3vz ปีที่แล้ว

    MUNGU akutie nguvu uendelee kuihubir injil

  • @king-gtv2010
    @king-gtv2010 2 ปีที่แล้ว

    Amen mtumishi

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeeeeeen

  • @nisenshoo1740
    @nisenshoo1740 2 ปีที่แล้ว

    Amen Amen Amen

  • @qayllahkusaga1207
    @qayllahkusaga1207 ปีที่แล้ว

    Niombee paster jmn nimeshajitamkia maneno ...now days yamekuwa mwibaa

  • @biamungunestory1935
    @biamungunestory1935 ปีที่แล้ว +1

    This is superior

  • @bupeshabani6415
    @bupeshabani6415 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mtumishi wa Mungu

  • @alistachiusleo2506
    @alistachiusleo2506 2 ปีที่แล้ว

    Good Sana mchungaji

  • @veeJesus
    @veeJesus 2 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @ibadaworship5103
    @ibadaworship5103 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana Baba

  • @nkakenychannel2831
    @nkakenychannel2831 2 ปีที่แล้ว

    Nabarikiwa sana na wewe

  • @gidionkundaely9938
    @gidionkundaely9938 2 หลายเดือนก่อน

    Og

  • @saumhamisi7320
    @saumhamisi7320 2 ปีที่แล้ว

    Ameeeeen barikiwa sana

  • @bellaseverua609
    @bellaseverua609 ปีที่แล้ว +2

    Napenda sana magundisho ya huyu mtumishi.yuko wapi?

  • @priscillamwashigadi1271
    @priscillamwashigadi1271 2 ปีที่แล้ว

    This is so true.

  • @christinammasy4115
    @christinammasy4115 ปีที่แล้ว

    🙏

  • @AnthonyMutharimi
    @AnthonyMutharimi ปีที่แล้ว

    Hello poster wanitianga moyo

  • @hildakenani8568
    @hildakenani8568 ปีที่แล้ว +1

    Anapatikana wapi

  • @ashcanva3097
    @ashcanva3097 2 ปีที่แล้ว +1

    God if there is any word I spoke that it's working against me today,I repent...clean my tongue,purify it

  • @jacquelinemwazyele8904
    @jacquelinemwazyele8904 ปีที่แล้ว

    Emeen ubarikiwe mtumishi

  • @user-nf9qu1wt3y
    @user-nf9qu1wt3y 6 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @samwelielisha3815
    @samwelielisha3815 2 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @charlesstephano5551
    @charlesstephano5551 2 ปีที่แล้ว

    Amen

    • @puritymolly3512
      @puritymolly3512 2 ปีที่แล้ว

      Bwana yesu asifiwe pastor mimi niliacha school form two juu ya mazingira nliyokua ninaishi nikaoleka na mme mlevi tukabarikiwa na mtoto wa kiume lakini baada ya miaka 8 tukaachana lakini jambo la kushangaza mimi kila ninapo lala naota nko school tena na nafanya mtihani mungumu sana nawa wa mwisho katika huotihani

    • @mariamundomba6870
      @mariamundomba6870 ปีที่แล้ว

      Ameen!!!!!nabarikiwa mtumishi,asante Mungu kwa uwepo wako