amen pastor hiyo roho ya maarifa Bwana ameichilia kwajili yangu, ujinga wakiroho nakimwili, unanitoka kwa mafundisho, yako, naamini sana katika Yesu nakatika pastor Tonny Kapola, kwakua neno unalo sema ni kweli kwakua linakua na nguvu ya maarifa ya neno la Mungu ndani yake, nabarikiwa kupitia wewe Pastor.
Ee Bwana Mungu naomba unirehemu na unipe neema niwe mwepesi wa kusikia na si mwepesi wa kukasirika na kusema katika jina la Yesu Kristo Amina. YAKOBO 1:19-20. Barikiwa sana Mtu wa Mungu.
Mungu maneno yote niliyonena labda kama yananiandama basi leo nayatengua kwa jina la yesu.Naomba nianze mwanzo mpya wa maisha yangu ili bwana niijue na niuone ukuu wako kwa Maisha yangu
Bwana yesu asifiwe pastor mimi niliacha school form two juu ya mazingira nliyokua ninaishi nikaoleka na mme mlevi tukabarikiwa na mtoto wa kiume lakini baada ya miaka 8 tukaachana lakini jambo la kushangaza mimi kila ninapo lala naota nko school tena na nafanya mtihani mungumu sana nawa wa mwisho katika huotihani
Nafuta maneno yote niliyojitamkia vibaya iwe mauti, kutofanikiwa lakini leo hi nayafuta kwa jina la Yesu
God if there is any word I spoke that it's working against me today,I repent...clean my tongue,purify it
amen pastor hiyo roho ya maarifa
Bwana ameichilia kwajili yangu, ujinga wakiroho nakimwili, unanitoka kwa mafundisho, yako, naamini sana katika Yesu nakatika pastor Tonny
Kapola, kwakua neno unalo sema ni kweli kwakua linakua na nguvu ya maarifa ya neno la
Mungu ndani yake, nabarikiwa kupitia wewe Pastor.
Ee Bwana Mungu naomba unirehemu na unipe neema niwe mwepesi wa kusikia na si mwepesi wa kukasirika na kusema katika jina la Yesu Kristo Amina. YAKOBO 1:19-20. Barikiwa sana Mtu wa Mungu.
Mungu maneno yote niliyonena labda kama yananiandama basi leo nayatengua kwa jina la yesu.Naomba nianze mwanzo mpya wa maisha yangu ili bwana niijue na niuone ukuu wako kwa Maisha yangu
Namkubali sana huyu mchungaji. Mimi huwa sikubali kirahisi🙏 ila msikoti vibaya mimi huwa sichukii watu.
Aaaaameeeeeni
Mungu nayatengua maneno yote niliyonena nanena uzima ,afya na ufanisi kwangu na jamii yangu eeeh Mungu nisimamie
Kinywa huumba asante kwa neno MUNGU akupe maono mengi zaidi
Thanks pastor umenipa lililo jipya kwenye maisha na uzima wa roho
Vema mutu wa Mungu ubarikiwe sana kwa ujumbe mzuri ❤
Asante kwa mafundisho Baba Mchungajii
Samahan pastor je nawezaje kujiondoa kwenye hayo maneno
Amen
Amen 🙏
Mimi nitafanikiwa maishani katika jina la Yesu.
Eeeenh bwana niokoe na mauti niokoe mimi nipe nguvu mimi natoa kila rahana juu yang najitamkia maneno ya ushindi juu yang
Najisafisha kwa damu ya yesu kristo kwa kila rahana au neno baya niliotamka juu yang
Emeen ubarikiwe mtumishi
Nguvu ya Maneno.🙏🙏🙏
Mungu akubariki sana Pastor...nabarikiwa sana na mafunzo yako
Duuu
Barikiwa mtumishi
Emen ,, mungu wangu natamani nikujie zaídi
Aminaa baba🙏🙏🙏🙏
May God bless u more
MUNGU akutie nguvu uendelee kuihubir injil
Amen mtumishi
Ameeeeeeeen
Amen Amen Amen
Niombee paster jmn nimeshajitamkia maneno ...now days yamekuwa mwibaa
This is superior
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu
Good Sana mchungaji
Ameen
Mungu akubariki sana Baba
Nabarikiwa sana na wewe
Og
Ameeeeen barikiwa sana
Napenda sana magundisho ya huyu mtumishi.yuko wapi?
Njoo millen tower kesho
This is so true.
🙏
Hello poster wanitianga moyo
Anapatikana wapi
God if there is any word I spoke that it's working against me today,I repent...clean my tongue,purify it
Emeen ubarikiwe mtumishi
Amen
Amen
Amen
Amen
Bwana yesu asifiwe pastor mimi niliacha school form two juu ya mazingira nliyokua ninaishi nikaoleka na mme mlevi tukabarikiwa na mtoto wa kiume lakini baada ya miaka 8 tukaachana lakini jambo la kushangaza mimi kila ninapo lala naota nko school tena na nafanya mtihani mungumu sana nawa wa mwisho katika huotihani
Ameen!!!!!nabarikiwa mtumishi,asante Mungu kwa uwepo wako