VITUKO Vya RC MAKONGORO, AWAPA TUMBO JOTO Ma - DC, DAS - "UTEUZI wa RAIS SAMIA Unaendelea"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 มิ.ย. 2021
  • VITUKO Vya RC MAKONGORO, AWAPA TUMBO JOTO Ma - DC, DAS - "UTEUZI wa RAIS SAMIA Unaendelea"
    MKUU wa Mkoa wa Manyara, Makongoro Nyerere, amefanya kikao na wakuu wa wilaya ambapo amewaeleza kuwa wwe tayari kwani uteuzi wa Rais Samia unaendelea na wanaweza kujikuta wamebadilishiwa kituo cha kazi...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

ความคิดเห็น • 183

  • @bobjulieoneheartband
    @bobjulieoneheartband 3 ปีที่แล้ว +5

    Mungu Halali, Asante Mh. Kumteua Mkuu huyu wa Mkoa na kuturudishia Tabasamu na vichekesho vya Baba Wa Taifa vikiambatana na Uchapakazi.

  • @peterkichochi7510
    @peterkichochi7510 3 ปีที่แล้ว +9

    Huyu baba mdogo wataifa very charming. This is a great men.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 ปีที่แล้ว +7

    Nakukubaligi sana Mheshimiwa..
    Asante mama Samia kwa hii zawadi...

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 ปีที่แล้ว +6

    Raha sana unakuwa na boss ambae muda wote mnacheka tu. But ukileta mzaha kwenye kazi utajuta.

  • @diamondgeyser7987
    @diamondgeyser7987 3 ปีที่แล้ว +16

    Mkoa wa manyara utaongoza kwa watu wenye furaha Tanzania

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 ปีที่แล้ว +9

    Babu umeanza kuchekesha ongera sana 🙏🙏🙏👍👍👍🙏🙏

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 3 ปีที่แล้ว +15

    Namuona mwalimu Nyerere hapa..

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 3 ปีที่แล้ว +1

      "Mimi ni mtoto wa Mzee Nyerere lakini mimi sio Mzee Nyerere. Mimi ni Mkuu wa Mkoa wa Manyara, lakini mimi sio Rais wa Manyara. Nimekuja kumwakilisha Rais..." Kazi nzuri Kiongozi, Mungu akusimamie...

  • @geofleylunyelele8024
    @geofleylunyelele8024 3 ปีที่แล้ว +17

    Anachangamsha Sana yaniii uchangamfu kama Baba wa taifa inapendeza Sana mama umetuludishia mzee

  • @barryryoba1489
    @barryryoba1489 3 ปีที่แล้ว +6

    Mama Ndie Mtayarishaji Wa Kipindi 👏👏👏😁😁😁

  • @rmaryp6269
    @rmaryp6269 3 ปีที่แล้ว +23

    Anacheka kama alivyokua akicheka baba yake, na ni mchekeshaji sana 🤣

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 3 ปีที่แล้ว +11

    Mkuuu wetu ametuwacha vinywa wazi kwa furaha na vicheko kubwa ni kufanya kazi kwa umakini na uadilifu asante mkuu wa mkowa mhe makongoro nyerere

  • @abdallahmkumbi1191
    @abdallahmkumbi1191 3 ปีที่แล้ว +10

    Nyerere ameludi tena

  • @valenakomba4453
    @valenakomba4453 3 ปีที่แล้ว +8

    Na siyo wewe tu, bali kila Mkuu Wa Mkoa katika nchi hii, yeye ni Rais Wa Mkoa.

  • @francojohn8488
    @francojohn8488 3 ปีที่แล้ว +18

    The Great Mwl Julius K Nyerere forever we love u!

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 3 ปีที่แล้ว +5

    Du mheshimiwa Makongoro unaporojesha hatari. Kazi njema mkuu

  • @adamphinias2457
    @adamphinias2457 3 ปีที่แล้ว +2

    Like father like son!!

  • @personalitiesan9806
    @personalitiesan9806 3 ปีที่แล้ว +13

    Makongoro nyerere for presidency

  • @tinershayo5397
    @tinershayo5397 3 ปีที่แล้ว +2

    mungu akubariki uwe Rais au makamu

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 3 ปีที่แล้ว +12

    Kucheka raha,kiukweli tunahitaji sana ucheshi wa aina hii ktk zama hizi.

  • @reubenimalando8792
    @reubenimalando8792 3 ปีที่แล้ว +10

    Huyu mh kama nyerere tu story za kuchekesha kwa wingi😁😁😁

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 3 ปีที่แล้ว +3

    Nzuri sana hiii, kazi nzuri

  • @Nyanda506
    @Nyanda506 3 ปีที่แล้ว +7

    Sio lazima kiongozi kila mara uwe serious tu lazima utengeneze team work nzuri yenye kujiamini na si uoga

  • @juliankamugisha9886
    @juliankamugisha9886 3 ปีที่แล้ว +4

    Like father, like son.....😂😂😂

  • @pascalmsechu6874
    @pascalmsechu6874 3 ปีที่แล้ว +1

    Saw sawa Makongoro...unafaaa Sana man..ila zile tabia za Arusha uko hapana

  • @emanuelnyab9872
    @emanuelnyab9872 3 ปีที่แล้ว +3

    Daa kizazi cha Nyerere hicho wanafanana mambo fulani fulani hivi

  • @magellasaid3693
    @magellasaid3693 3 ปีที่แล้ว +6

    Saaaafi sn, anacheka km baba

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 3 ปีที่แล้ว

    Mh Rais wetu, Mama Samia Suluhu Hassan, Mwenyezi akulinde, Kumteua Makongoro nyerere, Kumteua mtoto Edward Sokoine, Hakika Sina cha kukupa zaidi Kukuombea Dua na Maombi kwa wingi, Na InshaAllah Mwenyezi Mungu atapokea Dua na Maombi yangu kwako, ikiwa ni Pamoja na Viongozi wote, Kusema Kweli Umetukumbusha mbali sana Watanzania, Mungu Ibariki Tanzania yetu, Aamina.

  • @happydionice355
    @happydionice355 3 ปีที่แล้ว +9

    Huwa nacheka Sana kila nikikusikiliza mh makongoro

    • @allymsimbe3381
      @allymsimbe3381 3 ปีที่แล้ว

      Sanaa

    • @happydionice355
      @happydionice355 3 ปีที่แล้ว

      Hata kama umenuna utacheka tu kwa huyu Babu 🤣🤣🤣🔥🔥🔥

  • @nixonluseno8422
    @nixonluseno8422 3 ปีที่แล้ว +1

    I am happy to see the former first family playing a role in the adminstration of tanzania

  • @princeerick372
    @princeerick372 3 ปีที่แล้ว

    What goes around, Comes around!!!! I see The Great Nyerere on you, Mungu akusaidie ukatumike vyema

  • @kloppsaturn6891
    @kloppsaturn6891 3 ปีที่แล้ว +2

    He is strictly and firm but easy to get along with

  • @charlesaketch3264
    @charlesaketch3264 3 ปีที่แล้ว +2

    Chapa kazi mkuu mungu akujalie kazi iendelee manyara oyee

  • @kloppsaturn6891
    @kloppsaturn6891 3 ปีที่แล้ว +2

    Sijui kwanini but mimi nahisi kama Charles Makongoro Nyerere anafaa kugombea Urais 2025

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 3 ปีที่แล้ว +7

    Safi

  • @emmanuelbonifas3517
    @emmanuelbonifas3517 3 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akujalie kufa umezaa watoto wenye hekima na busara ni raha sana sasa hv mwl anafurah tu huko kila la heri makongoro iwakilishe mara

  • @gabrielaniseti1537
    @gabrielaniseti1537 3 ปีที่แล้ว +2

    Another Nyerere
    The UNIVERSITY OF POLITICA

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi2116 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtoto wa mwalimu
    Una vitukoooo.
    Hujawahi kuwa makuu
    Wa mkoa..mbeleni...

  • @jacksonoswago6160
    @jacksonoswago6160 3 ปีที่แล้ว +4

    Wakiwa serious mnaanza kusema hawana social exposure, wakinuna wananyanyasa wananchi, Makongoro huyu sio wa kufundishwa kazi ya ukuu wa Mkoa , Mama Kamteua anamjua sana, kwa ufupi kama kama humjui Makaongoro anakuwajibisha huku anaendelea kucheka , kucheka kwake ni kama kipaji na upendo aliopewa na /Mwenyezi Mungu akiwa na public, tumwache anayo team kubwa ya watenda kazi.

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 2 ปีที่แล้ว

    Kweli Mama kakujengea historia. U mcheshi lakini ndani ya ucheshi Kuna shukrani na unyenyekevu kwa wananchi. Unawatia moyo wananchi wa mkoa Wako.

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana. Napenda
    Hotuba yako.

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 3 ปีที่แล้ว +12

    Mheshimiwa makongoro ni mchangamfu sana

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 3 ปีที่แล้ว

    Hahahaha 😆😃😃😄😄 Ucheshi wake unafanana na mwalimu nyerere 🙏🙏🙏🙏

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi2116 3 ปีที่แล้ว

    Hongera ..na pole sana.
    Ndugu yangu.

  • @sadockmahundo5736
    @sadockmahundo5736 3 ปีที่แล้ว +2

    Makongoro ni Super Genius.

  • @geraldngwisija5034
    @geraldngwisija5034 3 ปีที่แล้ว +1

    Hadi raha

  • @phoebemmanga6047
    @phoebemmanga6047 3 ปีที่แล้ว +1

    Hakuna kama mama jamani. Nimefurahishwa na kitendo cha kumuenzi Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere kwa kumteua mtoto wake Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa Manyara naona kama baba anaishi. Mungu amsaidie ktk kuongoza Wananchi.

  • @rahmahersi2116
    @rahmahersi2116 3 ปีที่แล้ว

    You are fit to be comedy.
    Mtoto wa mwalimu.
    I enjoyed your hotuba.

  • @AliMohamed-wp1op
    @AliMohamed-wp1op 3 ปีที่แล้ว +10

    MAKONGORO NI MCHEKESHAJI NA SIO MWANASIASA

  • @mzeeally2474
    @mzeeally2474 3 ปีที่แล้ว +2

    TATIZO HUYU MZEE HAJUAGI KUNUNA, AKINUNA AN ACT UKWELI NI KWAMBA HAJUAGI KUNUNA MZEE YULE.....M

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana Mama yetu Rais Samia Suluhu kwa kutuletea mzee huyu kwenye uongozi. Hata kama mimi niko Kigoma nitakuwa namfuatilia kwenye mtandao ya kijamii ili nifuahi sana.

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee oyeeeeeee

  • @laghtnesphilipo489
    @laghtnesphilipo489 3 ปีที่แล้ว

    Asante mama Samia kutuletea mkuu wa mkoa mwenyetabasamu watu wake mithili ya baba yake,

  • @abasisapi5474
    @abasisapi5474 3 ปีที่แล้ว

    Hongera Makongoro, kumbe unajua kuongea namna hii?

  • @frankkaiza3658
    @frankkaiza3658 3 ปีที่แล้ว +7

    Maneno hayoooo!!!??

  • @hanslikecha4786
    @hanslikecha4786 3 ปีที่แล้ว

    Raha sana

  • @queennkya1932
    @queennkya1932 3 ปีที่แล้ว +4

    Umenipa kuongeza siku kwakwelii

  • @archnidquasar7314
    @archnidquasar7314 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu bwana mkubwa alikua kwenye kamati ya maadili ya Ccm kipi kimetokea mpaka ashushwe kiasi hiki dah🤔

  • @immahkobeh7620
    @immahkobeh7620 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera SANA mh makongoro jmn mwenye namba za mh makongoro nyerere nakuomba plz nko Siriaz

    • @immahkobeh7620
      @immahkobeh7620 3 ปีที่แล้ว

      Naiomba namba ya huyu boss wetu wa mkoa wa manyara JMN

  • @arbaab9337
    @arbaab9337 3 ปีที่แล้ว +4

    KWELI DAMU HAIPOTEI LIKE FATHER LIKE SON...✍

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 3 ปีที่แล้ว +2

    Shida ya bongo ukionyesha meno tu umekwisha. Ukweli ni kwamba hapa bongo ukitaka kuwa kiongozi mwenye mafanikio lazma ufanye maamuzi magumu na njia pekee ni kuhakikisha huonyeshi meno kizembe

  • @davidmihayo4436
    @davidmihayo4436 3 ปีที่แล้ว +1

    You're as charming as mwl Nyerere was but work hard

  • @masilingimbilinyi5589
    @masilingimbilinyi5589 3 ปีที่แล้ว +1

    Sana mungu akutunze

  • @nusrathussein521
    @nusrathussein521 3 ปีที่แล้ว +5

    Yuko sawa na baba yake nyerere kicheko tu

  • @plisteradundo7603
    @plisteradundo7603 3 ปีที่แล้ว +2

    MAKONGORO NYERERE UBARIKIWE

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 3 ปีที่แล้ว +1

    Mh Makongoro namkubali sana

  • @reubenimalando8792
    @reubenimalando8792 3 ปีที่แล้ว +10

    Kama unatokea Rukwa 😁😁😁😁😁🤣🤣🤣

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 3 ปีที่แล้ว +1

    Makongoro hoyee mungu akusaidie ktk uwongozi wako

  • @hamadimsangi1563
    @hamadimsangi1563 3 ปีที่แล้ว

    Keep it up

  • @deusdebitkowa9657
    @deusdebitkowa9657 3 ปีที่แล้ว +1

    Akili nyingi sana Makongoro.

  • @barakashadrack7695
    @barakashadrack7695 3 ปีที่แล้ว +3

    Huu mkoa baada ya mwaka 1 kutakuwa na comedy nzr

  • @mwasubilasaimoni8506
    @mwasubilasaimoni8506 3 ปีที่แล้ว

    Nimempenda bure

  • @MohdAli-cx7bc
    @MohdAli-cx7bc 3 ปีที่แล้ว +2

    Apa unaona utafauti Kati ya viongozi na wababe uyuu mzee anabusara na hekima mtizame sebaya ubabe tu kwa watu wake hajajua kama uongozi ni mapito

    • @asengasefu2767
      @asengasefu2767 3 ปีที่แล้ว

      Sabaya angeweka watu lupango

  • @mauthamani
    @mauthamani 3 ปีที่แล้ว

    Ana passion

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye4304 3 ปีที่แล้ว +1

    Mzee manyara imemfaa amependeza kweli

  • @sadockmahundo5736
    @sadockmahundo5736 3 ปีที่แล้ว +4

    Eti mtayarishaji wa kipindi 😂 😂 😂

  • @jastininjano262
    @jastininjano262 3 ปีที่แล้ว +1

    Nakukubal kiongoz

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahaha yani uyu daah mama mtaalishaji WA kipindi😅😅😅

    • @AlAl-sd9pl
      @AlAl-sd9pl 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

  • @christinawallasch5228
    @christinawallasch5228 3 ปีที่แล้ว

    Anatengeza good mood ya kazi, watu wafanye kazi kwa confidence na bila uwoga wa kazi tunategemea kazi nzuri kwako na watendaji wako congratulations Mak.

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 3 ปีที่แล้ว +1

    Yeye kama baba ake

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 3 ปีที่แล้ว +1

    Anacheka kama baba yake kabisa

  • @mustyboymaalim2070
    @mustyboymaalim2070 3 ปีที่แล้ว +1

    Makongoro angefa kupewa naibu rais

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 3 ปีที่แล้ว +1

    Makongoro nyerere nakupendaga sana, kwa jinsi ulivyo unapendeza sana ukiwa ni muislam, una hekima, subira na utu, unapenda haki, unachokikosa ni uislam tu ili Allah akuridhie na aje akupe maisha ya kudumu huko mbele za haki.

  • @gasirigwaaloyce8739
    @gasirigwaaloyce8739 3 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ndo itatuaminisha zaid japo ni mcheshi

  • @edgarjoseph5573
    @edgarjoseph5573 3 ปีที่แล้ว

    Mbona haichekeshi sasa hawa wanacheka nini

  • @deusmathew8990
    @deusmathew8990 3 ปีที่แล้ว

    Huyo mzee mcheshi sana

  • @bilalidaah9752
    @bilalidaah9752 3 ปีที่แล้ว

    Huyu sipendagi nimuone akiwa ngazi kama hizi zaidi ya urais watu wametoka umakondeni,usukumani,ukweleni,upembani wanaongoza nchi lakini mtoto wa mpambanaji wa kupambania taifa unabaki kuteuliwa daaah huwaga inaniuma sana Kama vile mzee wangu

  • @yohanaikaya6218
    @yohanaikaya6218 3 ปีที่แล้ว

    Tufanyieni mpango wa kupata Rais kutokea ukoo wenu maana naona ni watu wenye akili nyingi kiuongozi.

  • @simongalahenga6858
    @simongalahenga6858 3 ปีที่แล้ว +4

    Kila ukisimama Ni kuchekesha tu.sijaona akiongea mikakati ya kimaendeleo kimkoa kwa nchi yetu hapa tulipofikia na ukipewa nafasi kubwa kam hiyo inabidi uwe siliasi kidogo ili Mambo yaende.huwezi kusimamia watu kwa kuchekesha watakudharau.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 3 ปีที่แล้ว

      Hakuna cha maana hapo hata kidogo. Kweli huu ndiyo uongozi ???? Eti watu wanacheka.

    • @chaomadedo
      @chaomadedo 3 ปีที่แล้ว

      Ila kweli umesema. Achekeshe kweli ila awe serious. Mf Magufuli nimcheshi sana ila jamaa alikuwa hapendi mchezo na kazi labda nakosea nisahihisheni jmni

    • @simongalahenga6858
      @simongalahenga6858 3 ปีที่แล้ว

      @@chaomadedo hapana hujakosea na hata wasaidizi wake walimfahamu hivyo siyo kila mahali ukienda wew Ni kuchekesha tu.

  • @tinershayo5397
    @tinershayo5397 3 ปีที่แล้ว +1

    gombania urahisi tutakuchagua

  • @asengasefu2767
    @asengasefu2767 3 ปีที่แล้ว

    SSHV NI RAHA

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 ปีที่แล้ว

    cheka tu ...kuna kero za wananchi zinawasubili mzitatue....watz tunajua ss ukimchekea mtu kwenye kazi wananchi wa chini wataumia sana...

    • @hassanmagogo4295
      @hassanmagogo4295 3 ปีที่แล้ว

      Hata Baba wa Taif alikuwa mchesh lkn hakutaka masihara Mali za Uma hivyo tumuamini kama makongoro karithi Kwa babake

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 3 ปีที่แล้ว +1

    Hp maendeleo nac vicheko

  • @immanada9296
    @immanada9296 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmmhh, cjuw kama kuna kaz hapa

    • @omarjumanne2698
      @omarjumanne2698 3 ปีที่แล้ว

      Hamna kazi hapo kuna vicheko mambo binafisi yanazungumzwa hakuna kitu hapo

  • @wizanakitvonline6190
    @wizanakitvonline6190 3 ปีที่แล้ว

    Naomba kujua , kabla mama hajamteua kuwa RC , alikuwa nani huyu nyerere

  • @reaganlyimo6259
    @reaganlyimo6259 3 ปีที่แล้ว

    Duh

  • @isackmakenziipm6460
    @isackmakenziipm6460 3 ปีที่แล้ว

    Nadhani makongolo anafaa kuwa Rais

  • @daudhenry6212
    @daudhenry6212 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaaaaaaaaa uwiiiiii

  • @bonifacemkanga6302
    @bonifacemkanga6302 3 ปีที่แล้ว +6

    We chekesha tu uache kazi then waseme watoto wa mwl hawakumbukwi

    • @piusgadau6328
      @piusgadau6328 3 ปีที่แล้ว

      Hahahaha

    • @simongalahenga6858
      @simongalahenga6858 3 ปีที่แล้ว +3

      Nashindwa kuelew kila akisimama Ni kuchekesha tu sijaona anaongea mikakati ya kimaendeleo na kwa nchi yetu hapa tulipofikia ukipew nafasi kam hiyo inabidi uwe siliasi kidogo siyo kuchekesha

    • @nusrathussein521
      @nusrathussein521 3 ปีที่แล้ว

      Angalia na nafasi yake kwanza

    • @bonifacemkanga6302
      @bonifacemkanga6302 3 ปีที่แล้ว

      @@nusrathussein521 Rc sio mtu mdogo au unamaanisha

    • @bonifacemkanga6302
      @bonifacemkanga6302 3 ปีที่แล้ว

      @@simongalahenga6858 kabisa yani

  • @teresiamgimba5498
    @teresiamgimba5498 3 ปีที่แล้ว +1

    Mtoto was nyoka ni nyoka tu

  • @softrock7155
    @softrock7155 3 ปีที่แล้ว +1

    Hao madiwani wakae "social distance"

    • @agnesmkanga4617
      @agnesmkanga4617 3 ปีที่แล้ว

      Afu walivyonuna,hata hawajibu oyeeee!

    • @agnesmkanga4617
      @agnesmkanga4617 3 ปีที่แล้ว +1

      Afu walivyonuna,hata hawajibu oyeeee!

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 3 ปีที่แล้ว

      Agnes Mkanga mbn wanajibu wengine nafkr ile hulka tu