PART3:MCHAWI ALIEUA WATU MILIONI 2/ILIBIDI KUFANYA NA MNYAMA/WAZAZI WALINIZIKA WAKIJUA NIMEKUFA
34:38
PART4:MCHAWI ALIEUA WATU MILIONI 2/ILIBIDI KUFANYA NA MNYAMA/WAZAZI WALINIZIKA WAKIJUA NIMEKUFA
36:39
PART2:MCHAWI ALIEUA WATU MILIONI 2/ILIBIDI KUFANYA NA MNYAMA/WAZAZI WALINIZIKA WAKIJUA NIMEKUFA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
- MTU WA MUNGU KARIBU KATIKA CHANNEL YETU YA DAVISTAR MATA MEDIA KWA AJILI YA KUSAIDIA SADAKA YAKO JUU YA KAZI HII IENDELEE KUFANYIKA
Tunatanguliza shukrani kwako na ubarikiwe sana kwa kusaidia kazi hii ya Mungu tunaomba mchango wako wa kila mwezi kwa ajili ya kazi hii iendelee kufanyika kwa sababu inagharama kubwa zilizo nje ya uwezo wetu,bonyeza link moja kati ya hizi chini kwa kiwango chako ambacho ungependa uwe unachangia kila mwezi
KUCHANGIA TSH.3000 KILA MWEZI BONYEZA CHINI HAPA
chat.whatsapp....
KUCHANGIA TSH.5000 KILA MWEZI BONYEZA LINK HAPA CHINI
chat.whatsapp....
KUCHANGIA TSH.10000 KILA MWEZI BONYEZA LINK HAPA CHINI
chat.whatsapp....
KUCHANGIA TSH.20000 KILA MWEZI BONYEZA LINK HAPA CHINI
chat.whatsapp....
KUCHANGIA 50000 KILA MWEZI BONYEZA LINK HAPA CHINI
chat.whatsapp....
tafadhari tuma kwa njia ya Mpesa kwa namba +255743053804 jina litakuja Dotto Mataluma/Tigopesa 0672923092 jina litakuja Dotto Mataluma na Airtel money jina litakuja Dotto Mataluma
Yesu ni BWANA wa mabwana wote juu na chini anaweza yote
Asante Davistar ......hii ni 🔥🔥🔥🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nimeskiza stories nyingi ila hii ni 🔥
Ubarikiwe tushee kwa wngine wapate pia
Ukiangalia wote wamepata hasara Hakuna faida yeyeto wanapata kwa shetani zaidi ya hasara
Shetani anapenda Sana ngono
Yani mpaka naogopa binadamu wenzangu
Hahahaaa. Nipo iwambi mbeya hapa gonga like
Davistar naham nikuone bro ukija kigoma aisee
Stori hii inahuzunisha Sana bas tujikaze2
Kila nikisikia hizi habari nauona upendeleo mkubwa mkubwa sana, nafikiri ni majanga mangapi tumeepushwa ni wangapi wamenyonywa damu, ni wangapi wamechukuliwa matekani.Yesu ahsanteee😭😭😭
Mbona sioni waislamu hapa
Jamani jirani Tena rafiki kile kitu anaweza kukutenda Wacha tu Wacha Mimi nifunze watoto kuisoma Bible
Dav andaa show mzee wadau tukutane tule nyama choma sio mbaya tukawaona akina mussa chessa na zabroni live bila chenga tukapiga nao selfie
Mussa chesa muongo
good idea
Hizo hela changa changa Davistar apate Camera
Mtangazaji bana unauliza sana mpaka basi muige Jactan please
Kama vile ndoto, Wanyama gani wanaingia ndani ya mwili wa mwanadamu na wakaishiamo? Shetani sio mtu mzuri!
Good Question my dear. Mungu atupe wepesi
Sijachelewa sana
Shetani, shetani, shetani sijui nikipewa mamlaka ya kukupa adhabu na hukumu sijui naweza kufanya nini, acha MUNGU abaki mwenyewe ktk ukuu na uweza
Yes kwenyekipande chamaombi nikweri kabisaa
Hatar
Niko hapa
Bado hajatuleza means of those Numbers🙆♂️
duuuu noma
Shetani anawatumikisha Sana wapumbavu bila faida
Barikiwa mtumishi
Shetani ni mharibifu sanaa
Hii dunia acha tu
🥰🥰
Aiseeee heeee🤔🤭
Fichua siri za shetani
Gari za boss wangu namba zake 111 na 666 hii 999 anaipenda sana basi nashangaa sana Kwa nn anapenda izi namba
Ni memba huyo mali za kuzimu hizo
Kimbia haupo na boss upo na ibilisi tu
Huyo bosi wako ni ajenti wa kuzimu
Mhiii😭😭😭😭
Kuna movie niiona alage linaingia kwenye maji unaota mti nyumba inapanda juu sayari ingine kuna viumbe vya ajabu na mtu mmoja Ana kichwa kingine begani kinaongea jamani stori inafanania khee aya asante kwa storyMR fact
Hiyo movie inaitwa jack the giant slayer..niya mijitu mikubwa mno
@@karimreldalaal1387 ndio iyo kipenzi dah kinamda story like movies jamani
Toka nimesikia story ya kuzimu hiii ni kiboko🤔
Mungu ampe ulinzi sana Davista, hii kazi ni zaidi ya hatari..Davista Bwana Yesu akufunike kwa damu yake, ulindwe na nguvu za Mungu, Damu ya Yesu ikufiche usionekane.
Jamani waombaji msiache kumwombea Davista na timu yake yote.
Yeah for sure
🤭
SHETANI NI MWONGOO.
Et nna vidoetisa na nusu😅sicheki kwa kupenda ila ndo hvo alafu analamba midomo km jux na mond
Uongo mtupu namfahamu sana huyo
Kwahiyo kama unamjua na kuzimu ulienda nae
Tumia akili unaweza Tunga Stori kama hii
Kwa iyo tukusikilize wewe au
Unamfaham sura ila roho yake na nafsi yake huijui pole
ACHA Hawa watu ni waongo kila anaenda kuzimu anakuja na story yake mnatuchanganya sana
Kuzimu sio Kariakoo useme iko moja tu,yan kama unavyoona upana wa dunia na maeneo mengi ambayo hujawahi kufika ndivyo kuzimu ilivyo ndio maana unasikia kila mmoja alienda sehemu yake japo ni huko huko kuzimu
@@DavistarMataMediaDM kazi zuri Brother Mungu wa Mbinguni Akubariki na Akulinde Kwa jina la Yesu kristo 🙏 🙏
@@DavistarMataMediaDM Mungu akulinde Dav, unafanya kazi kubwa, tunakupenda sana sana, Yesu akufunike ulinzi wake usikupungukie kila leo.
@hahaha kuzimu sio kariakoo🤣🤣🙌🙌
@@patrickmaina5459 Amen Amen
Mtoto wa miaka 4 ameyafanya yote hayo? Anakumbuka majina ya maeneo, idadi ya watu na kila kitu. Haya bwana
Huaminii
una takiwa uende kuzimu uje usimlie hapa
Hussein Hussein ako na akili Sana ndio maana huyo mama jirani alimuiba
Hussein Hussein ako na akili Sana ndio maana huyo mama jirani alimuiba
@@kimsamespa8490 Nop, akiwa mtoto wa miaka 4 alifanya mapenzi na tayari alikuwa na akili na utashi wa mtu mzima, hii ngumu kumeza plus matukio mengi anayoeleza ni yale ambayo tumeshayasikia mara nyingi.
Inawezekana kuna ukweli kwenye hii stori yake ila utakuwa ni mdogo sana.