Binadamu watatoa maoni tofauti hapa kumkejeli uyu kike ila hawajapata kuchaguliwa kuona mambo in the spiritual world 🌎 bt mjue kuzimu na mbingu nihalisi maisha yapo bada yakifo na hukumu iko kwa wapingamizi
😂😂😂😂😂😂Ncheke kwanza mie syo mchezo kwanzya mtu akiwa na miaka 5 ana kumbuka ndoto yake😂😂😂😂😂😂😂Hyu nae nikama yule wajuzi anatuambia kule ujinini kulikuwa na wamasaii😂😂😂😂
Sasa nyinyi watangazaji shuhuda hizi zinawaonyesha kabisa kuwa ni Mungu yupi mwenye nguvu wa kiislamu ama wa wakristo halafu na nyinyi watangazaji muokokee
Host uliwezaje kufanya interview hii kwenye interruptions za kelele namna hii? Ulijaribu kufikiri kidogo tu kwa production hii kwa wasikilizaji itakuwaje?
Basi mtangazaji wacha binti aeleze story ubaya wako uko na maswali mengi yakijinga kweli sasa utaulizaje eti damu ni ya nini?! Kweni kuwanzia uwanze kusikiza hizi story ushawai sikiya kuwa wachawi wakinya damu ya ngombe? Kwani wachawi wamegeuka Masai? Ukisikiya wachawi wewe jiongeze bwana ujuwe ni damu ya watu, plz wacha maswali mengi basi ya kijinga kuwa mstarabu kama Davista basi na umalize story piya
Binadamu watatoa maoni tofauti hapa kumkejeli uyu kike ila hawajapata kuchaguliwa kuona mambo in the spiritual world 🌎 bt mjue kuzimu na mbingu nihalisi maisha yapo bada yakifo na hukumu iko kwa wapingamizi
Wakataao ukweli wote,watajibu kwa Mungu....
Srory.kali sanaa sheby blessed sanaa
Shebby sikuhizi nimekuwa mzito kufuatilia simulizi zako, nyingi hazina muendelezo kama zipo wakusua sua
Tueleze vizuri we ibinti imekiwaje kusema itike umwaka myaka ming uko
Ndugu Yangu, leo naona Watu Wamekishambulia, lakini ni heri Mtu anayepokea Lawama na kufanyia kazi, kuliko anayekataa lawama
Hii ya uongo bana why simalizi data zangu ..wekeni zile nyingine zakina chogo 😢
😂😂😂😂😂😂Ncheke kwanza mie syo mchezo kwanzya mtu akiwa na miaka 5 ana kumbuka ndoto yake😂😂😂😂😂😂😂Hyu nae nikama yule wajuzi anatuambia kule ujinini kulikuwa na wamasaii😂😂😂😂
@@edithaeugeni9695😂😂
Wa Kwanza Leo 😆 , Nipeni Likes Zangu Jamani 🙏
Mbona hafanani hata Kama anajuwa taaraabu,she looks like alikuwa muimba kwaya.
Hii lazima niwatch hadi mwisho
Hapa walokole huwaambii kitu
Ole wenu Mkosoe chochote🙄🙄
😂😂😂😂
mmmh
Weh mtoto we😮
Sasa nyinyi watangazaji shuhuda hizi zinawaonyesha kabisa kuwa ni Mungu yupi mwenye nguvu wa kiislamu ama wa wakristo halafu na nyinyi watangazaji muokokee
Washaokoka
@@Catherine-mh8sw lazma waokoke hizo shuhuda wanazosikia nikalikali sana
Host uliwezaje kufanya interview hii kwenye interruptions za kelele namna hii? Ulijaribu kufikiri kidogo tu kwa production hii kwa wasikilizaji itakuwaje?
Stori za Shebby zinaibuka ghafla na kuzama ghafla
Hiyo mikasa hakikisha ni ya kwel isijetukapigwa mana kuna online tv nyingi za mikasa ambayo ni fake
Maliza kwa story ya chogo usituchanganye
Assallam aleikum ata mm xifstilii story za uyu bwana mdogo story zake zina ishia hewani
Mkasa wa hassan vip umeisha au
Jamani Tabora na Mwanza kunanini mbona kila stori ni huko tuu
Inaonekana kunawachawi sana
Wachawi wengi sana 😆😆😆😆😆
Nakigoma😂😂😂
Na Tanga acha kabisaa
Hii stori nimeiskiliza tu kwavile sikuwa na chaguo lingine 😢
Mimi nimeogopa njia panda toka nianze kusikia story za njia panda Naogopa
Ipo hiyo story ya njia panda niambie
Sasa hakuna majini yaki Africa kwani majini ni warabu to 😂😂 🤣
na Quran ni ya Kiaarabu huwezi pata majini meusi
Madam dam lita mia Unajua kiàsi gani?🤭🇹🇿🇬🇷⚓⛴
TUNATAKA CHOGO JAMANI
CHOGO kajikataa...🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂sheb hebu mtazamie huyo dada haendani na taarabu story zingine msikirupuke kila mtu kiongozi kuzimu 😂😂😂
Nmecheka sana😝
Shetani haangalii sura wa ulembo anaangalia kilichopo ndani yako hata mungu hana shida na muonekano wako wa nje
@@crownprinceea2456 ndio nyie mnaoamini kila kitu sasa huyo ndio miss kuzimu kuna mademu wakali tazama meno na shingo yake🤣
Ujuwe shebi unazinguwa malizia chogo usituzungushe😢😢😢😢
CHOGO ANAKUJA
@@DavistarMataMediaDM🐒🐒🐒
@@DavistarMataMediaDMkaribu kwa yesu shebby
acha maswali mengi basi mtangazaji
Kumbe nyimbo za taarab hutoka kuzimu🤔
inawezekana Dini yenyewe wanayotoka waimba Taarabu inaabudisha majini
Huyu anakumbuka siku ya kwanza ya chekechea ila mimi nakumbuka hio siku nikipokea kichapo ju ya kukataa kwenda shuleni
😂😂😂😂
Huyu jamaa bana amalizii story, anatoa story kwakujisikia na kila siku anatoa story mpya bila mipango.
chogo yiko wapi mbona hamtowi stry zake ??? t
CHOGO kaamsha POPO...🤣🤣🤣
, 😂😂😂😂au ndo wewe nini🤔
Chogo kama chogo, simulizi yake tamu sana
@@edithaeugeni9695 ...ndo huyo huyo .!
Basi mtangazaji wacha binti aeleze story ubaya wako uko na maswali mengi yakijinga kweli sasa utaulizaje eti damu ni ya nini?! Kweni kuwanzia uwanze kusikiza hizi story ushawai sikiya kuwa wachawi wakinya damu ya ngombe? Kwani wachawi wamegeuka Masai? Ukisikiya wachawi wewe jiongeze bwana ujuwe ni damu ya watu, plz wacha maswali mengi basi ya kijinga kuwa mstarabu kama Davista basi na umalize story piya
😂😂😂😂😂 umemchamba
Chogo Yuko wapi
Kila mtu ana muulizia chogo 😂😂😂
@@Catherine-mh8sw..huyo CHOGO ndio nani..🤣🤣🤣
@@ismailmasoud6001 msimuliaji kwa shebby wote ndio tunamngoja😁