URUSI yaonesha silaha za NATO na UKRAINE ilizozikamata, yasema ‘Ushindi haupukiki’

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 เม.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 147

  • @ngadumbishi1405
    @ngadumbishi1405 หลายเดือนก่อน +41

    Kwakweli Sns Ndio Imekuwa Chaneli Bora Kwa Sasa Kwenye Kuyafuatilia Na Kuyachambua Haya Masuala Ya Kivita Tena Kwa Facts Zilizoshiba Kazi Nzuri Kwenu👏

  • @aminaali792
    @aminaali792 หลายเดือนก่อน +23

    SNS tunawapenda Allah azidi kuwapandisha kimafanikio 🙌🏾🤲🏼🤍

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations หลายเดือนก่อน +5

    Muko vizur sana SnS

  • @user-lv4cx1sc5d
    @user-lv4cx1sc5d หลายเดือนก่อน +10

    Ushindi wa urusi ni lazmaa tumesema NATO ni mashoga tu mwanaume ni urusi

  • @RajabuHussein-to7jz
    @RajabuHussein-to7jz หลายเดือนก่อน +9

    Asante uruss kwa kazi nzuli kaza but usiruhusu ushindi uende kwa mbuzi

  • @Crisparis333
    @Crisparis333 หลายเดือนก่อน +6

    Sky u are so genius

  • @user-gb5vz6wm2q
    @user-gb5vz6wm2q หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana SNS kwa kutupa habari nzuri

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh หลายเดือนก่อน +3

    Asante mwalim wa uchambuzi

  • @HajiJuma-xw7vh
    @HajiJuma-xw7vh หลายเดือนก่อน +24

    Naona urusi ndo taifa kubwa duniani kwa sasa kama sikosei

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน +5

      UPEW ULINZ WAKUTOSH

    • @fakijecha
      @fakijecha หลายเดือนก่อน

      Uko sahihi walobaki kelele tu sasa shoga ukampeleke vitani utageme ushinde hhh

    • @ramaturuku863
      @ramaturuku863 หลายเดือนก่อน +1

      @@liberatusjackson5045 Hollywood ilikudanganya sana kuhusu nguvu za marekani , Magharibi wazee wa kucheza na media wamelituaminisha uwezo walionao hakuna wakuwaweza😂😂

    • @josephjulio6112
      @josephjulio6112 หลายเดือนก่อน

      Uko sawa

    • @KingRomyJay
      @KingRomyJay หลายเดือนก่อน

      ​@@fakijechahakuna nnchi ambayo akuna mashoga ata uko Russia kuna mashoga wa kutosha hili ni janga la kidunia mzee shetani afanyi kazi kwa marekani tu na washirika wake mpaka Korea kaskazini na Russia yupo we fikiria mashoga wapo mpaka kwenye nnchi za kiarabu tena zenye sheria kali lakini bado wapo tena wao ndy wanajifanya wanashika dini

  • @SijaOlomi-cm4cw
    @SijaOlomi-cm4cw หลายเดือนก่อน

    Ali chapa chapa unatupa burudani unachambua tunaelimika hata midia kubwa tz hazichambui kama sns Ali sns big up

  • @abuubakar7594
    @abuubakar7594 หลายเดือนก่อน +7

    Me niwape cri mruc na Ukraine wapo xauri 1 kuianguxa ulaya

  • @zagadat1129
    @zagadat1129 หลายเดือนก่อน +3

    Ula uchqmbuzi wa ally nihatari sana yuko straight sana and confident enough and simple

    • @reej5715
      @reej5715 หลายเดือนก่อน +1

      Ally yupo vizuri kwenye kuchambua Masha Allah safi kaka

  • @mubarakahussein9950
    @mubarakahussein9950 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana Ali masubi

  • @innocentmtondo9656
    @innocentmtondo9656 หลายเดือนก่อน +2

    Izi story za urusi nazipenda sana yan kila siku lazima nizitazame

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana

  • @godfreykeita9804
    @godfreykeita9804 หลายเดือนก่อน +1

    Ally Masuby💪

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 หลายเดือนก่อน +11

    Teknolojia y a NATO imeingia Urusi,,,😂😂😂 nikisema NATO maumbwaaa tu mnabisha

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 หลายเดือนก่อน

      Unafikiri kama za 1954,,,wewe Putin yeye destructive weapon unafikiri katumia😀😀 Ile Ukraine ingekuwa majivu,,,saizi tu Kuna magofu,,,unachezea mtakatifu wa vita wewe,,,,Putin sio sadam Hussein au Gaddafi,,,yule nijasusi wa KGB kakaa ujerumani miaka mingi anawadukua ,,,watamwambia ,,,nchi zote za manyang'au zimeungana na wameshindwa kumtoa ndanibya Ukraine je siku CHINA akinukisha watamuweza? NATO maumbwaa tu narudia Tena Maumbwaa tu NATO

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Nato mashoga

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 หลายเดือนก่อน +3

    SAFI SAANA.

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 หลายเดือนก่อน +6

    Pia ujumbe mungine iliyoutoa urusi kimataifa ni kwamba urusi nitaifa lililojaa utisho ambao MUNGU kaijaalia Urusi maana silaha kama hizo zingekua ndiyo zimekamatwa na nchi kama Iraq au Libya wangeweza kwenda kuzipora, huo ni ushahidi kwamba nato na marekani wanaiogopa urusi maana wangeweza hata kuzishambulia hata kuziteketeza tu lkn wanaiogopa Urusi kuliko MUNGU mashoga hao wa ulaya na marekani

    • @johnnsembele4401
      @johnnsembele4401 หลายเดือนก่อน +1

      apo pagumu manake ukijaribu tu jamaa ndo anaongoza kwa nyukria dunia nzima iyo ni balaa

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน +1

      Putin mwamba

  • @jumashedafa
    @jumashedafa หลายเดือนก่อน +6

    NATO washaamp urusi materials ya kutengenezea silaha zingin na tyr wanaend kupat ideas za silaha za NATO na inaend kumpa fursa urusi kutengenez silaha bora zaid kushinda hiz zao...Urus amepata faida kubwa ktk hii vita licha ya kupoteza baadh ya kamanda wake kwa kifo na ata vilema

  • @ezekielphilemon7343
    @ezekielphilemon7343 หลายเดือนก่อน +4

    Ninaomba muongelee ni kwa Nini Urusi ameonesha ICON YA YESU CHRISTO.
    NI MTU MWEUSI,
    NI INSHARA GANI INAONESHWA HAPO KWA DUNIA .
    JE TULIFICHWA NINI AMBACHO HATUJUI

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce หลายเดือนก่อน +1

      Imenipita hiyo walionesha lini hiyo Icon ya Yesu kaka??

  • @antonydorian1402
    @antonydorian1402 หลายเดือนก่อน +1

    Urusi iko pamoja na mungu

  • @hamismaulid270
    @hamismaulid270 หลายเดือนก่อน +3

    Sema "WO"
    sio "WA"

  • @officialyohana2662
    @officialyohana2662 หลายเดือนก่อน +2

    Dj sma anachambua vzuriii

  • @saimongilala8938
    @saimongilala8938 หลายเดือนก่อน +7

    Kuna mashoga hapo nimeona wanapinga mafanikio ya urus

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน +1

      Ata mm nimewaona sijui wanataka nn sasa wanalazimusha ukrein kashinda sasa sijui wanataka kuambiwa hivyo

    • @user-cu6vj7iw5z
      @user-cu6vj7iw5z หลายเดือนก่อน +1

      Wanata babas

  • @ikeedaudi
    @ikeedaudi หลายเดือนก่อน +3

    Kama ulisoma comment na kusikiza uchambuzii ,,,,, piga like tujuanee😮

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 หลายเดือนก่อน +7

    Kuna mashoga humu TH-cam kaziyao kutetea ushetani wa marekani na wenzake mashetani huwa wanakuja na reply hataukiona wanavyo reply utajuwa hana akili. Wengine acha tuseme uraaaa tunaendelea kumwombea Mrusi atunyooshee hawa mashetani

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 หลายเดือนก่อน +2

    Viva urusi

  • @mialanomanqobo6639
    @mialanomanqobo6639 หลายเดือนก่อน +7

    Ally Masumbi analyst nzuri
    Hana part taken kama yule Dj sma

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 หลายเดือนก่อน

      Sasa shida yako ni ipi?! 😅 Usiwi unamskiliza huo Dj Samaa tupo tunaoelewa analysis yake, wewe mskilize unamtak

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 หลายเดือนก่อน

      Shida zenu hizi mambo za analyst mmezijua juzi ndio maana mnalaumu nenda hata ivyo vyombo vikubwa duniania na wachambuzi wakubwa duniani Hua na mlengo wa nao Amini si dhambi mchambuzi kusimama kwenye anachokiona ila kwa ushamba na uswahili mnaanza kutoa vikasoro shida iko wapi habari siku hizi ziko wazi huna haja yakumsikiliza mchambuzi yoyote na bado ukaelewa kwani hao wanachofanya ni kuskiliza vyanzo mbalimbali na wakukuletea mvivu wewe.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 หลายเดือนก่อน +2

    kwani kuna ubaya gani?

  • @RashidyNgunga
    @RashidyNgunga หลายเดือนก่อน +1

    Wanao waunga mkono America wanaunga mkono Ndoa ya Jinsia Moja Mungu awezii Wacha awapa pumbavuu America Uraa,,, Uraaaaaaaaaaaa,,

  • @user-vv6xw5qj4p
    @user-vv6xw5qj4p หลายเดือนก่อน

    Very good

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 หลายเดือนก่อน +8

    Hura Huraaaaaaaaaaa! Viva Russia viva Putin👏👏🔥🔥💪

    • @murtalla2826
      @murtalla2826 หลายเดือนก่อน

      Sio 😂😂hura bali ni URAAA URAAAA 😅😅

    • @user-qq6mv6vh3e
      @user-qq6mv6vh3e หลายเดือนก่อน

      Tafsiri yake ila samahani​@@murtalla2826

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 หลายเดือนก่อน +3

    😂😂😂😂 makaripi inaenda kuanguka

  • @kassimbayuu5217
    @kassimbayuu5217 หลายเดือนก่อน +6

    Putin anatakiwa atengeneze kiongozi mpya mwenye maoni kama yake

    • @openglo
      @openglo หลายเดือนก่อน

      Ndo kikubwa maana yeye umri unakwenda.

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 หลายเดือนก่อน +2

      wewe unafikiri wamekaa tu.? huo ni mfumo na hata ikitokea leo Putin katangulia mbele ya haki Urusi haitatetereka kwasababu viongozi wapo wenye haiba kama Putin

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke หลายเดือนก่อน

      ​@@opengloUrus ndio msimamo wao kwa viongozi uko ivo kama korea kaskazin

    • @abubakarbarkat2326
      @abubakarbarkat2326 หลายเดือนก่อน +4

      Katika uchaguzi uliopita wa urusi wagombea wanne wa uraisi, putin peke ake ndo anaonekana mpole yan ndo mwenye huruma ao wengne waliobakia hawafai hata kurumagia yan wenyewe wanamshangaa Putin kwanini anaionea huruma Ukraine 🤠🤠

    • @user-nv7jg6xc8l
      @user-nv7jg6xc8l หลายเดือนก่อน

      ​@@abubakarbarkat2326mwanangu nmecheka sana

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน

    👍✌️✌️.

  • @babalao910
    @babalao910 หลายเดือนก่อน +1

    Utusi+Iran+North Corea, God Nations.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 หลายเดือนก่อน +3

    How South Africa counter part wa Russia walipeleka Silaha Ukreine

    • @user-cn9br7en7w
      @user-cn9br7en7w หลายเดือนก่อน

      Hao wanachofanya ni kuuza silaha tuu wapate hela

    • @EzzyEddy-il3ce
      @EzzyEddy-il3ce หลายเดือนก่อน

      I've the same question

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 หลายเดือนก่อน +1

    Punt baba lao ❤❤❤🇷🇺🇷🇺🔥🔥🔥

  • @fakijecha
    @fakijecha หลายเดือนก่อน +1

    Wamepeleka mashoga vitani hhh ndo mana urusi anateka had gari zao hhh putin sio mtu mjinga ukenda kwake ujipange kiakili kwanza usikurupuke

  • @bugusambalinga3603
    @bugusambalinga3603 หลายเดือนก่อน +3

    Wakuu mko vizuri sana Kwa uchambuzi kiunabii wa Biblia NATO kwa urusi haitiboi watachapika mpaka wawe malofa kama unavyoona wakimbizi wa kongo au sudani na nchi zingine zenye vita.
    Ila urusi itakuja kukwama siku majeshi yake wakikanyaga ardhi ya Israel ili kupigana na taifa teule

  • @tsitingilembombo9995
    @tsitingilembombo9995 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani Marekani hana vifaa vya Kirusi, pontless.

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 หลายเดือนก่อน

      Hii haimaanish tu kwa upande wa vifaa lkn pia inathibitisha kua Urusi haipambani na Ukrain tu bali na Marekani na Washirika wake...na yyt atakaeshind ktk vita hii ndo atabadilisha Geopolitics ya Dunia (km unafaham Geopolitcs n nn na umuhm wke)

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 หลายเดือนก่อน

      Hatujui Sbb hawajatangazaga, sisi tunafwata kilichotangazw

    • @peteremmanuelymatwimatwiem3258
      @peteremmanuelymatwimatwiem3258 หลายเดือนก่อน

      Alivitoa wapi sasa ivo vifaaaa

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t หลายเดือนก่อน +1

      Marekani,hajawahi kushinda vita popote duniani akiwa pekeake marekani Wamewaweza nyie kwa kutumia media zao kuwadanganya ila ki uhalisia wanaovijua vita ni warusi mzee

  • @officialyohana2662
    @officialyohana2662 หลายเดือนก่อน

    Where's dj sma?

  • @tanaidhouse369
    @tanaidhouse369 หลายเดือนก่อน

    Sijaona challenger, au ziliteketezwa zote

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi habari também japo vita sio kitu kizuri kwa mwanadamu

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 หลายเดือนก่อน

    Naweza kufahamu nini nia/faida kwa Urusi kuonyesha hizi silaha

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 หลายเดือนก่อน +1

    SA c

  • @Soon815
    @Soon815 หลายเดือนก่อน

    Walisema wataipiga ukraine ndani ya saa 72!! Miaka imepita hakuna kitu!

  • @danielndusilo4723
    @danielndusilo4723 หลายเดือนก่อน

    Simulieni sana ipo siku

    • @user-lv1ki7nn7t
      @user-lv1ki7nn7t หลายเดือนก่อน

      Siku labda ya kuolewa marekani kwa mara ya pili kama ndio unaisubiria wewe shoga mwenzao mbwa kabisa wewe

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      ww mtoto shoga

  • @YasiniMomboka
    @YasiniMomboka หลายเดือนก่อน

    Duuuh hiki nikiwango chalami cha dharau,

  • @Crisparis333
    @Crisparis333 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani huyu Ali masudi Yuko mambele?

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 หลายเดือนก่อน

      Yupo hapa hapa bongo na bado anasoma

    • @Crisparis333
      @Crisparis333 หลายเดือนก่อน

      @@sultanbakary4292 mmh ni specialist wa vita 🤣

  • @user-mn9nz4mg4v
    @user-mn9nz4mg4v หลายเดือนก่อน

    Imekuwaje south Africa amepeleka slaa nawakati ni mwanachama wa brick

  • @DaudiHamisi-un2uu
    @DaudiHamisi-un2uu หลายเดือนก่อน +1

    South Africa nae alipeleka siraha

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 หลายเดือนก่อน +3

      Hapana, enzi za nyuma nchi mbalimbali zilizoendelea zilikuwa zinanunua silaha bora kwa nchi tofauti kwa lengo lakuangalia uimara na ubora wa silaha husika, hvyo Ukraine walizinunua silaha kutoka South Africa kabla ya mgogoro, so baada ya mgogoro Ukraine walilazimika kutumia silaha walizozinunua kutoka South Africa!

    • @DaudiHamisi-un2uu
      @DaudiHamisi-un2uu หลายเดือนก่อน

      Nimekuelewa

  • @ShekhMufyd-mn9zn
    @ShekhMufyd-mn9zn หลายเดือนก่อน

    Nato waingie mazima vitani kama wanaweza Ukraine hawezi kushinda kwa misaada

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 หลายเดือนก่อน

    Hizo ni porojo Russia akuna kitu

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน

    Bbc apo kama vile hajuwi kinachoo endelea

  • @user-ob9nu5dp1s
    @user-ob9nu5dp1s หลายเดือนก่อน +1

    If you gave DJ asthma, he would explain it well

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 หลายเดือนก่อน

    ASANTE URUSI TUKO PAMOJA

  • @user-it6zi7zw8y
    @user-it6zi7zw8y หลายเดือนก่อน

    ndo watu wajue kua marecan awana nguvu mpaka wajiunge wote ndo wampige mtu mmoja sasa south African wanaingilia vita yanini wenyewe wangoje watakanyo tungulia na rashia wasije sema mrusia mbaya sema puttin angewapa combora za maana awamalize awa wazungu

  • @eliachalamila2259
    @eliachalamila2259 หลายเดือนก่อน +1

    Dj sma yuko wapi?
    Yule ndio alikuwa vizuri mnooo

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w หลายเดือนก่อน +1

    Amnaaa kituuuu Aminiiii .... Watashindwaaa tuh n saw la mda, vitaa badooo

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari หลายเดือนก่อน +1

      Vita bado mwaka pili huu we unajua vita ? Hata kuku anakupiga senene wewe

    • @mahmudahmad5369
      @mahmudahmad5369 หลายเดือนก่อน

      Wewe unaunga mkono mashoga WA magharibi hauna akili wewe

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน

      Ajitambui aende mwenyewe akaakikishe pimbi uyo

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Ww mtoto shoga

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndio mchambuzi sasa sio yule jamaa kingereza kingi uchambuzi kidogo I HATE YOU

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 หลายเดือนก่อน

    Putini ninoma

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂 Aibu kwao wamalekani, siku nyingi nilikua najua kwamba hakuna nchi ambayo itaweza kusimama na marekani kupambana kumbe sivyo Kuna nchi kama Russia walikuwa kimya Sana kumbe Sasa najua kwamba Russia ndiyo nchi tishio na wababe wa Dunia.🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪💪

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 หลายเดือนก่อน

    Hizo ni Propaganda za kivita, Kwani Ukreni haijakamata Silaha za Urusi

  • @AishaOnlineTV
    @AishaOnlineTV หลายเดือนก่อน

    WAFANYAKAZI SMZ KICHEKO DR MWINYI MAMBO SAFI
    th-cam.com/video/pWJy_Mv1mok/w-d-xo.html

  • @johannesssamsonambogo4125
    @johannesssamsonambogo4125 หลายเดือนก่อน +2

    Hii media ya Urusi nini? 😂😂

    • @africanmandetraveler2847
      @africanmandetraveler2847 หลายเดือนก่อน +1

      Ya kwako kwan?i😂😂😂

    • @rajabhamis3494
      @rajabhamis3494 หลายเดือนก่อน +1

      Nawe pia ni mrusi

    • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
      @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน

      HII NI MEDIA YA WATU WASIOTAKA KUDANGANYWA KAMA SISI. UKITAKA KUDANGANYWA NENDA BBC AMBAO WANAUME WA AFRICA YA MAGHARIBI AKINA TRAOLE WAMEWAFUNGIA KWA AJILI YA UWONGOWAO KUWADANGANYA WALIMWENGU ,WAKIWAPAMBA MAZUNGU WAONGO NAWASHENZI WANYONYAJI WWZI WA AFRICA. NAKUWACHAFUA WATU WEMA KAMA WARUSI WA IRANI WACHINA NA KOREA. AU PIA NENDA DE NA VOA UKADANGANYWE KAKA.

  • @juliusejulius6704
    @juliusejulius6704 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo anafafanua kwa kuegemea upande mmoja na kidini zaidi

    • @aediayumgo8546
      @aediayumgo8546 หลายเดือนก่อน +2

      Dini Gani(

    • @hassansaul7098
      @hassansaul7098 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂 Mwanzo mwisho hakuna dini iliyozungumziwa mzee

    • @user-fr6rf1ki3e
      @user-fr6rf1ki3e หลายเดือนก่อน

      Acha zako waPi kaongelea udini jamaa yuko vizuri sana

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Ww ni team mashoga

    • @abdallahmasanja621
      @abdallahmasanja621 หลายเดือนก่อน

      Ukraine dini gani na urusi dini?

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n หลายเดือนก่อน +1

    Nyny niwasheheleshaj siowachambuz sjawai ona wachambuz wanahegemea upande mmoja

    • @amirinestory
      @amirinestory หลายเดือนก่อน

      au sio...😂😂😂😂

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Mashoga mnaumia

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna mafanikio yoyote aliyopata hurusi acheni kubun bunimaneno yauwongo izostori nymnalala nakufkria nakuongea

    • @kevicristian2738
      @kevicristian2738 หลายเดือนก่อน +1

      Jifunze kuandika kwanza ndio uje kuongea😂
      Hurusi ndio nchi Gani?😂😂😂

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน

      Wewe na ww unakisim kitochi em acha kuzingua ujui kitu mbwa kinyonyok ww

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน

      🇷🇺🇷🇺 tuko wote❤️

    • @mayombomajenga9778
      @mayombomajenga9778 หลายเดือนก่อน

      Uzao wa BBC news huna jipya kusoma hujui hata picha huoni

    • @kevicristian2738
      @kevicristian2738 หลายเดือนก่อน

      @@FerdinandCharles-ko7de hahahahaha matusi ya Nini?😂😂😂
      Wakati haujui kuandika😂

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 หลายเดือนก่อน

    KELELE KWA SNS WEWEEEEEEE YAANI KWA SASA HIVI CHANNEL ZILIZOBAKIA BABAISHO SNS KIBOKO YAO MI NIKO K.S.A SIBOEKI YAANI MI TAJIRI WA NES NIKIWA NA SNS MASJA

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน

    WALISEMA TUTAVIVUNJA KAMA TUNAVYOZIVUNJA NAZI😂😂😂