@@liberatusjackson5045 Hollywood ilikudanganya sana kuhusu nguvu za marekani , Magharibi wazee wa kucheza na media wamelituaminisha uwezo walionao hakuna wakuwaweza😂😂
@@fakijechahakuna nnchi ambayo akuna mashoga ata uko Russia kuna mashoga wa kutosha hili ni janga la kidunia mzee shetani afanyi kazi kwa marekani tu na washirika wake mpaka Korea kaskazini na Russia yupo we fikiria mashoga wapo mpaka kwenye nnchi za kiarabu tena zenye sheria kali lakini bado wapo tena wao ndy wanajifanya wanashika dini
Unafikiri kama za 1954,,,wewe Putin yeye destructive weapon unafikiri katumia😀😀 Ile Ukraine ingekuwa majivu,,,saizi tu Kuna magofu,,,unachezea mtakatifu wa vita wewe,,,,Putin sio sadam Hussein au Gaddafi,,,yule nijasusi wa KGB kakaa ujerumani miaka mingi anawadukua ,,,watamwambia ,,,nchi zote za manyang'au zimeungana na wameshindwa kumtoa ndanibya Ukraine je siku CHINA akinukisha watamuweza? NATO maumbwaa tu narudia Tena Maumbwaa tu NATO
Pia ujumbe mungine iliyoutoa urusi kimataifa ni kwamba urusi nitaifa lililojaa utisho ambao MUNGU kaijaalia Urusi maana silaha kama hizo zingekua ndiyo zimekamatwa na nchi kama Iraq au Libya wangeweza kwenda kuzipora, huo ni ushahidi kwamba nato na marekani wanaiogopa urusi maana wangeweza hata kuzishambulia hata kuziteketeza tu lkn wanaiogopa Urusi kuliko MUNGU mashoga hao wa ulaya na marekani
NATO washaamp urusi materials ya kutengenezea silaha zingin na tyr wanaend kupat ideas za silaha za NATO na inaend kumpa fursa urusi kutengenez silaha bora zaid kushinda hiz zao...Urus amepata faida kubwa ktk hii vita licha ya kupoteza baadh ya kamanda wake kwa kifo na ata vilema
Ninaomba muongelee ni kwa Nini Urusi ameonesha ICON YA YESU CHRISTO. NI MTU MWEUSI, NI INSHARA GANI INAONESHWA HAPO KWA DUNIA . JE TULIFICHWA NINI AMBACHO HATUJUI
Kuna mashoga humu TH-cam kaziyao kutetea ushetani wa marekani na wenzake mashetani huwa wanakuja na reply hataukiona wanavyo reply utajuwa hana akili. Wengine acha tuseme uraaaa tunaendelea kumwombea Mrusi atunyooshee hawa mashetani
Shida zenu hizi mambo za analyst mmezijua juzi ndio maana mnalaumu nenda hata ivyo vyombo vikubwa duniania na wachambuzi wakubwa duniani Hua na mlengo wa nao Amini si dhambi mchambuzi kusimama kwenye anachokiona ila kwa ushamba na uswahili mnaanza kutoa vikasoro shida iko wapi habari siku hizi ziko wazi huna haja yakumsikiliza mchambuzi yoyote na bado ukaelewa kwani hao wanachofanya ni kuskiliza vyanzo mbalimbali na wakukuletea mvivu wewe.
wewe unafikiri wamekaa tu.? huo ni mfumo na hata ikitokea leo Putin katangulia mbele ya haki Urusi haitatetereka kwasababu viongozi wapo wenye haiba kama Putin
Katika uchaguzi uliopita wa urusi wagombea wanne wa uraisi, putin peke ake ndo anaonekana mpole yan ndo mwenye huruma ao wengne waliobakia hawafai hata kurumagia yan wenyewe wanamshangaa Putin kwanini anaionea huruma Ukraine 🤠🤠
Wakuu mko vizuri sana Kwa uchambuzi kiunabii wa Biblia NATO kwa urusi haitiboi watachapika mpaka wawe malofa kama unavyoona wakimbizi wa kongo au sudani na nchi zingine zenye vita. Ila urusi itakuja kukwama siku majeshi yake wakikanyaga ardhi ya Israel ili kupigana na taifa teule
Hii haimaanish tu kwa upande wa vifaa lkn pia inathibitisha kua Urusi haipambani na Ukrain tu bali na Marekani na Washirika wake...na yyt atakaeshind ktk vita hii ndo atabadilisha Geopolitics ya Dunia (km unafaham Geopolitcs n nn na umuhm wke)
Marekani,hajawahi kushinda vita popote duniani akiwa pekeake marekani Wamewaweza nyie kwa kutumia media zao kuwadanganya ila ki uhalisia wanaovijua vita ni warusi mzee
Hapana, enzi za nyuma nchi mbalimbali zilizoendelea zilikuwa zinanunua silaha bora kwa nchi tofauti kwa lengo lakuangalia uimara na ubora wa silaha husika, hvyo Ukraine walizinunua silaha kutoka South Africa kabla ya mgogoro, so baada ya mgogoro Ukraine walilazimika kutumia silaha walizozinunua kutoka South Africa!
ndo watu wajue kua marecan awana nguvu mpaka wajiunge wote ndo wampige mtu mmoja sasa south African wanaingilia vita yanini wenyewe wangoje watakanyo tungulia na rashia wasije sema mrusia mbaya sema puttin angewapa combora za maana awamalize awa wazungu
😂😂😂😂😂😂 Aibu kwao wamalekani, siku nyingi nilikua najua kwamba hakuna nchi ambayo itaweza kusimama na marekani kupambana kumbe sivyo Kuna nchi kama Russia walikuwa kimya Sana kumbe Sasa najua kwamba Russia ndiyo nchi tishio na wababe wa Dunia.🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪💪
HII NI MEDIA YA WATU WASIOTAKA KUDANGANYWA KAMA SISI. UKITAKA KUDANGANYWA NENDA BBC AMBAO WANAUME WA AFRICA YA MAGHARIBI AKINA TRAOLE WAMEWAFUNGIA KWA AJILI YA UWONGOWAO KUWADANGANYA WALIMWENGU ,WAKIWAPAMBA MAZUNGU WAONGO NAWASHENZI WANYONYAJI WWZI WA AFRICA. NAKUWACHAFUA WATU WEMA KAMA WARUSI WA IRANI WACHINA NA KOREA. AU PIA NENDA DE NA VOA UKADANGANYWE KAKA.
KELELE KWA SNS WEWEEEEEEE YAANI KWA SASA HIVI CHANNEL ZILIZOBAKIA BABAISHO SNS KIBOKO YAO MI NIKO K.S.A SIBOEKI YAANI MI TAJIRI WA NES NIKIWA NA SNS MASJA
Kwakweli Sns Ndio Imekuwa Chaneli Bora Kwa Sasa Kwenye Kuyafuatilia Na Kuyachambua Haya Masuala Ya Kivita Tena Kwa Facts Zilizoshiba Kazi Nzuri Kwenu👏
SNS tunawapenda Allah azidi kuwapandisha kimafanikio 🙌🏾🤲🏼🤍
MashaAllah
Inshaallah
Muko vizur sana SnS
Ushindi wa urusi ni lazmaa tumesema NATO ni mashoga tu mwanaume ni urusi
Asante uruss kwa kazi nzuli kaza but usiruhusu ushindi uende kwa mbuzi
Sky u are so genius
Asante sana SNS kwa kutupa habari nzuri
Asante mwalim wa uchambuzi
Naona urusi ndo taifa kubwa duniani kwa sasa kama sikosei
UPEW ULINZ WAKUTOSH
Uko sahihi walobaki kelele tu sasa shoga ukampeleke vitani utageme ushinde hhh
@@liberatusjackson5045 Hollywood ilikudanganya sana kuhusu nguvu za marekani , Magharibi wazee wa kucheza na media wamelituaminisha uwezo walionao hakuna wakuwaweza😂😂
Uko sawa
@@fakijechahakuna nnchi ambayo akuna mashoga ata uko Russia kuna mashoga wa kutosha hili ni janga la kidunia mzee shetani afanyi kazi kwa marekani tu na washirika wake mpaka Korea kaskazini na Russia yupo we fikiria mashoga wapo mpaka kwenye nnchi za kiarabu tena zenye sheria kali lakini bado wapo tena wao ndy wanajifanya wanashika dini
Ali chapa chapa unatupa burudani unachambua tunaelimika hata midia kubwa tz hazichambui kama sns Ali sns big up
Me niwape cri mruc na Ukraine wapo xauri 1 kuianguxa ulaya
Ula uchqmbuzi wa ally nihatari sana yuko straight sana and confident enough and simple
Ally yupo vizuri kwenye kuchambua Masha Allah safi kaka
Asante sana Ali masubi
Izi story za urusi nazipenda sana yan kila siku lazima nizitazame
Ahsante sana
Ally Masuby💪
Teknolojia y a NATO imeingia Urusi,,,😂😂😂 nikisema NATO maumbwaaa tu mnabisha
Unafikiri kama za 1954,,,wewe Putin yeye destructive weapon unafikiri katumia😀😀 Ile Ukraine ingekuwa majivu,,,saizi tu Kuna magofu,,,unachezea mtakatifu wa vita wewe,,,,Putin sio sadam Hussein au Gaddafi,,,yule nijasusi wa KGB kakaa ujerumani miaka mingi anawadukua ,,,watamwambia ,,,nchi zote za manyang'au zimeungana na wameshindwa kumtoa ndanibya Ukraine je siku CHINA akinukisha watamuweza? NATO maumbwaa tu narudia Tena Maumbwaa tu NATO
Nato mashoga
SAFI SAANA.
Pia ujumbe mungine iliyoutoa urusi kimataifa ni kwamba urusi nitaifa lililojaa utisho ambao MUNGU kaijaalia Urusi maana silaha kama hizo zingekua ndiyo zimekamatwa na nchi kama Iraq au Libya wangeweza kwenda kuzipora, huo ni ushahidi kwamba nato na marekani wanaiogopa urusi maana wangeweza hata kuzishambulia hata kuziteketeza tu lkn wanaiogopa Urusi kuliko MUNGU mashoga hao wa ulaya na marekani
apo pagumu manake ukijaribu tu jamaa ndo anaongoza kwa nyukria dunia nzima iyo ni balaa
Putin mwamba
NATO washaamp urusi materials ya kutengenezea silaha zingin na tyr wanaend kupat ideas za silaha za NATO na inaend kumpa fursa urusi kutengenez silaha bora zaid kushinda hiz zao...Urus amepata faida kubwa ktk hii vita licha ya kupoteza baadh ya kamanda wake kwa kifo na ata vilema
Akuna malirials hapo ni uchafu tu
Ninaomba muongelee ni kwa Nini Urusi ameonesha ICON YA YESU CHRISTO.
NI MTU MWEUSI,
NI INSHARA GANI INAONESHWA HAPO KWA DUNIA .
JE TULIFICHWA NINI AMBACHO HATUJUI
Imenipita hiyo walionesha lini hiyo Icon ya Yesu kaka??
Urusi iko pamoja na mungu
Sema "WO"
sio "WA"
Dj sma anachambua vzuriii
😂😂😂😂😂
Kuna mashoga hapo nimeona wanapinga mafanikio ya urus
Ata mm nimewaona sijui wanataka nn sasa wanalazimusha ukrein kashinda sasa sijui wanataka kuambiwa hivyo
Wanata babas
Kama ulisoma comment na kusikiza uchambuzii ,,,,, piga like tujuanee😮
Kuna mashoga humu TH-cam kaziyao kutetea ushetani wa marekani na wenzake mashetani huwa wanakuja na reply hataukiona wanavyo reply utajuwa hana akili. Wengine acha tuseme uraaaa tunaendelea kumwombea Mrusi atunyooshee hawa mashetani
Tupo wote
Kabisa hawajielew
Viva urusi
Ally Masumbi analyst nzuri
Hana part taken kama yule Dj sma
Sasa shida yako ni ipi?! 😅 Usiwi unamskiliza huo Dj Samaa tupo tunaoelewa analysis yake, wewe mskilize unamtak
Shida zenu hizi mambo za analyst mmezijua juzi ndio maana mnalaumu nenda hata ivyo vyombo vikubwa duniania na wachambuzi wakubwa duniani Hua na mlengo wa nao Amini si dhambi mchambuzi kusimama kwenye anachokiona ila kwa ushamba na uswahili mnaanza kutoa vikasoro shida iko wapi habari siku hizi ziko wazi huna haja yakumsikiliza mchambuzi yoyote na bado ukaelewa kwani hao wanachofanya ni kuskiliza vyanzo mbalimbali na wakukuletea mvivu wewe.
kwani kuna ubaya gani?
Wanao waunga mkono America wanaunga mkono Ndoa ya Jinsia Moja Mungu awezii Wacha awapa pumbavuu America Uraa,,, Uraaaaaaaaaaaa,,
Very good
Hura Huraaaaaaaaaaa! Viva Russia viva Putin👏👏🔥🔥💪
Sio 😂😂hura bali ni URAAA URAAAA 😅😅
Tafsiri yake ila samahani@@murtalla2826
😂😂😂😂 makaripi inaenda kuanguka
Putin anatakiwa atengeneze kiongozi mpya mwenye maoni kama yake
Ndo kikubwa maana yeye umri unakwenda.
wewe unafikiri wamekaa tu.? huo ni mfumo na hata ikitokea leo Putin katangulia mbele ya haki Urusi haitatetereka kwasababu viongozi wapo wenye haiba kama Putin
@@opengloUrus ndio msimamo wao kwa viongozi uko ivo kama korea kaskazin
Katika uchaguzi uliopita wa urusi wagombea wanne wa uraisi, putin peke ake ndo anaonekana mpole yan ndo mwenye huruma ao wengne waliobakia hawafai hata kurumagia yan wenyewe wanamshangaa Putin kwanini anaionea huruma Ukraine 🤠🤠
@@abubakarbarkat2326mwanangu nmecheka sana
👍✌️✌️.
Utusi+Iran+North Corea, God Nations.
How South Africa counter part wa Russia walipeleka Silaha Ukreine
Hao wanachofanya ni kuuza silaha tuu wapate hela
I've the same question
Punt baba lao ❤❤❤🇷🇺🇷🇺🔥🔥🔥
Wamepeleka mashoga vitani hhh ndo mana urusi anateka had gari zao hhh putin sio mtu mjinga ukenda kwake ujipange kiakili kwanza usikurupuke
Wakuu mko vizuri sana Kwa uchambuzi kiunabii wa Biblia NATO kwa urusi haitiboi watachapika mpaka wawe malofa kama unavyoona wakimbizi wa kongo au sudani na nchi zingine zenye vita.
Ila urusi itakuja kukwama siku majeshi yake wakikanyaga ardhi ya Israel ili kupigana na taifa teule
Kwani Marekani hana vifaa vya Kirusi, pontless.
Hii haimaanish tu kwa upande wa vifaa lkn pia inathibitisha kua Urusi haipambani na Ukrain tu bali na Marekani na Washirika wake...na yyt atakaeshind ktk vita hii ndo atabadilisha Geopolitics ya Dunia (km unafaham Geopolitcs n nn na umuhm wke)
Hatujui Sbb hawajatangazaga, sisi tunafwata kilichotangazw
Alivitoa wapi sasa ivo vifaaaa
Marekani,hajawahi kushinda vita popote duniani akiwa pekeake marekani Wamewaweza nyie kwa kutumia media zao kuwadanganya ila ki uhalisia wanaovijua vita ni warusi mzee
Where's dj sma?
Sijaona challenger, au ziliteketezwa zote
Hizi habari também japo vita sio kitu kizuri kwa mwanadamu
Kwahiyo Unatakaje sasa hawa wanazi toa baada ya kutoka
Naweza kufahamu nini nia/faida kwa Urusi kuonyesha hizi silaha
SA c
Walisema wataipiga ukraine ndani ya saa 72!! Miaka imepita hakuna kitu!
Simulieni sana ipo siku
Siku labda ya kuolewa marekani kwa mara ya pili kama ndio unaisubiria wewe shoga mwenzao mbwa kabisa wewe
ww mtoto shoga
Duuuh hiki nikiwango chalami cha dharau,
Kwani huyu Ali masudi Yuko mambele?
Yupo hapa hapa bongo na bado anasoma
@@sultanbakary4292 mmh ni specialist wa vita 🤣
Imekuwaje south Africa amepeleka slaa nawakati ni mwanachama wa brick
South Africa nae alipeleka siraha
Hapana, enzi za nyuma nchi mbalimbali zilizoendelea zilikuwa zinanunua silaha bora kwa nchi tofauti kwa lengo lakuangalia uimara na ubora wa silaha husika, hvyo Ukraine walizinunua silaha kutoka South Africa kabla ya mgogoro, so baada ya mgogoro Ukraine walilazimika kutumia silaha walizozinunua kutoka South Africa!
Nimekuelewa
Nato waingie mazima vitani kama wanaweza Ukraine hawezi kushinda kwa misaada
Hizo ni porojo Russia akuna kitu
Mashoga lazma muangamizwe
Bbc apo kama vile hajuwi kinachoo endelea
If you gave DJ asthma, he would explain it well
ASANTE URUSI TUKO PAMOJA
ndo watu wajue kua marecan awana nguvu mpaka wajiunge wote ndo wampige mtu mmoja sasa south African wanaingilia vita yanini wenyewe wangoje watakanyo tungulia na rashia wasije sema mrusia mbaya sema puttin angewapa combora za maana awamalize awa wazungu
Dj sma yuko wapi?
Yule ndio alikuwa vizuri mnooo
Anaumwa
Amnaaa kituuuu Aminiiii .... Watashindwaaa tuh n saw la mda, vitaa badooo
Vita bado mwaka pili huu we unajua vita ? Hata kuku anakupiga senene wewe
Wewe unaunga mkono mashoga WA magharibi hauna akili wewe
Ajitambui aende mwenyewe akaakikishe pimbi uyo
Ww mtoto shoga
Huyu ndio mchambuzi sasa sio yule jamaa kingereza kingi uchambuzi kidogo I HATE YOU
Putini ninoma
😂😂😂😂😂😂 Aibu kwao wamalekani, siku nyingi nilikua najua kwamba hakuna nchi ambayo itaweza kusimama na marekani kupambana kumbe sivyo Kuna nchi kama Russia walikuwa kimya Sana kumbe Sasa najua kwamba Russia ndiyo nchi tishio na wababe wa Dunia.🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪💪💪💪💪
Hizo ni Propaganda za kivita, Kwani Ukreni haijakamata Silaha za Urusi
Mashoga lazma muangamizwe
WAFANYAKAZI SMZ KICHEKO DR MWINYI MAMBO SAFI
th-cam.com/video/pWJy_Mv1mok/w-d-xo.html
Hii media ya Urusi nini? 😂😂
Ya kwako kwan?i😂😂😂
Nawe pia ni mrusi
HII NI MEDIA YA WATU WASIOTAKA KUDANGANYWA KAMA SISI. UKITAKA KUDANGANYWA NENDA BBC AMBAO WANAUME WA AFRICA YA MAGHARIBI AKINA TRAOLE WAMEWAFUNGIA KWA AJILI YA UWONGOWAO KUWADANGANYA WALIMWENGU ,WAKIWAPAMBA MAZUNGU WAONGO NAWASHENZI WANYONYAJI WWZI WA AFRICA. NAKUWACHAFUA WATU WEMA KAMA WARUSI WA IRANI WACHINA NA KOREA. AU PIA NENDA DE NA VOA UKADANGANYWE KAKA.
Huyo anafafanua kwa kuegemea upande mmoja na kidini zaidi
Dini Gani(
😂😂😂😂 Mwanzo mwisho hakuna dini iliyozungumziwa mzee
Acha zako waPi kaongelea udini jamaa yuko vizuri sana
Ww ni team mashoga
Ukraine dini gani na urusi dini?
Nyny niwasheheleshaj siowachambuz sjawai ona wachambuz wanahegemea upande mmoja
au sio...😂😂😂😂
Mashoga mnaumia
Hakuna mafanikio yoyote aliyopata hurusi acheni kubun bunimaneno yauwongo izostori nymnalala nakufkria nakuongea
Jifunze kuandika kwanza ndio uje kuongea😂
Hurusi ndio nchi Gani?😂😂😂
Wewe na ww unakisim kitochi em acha kuzingua ujui kitu mbwa kinyonyok ww
🇷🇺🇷🇺 tuko wote❤️
Uzao wa BBC news huna jipya kusoma hujui hata picha huoni
@@FerdinandCharles-ko7de hahahahaha matusi ya Nini?😂😂😂
Wakati haujui kuandika😂
KELELE KWA SNS WEWEEEEEEE YAANI KWA SASA HIVI CHANNEL ZILIZOBAKIA BABAISHO SNS KIBOKO YAO MI NIKO K.S.A SIBOEKI YAANI MI TAJIRI WA NES NIKIWA NA SNS MASJA
WALISEMA TUTAVIVUNJA KAMA TUNAVYOZIVUNJA NAZI😂😂😂