KAMANDA Mkuu UKRAINE akiri URUSI wanapiga balaa! MAREKANI yatuma mfumo wa PATRIOT kulinda anga

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 เม.ย. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 162

  • @ThisboyisgreatThisboyisg-in4gx
    @ThisboyisgreatThisboyisg-in4gx หลายเดือนก่อน +34

    RUSSIAN inapambana na NATO SIO UKRAINE

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน +4

      UPEW ULINZ WAKUTOSH

    • @Emmanuelwakwanza
      @Emmanuelwakwanza หลายเดือนก่อน +3

      Kweli bro unaona mbali 👊🏿

    • @evelynemugeni2369
      @evelynemugeni2369 หลายเดือนก่อน +1

      👏👏👏👏

    • @user-jh9yv1zp1l
      @user-jh9yv1zp1l หลายเดือนก่อน +1

      Urusi muhasi kaivamia nchi ya Ukraine alfu ww bwege unasifia ujinga wa urusi,hiyo sio muvi ni maish ya kwel watu wanakufa acha kihekehele kam mwanmke

    • @DoreenMwanga-dg7xp
      @DoreenMwanga-dg7xp หลายเดือนก่อน

      Huyu na yeye ni wa wapi​@@user-jh9yv1zp1l

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 หลายเดือนก่อน +10

    Marekani inchi mbaya zaidi duniani

  • @kijazi6506
    @kijazi6506 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera mchambuzi hakika, unazidi kuimarika..endelea kufanya tafiti...

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 หลายเดือนก่อน +5

    Ongera sana ndg mtangazaji ongera sana ndg mchambuzi yangu ni hayo tu.

  • @AbuuAli-nf4fb
    @AbuuAli-nf4fb หลายเดือนก่อน +12

    Silaha za mmarekani hazijatumwa Leo huu ni mwaka wa pili na yeye ndiye mdhamini wa vita za Ukrein lakini kama hazikufua dafu bado hata hizi wanazo tuma hazitawasaifia wajiandae kuporomoka ushoga hauwezi kutawala dunia

  • @jaylousbenedictor8891
    @jaylousbenedictor8891 หลายเดือนก่อน +8

    hakika mchambuzi anajua kueleza appreciation💪💪💪

  • @aminaali792
    @aminaali792 หลายเดือนก่อน +3

    Big ups to SNS asante kwa good updates love from UK

  • @lucasalbertomseti1578
    @lucasalbertomseti1578 หลายเดือนก่อน +2

    Ila bro @sky saizi unatisha Asante kwa habari zilizotukuka

  • @bogoheidaso2628
    @bogoheidaso2628 หลายเดือนก่อน +3

    Nakupata sana kaka

  • @josephmahona3006
    @josephmahona3006 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa anajua Sana kuchambua Kama dj smaa tu ✊

  • @emmanuellugola150
    @emmanuellugola150 หลายเดือนก่อน +11

    Putin nyoosha hao wahuni

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 หลายเดือนก่อน

      Piga kengeee hao vibaraka wa marekani

  • @user-is5pr5wf6c
    @user-is5pr5wf6c หลายเดือนก่อน +1

    Unajua mzee baba tuko pamoja

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 หลายเดือนก่อน +4

    NYOOSHA HAWO MASHOGA, WANAFIKI

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 หลายเดือนก่อน

      Piga kengee hao vibaraka wa marekani

  • @hukuUJERUMANI
    @hukuUJERUMANI หลายเดือนก่อน

    This analyst knows his onions.👍👍👍👍

  • @malickabbas8271
    @malickabbas8271 หลายเดือนก่อน +3

    Urusi hapigani na ukraine anapigana na Nato na USA

  • @ngadumbishi1405
    @ngadumbishi1405 หลายเดือนก่อน +3

    Ukraine ilishashindwa vita muda mrefu nyuma hii vita inayoendelea ni Urusi anapigana na wafadhili wa ukraine kisirisiri

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 หลายเดือนก่อน +3

    Russia akitoa kwenye Hii mission yake atakua ni taifa la kwanza litakalo uza silaha Kwa wingi duniani

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa mnajuwa aisee!!!

  • @christopherleonard1264
    @christopherleonard1264 หลายเดือนก่อน +2

    $10m sawa na Tsh 25.9b

  • @user-im7wv1dn4w
    @user-im7wv1dn4w 28 วันที่ผ่านมา

    Sky unajua sana

  • @CharafimalisalimoAli-qw3hk
    @CharafimalisalimoAli-qw3hk หลายเดือนก่อน +5

    KUMBE TUDHAMPATA DJ SMAA MWENGINE. KEAKWELI KAZI MZURI. MNAWAFUNGUA VIJANA. STS WASOMI WATSKAOINGIA MADARAKANI MISKA KUMI IJAAYO WATAKUA KAMS AKINA SAMORA MAGUFULI GADAFI MUGABE NK.

  • @ezekiambise2595
    @ezekiambise2595 หลายเดือนก่อน +5

    God bless russia

  • @deusisindwa616
    @deusisindwa616 หลายเดือนก่อน +2

    Hii chanei mwanzo nlikuwa naibeza kumbe mnawachambuz wazur

  • @fadhilimhagama2650
    @fadhilimhagama2650 หลายเดือนก่อน +3

    Ivi siku marekani inaweza ikatulia kwa miaka 5 tu dunia isiwe kwenye vita

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +2

    Javelin

  • @Supershopdubai-ck8td
    @Supershopdubai-ck8td หลายเดือนก่อน +1

    Kbs🇧🇮💐

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 หลายเดือนก่อน +1

    Dah

  • @champion11537
    @champion11537 หลายเดือนก่อน

    Ivi sky mnayongelea patriots zipi zile zilozotekwa na mrussi,

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน +3

    NAto ndio wanaopigana na Urus siyo ukreini

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 หลายเดือนก่อน

      Kabisaa watu awajashtukia ivi

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน

      @@mohamedslh5478 Nitangu vita imeanza, Ukraine pekeake ilikuwa haina uwezo wakipigana na mrusi hata kwa mda wa wiki mbili.

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 หลายเดือนก่อน +3

    Tayara naona kumeanza kuchangamka sasa

  • @issalyanali4119
    @issalyanali4119 23 วันที่ผ่านมา

    Marekani yeye mwenyewe hawezi pigana na Urusi bila support kutoka west Europe,,,, mfano marekani apigane na Urusi. Mimi nitakuwa upande wa urusi ndo upande wa ushindi

  • @onesmoaugustino2765
    @onesmoaugustino2765 หลายเดือนก่อน +1

    SNS kwangu ni chanzo maridhawa kwa sasa

  • @ismailjohn6108
    @ismailjohn6108 หลายเดือนก่อน +1

    Comboooo 🎉🎉🎉

  • @SaidyMwajeka-tr7oj
    @SaidyMwajeka-tr7oj หลายเดือนก่อน +1

    Jamaaa huyuu balaaa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything หลายเดือนก่อน +1

    ✌️👊👍.

  • @user-op5gz7vj6w
    @user-op5gz7vj6w หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤❤

  • @azizihfarijala5307
    @azizihfarijala5307 หลายเดือนก่อน +2

    fanya utafiti nchi ya kwanza kuwa na silaha kupiga settilait ni urusi na walifanya majaribio ya kupiga setilet yake

  • @talents7934
    @talents7934 หลายเดือนก่อน +2

    😂mimi tokea nimeskia vita ya Ukraine na Russia sijawahi kusikia Mrusi kapigwa au kuna maeneo flani ya Mrusi yamechukuliwa na Ukraine Putini ni master minded ana high IQ kubwa sana viva putin viva people of Russia we African loves you much especially Tanzania, S. African and other African countries much love Putin. Please Soldiers Take much care for this Man the world need this man 💪🏿💪🏿💪🏿

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 หลายเดือนก่อน

      Kuna maeneo alipoteza aliyoyateka mwanzo. Unasikiliza wanaosifia habari za ushindi wa Urusi tu akina Dj Sma

  • @user-lv1ki7nn7t
    @user-lv1ki7nn7t หลายเดือนก่อน +1

    Good job Russia ❤❤❤❤❤

  • @aminata3702
    @aminata3702 หลายเดือนก่อน +1

    Vita zote za nn

  • @abdullahnassor9433
    @abdullahnassor9433 หลายเดือนก่อน +1

    Misheni hiyo ni kuondoa wanajeshi na sasa wanaiondoa kijeshi NATO kwa kiasi kikubwa

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 หลายเดือนก่อน +1

    Putin ni sawa na kuchoma sindano kwenye jiwe hutoboe.
    Jama ni babalaoooo

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr หลายเดือนก่อน +6

    sasa sky ndomuandike URUSI wanapiga balaa! 😀😀😀😀😀

    • @Agath45
      @Agath45 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂 hatar

    • @mohamedslh5478
      @mohamedslh5478 หลายเดือนก่อน

      Sinikweli mtu anatandikwa uko vibaya sanaaa

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 หลายเดือนก่อน +1

    Bdo Sana wanajuwa mxiki wa Putin 😊

  • @AliAli-hs8si
    @AliAli-hs8si หลายเดือนก่อน

    Naam

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 29 วันที่ผ่านมา

    Mrusi ana nguvu kubwa sana hataacha marekani asingalimweza Mrusi maana wanashirikiana lkn bd wanapigwa

  • @cchimodzi3858
    @cchimodzi3858 หลายเดือนก่อน +1

    Jamaa amajua vitu Vingi balaaa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +2

    Tu50 imelipuliwa ya mrusi zaid ya tilion200 usem

    • @ZeitunAbdi-jk2tw
      @ZeitunAbdi-jk2tw หลายเดือนก่อน +2

      Ni TU.22 but Haina uhakika ni Ukraine ndo ina sema ivo

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo หลายเดือนก่อน +1

    Uyu mchambuzi mwanzo watu walimdharau ina leo nmeamin anajua. Ni vile alikua bado hajawa confident

  • @musasaguti4760
    @musasaguti4760 หลายเดือนก่อน +1

    Mmagharibi anakipata😂😂😂😂

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 หลายเดือนก่อน +1

    Urusi piga mashoga hayo

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 หลายเดือนก่อน +1

    Urusi apewe Dunia yake sio kwa uwezo alionao S-500 hii ni habali nyingine ktk vita

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Atacms ya masafa marefu

  • @georgemusikula3952
    @georgemusikula3952 หลายเดือนก่อน

    Wacha wa kubonde nguo ya kuazima haisitiri matako

  • @amirjuma9395
    @amirjuma9395 หลายเดือนก่อน

    Ongera mchambuzi upo vizuri sio wengine wanapotosha

  • @LukaShenko-py6dt
    @LukaShenko-py6dt หลายเดือนก่อน +1

    러시아 바바 라어

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 หลายเดือนก่อน +1

    Hizo ni Propaganda za Kivita nyie hamwezi jua,Wazungu wao ndo wwanajua kuliko sisi au nyie

  • @daudinyello4033
    @daudinyello4033 หลายเดือนก่อน +1

    RUSSIA vs U.S and NATO not UKRAINE

  • @user-eb7oi2bx6s
    @user-eb7oi2bx6s หลายเดือนก่อน

    Jamaa anachambua vizuri sana sio kibaraka wa warabu yure sijui dj nani 😂😂😂

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 หลายเดือนก่อน +2

      Tofautisha Katia Vita vya Ukraine na Russia Na vita Ya Palestine Na Mayahudi Ni Vita Mbili Tofaut Kabisa wala Uwezi kuvilinganisha Sema DJ Anapo Chambua Vita Ya Mayahudi Na Palestine Wengu Wetu Hasa MAKAFIRI Yani Wakiristo Awataki Ukwel Badala yke Wanataka Kumkandamiza Palestine Kma Anavyo Fanya Mayahudi Kitu Ambacho Akipo Kwenye Uwalisia

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Tunasubir slaa

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 หลายเดือนก่อน

    ALLY MASUB HUWA NAMUELEW ZAID KULKO DJ SAMA

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂 Sipati picha mashoga wanavyo umiya myoyo wakiskia urusi anazidi kufanyikiwa😂😂 Uraaa wakoloni watakoma awamu hii

  • @rabomunde3550
    @rabomunde3550 หลายเดือนก่อน +1

    Yes putin

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    S300 400 imelipuliwa na ukrane usemi

    • @salehkhalfan7345
      @salehkhalfan7345 หลายเดือนก่อน

      Kwan kasema vitu vyote vinavyoendlea ktk uwanja wa vita? Patriots, atacms, leopard etc ngp zimeripuliw na Urusi
      Hata hvo ww umeshawakilisha

  • @Masele85207
    @Masele85207 หลายเดือนก่อน +1

    🇹🇿🇹🇿🇷🇺🇷🇺💪

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 หลายเดือนก่อน +1

    Piga humo humo putin i love u

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 หลายเดือนก่อน +1

    Uraaaaaaaa 🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪

    • @ramadhankilango9088
      @ramadhankilango9088 หลายเดือนก่อน

      Safi Sana uchambuzi na sauti ya mtangazaji, ingieni dipu kutafta habari mnaweza kuongoza chanel ni nyingi, umenifrahisha kutaja zile droni zinazoharibu Abram wanaziita za kuzurula ani znapta chinichini kwe vichaka na miti kutafta vifaru na kuviharibu ki urahisi tu

  • @khadijaalimohd1320
    @khadijaalimohd1320 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😅😅

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Kisima kimelipuliwa cha urusi

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp หลายเดือนก่อน

      Sio kma urusi hapat hasar ndugu ila ukraine 🇺🇦 anapata Zaid ya Mara 10 ya urusi sio kisima cha mafuta t mpk juzi ukraine kabwaga TU-22 ila ukiona hivo bc jua urusi kashabwaga 10 hap maaan urusi kabomoa mabwawa mengi ya umeme ya urusi pia kitambo san urusi alichukua kinu cha nuclear cha ukraine na still anaongeza eneo kila uchao hio ndio tafuti ya maumivu ya urusi na ukraine na billion 300 alizopewa tangia vita vianze bc na bado anapoteza maeneo

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx หลายเดือนก่อน +1

    Putin piga kabla hazijafika

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    S400 yalipuliwa na ukrane

  • @kikongajoel2693
    @kikongajoel2693 หลายเดือนก่อน

    Putin tunakuombea ushindi vita

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 หลายเดือนก่อน

    Mrusi ana haha ajui afanyeje vita alisema wiki mbili Sasa miaka miwili alafu mnasema eti mrusi apati asara kwenye vita hivi nyie wachambuzi garama ya vita sio mchezo bosi na yeye anaasara kibao anakosa usingizi angalia kule Gaza awaamini wamelianzisha wao kilichowakuta ni majanga sanaa🙆🤭🤭🤭😂😂

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Kisima cha mafuta cha urusi kimeripuliwa

    • @JohnCage-we6tp
      @JohnCage-we6tp หลายเดือนก่อน +2

      Ndio sio km urusi hapat hasar anapat ila anasonga mbele san juzi tu ndege yake ya TU-22 walipiga lkn ukirazm hio mmoj bc jua ukraine zao 5 zipo chini hio ndio tafauti kubwa ukraine amepewa msaad Dolar 300billion ila pado urusi amengeza eneo Zaid

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน +1

      ​@@JohnCage-we6tp hivi unajua maana ya us 300 bilion au ulikuwa unamaanisha 300 milion

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Kwaiyo

  • @Gonga94tz
    @Gonga94tz หลายเดือนก่อน

    Bado hawaja sema

  • @mrjohn4446
    @mrjohn4446 หลายเดือนก่อน

    Ukraine is a checker board , where Russian and NATO (USA) play chess on top.

  • @alisaid9920
    @alisaid9920 หลายเดือนก่อน

    Russia piga hao manyag'ao

  • @Ally-qi7xo
    @Ally-qi7xo หลายเดือนก่อน +1

    🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦💯❤️

  • @user-vd1kq8xo7d
    @user-vd1kq8xo7d หลายเดือนก่อน +1

    Viva putin

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz หลายเดือนก่อน

    Vita bado mbichi.

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Bmp za urus 3za ripuliwa na ukrane ujatangaza

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

    Mashoga marekani na washirika wake na mashoga Israel lazma wangamizwe

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Uwongo

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 หลายเดือนก่อน

    Urusi anajua akifanyacho tusubiri dk90nani anaondoka na aibu?

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Ukraine atashinda

    • @HamzaMbasha
      @HamzaMbasha หลายเดือนก่อน +1

      Watazuia tuu hila sio kumpiga Rusia haiwezekani

    • @kakorejrboyz6447
      @kakorejrboyz6447 หลายเดือนก่อน

      Maviii Ukraine ampige urudi

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Ww mtoto lishoja

  • @barackbrysonramsey
    @barackbrysonramsey หลายเดือนก่อน

    Blog ya kidaku

  • @khamisabdi723
    @khamisabdi723 หลายเดือนก่อน

    watanyooka manyang`au wanabeap fire cio watakiona cha moto, washawahikusikia mrusi kushindwa vita vya kijeshi? wataisoma namba ya putin mzee wa kazi kazi wala cio mandazi

  • @SangaNjiwa
    @SangaNjiwa หลายเดือนก่อน

    R to

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Bmp Ukraine kalipua usemi

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Amna arie rudsha uwongo

    • @joshuagaspary5561
      @joshuagaspary5561 หลายเดือนก่อน

      Kakojoe ulale mwathirika wa kimagharibi

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

    Nato ni umoja wa mashoga

  • @MAHAN-099
    @MAHAN-099 หลายเดือนก่อน +2

    Mwana kulitafuta mwana kulipata

  • @lovsply
    @lovsply หลายเดือนก่อน

    Huyo jamaa muongo… 😂😂😂

    • @sultanbakary4292
      @sultanbakary4292 หลายเดือนก่อน +1

      Ukweli ni upi tuambie

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน +2

      @lovsply ww dili na mahafuriko huko kwenu hiz habar za vita tuachie cc

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Mashoga lazma wangamizwe

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    T72 ya mrusi ina aribiwa usemi

    • @mfaumeally4476
      @mfaumeally4476 หลายเดือนก่อน

      Wewe sema

    • @issalyanali4119
      @issalyanali4119 หลายเดือนก่อน

      Tumia akili ,,tunaangalia weight nani anapoteza zaidi,,,,, unafikiri Simba akicheza na Liverpool unafikiri kibu hatapiga shuti kuelekea lango la Liverpool,,,,ila conclusion tuta evaluate nani kapoteza

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 หลายเดือนก่อน +1

    Vita propaganda! Mimi naishi ulaya huku wanaisifia ukraine anampiga urusi wakati afrika wako na urusi

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 หลายเดือนก่อน +2

      Nchi gani ulaya..? wakati kila kukicha watu wanaandamana na wanaonyesha dhahiri kuikataa Ukraine, mgomo wa wakulima, ukweli ni kwamba Ukraine haipigani na Urusi bali vita inayopiganwa Ukraine ni vita kati ya marekani nato vs urusi na bado hawafui dafu yani ni anguko kubwa kwa NATO 😅😅😅😅

    • @obedpeter6874
      @obedpeter6874 หลายเดือนก่อน +1

      Ulaya na vyombo vyao vya habari awawezi kusema kua wanakufa wanaficha

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 หลายเดือนก่อน

      Upo kwa mashoga naww choko nn

  • @kisabihamadi7555
    @kisabihamadi7555 หลายเดือนก่อน +3

    Acha wapigwe,,maana wamekubali kuwa vibaraka

  • @paskalijanja7925
    @paskalijanja7925 หลายเดือนก่อน

    Urus ni taifa kubwa kwa silaa lakini anpigana na nchi ndogo kivita alafu kwa anga yake uwezi kuifikia pili silaa anazo jirani kwakawaida alitakiwa awe ameshaiteka nchi yote vita imekuwa ngumu kwake ata yeye ananunua kwa ilan kwa korea kaskazin

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns หลายเดือนก่อน +1

      Nani kakuambia anapigana na nchi ndogo.... Urusu anapigana na NATO

    • @rosemarymwanitega7926
      @rosemarymwanitega7926 หลายเดือนก่อน +1

      Hapigani na nchi ndogo ndugu hapo ni nato anapigana nao kwa mgongo wa ukraine

    • @ramadhanrobin-st6hh
      @ramadhanrobin-st6hh หลายเดือนก่อน +1

      Ukraine siyo nchi ndogo kijeshi mtu aliyekuwepo top 20 military global rank huwez kusema n nchi ndogo acha kuongea vitu usivo vijua ukraine anajeshi imara ata Ulaya wanatambua ilo ko kitu anachofany urusi n kitu kigumu huwez pgna kijeshi,kiinteligensia na kiuchumi na nchi za ulaya bado ukawa na nguvu

    • @FerdinandCharles-ko7de
      @FerdinandCharles-ko7de หลายเดือนก่อน +1

      Na bado hajatumia sila nzito kama nyukria marekani anaogopa sana mrus akitumia nyukria

    • @rajabumohamed1468
      @rajabumohamed1468 27 วันที่ผ่านมา

      Hawa urusi Kuna side effect kumaliza vita haraka atalazimika kutumia silaha.ambazo hajatumia.pia NATO wanatumia Akili sana lengo lao wamdhoofishe kwanza urusi wakishajihakikishia kaelemewa ndo waingieila kwa sasaiv NATO hawzi kuingia bado wanasoma silaha alizo nazo mrusi kwanza

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน +1

    Urusi waache wenge wasubir majibu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 หลายเดือนก่อน

    Putin afe

    • @shiraziibrahim9709
      @shiraziibrahim9709 หลายเดือนก่อน

      Kila mbuzi atakula urefu wa kamba ,urefu wa kamba yake ukifika atakufa same to me and you,itanihuzunisha ukitangulia kabla ya huyo unaemtaka afe

  • @user-ol7nz6ii7u
    @user-ol7nz6ii7u หลายเดือนก่อน +1

    Waache wasapot vita, wachina wanafanya biashara mwisho itajulikana