Ni kweli kabisa. Hapo pa kuweka watu wasio na sifa pameangusha watu wengi. Wanazoazoa tuu ndugu wasio na sifa wala taaluma wanajaza kwenye miradi au makampuni. Mwisho yanakufa
Kaka Joel hongera sana, masomo yako very standard na binafsi nafaidika, nawaalika watu wasikilize tuwe na jamii yenye uongozi dhabiti kwa maslahi chanya ya wote, congratulation alot brother
LION OF YUDAH Waebrania 10:35-37 Mungu atupe HEKIMA ya Kujenga UFALME wake (Isaya 11:2, Waefeso 3:20)
Asante sana Umenisaidia Mwalimu wangu akubariki mno.
Huwa Nina download video zako sio kuangalia TU, 🙏🙏
Moja ya Siku Inanipa Nguvu
Ni Kusikiliza Sauti yako Brother
Ubarikiwe
Ni kweli kabisa. Hapo pa kuweka watu wasio na sifa pameangusha watu wengi. Wanazoazoa tuu ndugu wasio na sifa wala taaluma wanajaza kwenye miradi au makampuni. Mwisho yanakufa
hongere nimejifunza sn
Hizi ni point@ asante sn Joel kwa elimu.
Nakukubali kaka Joel 🙏 💯
kiongozi hatakiwi kuwa mkali anatakiwa awe na busara
Kitabu kuhusu uongozi
Brother joel hii ya kiongozi kutenda tofauti na sera zake ndo tatizo kubwa c wa kidn, siasa nk
No 4 kaka jower najitahidi san kulizigatia kwa umakin san
Umebarikiwa sana kaka Joel, asante nimejifunza kitu kikubwa sana hasa pointi ya 3. Nita-share na wengine wajifunze pia.
Kaka Joel Nanauka...💪💪 Nimejifunza kitu hapa sanaaa
Unatubariki sana kaka yangu, natamani kuonana na wewe kwa ajili ya kujifunza mengi kutoka kwako...samahani nakupataje.
Viongoz wengi wanadil na m2 na sio kaz zao
Honestly I admire how you use these short clips to deliver packages..you are blessed bro
Nimekuelewa sana nataka kupakua nafanyaje
Safi sanaa
Hizi ni changamoto kubwa sana za viongozi wetu hasa wa Africa
Kaka Joel hongera sana, masomo yako very standard na binafsi nafaidika, nawaalika watu wasikilize tuwe na jamii yenye uongozi dhabiti kwa maslahi chanya ya wote, congratulation alot brother
Ubarikiwe sana, ukweli nikwamba viongozi wengi hawataki lawana
Umenifanya kumkumbuka MAGUFULI!
Asante sana kaka nimejifunza pakubwa sana
Kaka unanielekeza sana kwenye maisha yangu
3 kuweka watu wasio sahihi
Asante sana kaka nimejifunza sana
Asante kaka unanifanya nazid kua Bora
Hongera sana kwa kazi nzuri
Ipo vyema
Nimekuelewa vyema Mwalimu 🙏
Asante sana
💝💝💝💝💝💝💖💖💖💖
Nakuelewa sana Mr
Safi sana
Safisana bwana Joel
Tunakuchukuru sana
Ahsante sana kaka
Kiongozi ni mfano bora
Asante sana kaka. Somo muhimu sana sana sana!!!!
💔
👏👏
Asante broo
Majivuno
Erimu Nzuri
Fsntastic
Kushindwa kuweka watu sahihi nimeielewa na imeniumiza sana
Upo na madini makini sana kila siku najifunza kwako
Npo keen
👊