Hata mimi.Nampenda sana Magufuri,na nakupenda sanq Makonda.Huogopi mtu,na ndio mwanaume anatakiwa awe.Na sio kuwa chawa na kuliangamiza Taifa kwa uchawa wao.Mungu akubariki sana Makonda.
viongozi wa ngazi za juu serikalini wanafanya kazi nzuri ila huku chini kuna baadhi ya viongozi wanaokandamizi sana wananchi ndio maana akipatikana kiongozi anaewatetea kama makonda, jpm na wengine wanyonge wanawaona kama taa ya matumaini yao, niombe serikali yangu sikivu ishuke kwa wananchi wachini
Charles willium × Zungu ni firee🔥🔥🔥
Saluti sana zungu ikiwezekana toa mpya Kila siku
Hata mimi.Nampenda sana Magufuri,na nakupenda sanq Makonda.Huogopi mtu,na ndio mwanaume anatakiwa awe.Na sio kuwa chawa na kuliangamiza Taifa kwa uchawa wao.Mungu akubariki sana Makonda.
Amen bado anaishi ndani yako na ndani yetu.
Amina sana rc makonda magufuli ❤❤❤❤ mungu amlaze mahali pema
Makonda awe raisi 2025 mkimuweka samia mmeisha ccm chali hamtaamini macho yenu
👊✌️🇹🇿
viongozi wa ngazi za juu serikalini wanafanya kazi nzuri ila huku chini kuna baadhi ya viongozi wanaokandamizi sana wananchi ndio maana akipatikana kiongozi anaewatetea kama makonda, jpm na wengine wanyonge wanawaona kama taa ya matumaini yao, niombe serikali yangu sikivu ishuke kwa wananchi wachini
Jembe letu wewe ndie kiongozi mwenye uthubutu, kiatu cha magufuli kimekutisha tuna Imani nawewe,,
Alisema kweli tupu wanomfuatilia makonda hamtanikiwa Mungu anamlinda
Mwambaa
D2N ACHENI FITINA DHIDI YA MAKONDA.
Makonda
Huyu ni kichwa cha mwendawazimu hafai hata kuwa nyumba kumi ataachanisha ndoa za watu
Kichwa chako hakipo sawa
Mamako
Magu ametuacha tunabaki na wewe makonda tunaimani na wewe