ALLY KAMWE" SIMBA WAMEMPIGIA SANA MAGOTI CHAMA/HAWEZI KUCHEZA SHIRIKISHO/UBINGWA WA AFRIKA NI WETU
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
- Mashabiki wa Yanga Sc Leo July 1,2024 wamefanya hamasa ya kuzunguka na kuimba mara baada ya siku ya Leo Timu hiyo kumtambulisha aliekuwa mchezaji wa Simba Sc clatous chota chama.
- กีฬา
Kijana natoa ushauri ngao yà Jamii iwe CHAMA's DAY.
Hii imeenda msemaji wetu weka signature kabisa hapa
Nzur sana hii chuma hiki.. Simba nguvu moja
Ally Kamwe ,, Prince Dube tunamtaka mnoooo
Yanisimba mchanganyikiwa Simba bado mlikuwa mnapenda sema alishagoma kusaini na hataangekuwa na mkataba msingetuuzia ndio tabia zenu vumilieni tu acheni majungu
Kuondoka kwa chama sio mwisho wa simba mzee
Kolo kumi zinakuhuxu
Mwenyezimungu twakuomba mlaze mahala pema amii😢😢😢
Mwenyezimungu twakuomba mlaze maala pema yussuph manji amii😢😢😢
Rip manji mw mng akupumzishe mahali pema peponi wakati yupo madarakan alifanya wananchi tuwe na furaha muda wote yanga ilikua ya makombe kama ya GSM tutakukumbuka daima shujaa wetu mbele yako nyuma yetu akika wote ni wamwenz mngu na kwake tutarejea.
Hakika Yanga tumempoteza kiongozi jasiri aliyeipenda Yanga kwa moyo wake wote!
Hicho kikosi ulichokitaja kuna timu zitaogopa kuingiza timu uwanjani😅😅😅😅😅
Ayaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
ila ali kamwe ni chizi kabsa😂😂😂
sawa sis tulimsimanga hata nyie mtamsimanga2 then atakumbka nyumbani usilale namke wamtu ipo siku atamkumbka mmewe
Aaah 😂😂
Kuongea2 kuoga aaaah
Alikamwe siomzima
Kwan chama nani wachezaji wangapi wamepita. Simba utopolo furahini kwa sababu mmechukua mchezaji. Kutoka. Club. Kubwa. Ndio maana mna furahi
Mbona mnachukua walio maliza mikataba si mvunje mkataba
Tuliza mtori nyama zipo chini.
Ali kamwe akili hana
Mwachen chama aende huko
Na bado
😂😂😂 Ayaaaaaah
Mamake maji wataita mma
Tukumbuke kumrehemu Yusuph Manji kwa hitma pale klabuni
Uko anaenda kuuwa kipaji chake sio kwa ushirikina uliokuweppoooo pale nyuma mwiko atajuta kwenda uko
Alikamwe ungea kwa staa
Siku zinahesabika
Anawagawa wachezaji sasa
Gazeti tusha lisoma miaka7 leo mnataka kweli hamjielewi,,,,,
wee ndo hujielewi hahahahaha
@@user-iz3hs8jl5p kazi yenu kungoja tuwachoshe wakishuka bei muwaokote halafu mnatulingia uo ni ushamba
Huu ni ushamba
Usajili wa kifala kuwahi kutokea
Hatununi nahatutanuna tunajuwa yupo kazini 2
Kuwakera tuuuu
Kungekuwa naugumugani kumpata Mzee bwana Acha ubwege wewe
kulen mjane, ss tunatafuta mwali
Wajane watamuuuuuu
Free agent!!? Zogo? He!! Nchi Ina wapenzi wajinga kweli hii
Nikiwepo na Mimi 😂😂😂😂 ila ujinga Raha sana
Mbappe anaend madrid as free agent na madrid wana shangwe balaaa itakua sisi
Bado hamjasema na mtasemaa
Koloooooooo
Kwani ngoma na babaake saar muliwanunua?