ALLY KAMWE" SIMBA WAMEMPIGIA SANA MAGOTI CHAMA/HAWEZI KUCHEZA SHIRIKISHO/UBINGWA WA AFRIKA NI WETU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มิ.ย. 2024
  • Mashabiki wa Yanga Sc Leo July 1,2024 wamefanya hamasa ya kuzunguka na kuimba mara baada ya siku ya Leo Timu hiyo kumtambulisha aliekuwa mchezaji wa Simba Sc clatous chota chama.
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 48

  • @dahelahmad6331
    @dahelahmad6331 2 วันที่ผ่านมา +6

    Kijana natoa ushauri ngao yà Jamii iwe CHAMA's DAY.

    • @robertnyangasa3758
      @robertnyangasa3758 วันที่ผ่านมา

      Hii imeenda msemaji wetu weka signature kabisa hapa

  • @rubenemanuel2240
    @rubenemanuel2240 2 วันที่ผ่านมา

    Nzur sana hii chuma hiki.. Simba nguvu moja

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 วันที่ผ่านมา

    Ally Kamwe ,, Prince Dube tunamtaka mnoooo

  • @makamahenge1347
    @makamahenge1347 2 วันที่ผ่านมา +5

    Yanisimba mchanganyikiwa Simba bado mlikuwa mnapenda sema alishagoma kusaini na hataangekuwa na mkataba msingetuuzia ndio tabia zenu vumilieni tu acheni majungu

  • @user-np4om6hz4m
    @user-np4om6hz4m 2 วันที่ผ่านมา +2

    Mwenyezimungu twakuomba mlaze mahala pema amii😢😢😢

    • @user-np4om6hz4m
      @user-np4om6hz4m 2 วันที่ผ่านมา +1

      Mwenyezimungu twakuomba mlaze maala pema yussuph manji amii😢😢😢

  • @user-ug1nv3xl4d
    @user-ug1nv3xl4d 2 วันที่ผ่านมา +2

    Rip manji mw mng akupumzishe mahali pema peponi wakati yupo madarakan alifanya wananchi tuwe na furaha muda wote yanga ilikua ya makombe kama ya GSM tutakukumbuka daima shujaa wetu mbele yako nyuma yetu akika wote ni wamwenz mngu na kwake tutarejea.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 วันที่ผ่านมา

      Hakika Yanga tumempoteza kiongozi jasiri aliyeipenda Yanga kwa moyo wake wote!

  • @bbanyikwa
    @bbanyikwa 2 วันที่ผ่านมา

    Hicho kikosi ulichokitaja kuna timu zitaogopa kuingiza timu uwanjani😅😅😅😅😅

  • @JohnMagofi
    @JohnMagofi 2 วันที่ผ่านมา +3

    Ayaaaaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂

  • @jovinmashauri7883
    @jovinmashauri7883 2 วันที่ผ่านมา +1

    ila ali kamwe ni chizi kabsa😂😂😂

  • @silasjacob-j2l
    @silasjacob-j2l 2 วันที่ผ่านมา

    sawa sis tulimsimanga hata nyie mtamsimanga2 then atakumbka nyumbani usilale namke wamtu ipo siku atamkumbka mmewe

  • @Andrew_Kibasa
    @Andrew_Kibasa 2 วันที่ผ่านมา +3

    Aaah 😂😂

  • @FredyCharles-sz4gr
    @FredyCharles-sz4gr 2 วันที่ผ่านมา +1

    Kuongea2 kuoga aaaah

  • @SylivesterKilunga
    @SylivesterKilunga 2 วันที่ผ่านมา +1

    Alikamwe siomzima

  • @HappymassaoMassao
    @HappymassaoMassao วันที่ผ่านมา

    Kwan chama nani wachezaji wangapi wamepita. Simba utopolo furahini kwa sababu mmechukua mchezaji. Kutoka. Club. Kubwa. Ndio maana mna furahi

  • @leonidaskyarubota8145
    @leonidaskyarubota8145 2 วันที่ผ่านมา +3

    Mbona mnachukua walio maliza mikataba si mvunje mkataba

    • @user-bk4ug8tj3n
      @user-bk4ug8tj3n 2 วันที่ผ่านมา

      Tuliza mtori nyama zipo chini.

  • @MagrethMoleli-py3zu
    @MagrethMoleli-py3zu วันที่ผ่านมา

    Ali kamwe akili hana

  • @BarakaMlowe
    @BarakaMlowe วันที่ผ่านมา

    Mwachen chama aende huko

  • @yusuphenock673
    @yusuphenock673 2 วันที่ผ่านมา

    Na bado

  • @rukiamtego
    @rukiamtego 2 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂 Ayaaaaaah

  • @ZarafiAlly
    @ZarafiAlly วันที่ผ่านมา

    Mamake maji wataita mma

  • @fadhirhemed5740
    @fadhirhemed5740 วันที่ผ่านมา

    Tukumbuke kumrehemu Yusuph Manji kwa hitma pale klabuni

  • @MagrethMoleli-py3zu
    @MagrethMoleli-py3zu วันที่ผ่านมา

    Uko anaenda kuuwa kipaji chake sio kwa ushirikina uliokuweppoooo pale nyuma mwiko atajuta kwenda uko

  • @ZainabShomary
    @ZainabShomary 2 วันที่ผ่านมา

    Alikamwe ungea kwa staa

  • @kombosiwa423
    @kombosiwa423 วันที่ผ่านมา

    Siku zinahesabika

  • @tonymmbando4015
    @tonymmbando4015 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Anawagawa wachezaji sasa

  • @OMARYJUMANNEMWINYIHERI
    @OMARYJUMANNEMWINYIHERI 2 วันที่ผ่านมา

    Gazeti tusha lisoma miaka7 leo mnataka kweli hamjielewi,,,,,

    • @user-iz3hs8jl5p
      @user-iz3hs8jl5p วันที่ผ่านมา

      wee ndo hujielewi hahahahaha

    • @OMARYJUMANNEMWINYIHERI
      @OMARYJUMANNEMWINYIHERI 23 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      @@user-iz3hs8jl5p kazi yenu kungoja tuwachoshe wakishuka bei muwaokote halafu mnatulingia uo ni ushamba

  • @christophermpogole4944
    @christophermpogole4944 วันที่ผ่านมา

    Huu ni ushamba

  • @JumaNdalla-wk4rh
    @JumaNdalla-wk4rh 2 วันที่ผ่านมา

    Usajili wa kifala kuwahi kutokea

  • @chikualiy8705
    @chikualiy8705 2 วันที่ผ่านมา

    Hatununi nahatutanuna tunajuwa yupo kazini 2

  • @meshackmwalongo9798
    @meshackmwalongo9798 2 วันที่ผ่านมา

    Kungekuwa naugumugani kumpata Mzee bwana Acha ubwege wewe

  • @user-qq5ze4lp7m
    @user-qq5ze4lp7m 2 วันที่ผ่านมา

    kulen mjane, ss tunatafuta mwali

  • @binbadru8408
    @binbadru8408 2 วันที่ผ่านมา +1

    Free agent!!? Zogo? He!! Nchi Ina wapenzi wajinga kweli hii

    • @SebaProcess
      @SebaProcess 2 วันที่ผ่านมา

      Nikiwepo na Mimi 😂😂😂😂 ila ujinga Raha sana

    • @mchox1679
      @mchox1679 2 วันที่ผ่านมา +2

      Mbappe anaend madrid as free agent na madrid wana shangwe balaaa itakua sisi

    • @user-bk4ug8tj3n
      @user-bk4ug8tj3n 2 วันที่ผ่านมา +1

      Bado hamjasema na mtasemaa

    • @user-bk4ug8tj3n
      @user-bk4ug8tj3n 2 วันที่ผ่านมา

      Koloooooooo

    • @IddyAmir-gq1jr
      @IddyAmir-gq1jr วันที่ผ่านมา

      Kwani ngoma na babaake saar muliwanunua?