KUSHUGHULIKA NA MADHABAHU ZINAZOITWA WANADAMU ILI UPENDELEWE KATI YA ADUI ZAKO-DAY 1(14/11/2022)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ส.ค. 2024
  • Bwana Yesu asifiwe,
    Tunamshukuru Mungu kwa ajili ya huu mwezi na KUPENDELEWA KATIKATI YA ADUI ZETU,
    Na wiki hii Mungu ametupa neema ya kuanza kushughulika na madhabahu zinazoitwa WANADAMU,
    Hawa ni wale watu ambao wao ndio wana maamuzi juu ya maisha ya watu kwenye level mbali mbali na hakuna anaeweza kuwabishia,
    Watu hawa wameharibu maisha ya watu maana wengi huwa si wenye haki na wana maamuzi yanayowapa faida wao...kwenye hii wiki Mungu atashughulika na kila watu wa aina hiyo...
    Na leo ikiwa ni siku ya KWANZA,
    Maombi yatatumwa kwenye groups na yatakuepo TH-cam kuanzia sasa...LAKINI MAOMBI YOTE YA SIKU ZINAZOFATWA YATAOMBWA USIKU KUANZIA SAA SITA MPAKA SAA TISA ,kwa mtu akicheelewa ndio anaweza kuomba mda mwingine wowote
    Leo tutashughulika na KILA ADUI ANAEJIFANYA RAFIKI NA KUKUKANDAMIZA..
    Wote wanatoka kwenye maisha yako kwa jina la Yesu...AMEN

ความคิดเห็น • 7