Mt. Yohane Paul II Alivyopokelewa na Hayati Kardinali Rugambwa 1/9/1990 na Kuhutubia Kanisa Kuu

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
  • Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    Jumuika nasi katika mitandao mingine ya Kijamii:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    Mawasiliano:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #miaka30mt.yohanepauloiitz #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

ความคิดเห็น • 110

  • @user-hq5ke1cc7j
    @user-hq5ke1cc7j หลายเดือนก่อน

    Mt.Yohani Paulo wa LL hautasahaulika Tanzania. Utuombee Kwa Mungu Na Mama Bikira Maria. Nchi yetu Iendelee kuwa Na Amani. Amina.

  • @anuaritemndeme7832
    @anuaritemndeme7832 ปีที่แล้ว +2

    Nampenda Sana huyu Baba, Asanteni jugo media kutukumbusha furaha hii. Nilikuwa darasa la nne tulisikiliza misa yake kwenye radio tukiwa misa yetu ya kipindi cha dini. Padre Edwin apumzike kwa amani, Mtakatifu Yohane Paulo wa pili utuombee. Nimefurahi Sana

  • @ezekielawaree9660
    @ezekielawaree9660 3 ปีที่แล้ว +8

    Tulipata baraka ya pekee asantè sana Mh,Ally Hassan ,kwa kutuletea Kiongozi mkubwa sana sana duniani Mungu akubariki Amina.

    • @oscarfilimbi5717
      @oscarfilimbi5717 ปีที่แล้ว

      Hakika tulipata baraka sana ktk nchi yetu kutembelewa na kiongozi mkubwa kabisa kabisa duniani,ulimwengu wote ulikuwa ukifuatilia ujio wake,ni Mtakatifu hasa,alikuwa na nguvu za ajabu alipita karibu yangu mwili wangu ulitokwa na jasho ghafla,pumzika kwa amani Baba Mtakatifu Yohane Paul wa Pili.

  • @sabinusmalima3051
    @sabinusmalima3051 ปีที่แล้ว +2

    Mzee Mwinyi alichokifanya kumpokea kiongozi wa mkuu wa wakatoliki duniani ni ukomavu wa uongozi na imani yake. Aombewe maisha mzee wetu na viongozi wetu wa sasa wapate cha kujifunza.

    • @user-nk7gw1mn3o
      @user-nk7gw1mn3o 2 หลายเดือนก่อน

      Kabisa Mzee mwinyi nilimkubal

  • @henrylugongo632
    @henrylugongo632 3 ปีที่แล้ว +5

    Ni nchi ya Tanzania tu ndo Alitembea kwa AMANI,Kuliko nchi zote Alizotembelea,MWENYEZI MUNGU AMLEHEMU PAPA J,II 🙏🙏🙏

  • @kabembamartin4489
    @kabembamartin4489 3 ปีที่แล้ว +5

    Ziara iliyotukuka ya mtakatifu yohane Paulo wa Pili. Hongera mzee Ali Hassan kwa kumleta nchini

  • @vendelinmassawe1795
    @vendelinmassawe1795 4 หลายเดือนก่อน

    Dah... Kifo bhana, hakika aridhi inameza kwa kweli asilimia zaidi ya 80% walioko hapo wako katika nyumba zao za milele. (wako kwenye mashimo ya makaburi.)😢😢😢😢😢

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 ปีที่แล้ว +1

    Asante Mungu kuanzisha Kanisa moja, Takatifu, Katoliki, la Mitume.

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 ปีที่แล้ว +1

    Mungu asante. Nchi yetu ilitembelewa na Mtakatifu tuliyeishi naye. Mtakatifu Baba Mtakatifu John Paulo wa pili utuonbee. Nchi yetu imebarikiwa sana kwa makuu haya. Nimefurahi sana Kwa kumbukumbu hii. Asante kwa waliyotuletea hii.

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 4 หลายเดือนก่อน +1

    Saint John Paul II Pray for us sinners

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 10 หลายเดือนก่อน

    Ilikuwa baraka na shangwe kubwa hapa kwetu Tanzania!asante Yesu!❤

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +4

    "Mungu ibariki Tanzania na watu wake"

  • @henrylugongo632
    @henrylugongo632 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante kwa wewe uliyoirusha

  • @andreamissama1273
    @andreamissama1273 3 ปีที่แล้ว +4

    Mtakatifu Yohane Paulo II Utuombee. Ilikuwa Baraka kubwa kwetu.

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 ปีที่แล้ว +2

    Mh.mzee wetu Hassan Mwinyi utawala wako.ulokuwa wa baraka sana. Ulimkaribisha Mtf wa.karne yetu ukala nae na mazungumzo naye. Bahati iliyoje?

  • @cosmaskamugisha5918
    @cosmaskamugisha5918 ปีที่แล้ว

    Ilikuwa ni baraka kuu daima Kwa Tanzania, wajibu wetu kuenzi historia ya nchi yetu,kulilinda kanisa katoriki wengi wanapotosha Imani ya kweli.

  • @reginaamadeus4866
    @reginaamadeus4866 ปีที่แล้ว

    Mt. John Paul wa pili utuombee
    Mungu aendelee kukubariki mzee wetu Ally Hassan Mwinyi! Kiongozi halisi uliewapeleka watu wako kwa Mungu na sio kwenye dini! Hakika umebarikiwa

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 10 หลายเดือนก่อน

    Ilikuwa baraka na shangwe kubwa hapa Tanzania!thanks God!

  • @angelsulle7177
    @angelsulle7177 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Mh. Ali Hasan Mwinyi kwa kumpokea St.John Paulo nchini ktk utawala wako

  • @agathamburu8910
    @agathamburu8910 3 ปีที่แล้ว +6

    SAINT JOHN PAUL PRAY FOR UNITY IN EAC.AMEN

    • @paulsanka7140
      @paulsanka7140 3 ปีที่แล้ว +1

      Mungu atukuzwe. So nice

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 ปีที่แล้ว +1

    Vile vitenge nilikuwa navyo. Kalibu mgeni wetu tanzania

  • @user-ox5ps7pw6e
    @user-ox5ps7pw6e 10 หลายเดือนก่อน

    Hii ni baraka Kwa wtanzania Kwa nyakati zote Mt yahane 2 utuombee

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 ปีที่แล้ว +1

    Nilikuwa Mnovisi mwaka was kwanza, tulikuwa tunasikiliza redio tulijawa na furaha isiyopimika.

  • @felisterkokuberwa5783
    @felisterkokuberwa5783 3 ปีที่แล้ว +2

    Oh so nice St John Paul pray for us , Rugambwa pray for us

    • @unclejonah7350
      @unclejonah7350 3 ปีที่แล้ว

      we jipeleke kwa Mungu ...uombewe nn kwani Mungu atakusikia kwa niaba y'ako .......a u tired u can't go to God by ua self or u think this pop has the front seat in heaven 🤔🤔

  • @paulmpwagi7313
    @paulmpwagi7313 3 ปีที่แล้ว +1

    Atakumbukwa sana sana hapa tz enzi hizo nasoma darasa la nne 4

  • @venerandamaufi8574
    @venerandamaufi8574 10 หลายเดือนก่อน

    Mt baba John Paul wa pili,utuombee,endelea kuombea amani ya Tanzania!

  • @rumb5876
    @rumb5876 3 ปีที่แล้ว +5

    Good memory, thank you Jugo media, be Blessed

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 ปีที่แล้ว +1

    Kumbe teckonolojia ya picha ilikua ya rangi kwa wenzetu ,rest in pop yohann &bishop rugambwa

  • @minjagas1343
    @minjagas1343 ปีที่แล้ว

    Tanzania taifa la kuigwa .kiongozi mwisalamu mgeni mkatoliki.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 3 ปีที่แล้ว +1

    Hivi unabii unasemaje .. juu ya mtu mwenye cheo na mamlaka ya upapa... Eee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @adamdaudi6191
    @adamdaudi6191 ปีที่แล้ว

    Daaa, watu mnapekua, mpaka hii clip mnayo?, hongereni!.

  • @hervelove1
    @hervelove1 ปีที่แล้ว

    The way he picked up those small children kwa miguu ya polisi. Amazing

  • @geraldlema961
    @geraldlema961 3 ปีที่แล้ว +6

    Nimemuona Hayati Askofu Amedeus Msarakie

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 10 หลายเดือนก่อน

    Yes alikuwepo.

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 ปีที่แล้ว +2

    Ilikuwa bahati ya pekee na sidhani kama itakuja kurudia tena kwa mwenendo tulionao sasa hivi nchi yetu imezungukwa na shetani kila kona

  • @JOSEPHDUNIA-qi3ol
    @JOSEPHDUNIA-qi3ol 6 หลายเดือนก่อน

    MUNGU ATUKUZWE MILELE 🌎

  • @Mo_shoes_perfume
    @Mo_shoes_perfume 3 ปีที่แล้ว +2

    Ujio wa Papa yohane Paulo wa pili

  • @emmanuelmboya671
    @emmanuelmboya671 10 หลายเดือนก่อน

    Ni huyu mtakatifu john paul wa 2 aliyefika Tanzania utuombee ss na Taifa letu.

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 3 ปีที่แล้ว +3

    Can we get a part two of this

  • @shayopaterini8678
    @shayopaterini8678 2 ปีที่แล้ว +1

    Papa paul wa pili prayers for us

  • @godfreymrosso2051
    @godfreymrosso2051 10 หลายเดือนก่อน

    MT YOHANE 2 UTUOMBEE

  • @jpstudiospro.9051
    @jpstudiospro.9051 2 ปีที่แล้ว +2

    JOHN PAUL II PRAY FOR US

  • @kazimotomaswi9700
    @kazimotomaswi9700 ปีที่แล้ว

    Papa mwenye historia ya kipekee

  • @mlimilachannel3047
    @mlimilachannel3047 ปีที่แล้ว

    Kama nimemuona Anna Makinda?

  • @paschaldamian4597
    @paschaldamian4597 3 ปีที่แล้ว +2

    Mapokez yalikuwa hafifu san hat jukwaa halikujengwa ona upepo unavowasumbua

    • @shayopaterini8678
      @shayopaterini8678 2 ปีที่แล้ว +1

      Kwa mwaka tisin hiyo ni babkubwa

    • @georginamulebya4932
      @georginamulebya4932 ปีที่แล้ว +1

      Ndiyo maana tunabarikiwa Tanzania.Tunamshukuru sans Mungu kwa kutupa tunu tuliyopata mwaka 1990. Baba huyo sasa ni Mtakatufu. Mungu alitupendelea sana. Asante Mungu.

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 ปีที่แล้ว

    Nakumbuka hili tukio hapo Kurasini

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 3 ปีที่แล้ว +1

    Mambo ya miaka ya 1990

  • @ibel4lf
    @ibel4lf 3 ปีที่แล้ว +1

    Mkanda wa ujio wa Papa ulipotea ndani kwetu

  • @conradminja2236
    @conradminja2236 ปีที่แล้ว

    Baba mtakatifu utuombee

  • @titusnjenje556
    @titusnjenje556 2 ปีที่แล้ว

    Uwo mwaka nilikuwa na umri wa mwezi mmoja tu tangu nizaliwe

  • @clarencebitegeko7079
    @clarencebitegeko7079 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo Park iko wapi?

  • @janviersobhane6492
    @janviersobhane6492 ปีที่แล้ว

    MATHATO 15:8-13

  • @edsoneliah2802
    @edsoneliah2802 ปีที่แล้ว

    Hivi, naomba kueleweshwa; kwani Papa anapigiwa saluti na yeye sio kiongozi wa nchi? Ni kiongozi wa dini

    • @derickaby1731
      @derickaby1731 ปีที่แล้ว +1

      Vatican City inatambulika kama nchi,na papa ndiye kiongozi wa hiyo nchi

    • @hgrintercon9537
      @hgrintercon9537 ปีที่แล้ว

      Na ina kiti cha kudumu UN...

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 ปีที่แล้ว +1

    Hii ya lini 🤔

    • @JugoMedia
      @JugoMedia  3 ปีที่แล้ว +1

      1990

    • @henrylugongo632
      @henrylugongo632 3 ปีที่แล้ว +2

      @@JugoMedia Na HAPO NDO TULIPOBALIKIWA TAIFA LA TANZANIA

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 3 ปีที่แล้ว +1

      Ujazaliwa...

    • @hendrycomonsiwenga1128
      @hendrycomonsiwenga1128 2 ปีที่แล้ว

      @@sumayasumaya6455 😄😃😀😛😛😜

    • @safarigurty9145
      @safarigurty9145 ปีที่แล้ว

      Siku nyingi tangu tar 1 / 9 / 1990 ujio wa papa tanzania

  • @fabiolapanga1933
    @fabiolapanga1933 2 ปีที่แล้ว

    Pope yohone Paulo wa pili utuombee nikiona hizi picha zako huwa nalia

  • @faithyfrank3242
    @faithyfrank3242 2 ปีที่แล้ว

    John Paul

  • @Mo_shoes_perfume
    @Mo_shoes_perfume 3 ปีที่แล้ว

    JP 2

  • @sabatosabibi2191
    @sabatosabibi2191 3 ปีที่แล้ว +1

    Mnyama kwenye aridhi ya tz ufunuo 13

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 ปีที่แล้ว

      Mnyama wewe...

    • @angelsulle7177
      @angelsulle7177 ปีที่แล้ว +1

      Wasabato ni wafuasi wa wayahudi walimwua Yesu mnadondosha mate usiku na mchana kulipinga Kanisa Katoliki lkn mbona hamfikii hata robo ya Wakatoliki mmelaaniwa ninyi

    • @leonardchoma3765
      @leonardchoma3765 ปีที่แล้ว +1

      Usabato umejaa fitina,kutukana makanisa mengine pamoja na uzushi na uongo uongo tu.

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 2 ปีที่แล้ว

    Pope

  • @josephmoyo5617
    @josephmoyo5617 ปีที่แล้ว

    Utuombee

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 3 ปีที่แล้ว

    HANA BARAKOA 👏👏🙏🙏🙏

    • @henrylugongo632
      @henrylugongo632 3 ปีที่แล้ว

      Hiyo sio LEO,

    • @reubenmuganyizi8537
      @reubenmuganyizi8537 3 ปีที่แล้ว

      Enzi hizo hakuna ,it was Corona,free country,

    • @kabembamartin4489
      @kabembamartin4489 3 ปีที่แล้ว

      Hahaha barakoa Tena? Mwaka 1990 mwaka ambao hata marehemu mwl. Nyerere alimvulia kofia mzee Mwinyi kwa uthubutu aliouonyesha wa kumleta nchini.

    • @ibel4lf
      @ibel4lf 3 ปีที่แล้ว

      Mwaka 1990

  • @unclejonah7350
    @unclejonah7350 3 ปีที่แล้ว +1

    shetani ushindwe kwa jina la Yesu ......na uangamizwe milele na milele .mbinu na njoa zako twazijia ....wenye hekima tu ila wabumbafu watasema ety mtakatifu cjui nani awombee .ni kweli maandiko yanavyosema uko duniani na ako na mamlaka makubwa anayemkufuru Mungu kwa jina la mtakatifu na anasema anaweza kusamahe dhambi .na watu wa ulimwengu ambao majina yao hayapo katika kitabu cha uzima watamsujudu mtu huyo😢😢😢😢

    • @manyamabenedictor1795
      @manyamabenedictor1795 3 ปีที่แล้ว +2

      Wewe wajiona mwenye hekima ,MUNGU akusamehe kwa maana haujui usemalo.

    • @unclejonah7350
      @unclejonah7350 3 ปีที่แล้ว

      @@manyamabenedictor1795 akusamehe pia kwa kutokujua ....juu sio makosa y'ako n umeipenda dini Sana kuliko kujijengea msimamo wako na biblia y'ako unangoja kusomewa na viongozi wa dini lako ulidhani yesu anashuka kulichukia dhehebu ama dini fulani pole ?

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 3 ปีที่แล้ว

      Wew naye uncle Jonauh sijui ni wa wapi! Yaani unajiona wew ndo Malaika mkuu, na kwamba wew unamjua Mungu na watu wengine woote hawamjui ispokuwa wew🤔! Unakufuru kwa kuwadharau wengine na kuwakebehi mitume wake. Ndiyo maana Kagame kaweka sheria za kulazimisha kila anayetaka kuanzisha kanisa walau awe na shahada ya theolojia maana uelewa wenu naona ni shida. Ulishawahi kuona au kusikia wao wakiwakebehi ninyi? Au wew ndiye Yesu unayehukumu wadhambi? Shame on you.

    • @samsonfulgence5553
      @samsonfulgence5553 3 ปีที่แล้ว

      @@unclejonah7350 Sasa wew unayejisomea na huelewi kitu chochote, si afadhali anayesomewa na kuelewa? Sasa wew unajua nin ktk biblia tofauti na kejeli? Ungelikuwa unajua hata kitu kidogo tu, ujuzi au ujuvi huo ungelijionyesha ktk hekima! Au wew mungu wako anakaa ktk madharau na kebehi kwa wengine?

    • @unclejonah7350
      @unclejonah7350 3 ปีที่แล้ว

      @@samsonfulgence5553 huyu sio mtume wa Mungu sababu anajiita yesu na yesu sio binadamu najua hilo huwezi elewa sababu umeshajizoesha kuwa elimu ya vitabu na shahada ndouelewa wa biblia ..........hapo tu yaonyesha u have a low self esteem so ua urguments are based on how u love ua dini ....nothing in ua mind is based in the bible