MFAHAMU ASKOFU MKUU NOVATUS RUGAMBWA BALOZI WA PAPA NCHINI NEW ZEALAND
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Karibuni sana katika Channeli hii inayomilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania {TEC}ikiwa ni moja ya chombo cha Uinjilishaji kwa njia ya Sauti na Video.Pia unaweza kutufuatilia kupitia mitandao yetu ya kijamii kama ifuatavyo.
INSTAGRAM: / kanisa_katolikitz
FACEBOOK: / barazamaaskofukatolikitz
Whatsup: 0738 916 628...KANISA KATOLIKI TANZANIA
Usisahau Kusubscribe,like na kushare maudhui yetu...
I wish you all the best ARCH BISHOP "NOVATUS RUGAMBWA"
Nimevutiwa Sana na mahojiano haya, hasa historia ya Baba Askofu Rugambwa na huduma ya masista ya elimu na stadi za Maisha kwa watoto wanaotoka familia maskini.. Hongera sana!
Congratulations Your Excellency for the good work done so far.
The name "Rugambwa" looks big for these men of God. Must be a lucky one 😊
Sure. So far two Cardinals under the same name RUGAMBWA. We have the first Cardinal in Africa His Eminence Laurean Cardinal Rugambwa from Bukoba Tanzania+, His Eminence Cardinal Protas Cardinal Rugambwa from Bukoba Tanzania and His Excellence Most Reverend Archbishop Novatus Rugambwa from Bukoba Tanzania. Indeed it is a blessed NAME!
Asanteni kwa mahojiano mazuri... Lkn upande wa Sauti haikuwa vizurii
All the best archbishop Novatus Rugambwa
Na hiyo ndo maana halisi ya jina lenyewe. RUGAMBWA!!!
Asanteni
Binafsi nimewahi kukuona wakati uko parokiani kwetu Nshamba wakati huo nilikuwa mdogo sana. Huwa nakumbuk unyenyekevu wako
Labda niulize haya majina ya Rugambwa mbona yamekithiri ktk vyeo vya juu ndani ya katoloki?
1 Rugambwa Laurian (kardinal)
2Rugambwa Novatus Barozi wa papa
3Rugambwa kadinal mpya
nini maana ya kukithiri wewe denis
Lugha ya kiswahili ndiyo shida kwetu kutokana na ile lugha ya ulimi wa mama "mother tongue" kuwa ndo inatumika sana. Asaidiwe kupewa jibu pasi kuangalia namna neno alilolitumia