Mwijaku Afunguka Billion 1.3 ilivyotumika kwenye Nyumba yake! BABA LEVO Hana Mipango! Part 1

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
  • Baada ya kuwa gumzi kwa wiki hii, DC wa INSTA Mwijaku amekaa na Lil Ommy kwa Saa 2 na kuelezea nukta hadi nukta jinsi Billion 1.3 ilivyotumika katika ujenzi wa KASRi lake Kigamboni!, Tazama Full interview hapa, Subscribe, Like, Comment & Share!
    Mwijaku aichambua Billioni 1.3 / amchana Baba levo Hana Mipango, alezea mambo kibao kuhusu UCHAWA ulivyomlipa na familia ilivokua inachukulia. ni stori ya kusisimua na kufurahia pia!
    Muendelezo wa stori kali upo Part 2, 3 na 4!
    Kijana tumia kinga, Zingatia uzazi wa mpango. #Sitetereki

ความคิดเห็น • 64

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 8 หลายเดือนก่อน +3

    Daaaah!Mwijaku matataaa😂😂,muongo hatariiii😂😂😂Mwijaku kibokoo😂

  • @pharesdismas8876
    @pharesdismas8876 8 หลายเดือนก่อน +4

    Kila interview numbers za bei zinabadilika 😂😂

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mwanzo alisema hicho kitasa kaweka chumban kwake TU Leo anatuambia kaweka sehemu tatu😂😂😂😂😂kwel muongo siku zote huwa Hana kumbukumbu

  • @jaffarmusafiri5729
    @jaffarmusafiri5729 8 หลายเดือนก่อน +2

    Duh, huu Mwijaku ni muongo sana. Alafu hakuna kitu kizuri kama kuongopewa na unajuwa ukweli, Lil Ommy ametulia tu ila anacheka kimoyomoyo 😂

  • @saluuhans
    @saluuhans 8 หลายเดือนก่อน +2

    Wahenga wanasema Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu 😂😂 mshenz muhongo huyu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana hii interview Kila interview Bei zinapanda 😂😂😂

  • @JOHNJOHN-pu7wb
    @JOHNJOHN-pu7wb 8 หลายเดือนก่อน +3

    Hahahha uongo mwingi sana kwa hii interview 😅

  • @milanomilanogi
    @milanomilanogi 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmmhhh

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kuma Nina skiming+ binder mil 300 acha usenge we limbukeni

  • @SululuZungu-kx8ws
    @SululuZungu-kx8ws 8 หลายเดือนก่อน

    Haya bb bora2 una gholofa yko modo kwsha ila kote huko umedanganya mno

  • @javanwatson6675
    @javanwatson6675 8 หลายเดือนก่อน

    11:42 😁😁uzuri wa iphone haidanganyi, kwani simu gani jamani ambayo haioneshi tarehe

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard 8 หลายเดือนก่อน +2

    Oya ril ommy huyu jamaa adanganye mafala me ni fundi(Local engineer) hyo nyumba ya mwijaku kaka
    Skimming
    Primer binder
    Dawa za ant fungus
    Rangi za no 190000-240000
    White za selling board+ urembo
    Chuma za kudzn board kweny zege floor za juu
    Mbao+ board+ srew+ gypsum powder
    (Labor charge)
    Yaan namahanisha skiming ya jengo Zima+ dzn ya board jengo Zima + finishing ya rangi ni mil 30-35

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 8 หลายเดือนก่อน

      Eeeeh 😅

    • @saluuhans
      @saluuhans 8 หลายเดือนก่อน

      Kk tofautisha fundi bakari na ma engineer wa mwijaku 😂 sasa wewe ni fundi bakari ndio unabajet hizo 😂😂😂😂

  • @gataramaabdul9761
    @gataramaabdul9761 8 หลายเดือนก่อน

    Number 1

  • @maidimples8236
    @maidimples8236 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman one’s of his interview anasema ilibomoa nyumba ikiwa ipo kwenye renta so how come iko na wapangaj ndani

    • @josephkiwale374
      @josephkiwale374 8 หลายเดือนก่อน

      Kaisikilize Tena interview,hukusikia vzur

  • @yogwemwakulola1634
    @yogwemwakulola1634 8 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi waandishi Mbona msimuulize kuhusu kakayeke aliropoka kwamba taa zinatoka Kwa duka lake hapo Mbona mnafuka hamumuulizi nipate tu nafasi ya kuwauliza maswaki Hawa machawa naona uchawa utafika mwisho maana napita humohumo Hadi watoroke interview

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hyo rangi anasema dark grey price yake Ni 190000 kwa ndoo (prascon) kampuni ya kwanza kbsa kweny rangi inamaana hyo nyumba imepigwa ndoo 100+ 😅😅😅😅😅

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 8 หลายเดือนก่อน

    kama kweli anavyosema kapigwa vibaya sana

  • @nk.t.shabani4217
    @nk.t.shabani4217 8 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku muongo jamani hizo taa kwenye interview ya zamaradi tv kaka yake kampa kwa bure 😂🤣🤣🤣 bongo ukifa kwa stress basi unajitakia mwenyewe 🤣😂🤣

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kunahitajika kampuni Ya kutengeneza kinga za mdomo kama vile comndom Ya kuchuja MANENO Ya hovyo.
    Unaongea hadi hueleweki tena.

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @Yusufu940
      @Yusufu940 8 หลายเดือนก่อน

      Ungea kauli zuri sii za utu uzima

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 8 หลายเดือนก่อน +1

    Chawa kanunua kitasa cha millioni 18 sisi wengne tunafer wap?😂😂😂😂😂😂😂

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 8 หลายเดือนก่อน +1

    Uongo wa mwijaku hta shetan anauogopa😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @HassanMbululo
    @HassanMbululo 8 หลายเดือนก่อน

    🛫

  • @Kingkongchuma
    @Kingkongchuma 8 หลายเดือนก่อน

    11:57 iPhone haha video ya mwaka Jana uki tumiwa Leo kwako itasema Leo urongo wa kishamba

  • @BrianKyai
    @BrianKyai 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nyumba kali ila 1.3B mh....hype tu hizi za mjini

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 8 หลายเดือนก่อน

    Umeokopa taa ya laki moja ukaendan kununuw taa la million 5. Mshenzi san mwijaku

  • @plumbingtanzaniaplumber7570
    @plumbingtanzaniaplumber7570 8 หลายเดือนก่อน

    Sagwn hao

  • @MonrichRichard
    @MonrichRichard 8 หลายเดือนก่อน

    Lakin et skiming + binder mili 200 aah mwijaku, et rangi mil 48 duuh nimeamini Kuna binadam Ni waongo shetan akasome

  • @selemanmaganga-le4zg
    @selemanmaganga-le4zg 8 หลายเดือนก่อน

    Sijapata kuona uongo kama uhuu, mambo hayo amwambie mwanae.

  • @kitumbayork5720
    @kitumbayork5720 8 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥

  • @julianusjameskimodoi4186
    @julianusjameskimodoi4186 8 หลายเดือนก่อน

    Muongo sanaaaa

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 8 หลายเดือนก่อน

    Mfarume

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 8 หลายเดือนก่อน

    Uongo pia huakisi kiwango cha ujinga

  • @jrsingham
    @jrsingham 8 หลายเดือนก่อน

    Kuskim m300 kila fundi Kaskim kwa m30 😂😂😂

  • @ruu6592
    @ruu6592 8 หลายเดือนก่อน

    Maskini awaijui ela ndio mana wanasema uongo ongera Aristote msechu Nandi mama pi ongeraa zenu

  • @dereva0
    @dereva0 8 หลายเดือนก่อน

    mara aseme taa elfu 45 mara milioni hamsini tuelewe vp

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 8 หลายเดือนก่อน

    It's good house but it is not 1.3 B

  • @amarido12
    @amarido12 8 หลายเดือนก่อน

    Kama ametumia 1.3 B atakuwa ameibiwa 1.2 B mchana kweupe

  • @rajuxcharity
    @rajuxcharity 8 หลายเดือนก่อน +6

    Hivi huu mwijaku anahisi 1.3B niutani nyumba anao ishi diamond platinum samani yake ni 1B 😝😝nyumba kama ilee hata 500M nyingi

    • @johariabdalla3319
      @johariabdalla3319 8 หลายเดือนก่อน +4

      Mwijaku mtu wa kufurahisha tu😂

    • @imamhussein1104
      @imamhussein1104 8 หลายเดือนก่อน +2

      Kwahiyo

    • @zeddybass6672
      @zeddybass6672 8 หลายเดือนก่อน +1

      Daimond kapanga pale

    • @FredOdemba-rw1us
      @FredOdemba-rw1us 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@zeddybass6672alishainunua wew sema ajaijenga yey lakin sio kam amepanga sahih 😮😮

    • @faidhacute
      @faidhacute 8 หลายเดือนก่อน +2

      Mwijaku ni mtu ambae ana elimu lakn hajaelimika Kwa kweli Inahuzunisha sana kwakwel😢

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan25 8 หลายเดือนก่อน

    Ila baba muongo huyu ndio mjengo ni Bomba ila b 1.3 ni uongo uongo

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 8 หลายเดือนก่อน

    Hiyo nyumba haizidi mil 200😅huyu jamaa fix saba

  • @JaphariMwangu
    @JaphariMwangu 8 หลายเดือนก่อน +1

    ona kipara chake

  • @Broxnick
    @Broxnick 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani $398,807 😂😂😂 that’s a f*king lie

  • @sudiabdi4400
    @sudiabdi4400 8 หลายเดือนก่อน

    Uongo mtupu

  • @dominicngeno4227
    @dominicngeno4227 8 หลายเดือนก่อน

    You are speaking lies hio nyumba sio B no way

  • @Kulindwa
    @Kulindwa 8 หลายเดือนก่อน

    DC daka maua yako ya mgebuka, au nyuma yupo accountant wife

  • @makengomshana8458
    @makengomshana8458 8 หลายเดือนก่อน

    WEWE OMBA OMBA NIMUONGO ACHA UJINGA WAKO

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 8 หลายเดือนก่อน

    mwijaku muongo mtupu duuh. Gisi anaziongelea hizo millioni kama shiling 100 tu

  • @eddobiz9452
    @eddobiz9452 8 หลายเดือนก่อน

    Uyu baba muongo jamaan

  • @Yusufu940
    @Yusufu940 8 หลายเดือนก่อน

    MUJAKU UNA ONGEZA ZERO

  • @digital-d2t
    @digital-d2t 8 หลายเดือนก่อน

    Unamaliza mabando ya wa2 paka ww.....

  • @ellymagoke6079
    @ellymagoke6079 8 หลายเดือนก่อน

    Muongo wewe