MWIJAKU Atema CHECHE "DOTTO MAGARI Laana ZINAMTAFUNA/Alikuwa MWIZI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • DC wa Instagram Mwijaku anasema kuwa Dotto Magari hawzi kupata mafanikio makubwa kama aliyopata yeye na Baba Levo kutokana na maisha yake ya nyuma ya wizi na ukabaji
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp

ความคิดเห็น • 41

  • @zainabmuhammed6294
    @zainabmuhammed6294 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mmmh mwijaku upo sawa

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dotto magari mtoto wa mjini zaidi yako bhanaaaa

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 8 หลายเดือนก่อน +2

    🤣🤣🤣🤣 Mwijaku Umeyakanyaga kwa doto magari ngoja tuone 😂😂

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 8 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku watakukaba ukiwa unatoka kazini mana wanajua una milioni5+

  • @KhadijaSelemani-wt8np
    @KhadijaSelemani-wt8np 7 หลายเดือนก่อน

    kisaikolojia hauko sawa ubaya uliofanya unakutafuna ata uso wako unajieleza , ila pole sana kk

  • @ibrahimjohnndege4160
    @ibrahimjohnndege4160 8 หลายเดือนก่อน +4

    aisee dotto magari amesababisha machawa wawe na akili

  • @ben_digital
    @ben_digital 8 หลายเดือนก่อน +1

    Eti ulinikaba 😅😅 9:01

  • @briannzioki6658
    @briannzioki6658 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mzungu wa reli😂

  • @mohamediddi4425
    @mohamediddi4425 8 หลายเดือนก่อน +2

    Kizungu jamani don't dicribe a book 😂 (Don't judge a book)

    • @kiatu
      @kiatu 8 หลายเดือนก่อน

      Varsity hiyo 😮

    • @biana8998
      @biana8998 8 หลายเดือนก่อน

      Usikariri maisha ndugu

    • @AdonisMniko
      @AdonisMniko 7 หลายเดือนก่อน

      Sasa ku judge na ku describe Kuna shida Gani
      Acha kukariri ndio ukakosoe watu

  • @MzeewaYanga-wj4tt
    @MzeewaYanga-wj4tt 8 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuepushe na usuda😅😅😅

  • @AhmedMohammed-dg2ru
    @AhmedMohammed-dg2ru 8 หลายเดือนก่อน

    Umbea t kuoga aaaa😅😅😅

  • @connan9923
    @connan9923 7 หลายเดือนก่อน

    Haya sasa Masoud Kipanya Anataka Billion 5 utazicheua??

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 8 หลายเดือนก่อน

    Qweli dotto adi msami ana nung'uniqa nayeye alimuweqa ndani qwa tuhuma za mauaji

  • @nickalreadyknows
    @nickalreadyknows 8 หลายเดือนก่อน

    Daah eti ulinikaba 😂😂😂😂

  • @MaendeleoMohammed
    @MaendeleoMohammed 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu jama akiona pesa 😅😅

  • @omarikhalfan1079
    @omarikhalfan1079 7 หลายเดือนก่อน

    Hivi huyu jamaa ana akili kweli ipo siku atayamunya

  • @josephatizeno8833
    @josephatizeno8833 8 หลายเดือนก่อน

    Mzungu wa reli hahah

  • @baloz8974
    @baloz8974 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dont judges a book but its cover

    • @FredMbai
      @FredMbai 8 หลายเดือนก่อน

      Don't judge a book by it's cover ni grama english

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 7 หลายเดือนก่อน

      Don't judge a book according to it' s cover

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 8 หลายเดือนก่อน +1

    Don’t judge a book by its cover Tanzania English ni lugha ya kigeni🇰🇪

    • @davidlaiser8174
      @davidlaiser8174 8 หลายเดือนก่อน

      Sio Luka ni Lugha

    • @annaphi2427
      @annaphi2427 8 หลายเดือนก่อน

      Nyooo eti luka 😅😅😅bado hujasema
      Mpaka SSA English ya Kenya na Swahili ya Tanzania 3-3

    • @Abu-Hamza254
      @Abu-Hamza254 8 หลายเดือนก่อน

      @@davidlaiser8174Bora uelewe nachokisema

    • @Abu-Hamza254
      @Abu-Hamza254 8 หลายเดือนก่อน

      @@annaphi2427Afadhali English Swahili ni kule Tanzania tu

    • @IM-tn2tg
      @IM-tn2tg 8 หลายเดือนก่อน

      Very true lugha ya kigeni.A degree holder can't construct a grammatically correct sentence.sad!!!

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijaku ndo chawa tajiri saidi

  • @kiatu
    @kiatu 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hata wanaosahihisha English ya M baado changamoto

    • @chire4574
      @chire4574 8 หลายเดือนก่อน +2

      Don't describe a book by its cover....Iyo sentensi iko sahihi...Sema watanzania wamekariri walio fundishwa dont judge a book by its cover.....wanafaa wajue English is very rich in words ....you can change a word but still the meaning ikawa sawa

  • @abuumohamed7090
    @abuumohamed7090 8 หลายเดือนก่อน

    Hili jamaa lina akili

  • @DaudiSaid-bj7dh
    @DaudiSaid-bj7dh 8 หลายเดือนก่อน

    Utaheshimiwa kwa kulamba viatu vya watu?? Unauza mke wako bado unajisifia pumbavuuuuuuuu