Gwajima amjibu Slaa; Maswali na majibu
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ต.ค. 2024
- Sehemu ya tatu ya maswali na majibu, baada ya Dk. Slaa kumtaja Gwajima alipoongea na vyombo vya habari, September 08, 2015 Gwajima amemjibu Dr. Slaa juu ya tuhuma alizompa kufanikisha kumleta Edward Lowassa CHADEMA
Mungu ni moja only ,,,,jesus he massenger,, Ameen
AISEE HUYU JAMAA Ni MAHIRI KWA KUKWEPA KUJIBU MASWALI KWA UFASAHA NA MJAMJA WA Kutunga KUEUZA SWLI ILI ALIKWEPE KUIJIBU
Yaani m
hajibu swali kama alivyoulizwa dah very clever.
watu wajanja wataona ukwepaji huo
"MITHALI-26:4-5", INAKUSEMA GWAJIMA!
Wewe Ni Bendera Fata Upepo' Na Pia,
Wewe Ni Wakala Wa Shetani, Unajiita-
Mtumishi Ni Mchungaji Wa Mshahara,
Siyo Mchungaji Wa Mungu, Una Midomo
Michafu' Ushindwe, Mwogope Mungu.
hongera gwajma Kwa kujibu maswali vizur ww n professional
Seif Zongo HUYU NDIYE ELIYA WA KIPINDI CHETU
gwajima ukapimwe akili auko sawa kabisa umekula pesa ya kuuza bandari mungu atakujibu tutaona yajayo
Kala Nini sema ukweli
Wanao maulana baba gwajima nimahame
Safi sana
Nakupeda Askofu Gwajima hekima umepewa na Mungu
Hi
acheni kumsema gwajima kua ni muongo,,,anasema kweli tena si uongo,yuko sahihi sana tena sana,,paster,gwajima songa mbele mungu azidi kukuwezesha sana,
yaani anaulizwa swali akiona gumu analikwepa kijanja sana usipijuwa mjaja huwezi kugundua haraka
Wewe mama uliyemuuliza swali la kama kiongozi wa kiroho kujihusisha na Siasa ni kweli anakwepa tu
Trophaina Magogwa
Let's pray all the time
Kweli mtumishi Mungu akupe nguvuuuu ya kushindaaa
😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😅😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Bill me vbbv.;;;;;;bbbb;;vb::;;bb;;;;;::bbbvbvbvv.vbbbbb:;;vvv;;;b
:;;:;:;;;:bbbbbbbbbb.bbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbbvvvvvvvvvvbvvbvvbbbbbbvbbbbbbbvvvvbvvbb. 5:55 5:55 5:55 5:56
Nilikuwa nakukubali gwajima kumbe daaaa
Msanii wa kanisani kila mtanzania mwenye upeo Anafaham ubabaishaji wako huna lolote chawa mzuri tu!
Makubwa
porojo tupu hakuna ukweli hapo.
mbona anakwepa kujibu anapindisha swali
Kwann askofu gwajima usingeacha haya mambo kwann
Ahaa Gwajima mwamba kweli kweli
Gwaji vip kuhusu Bandali mbona kimyaaaa
😂😂😂 leo ni.mbunge wa kawe
Safi gwajima
Amina Sana balikiwa mutu wa mungu Mungu aku tiye nguvu kiloho na kimwili Amina kumbuka kuomba 😮😅😢
Nawatakia jpl njema
Kweli gwajima umeishiwa,kumbuka wewe ni mtumishi was mungu acha kufungamana na siasa
Kanisa la vichaa au mbn halina utashi wa mungu
Huyo mzee kauliza swali la msingi Sana Ila kuna mijitu njaa imewakalia kooni mpaka inajisahau sasa huyo mkaa uchi atasema mbele ya DK slaa pumba kabisa DK slaa anajitambua
Anajitambua nini
Gwajima huwa ananfrahisha sana kicheko chake cha madaha!
Kweli dunia inatupungia mkono ndio maana maasi yamezidi,,,wachungaji kuwa na mabodgard kanisani yaani wao hawajimini ,,Pili hawamwamini mungu..Bali dunia by bye. Siamin macho yangu ,kanisani una mlinzi mmoja he nyumbani wako wangapi?
ugaidi jamani
Wanaogopa kwenda kwenye raha ya milele
Gwajima umeishiwa Baba,kumbuka wewe ni mchungaji ningependa kuona ukiifanya kazi ya bwana lakini mwaka huu umeniangusha ,kweli BIBLIA ilivyosema MAMBO YA KAIZARI MPE KAIZARI NA MAMBO YA MUNGU MPE MUNGU.Tubu urudi kwenye mstari hiyo ni dalili ya kuanguka kiroho.
Huyo mtumishi gwajima ni msenge hana akila kabisa
hakuna kitu hapo ni ujanja ujanja tu basi
Gwajima ww ni hatari sana
Kikwete amesema tusichanganye Dini na siasa je huyu Gwajima ni Askofu kwa Nini anachanganya Dini na siasa
we gwajima Mungu anakuona naomba tubu
KICHWA CHA MSUKUMA NDANI YA YESU CHEZEA ,HUYO NI MTUMISHI WA MUNGU NA MUNGU AMEWABARIKI WASUKUMA KUNENA KWELI
Mpumbuvu huyo.
@@lucasilabowa1193 nop
Mpumbavu ninani hapo ?
Kwa kweri huwa nakukubali sana mchungaji Gwajima ww ni kichwa
Wewe Muongo Gwajima.
Duh Mungu atusaidie sanaa
Kwahio mnataka maswali yaendane na hisia zenu?
kumbe ngajima ni mtu wa porojo toka zamani. yaani ni mjamja mjanja tu
Unatengeneza Maadui bila sababu na kibaya zaidi Kuna kundi linakusikiliza tu
Unatafuta sahani
Gwajima eleza baba
Swali langu kwa gwajima, anazungumziaje wale wachawi Wa gamboshi
Mhuu!
Kama kiongoz was kiloo ni gwajima bas viongozi wa kiloo wamehisha nikiozi wa siasa
gwajima huna akili! mbona ww ulimtukana polkap pengo? nan alikushambulia acha mbwembwe kama unataka usiasa c useme acha kutuchefua.
Edson Sign
Ukweli ukweli tu
Sema baba sema
Hapo kweli ...haijakaa ....Kesheni mkiomba.....Je mtu aache kumkiri BWANA sababu kuna watu Wa dini Fulani watachukia??....Filip 2:12.....akawa mtii hata mauti ...naam mauti ya msalaba...Yesu alichukuliana na wote....wala hakuwaukumu....wajinga...
huhu upuzi
hubili injili achani siasa
MCHUGAJI wewe usifanye mzaa na mungu
Duh....
Tayar lowassa karud ccm
Hapo hakuna mithali ujibu swali lake.
Kapigwa kitu KIZITO Sana huyu anashindwa kutembea
Huyu jamaa wangu mbona sku his haongei
Mchungaji hekima yako sasa inakwisha ni wale wale wachungaji waovyo
gwajma hayo maswal unayapga polojo tuu hutajb ipasavyo
mshenga,ulisomeashelia,nadini,mbona,,unajuakujieleza,,nakukwepa,maswali,,nakuyajibu
acheni ujinga mungu na siasa ni kama mafuta na maji kamwe havichanganyikani
duuu sasa aponi mwanasiasa au mchungaji Dunia imeisha
Bishop mpemba
Gwajima ana shida kubwa sana
Sana
Gwajima hajitambui
Hata waumini wake hawajitambui.
Anajielewa
The best bishop who can handle things properly
😢😢 6:07 j
true.
ni mjanja mjanja sana anakwepa maswali kijanja sana huwezi kushtukia kama hauko clever
anajua,kukataa
Gwajima chiz hilo linatumiwa na shetani toka kuzimu
Safi Bishop,woga ni dhambi
Kama kuna wakara wa shetani huku duniani ni Gwajima. Hili ni jambazi lililojificha kwa Yesu, tangu adamganye kukufufua wafu mulimuona kamfufua nani?
Umesema maneno ya mungu vzri lakini na ww ni miongoni mwa hao wapumbavu kiongozi aa kiimani unaoaswa kukemea na sio kuingilia mambo ya kisiasa linda na kutetea imani na sio siasa
Kumbuka ni mbunge
Watakatifu.wenye haki tutubu.sana.dunia.ilipo.sipo.mzee.lutu.aliogopa.sana.alipoona.sodoma.inalawiti.inafanya.ushoga.biblia inasema moyo wa mzee lutu uliumia.siku.hadi.siku mpaka.siku.malaika.walipofika.sodoma.bado
Acheni.unafki.na.chuki.mtumishi.kaongea.point.mselete.siasaa.za.ovyo.
Safari inaendelea hadi tufike tunakoelekea
Sana gwajma, nakkbali sana waambie
acha uhongo we ng'wehuuu
In
Mbio za sakafuni huishia ukingoni,jamaa siku hizi habari za makonda hazimo akilini tena ni baada yakuonesha kuwa kijana ana uwezo wa kufanya kazi zaidi yake
Gabby acha uchochezi mungu hapendi
Gabriel Mugabo
gwajima muongo hufai hata yesu akirudi atakukata wewe mtumishi wa pesa mchungaji wapesa
Umesema siyo kanisan.hiyo misital umeitowa wsp
Heee kwakweli dunia imeisha kanisa linakuwa na mambo ya siasa lakin kwa enzi za enzi na mababu walisena dini lilikuwa mbili tu romani na islamick hizi nyingine hazikuwepo ndio maan kwa sasa watu wanachukiaga kisa maswali ya kipumbavu
Au umemuwekea wachunguzi na si walinzi? ili umchunguze na kumnanga kanisani? si vizuri kumsema mtu hayupo.
Huyu ndiyo ASKOFU SHUJAA KWA WAKATI WAKE,.
Gasper Massawe Amebeba Mungu,Roho na uwezo was Eliya kwenye kipindi chetu
Ushujaa wake upi?
Gwajima umesema hapo sio kanisani waislam watajisikia vibaya , umemkataza Mtu asiseme Bwana Yesu asifiwe sasa kwanini wewe umemjibu kupitia Biblia.? Wakati umemkataza Mwezio.
Poor cameraman
Hypocrisy tupu kwa huyu Mtumishi.
umeenda na kanisa lako kwa waandishi mnafiki,ulimtukana mkuu wetu wa kanisa
Axha ujinja ww ng'ombe
ngwajima,ongelakwakukwepa,maswali
who are you,@ kitu wewe ndo mtoa taarifa ,wewe usidhihaki neno la mungu kwa upumbavu wako ,huna wito na uchungaji,Kama mmekosa kaz ya kufanya kabondeni zege
;
Huyo kweli ni mpumbavu muuliza swali
Baba Mimi natoka Kenya lakini hekima yako ni ile ya Suleiman,nakupenda Sana na wakunibandua kwako hayupo
pole sana
Ngwajima jembe
Wewe ndio mpumbavu kweli tena huna adabu, ndio maana baada ya kumtukana Cardinal Pengo hakukujibu maana alikuona ni mpumbavu. Eti kiongozi wa kiroho, unaongoza roho zilizopotea kama yako.
True
Huyu jamaa naye duu, siasa na dini wapi na wapi?
Huna urafiki ww ni mnafiki tu na kicheko chako ni unafiki, na hiyo mifugo uliyofuga inashangilia hovyo tu. gwajima ww ni kuni za kuchomea wenzio huko kuzimu.
Edson Sign kaulize wakati was wa nabii Erisha walikuepo vijana wenye dhihaka km zako waweza jua. nn kiliwapat?
Uko. Fiti. KTK. UBORA. WAKO..
Gwajima umefeli hunanyimbo mpumbavu wewe
ila mkeo ndy wakawaida acha mbwembwe gwajima.
sema gwajma maana huo ndo ukweli
fake. anakwepa kujibu maswali kwa sahihu
Gwajima mnafiki kabisa
Kivipi huo unafiki
wachungaji waovyo wachungaji wa ovyo wakina Nabii Tito ni wengi
chishimba mwasambungu
chishimba mwasambungu
chishimba mwasambungu ndiyo wako wengi kina kakobe lkn siyo huyu
Hilo jamaaa lipumbavu
Kanisan ni ukumbi Wa siasa ni hatari tanzania hii tumekwisha
sio kanisani Hapo unafuatilia au unafuatiliwa
zma za mwisho hzo