Kituo chako ni nzuri! Ninaona hii kila siku! Njoo uone kituo changu cha jikoni! Ninatoka Brazil na natumahi umejiunga na kituo changu na ushiriki video zangu katika nchi yako! Asante!
Rukiya assalam aleykum..nakuulixa tu dadangu mwanzo unawasha oven at 350° kwa dakika tano..baada ya hapo..unaounguza temperature iwe 180° ndo uache kwa dakika 35 ama
Jaribu kuanza kuweka kwenye jiko la juu moto mdogo kabisa atleast dakika 40 kisha hamisha kwenye oven kwa dakika kumi moto wa juu tu ili kupata rangi ya juu.
Its not supposed to be wet inside, try to first cook at the upper cooker with lower hit atleast 40 minuts then put it in the oven only with the upper hit for 10 mnts.
Daa Rukia shukran sana kwa mafunzo Jana nimepika na leo pia nimejaribu tena kuupika lkn sijui kwa nn mkate wngu ndani hautoko mweupe kamawko wngu unakua brownish kbsa unaweza nisaidia tafadhal
Wow! I love the way you present your kookings, keep it up my dear sister.
Kituo chako ni nzuri! Ninaona hii kila siku! Njoo uone kituo changu cha jikoni! Ninatoka Brazil na natumahi umejiunga na kituo changu na ushiriki video zangu katika nchi yako! Asante!
Sister naweza kutumia maziwa badla ya tu la nazi?
Simple recipes, na mapishi yummy
Tried it out and it came out so good MashaAllah, everyone at home loved it. Can't wait to make it again
Happy to hear that!🥰🥰
Asalaam aleikum tuweke vipimo chini tuone shukran
Asante mpenzi leo nimejifunza kupika mkate wa mchele pambe kama niniiii😋😋..na nimeupika hasa wa kuftwari mwenywe
Rukiya assalam aleykum..nakuulixa tu dadangu mwanzo unawasha oven at 350° kwa dakika tano..baada ya hapo..unaounguza temperature iwe 180° ndo uache kwa dakika 35 ama
MashAllah unaelezea vizuri na kwa utulivu sana.
Assalam Aleikum oven yangu moto mwisho ni 230 degrees sina 350.... nifanye vp moto?
Mashallah umejaaliwa
Thank you for this recipe, I tried it last weekend mkate ulikua mzuri, lakin wakat nakata ilinata kwenye kisu? What might I have done wrong
My dear unaonghea kiswahli safi .Mimi ntajaribu mkate mimina.
Awww jamanii asante kujaribu tu 🙈🙈😅
Kuhusu hiyo 350 ni moto juu na chini? Na je km ovem inaishia 225 hapo inakuwaje?
Kwa hio Kama mchele ni kikombe kimoja tui pia ni kikombe kimoja, I hope nimeelewa sawa sawa
Asante kwa pishi zuri naweza Tunis maziwa sure maji badala ya tui ?
MashAllah nitajaribu Leo usiku insha'Allah
Mashallah unaeleza vzr na mtu anaelewa
Mashaalah
MashaAllah. Nzuri. Yummy 😋👏🏼👍🏼👌🏽shukran
Shukran sisz❤️❤️ramadhan kareem
Uko vizuri nimependa
Wao nizuli sana mm nataka kujifuza
MashaAllah Love your videos.... In the oven waeka moto wa juu na chini, or just chini then mwisho ndio waeka juu for colour?
Asya Omar juu na chini shukran
Mm nakufuatilia xana,Asante
Kama watumia ile oven ya mwisho ni 250 waeka moto kiasi gani
Masha-Allah Nice
Mi hua naona wanaweka nauji kidogo au sio lazima kufanya hivo nisaidie kwailo
nafanyaje kama sina tui?
Bila nazi kuna shida ?kama mtu anatumia maziwa awu mafuta
naeza ingeza yai?
Dada sielewi bora blenda kubwa hii ubabaifu
Nakumbuka mama alipokuwa akitaka Kupika mkate huu huwa tunasubiria sufuria Kwa ajili ya kuziramba...
If u dont have coconut milk can u use whole milk?
Mashaallah umetumia mchele ngani da
Basmati dear
Waweza ktumia mchle wowot
Je kama ninaunga wa mchele ulio tiari kusagwa dukani unafaa
Masha Allah
Mashallah nice
Trying this today 🤭
Asante leo nitajaribu
Woooow
Nakama hauna tuwi maziwa ni sawa
MashaAllah
One question! Moto wa juu na chini at the same time ukianza kuweka mkate wako wa mchele?
Kama hauna oven ni jiko la makaa
kwani siezi tumiaa unga wa mchele yaani mchele uliosagwa mtamboni🤭🤭
Hi Rukia, mimi nimejaribu saana kupika mkate wa Sinia. But sijui kwa nini mkate wangu umekuwa mugumu saana. Nilifata all the steps.
Jaribu kuanza kuweka kwenye jiko la juu moto mdogo kabisa atleast dakika 40 kisha hamisha kwenye oven kwa dakika kumi moto wa juu tu ili kupata rangi ya juu.
So easy to follow.
Thank u 🥰
Maasha Allah Daa Rukia kuweka yai sio lazima ?
Ni lazma inasaidia kufanya mkate wa sinia kuwa na tundu tundu
Shukran Allah bareeq 🤲
nimeuelewa
Je kama natumia sufuria
I love your cooking
Thank you soo much
Mashallahh
Uje utufundishe kupika sega la nyuki
Inshallah
Sasa Kaa sna Nazi nitafanyaje
Ilike ur video
A alaykum where can i get or find this recipe in English.. jzk
th-cam.com/video/c63K253ew0o/w-d-xo.html
Naupenda ntaupika jpili
yummy
Asante sana nimekuelewa vema
Asc
Mchele wa basmati unakubal kupika mkate
Mashallah
Rukia mambo mbona mimi nikipika hautoki
Ni mchele tumia Lokal nzuri kwa mkate wa sinia na sufuria iwe nzito
Naweza tumia any rice habibt?
Yes
Yes
Hi is it usually wet inside when its done
Its not supposed to be wet inside, try to first cook at the upper cooker with lower hit atleast 40 minuts then put it in the oven only with the upper hit for 10 mnts.
A.aleikum umetumia mchele gani?
Ws Basmati
Why did mine have cracks ontop please help
The baking pan was too small
Kwani dad ukitumia unga ulio sagwa aufai
Waeza ila sijajaribu
Daa Rukia shukran sana kwa mafunzo Jana nimepika na leo pia nimejaribu tena kuupika lkn sijui kwa nn mkate wngu ndani hautoko mweupe kamawko wngu unakua brownish kbsa unaweza nisaidia tafadhal
Labda kwa sukari yenye umetumia haikuwa nyeupe
Nitumia no yako plz
Mchele gan mzur wa mchele
Ikiwa upo kenya local nzuri kwa kupika mkate wa sinia ila mm hutumia basmati
Mie nipo zanzibar ila huku hutumia mapembe ila bado hautok vizur labda nitumie uo basmat sijui ipi nzur mana basmat zipo nying plz
Unaeza kutumia maziwa kama huna nazi?
Noo hapana huwezi
@@RukiaLaltia habari, naomba kujua kwanini huwezi kutumia maziwa please? Asante🙏
Kitubuwa
Tried this twice and back fired
Uweki mafuta
I tried your recipe on my instagram page utamu.halisi it was marvelous
Maana naona mara mbili saga kwa mara moja kwa blenda