kuoga josho la hedhi

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 เม.ย. 2022
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 39

  • @latiphafahim7357
    @latiphafahim7357 7 หลายเดือนก่อน +3

    Silazima kufumua nywele zakawaida ila hakikisha maji ya nafika kwenye nguzi yk

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 ปีที่แล้ว +1

    Shukraan sheikh wangu

  • @ShamsaIsmaily-yq8kg
    @ShamsaIsmaily-yq8kg 2 หลายเดือนก่อน

    Me naswli kwaushauri wa madaktar wamekataza kuwekituchochot chakemikali ndaniyauke kamasabuni na vingin vipikuhusu iyomiski haidhuru

  • @SharifaOman-bf1bn
    @SharifaOman-bf1bn ปีที่แล้ว

    Mungu akuhifadhi

  • @NasiathiMlishidi-dk8yx
    @NasiathiMlishidi-dk8yx ปีที่แล้ว

    Asante shehk nimejifunza kitu endelea kutufundisha

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 หลายเดือนก่อน

    Shukran san shekhe

  • @Maryam-kl6gj
    @Maryam-kl6gj ปีที่แล้ว +2

    Shukreen shekhe

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z ปีที่แล้ว

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @user-eq8dd6sl7u
    @user-eq8dd6sl7u 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran shekhe

  • @user-vz4sh6nw6b
    @user-vz4sh6nw6b ปีที่แล้ว

    Inshallah tumejifunza mengi

  • @user-ro3ld6xo5z
    @user-ro3ld6xo5z ปีที่แล้ว +3

    Shukran sana ila naswali naomba kuuliza kwamwanamke hatakiwi kuoga kuanzia upande wakulia alafu amalizia na wakushoto mana hapo natatizika wengine walinambia waanza kutawadha alafu uanzekichwa pekeake alafu uje mwilini ambapo ndowaanza naupande wakulia je hilinalo vp? Naomba kufahamu sheikh

    • @AllySalum-ce3ix
      @AllySalum-ce3ix ปีที่แล้ว

      Kwanza unatakiwa kutawaza vizr Sehm za Siri, Alafu utashika udhu kama unataka kuswali zen utatia Nia ya kuoga Josho la Nifasi au Hedhi au Janaba, Kuoga kuanzia upande wa kulia zen kufuata kushoto Ni Suna, Lengo kubwa la Kuoga hilo Josho ni Kueneza Maji mwili nzima, Kama umemsikiliza vizr Sheikh akasema kama mwili wako Una mikunjo mikunjo hakikisha unanyanyua hizo Nyama za mikunjo hadi Maji yafike kila Sehm za mwili wako. NB: Kama unaoga Josho la Hedhi au Nifasi hakikisha unafumua Nywele zako kama ulikuwa umesuka

  • @candiesalm8995
    @candiesalm8995 5 หลายเดือนก่อน

    Kwan si lazima kunyoa sehem za siri na kukata kucha😢😢

  • @user-mg9fg6vc9w
    @user-mg9fg6vc9w 5 หลายเดือนก่อน

    Sheikh Mbona hizo Nia Hamfundishi??

  • @user-ge6sq2wd2f
    @user-ge6sq2wd2f 4 หลายเดือนก่อน

    Shukurani

  • @halimarahman1355
    @halimarahman1355 ปีที่แล้ว +1

    Shukran

  • @fatmarashid753
    @fatmarashid753 ปีที่แล้ว +2

    Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?

    • @bintrashid5108
      @bintrashid5108 ปีที่แล้ว

      Kwa heidh ni lazima kufumua nywele

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 ปีที่แล้ว

      Nywele ambazo aziingizi mj vizuri. Kwenye kichwa.

    • @AliMwavwiro-so6ky
      @AliMwavwiro-so6ky ปีที่แล้ว

      Mpka afumue nywele ndpo aoge kw sbbu maji yaingie mpka kwnye ngozi

  • @SalmaCosmas
    @SalmaCosmas ปีที่แล้ว +1

    Je kueka dread ni haram pia

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 ปีที่แล้ว +3

    Shukran 🙏 samahani Haina haja ya kuanza kutawadha! Na pia umezungumzia Rasta je ni halali kusuka Rasta? Please 🙏 naombeni jibu

    • @sophia-uv9si
      @sophia-uv9si ปีที่แล้ว +1

      rasta hairuhusiwi

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 ปีที่แล้ว +1

      Ni haramu kuunganisha nywele

    • @aminaamina9568
      @aminaamina9568 ปีที่แล้ว

      @@sophia-uv9si Asante mwaya

    • @aminaamina9568
      @aminaamina9568 ปีที่แล้ว

      @@halimahbwelele694 shukran 🙏

    • @Khairaat.
      @Khairaat. ปีที่แล้ว

      Hifai kusuka Wala kusukwa Rasta. Msukaj n msukwa wote wanapat madhambi

  • @sifatiiman
    @sifatiiman ปีที่แล้ว

    je jinsi ya kutia nia anatakiwa aseme nini?

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 ปีที่แล้ว

      Waeza sema hta kiswahili sio lazima kiarabu

    • @halimahbwelele694
      @halimahbwelele694 ปีที่แล้ว +1

      Nanuia kuoga kwa kuondoa hadath kubwa ya damu ya heidh

    • @sifatiiman
      @sifatiiman ปีที่แล้ว +1

      @@halimahbwelele694 sawa asante mpenzi ☺️

    • @NabilKassim-mn2il
      @NabilKassim-mn2il 2 หลายเดือนก่อน

      Nia inatoka moyoni sio lazima kusomwa ​@@sifatiiman

  • @aishasamweli934
    @aishasamweli934 2 ปีที่แล้ว +1

    Shukulan

    • @fatmarashid753
      @fatmarashid753 ปีที่แล้ว

      Jee kama amesuka nywele zake pia mpka afumue ndio aoge?

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z ปีที่แล้ว

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z ปีที่แล้ว

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?

  • @user-jy2dl7xe6z
    @user-jy2dl7xe6z ปีที่แล้ว

    Shukran🙏samahani je nilazima kutumia miski au mfinyanzi?