ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuhShukran kipenzi je, kama hujayachemsha yanafaa na je kama ukichanganya vaseline oil na almond oil itafaa
Asante sana mama kwa mafuzo
Ooh aisee Asante ngoja nijaribu nitarudi kuleta mrejesho
Asante saana kwa ujuzi huo nimependa
Asante dada ntajaribu nione
Thanks My sister
Asante sana kwa somo. Nakupenda bure dadangu
Karib sana
@@nasramaujuzi4245 asalam alaikum warhama tullah wabarakatuh Haya mafuta yakuza kidevu?
HahahaKidevu pia ni nywele lazima zitakua nyingi pia
So naeza tumia hadi kwa deadlock ??
Ndio
Mashallah yangu imekatika mbele sina nywele acha niyatengeze sijui mboya yakatika nywele yangu ila ntajaribu kuyatumia 🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana data je naweza kutumia mafuta ya nazi badlands ya olive?
Asante sana dada
Nikishatengeza hayo mafuta yanaweza kukaa kwa mda gani bila kuharibika?
Sidhani kama yanaharibika yangu nimetumia miezi 6
Asante dada maujuzi nuwele yangu nilikata nilipoanzakutonea nilkaanza namafuta uliyofundisha kwakweli nilipaka nakuanza mabutu yauzi kama mala4 sikuhiyo nikaenda kusuka zakawaida nilisukwa sita kichwa namkia ukabaki sikuamini wanaoniona wanashangaa nikasukatena sita nikajatena7 nikaludia yena tano uwiiih balikiwa sana unuchoyo my wangu nywelee ilikuanamvi lakini saivi wananiuliza unapaka piko nawaambia aka manazilifubaa nakua nyeupe yaani langi mchanganyiko saivi weupe unapungua zinakua nueusi👃👃👃
Mafuta yapi dr alielekeza
Shukurani dadangu nywele zangu hazimei
Shukran sana
Naomba no yk ya wasap kama unagroup nivizuli tungekua tunaleta molejesho ilikupata moyo zaidi minatakanikutumie maendeleeo yangu
Ahsante kwa som zur ntajaribu
Asante sana dadaake nipo Oman 🇴🇲 napenda nyele yangu ikuwe jamani
Asante dd kwamafundicho❤❤❤❤❤
Vp kwa kukuza ndevu yakubali
Nathani
Asante Kwa somo
Ambae sisuki?😊
Asante Sana Kwa somo
Asalaam alaykun nauliza hoyo mafuta ni yoyote ama kuna mafuta special
Wa,salam warahmatullah wabarakatuh Olive oil ndio bora zaidi lakin ukikosa unatumia yyte
Asante sana ila je nikitumia haya mafuta siruhusiwi kutuma mengine kabisa napenda kuosha nywele napaka stiming Kisha nanyoosha nywele na draya ya mkono je baada ya hapo naweza kupaka haya mafuta
Ndio unaweza
Hello mamyKunyoosha nywele Kwa moto Kuna haribu na kudhoofisha nywele pia inakata nywele
Unaweza
Kila mara inamaliza nywele fanya kila baada ya wiki mbili mara 1
Nywele Zangu azikuwi nashukuru sn
Samahani kwa nywele zenye dawa inafaa?
Hata zangu Zina dawa
Ni mafuta gan???
Olive oil Mafuta ya mzaituni
Asathe sana na mimi nitajitahidi nifavye hivo kwamana nywele zangu ajikuwi kweli Asathe ❤❤❤❤❤
asante sanaa mama
Nkikosa mafuta hayo na ya naz naeza kutumia mafuta ya kula?
Unaweza kujaribu
Nitajaribu ila apo kwa kuyapika tena na hawa warabu
Unaweza yaroeka siku 3 kama kupika ni shida
🙏❤❤❤ thanks
Matuta ya zaitumi Napata wapi
Maduka ya dawa za asili ama supermarket
nakama cna mashine natumia nn kusaga my dia
Unaswanga kwenye kinu
Kinu
A..aleikum ..nahitaji hayo mafuta yakiwa tayari nitayapata wp
Uko sehem gan
Wa,salam warahmatullah wabarakatuh
Lamu town
OhNko mombasa labda ukiwa na mtu umtume
Naomba msaada nijue namna ya kuzikuza nywele zangu maana zinakua alafu znakatika😢😢 hzirefuki
Mtoto wa miez anawez kutumia?
Sio kila maraKama mara 1kwa wk haina shida
Saw asante
Hongera mmke
Dad mtot wa miez anawez kuyatumia ayo mafuta
Waeza wiki mara 1
Nimependa c na
Mimi nataka yaķuondosha dandrasi ccter
Hio karafuu uongeze na kitunguu inatoa vizuri sana bora ujipake inavyotakiwa
Dada nielekeze yakuondoa ndevu
@ClaraLugomi duh
Naweza nikatiya mafuta ya Nazi km Sina ya zaituni Mama🙏🥰
Ndt
Shukran
hivi ni kweli nywele zina kua? maana kila mtu anaongea lake wakati mwingine hatuelewi tumfatilie nan
Jaribu uone matokeo
Iyo mafuta ya Olive niya kula ama ni Olive ya nywele jo unachanganya na cloves?
Hio ni ya kula
Samahan hata mafuta ya nazi unaweza ukatengenezea naukachemsha au
@@nasramaujuzi4245 sawa asante
naweza pata yaliyokwisha tengenezwa hivyo
Mombasa kenya
Mombasa wapi haswaa?
Unachemsha kwa muda gani?
Hadi karafuu ziwe kavu
@@nasramaujuzi4245 nice
@@nasramaujuzi4245 kazi yako nzuri nime ipenda
Naomba mafuta ya uso
A alaikumu dada yangu ,nikitumia mafuta ya Nazi ni sawa kuchanganya na karafu
Kwa watoto inafaa?
Inafaa sana
naweza kpata ambayo yapo tayarii
Samahn unaweza kuchanyanyia karafuu na mafuta ya mla
Jarib uone matokeo mi sijawahi
Hasante mamang
Kuna mtu kasema eti naweza changanya na kitunguu swaumu
Hata kitunguu maji pia unaweza
Tuone nywele zako
Dada mafuta ya olive oil naweka ya Sina gani
Ni hayo tuKiswahili ni mafuta ya zaituni
Kama Huna hiyo mashini yakusagia wafanyaje sasa
Utatwanga na kinu
Ipo pia Karafuu ilosagwa ni nzuri.
Hayanuki? Maana waarabu hawakawii kutuambia twanuka😂😂
Yanuka harufu yake
😅😅😅
😂😂😂😂😂
Wao mwenyewe hawakogi lakn hawajioni
Umenichekesha we dada😂😂😂
Mfano kama nimesuka siwezi kupaka
Unapaka kwenye ngozi yanaenea
Haya mafuta ni yanazi au mzeotuni msaada
Zeyituni
Ya zaitun
mm Nina ukoko unanisumbua nifanyaje
Jaribu hayo maduta manake ni vitamin c
Napaka kila siku
Week mara 2
Mafuta ya mnyonyo pia yanafaa kuchanganyia
Robo
Lazim uchemshe
Mafuta gani unayotumia kuchanganya
Olive oil
Naomba mafuta kutoa mvii
Haya
Ukiyapata unistue ndg
Sawa
Assalaam alaykum warahmatullah wabarakatuh
Shukran kipenzi je, kama hujayachemsha yanafaa na je kama ukichanganya vaseline oil na almond oil itafaa
Asante sana mama kwa mafuzo
Ooh aisee Asante ngoja nijaribu nitarudi kuleta mrejesho
Asante saana kwa ujuzi huo nimependa
Asante dada ntajaribu nione
Thanks My sister
Asante sana kwa somo. Nakupenda bure dadangu
Karib sana
@@nasramaujuzi4245 asalam alaikum warhama tullah wabarakatuh
Haya mafuta yakuza kidevu?
@@nasramaujuzi4245 asalam alaikum warhama tullah wabarakatuh
Haya mafuta yakuza kidevu?
Hahaha
Kidevu pia ni nywele lazima zitakua nyingi pia
So naeza tumia hadi kwa deadlock ??
Ndio
Mashallah yangu imekatika mbele sina nywele acha niyatengeze sijui mboya yakatika nywele yangu ila ntajaribu kuyatumia 🎉🎉🎉🎉🎉
Asante sana data je naweza kutumia mafuta ya nazi badlands ya olive?
Ndio
Asante sana dada
Nikishatengeza hayo mafuta yanaweza kukaa kwa mda gani bila kuharibika?
Sidhani kama yanaharibika yangu nimetumia miezi 6
Asante dada maujuzi nuwele yangu nilikata nilipoanzakutonea nilkaanza namafuta uliyofundisha kwakweli nilipaka nakuanza mabutu yauzi kama mala4 sikuhiyo nikaenda kusuka zakawaida nilisukwa sita kichwa namkia ukabaki sikuamini wanaoniona wanashangaa nikasukatena sita nikajatena7 nikaludia yena tano uwiiih balikiwa sana unuchoyo my wangu nywelee ilikuanamvi lakini saivi wananiuliza unapaka piko nawaambia aka manazilifubaa nakua nyeupe yaani langi mchanganyiko saivi weupe unapungua zinakua nueusi👃👃👃
Mafuta yapi dr alielekeza
Shukurani dadangu nywele zangu hazimei
Shukran sana
Naomba no yk ya wasap kama unagroup nivizuli tungekua tunaleta molejesho ilikupata moyo zaidi minatakanikutumie maendeleeo yangu
Ahsante kwa som zur ntajaribu
Asante sana dadaake nipo Oman 🇴🇲 napenda nyele yangu ikuwe jamani
Asante dd kwamafundicho❤❤❤❤❤
Vp kwa kukuza ndevu yakubali
Nathani
Asante Kwa somo
Ambae sisuki?😊
Asante Sana Kwa somo
Asalaam alaykun nauliza hoyo mafuta ni yoyote ama kuna mafuta special
Wa,salam warahmatullah wabarakatuh
Olive oil ndio bora zaidi lakin ukikosa unatumia yyte
Asante sana ila je nikitumia haya mafuta siruhusiwi kutuma mengine kabisa napenda kuosha nywele napaka stiming Kisha nanyoosha nywele na draya ya mkono je baada ya hapo naweza kupaka haya mafuta
Ndio unaweza
Hello mamy
Kunyoosha nywele Kwa moto Kuna haribu na kudhoofisha nywele pia inakata nywele
Unaweza
Kila mara inamaliza nywele fanya kila baada ya wiki mbili mara 1
Nywele Zangu azikuwi nashukuru sn
Samahani kwa nywele zenye dawa inafaa?
Hata zangu Zina dawa
Ni mafuta gan???
Olive oil
Mafuta ya mzaituni
Asathe sana na mimi nitajitahidi nifavye hivo kwamana nywele zangu ajikuwi kweli Asathe ❤❤❤❤❤
asante sanaa mama
Nkikosa mafuta hayo na ya naz naeza kutumia mafuta ya kula?
Unaweza kujaribu
Nitajaribu ila apo kwa kuyapika tena na hawa warabu
Unaweza yaroeka siku 3 kama kupika ni shida
🙏❤❤❤ thanks
Matuta ya zaitumi Napata wapi
Maduka ya dawa za asili ama supermarket
nakama cna mashine natumia nn kusaga my dia
Unaswanga kwenye kinu
Kinu
A..aleikum ..nahitaji hayo mafuta yakiwa tayari nitayapata wp
Uko sehem gan
Wa,salam warahmatullah wabarakatuh
Lamu town
Oh
Nko mombasa labda ukiwa na mtu umtume
Naomba msaada nijue namna ya kuzikuza nywele zangu maana zinakua alafu znakatika😢😢 hzirefuki
Mtoto wa miez anawez kutumia?
Sio kila mara
Kama mara 1kwa wk haina shida
Saw asante
Hongera mmke
Dad mtot wa miez anawez kuyatumia ayo mafuta
Waeza wiki mara 1
Nimependa c na
Mimi nataka yaķuondosha dandrasi ccter
Hio karafuu uongeze na kitunguu inatoa vizuri sana bora ujipake inavyotakiwa
Dada nielekeze yakuondoa ndevu
@ClaraLugomi duh
Naweza nikatiya mafuta ya Nazi km Sina ya zaituni Mama🙏🥰
Ndt
Ndio
Ndio
Shukran
hivi ni kweli nywele zina kua? maana kila mtu anaongea lake wakati mwingine hatuelewi tumfatilie nan
Jaribu uone matokeo
Iyo mafuta ya Olive niya kula ama ni Olive ya nywele jo unachanganya na cloves?
Hio ni ya kula
Samahan hata mafuta ya nazi unaweza ukatengenezea naukachemsha au
Ndio
@@nasramaujuzi4245 sawa asante
naweza pata yaliyokwisha tengenezwa hivyo
Mombasa kenya
Mombasa wapi haswaa?
Unachemsha kwa muda gani?
Hadi karafuu ziwe kavu
@@nasramaujuzi4245 nice
@@nasramaujuzi4245 kazi yako nzuri nime ipenda
Naomba mafuta ya uso
A alaikumu dada yangu ,nikitumia mafuta ya Nazi ni sawa kuchanganya na karafu
Kwa watoto inafaa?
Inafaa sana
naweza kpata ambayo yapo tayarii
Ndio
Samahn unaweza kuchanyanyia karafuu na mafuta ya mla
Jarib uone matokeo mi sijawahi
Hasante mamang
Kuna mtu kasema eti naweza changanya na kitunguu swaumu
Hata kitunguu maji pia unaweza
Tuone nywele zako
Dada mafuta ya olive oil naweka ya Sina gani
Ni hayo tu
Kiswahili ni mafuta ya zaituni
Kama Huna hiyo mashini yakusagia wafanyaje sasa
Utatwanga na kinu
Ipo pia Karafuu ilosagwa ni nzuri.
Hayanuki? Maana waarabu hawakawii kutuambia twanuka😂😂
Yanuka harufu yake
😅😅😅
😂😂😂😂😂
Wao mwenyewe hawakogi lakn hawajioni
Umenichekesha we dada😂😂😂
Mfano kama nimesuka siwezi kupaka
Unapaka kwenye ngozi yanaenea
Haya mafuta ni yanazi au mzeotuni msaada
Zeyituni
Ya zaitun
mm Nina ukoko unanisumbua nifanyaje
Jaribu hayo maduta manake ni vitamin c
Napaka kila siku
Week mara 2
Mafuta ya mnyonyo pia yanafaa kuchanganyia
Robo
Lazim uchemshe
Ndio
Mafuta gani unayotumia kuchanganya
Olive oil
Naomba mafuta kutoa mvii
Haya
Ukiyapata unistue ndg
Sawa