🔴
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- 🔴#Live: MUME wa DIVA (ABDULRAZACK) Afunguka A-Z KUVUNJIKA kwa NDOA YAO, DIVA kunywa SUMU | MAPITO
KATIKA kipindi cha 'MAPITO' leo Julai 06, tumepiga stori na mtaalam wa masuala ya mahusiano, Sheikh Abdulrazack, ambaye pia ni mume wa mtangazaji Diva the Bawse....
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv... - บันเทิง
SUBSCRIBE NOW UWE WA KWANZA KUONA:👉🏾 bit.ly/3MraYdQ
Naipenda sana global na milardayo TV za uhakika bsun wanaongea uongo mwingi sanaaaa
Wigi ni dhambi amebadilisha maumbile aliyo umbwa kwenye dini yetu ya kiislaam
@@margarethpolepole7438 🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
ana confidence in beyond. honestly siku yke ipo ya kuunbuka
Kabisa
Duh muogope mmungu ww kama pesa mbona ww ujitibie kwanza uwe na pesa .dawa kama ugojwa sawa ila. Sijui utajiri au mtu kuolewa ni uongo hiyo anajua Allah
Ukimsikiliza huyu kaka vizuri utagundua ni muongo sana
Misri hakuna hadharal maut, ni mji uko yemen na wa Yemen wanajua duuu jamaa muon go but diva attracted her style kicha Kama yeye
Kweli
Abduli hayo mauaji sasa
mmmmh Huyuuu Hata Hajuiiii WHAT IS LOVE KHAAAA😢😢😢😢😢
Tapeli huyu
Mganga msanii kwa ushekhegani kutwa kuloga wanawake ulale nao mfyuu na wanawake wengi tunaingia mkenge kwakupenda walamba lips
Misri ni Egypt n.a. hathar mout ipo ndani ya yemen
Kwa sifa za diva hio mimba angekua nayo kweli nahisi angepima mkojo live akatuonesha results anyway zaidi nyinyi ndio mnajua na Mungu Namalizia kumpa pole kama kweli
Hakuna cha mimba hapo ni drama tu
Hakuwa na mimba mipango yao tu ya kutaka kupiga pesa mjini
Huyu shekhe ubwa ubwa tuu anataka utamu kwanza niaibu mwanaume waivi eti sheikh tumuogope allah
Huyo ni Doctor Wazimu ukimuangalia hali yake anatakiwa akajitibu kwanza halafu ndio ajiite Doctor wa mapenzi kuna wanawake wa napenda kutumia moyo pekeyake bila kutumia akili Misiri shele gani Misiri kubwa watazania mnapenda kufeki ampendae mke wake haondoki hata kama inauma inauma kwako wewe na yule alieubeba ujauzito huo ni uongo
Wewe akikufuata lazma uwende box. Aca uwoongo. Simnapenda wanaume wakulamba lips.
Mungu wa mbinguni akusaidie Diva ulipoangukia Mungu akupe macho ya Roho kilio kilichoko mbele yako ni kikubwa sana mdogo wangu Mungu Mwema akusaidie.
Kwa kweli amsaidie
Yaani tena haraka kabla siku za maombolezo hazijamfikia
Yamemkuta sasa, maombolezo.
mnafiki mkubwa, anasahau anavyowanyanyasa wanawake kwa kutumia dawa kisha anawalala..
Tobaaaaaa
Vyombo husika vichunguze na kumchukulia hatua huyu abdul, inaoneka anatumia uganga wake wa kienyeji kama sehemu ya kuwapata wanawake wenye matatizo/emotional na kuwalaghai kisha anawatumia kingono. Hili ni swala ni very serious.
Litapeli hili
Abdulazaki anasauti ya kuchombeza akaerewa na wadada lkn anaonekana ni mtu mapenzi sn anapenda sex na anaonekana ni muongo mnoo kuwadanganya wadada🤞
Huongo mtupu unaachaje mwanamke Hospital 🏥 eti ukutaka kusikia wee kijana achana nahizo
Hadhramaut haiko Misry muongo wewe. Hadhramaut iko east-central Yemen, on the Gulf of Aden. Waongopee hao waliokuwa hawakusoma na hawajui.
ndo namshangaa huyu sheikh hajui wayemen tupo anatutajia kwetu Hadharam anasema n misri
🤣🤣🤣 kwahiyo inamaana hiyo psychology hajasoma. Yaani nisome Mzumbe Morogoro alafu niseme iko Mwanza.
@@MissHaffy. والله نحنا اليمن هههههههههههههه كذاب هذا الشيخ
Huyu kaka nimuongo na hajui lolote kuhusu uislamu na amuogope mungu. Kwanza uislam ni haramu kuvaa wigi. Alafu hadharamut haipo misri. Huyu ni conman wawazi
Kweli kabisa tapeli shek gani
Kabisa muongo sana, huo mji uko Yemen na yeye anasema uko Misri.
Huyu ni taperi kabisa mshezi kabisa
Eti "MIMI NI SHEIKH,
Wajua maana ya sheikh wewe,,
Acha Bangi zako weweee!!!
Kwendraaaaaa.ndio unapenda Sana umaaarufu.acha uongooooo.
Ebu acha upumbavu wewe usijiite shekhe kbs juu ya huo upumbavu wako au hujui maana ya shekhe.huyu jamaa ni Mjanja Mjanja sanaaa kiukweli na ipo siku atapata aibu hatakuja kuamin ktk maisha yake
Tena mchana kiama acha ajimwambafai iko cku yatamtokea puani hata amini muache azidi kpoteza hao wanawake wallah ni mbaya sana kktana sana na mwanaume anaejifanya kama ivi alafu hana imani yakmuogopa mola wake ee ogopeni siku mtakae rejeshwa kwa Allah dunia ni sitarehe ndogo yenye kpmbaza
@@hanifa9153 kbs jmn
yaani ukiona mwanaume anaongea ongea hivyo ujue hamna mtu hapo yaani hiyo mdo sign ya kwanza ya kumjua tapeli huyu bro yupo vizuri tu kama binadamu ila mjanja mjanja sana kwenye mapenz hayupo real...
TAPELI HILI NUMBER ONE
Kabisaa ni tapeli mkubwaa
🤣🤣🤣🤣
Abdul ww ni shehena sio sheikh, Una halalisha wig
Wanaume Mungu anawaona
Unajiita shekhe halafu unasema unasema unasema unawasaidia watu kuroga,waliorogwa.sijui mapenzi Allah atuhurumie
Kuusu kajala na harmonize Sheikh nmekuelewa.
khaaaaaa kaka unamahanisha haumutambuwi Diva 😂😂😂😂😂
Huyo jamaa ni mjanja, muongo na ni tapeli mkubwa Shekhe ukoko.
wanaume waki bongo khaaaaaa mimi na Mange kimambe niwazungutuuu 🤣😂😂😂😂😂😂
Huyu kijana anaonekana sio mkweli. Uso unasema mengi.
👌
Muongoo kamuacha diva jamn loooh
Dah
Apana kakangu wigi na mtandio tofauti wewe usisemi ivo apo hauko sahihi ni kumuombea pole pole tu Allah amuongoze
Unaunjanja sana we mganga kwakujitetea hujambo na kutunga uongoo acha hizo tabia 😂😃😃😃😂😂😂😂😂🤣🤣🤣
Sema huyu mwamba ako na Akili mingi sana🙌
Wewe unaakili sana ,jamaa yupo smart mno
Mwenyewe hajielewi kwenye mahusiano mbona hukumtengeneza Sabrina awe bora ulimtengeneza kwa manyanyaso
Hapo sasa wanaomsikliza huyu shubamiti wamsikilize tuu ila so kwangu bd hajanifunza kitu hata
Eti ku sacrifice mwili wake kwa kuwa fame? Watu hufanya hivyo, huyo jamaa ni mjanja sana
Ni kweli
Jamaa amekili “ hawezi kuishi maneno yake 100%”
Hyu kaka mjanja sana akili nyingi umshindi kuongea yupo na confident safi sana kichwani yupo vizuri kwakweli😂😂😂 yote wanayomshutumu binadamu wote wanafanya au wanaume wote wanafanya binadamu atujatimia ,. Mjanja sana bid up mwandishi pia umehoji kirafiki
Mmmmh...Tapeli wetu
Hadhramaut iko yemen shehe
Uwii sheikh abdulazak mbona hapo umetukoroga?
Umeongea vizuri
Mm nafanya hospital mahusiano yangu mengi nayapata hospital ivyo ni kawaida
Kwakua wew Huna Acha watu wawe namaisha yao bwana
Kuusu umarufu apana sabab nilimjuwa uyu Abdul razak Toka zamani sio kwasababu ya diva
Matapeli wamekutana eti bank zinadawaiwa maneno gani hayo
Hilo jina la sheikh tafadhali mslimuite mwiteni jina lake
Nikweli huyu nibaba nikaka mnajipatia madhambi bure alafu mtakuja juta
HUWEZI KUMTENGENEZA MTU ,,,KWANZA MNAINGIA KWENYE MAHUSIANO KWA HOBBY NA DESTIRI ZA MAISHA ZIENDANE KIDOGO,,OTHERWISE KAMA WAZAZI WAKE WALISHINDWA KUMTENGENEZA NDIO UTAWEZA WEWE,,,ACHA UONGO WEWE.....ULICHOKIFUTA UTAKIPTA
Ila vingine ni uwongo eti ashindwe kulipa bili inamaana hata wasafi halipwi??
Mkubwa mungu tu punzi na chakula umesikia jina lako apo acha izo
Safi sana hii ndio dawa ya diva alikua anaringa sana hapo diva utaimba haleluya 🤣🤣🤣utasoma no my dia hakuna ndoa mama hapo
🤣🤣🤣🤣
Hahahahahaa...huyu jamaa TAPELI...kweli...😆😆
yapeli mukubwa uuuwi 🤣😂😂😂🤣🙌🙌🙌🙌
Jamani nina swali. Je navipi mwanaume ambae hakubali kutengenezwa
We mjinga wa Arusha huko na meno yako kama mavi eti unauliza violence ni nini kwa kiswahili?!aiseee hii Nchi jamani
Tiba kama tiba
midomo na macho tuu vinakutambulisha kuwa wee ni katapeli fresh🤦
Hiyo ndiyo kazi yao waswshili kuachana hovyo kuoana jumamosi kuachana jumapili hicho kwao siyo kitu cha ajabu sana
Usitukane wakunga uzazi ungalipo alaf kuoa na kuacha ni tabia ya mtu sio uswahili
Huyu huwa haponi kwenye mapenzi ndo maana anaishia kuumiza watoto wa watu
Maake kwanza hapo ncheke mie 🤣🤣🤣 Eti Diva alipendewa shape nae 🤣🤣 kaka muongo ww alafu mjanja kweli
Hahahahahahahahahaahahaahahahah
Kweli jaman
Dr wa mapenzi huwez ht kumkata kucha mkeo😀😀😀😀😀huyu ana maigizo
Nyoko mtandio na wig n vitu vi2 tofaut
Yani you kind of a playboy! Af hueleweki
Kama amesema hajui mariam mbona ....katikati hapo wakati ulimuuliza mambo ya dawa ya kiume alisema mariam aliongea na hiyo ndio ushahidi wa dawa .....ama sio jamani huyu ni mjinga
This guy is a real womaniser,Penda yeye Sana..
So you love kwasababu ni womanizer?
What do you mean lol why are you contradicting your statement..is being a womaniser something to be proud of .jinga
Hapo kwenye dakika 5. Imenikumbusha mbali kunasiku nilishanga baba mmoja ananitaka kinguvu nikawa simtaki. Kuna mama mmoja nikamwambia huyu baba ananisumbua eti. ananitaka yule mama akaniambia ee makubwa huyo baba kafiwa na mkewe hata kuzikwa bado hajazikwa. akaniambia mkewe kafa na ukimwi. nikabaki nimeduwa nashangaa nikamkimbia. baada ya wiki moja yule baba nae alikufa jamani.alikufa kwa sterress
Duuu
Jamani ungemkubalia mzee wa watu hangekufa
@@esthermoraa6648 😂😂😂
@@esthermoraa6648 we aniambukize hakuna kitu .kinacho ua haraka kama kuishi kwama tumaini
Mwanangu nimekukubali kwa 100% hivo ndo mwanaume anatakiwa awe, we kamanda wangu kabisaaa 👍
🙄🙄🙄
@@felistersmejumaa5188 😅
@@felistersmejumaa5188 😀😀
Mtu mwenyewe wa kupendwa yukuwapi hana mpango kwanza hayo macho gani
🤣🤣🤣🤣 Diva kuchamba kwingi
Umewezekana
Kupenda walamba midomo,bora mimi nije kukuchukua aisha
Sheikh mimi mwanafunzi wako naona umeniacha kipindi kireefu. Nituie ticketi ya ndege nije tufanye kazi kama zamani Sheikh wanguu.
Tatizo huyu umalaya na kujiramba2
Usihalalishe kharam Kwa Dunia yako Dini inatufundisha aurat lmar -at jamii lbadinih Ila wajihiha walkafain....Na wigi si halali usituhalalishie
Ywataka kuhalalisha haramu huyu
Bongo tuna vichakaa wengi sana, what mavi is he talking about? Another Manara?
Mmh shekhe unahalalisha wigi ? Kweli unasema watu wamechanganyikiwa ww ushaungua brov
Nani anampenda mwenzake zaidi ya inajulikana.
Ma-love hauna na hauyajui halafu wajiita dr LOVE pumbavuu kafiee hukoo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂nyie mi sina neno ngoja niendelee kuenjoy na usingle
Usipotoshe watu dini ya kiislamu hairuhusu hivo vitu kamwe labda useme kama utamlekebisha kidogo kidogo nasio kusema kuwa wiki nisawa na mtandio
Hapana kwa nini huwezi kumupelekea muke wako chai kitandani? Eti wewe ni mwa frika mtanzania huna Mapenzi kwa nini akupeleke taratibu lakini wewe mbona ukaharakisha kumuoa basi?
Sheikh nimemkubali kwenye dakika 5 za kuachwa🤣🤣🤣
Ya kweli hayo wigi ndio liwe mtandio?
Kwadini ya kiislamu hailuhusiwi kutizamia ndoa huo ni ushirikina
Siasa za uongo nyingi sikupendi
Hongera kwa kufunza jamii
huyu mganga mshaurini aokoke aachane na manyanga
Wewe ulienda hoficn kwake ukayaonamanyanga
Huyo nitapeli kqeli
Yn Kaka tapel uyu htr
Mwanaume mzima ati kusema ati naogopa kurogwa huna mpya mbona wewe unawaroga wanawake ili wakutake
Hata mimi nataka namba ya abdul razaq ninamasuar mengi sana
Diva kauvaa mkenge
Kwani diva amekukosea nini hata umuache na anakupenda sana hata haya huna mrongo mkubwa unachezea wanawake KWA vile unajiona Handsome mbaya wewe
Mh mtihani huyu mapepe kwenye uislamu Hakuna kitu mahusiano yy ana shajiisha zinaa hana ushehe wala nn ni ao ao vijana wa mtaani
Ubaya wake Nini wanaume wote waongo wakweli wapo peponi tu huyuni mume boratu natamani awe mumewangu ilacjui wapi nampata nanita muheshimu Sana nawa Toto wake pianitawapenda chai nitakuwekea shekhe njoo kwangu😄😄😄🍉
Duh jamaa kamba kaali.
Kasomea misri sehem inaitwa Hadramout.
Misri na hadramout wapi wapi boss
Jamani mnavocoment ovyo Mimi hapo nashindwa kuelewa Ina maana hii media inakula bando wakati inajua huyu mtu muongo😳
khaaaaaa 🤣🤣😂😂🙌🙌
Khanisi barazuli wahed mfyuuuuuuu umemtelekeza ndugu yetu nyoko ww
Hapo kwa kajala umeongea points hakuna heshima kwenye mapenzi mtu amemtaka kimapenzi mtoto wako wa kumzaa na kamuonyesha uchi wake anakwambia samahan na unamsamehe????kajala hana akili ata moja
Afadhali yakajala kuliko yake yy ni mchafu mbwa
Kwan hapo wanaongelea kajala au amduli
Kwan ni kweli ndoa chalii🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
🤣🤣🤣Ndoa za wasanii Kama muvi
Hadhral maut sio Misr ipo Yemen usiseme uongo
🤣🤣🤣🤣🤣 et alipitiwa kidogo 🤣🤣🤣🤣
mwongo huyu tapeli
Huyu baba hapana aise 😅😅😅
Asalalaa😂😂Eti wingi ni mtandio😂😂😂🤣🤣😂🤣😂shekhe shikamoo
Hahahaha hatari voo
😅😅😅😅😅asalalaa nimecheka😅😅