Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
Hapa ndio pale panaponifanya hata niwe katika hali gani nakumbuka tuu kuwa Mungu ni fundi. Angalia kwa nje tunaona lugha ngumu lakini wao huona wanaelewana.MUNGU wa mbinguni sifa na utukufu ni zako - wachaga ...aika RUWA mbee - wamasai .....Ashe ENGAI - wapare ....Havache MULUNGU - wameru ...,Haika IRUWA
*INATISHA NA INAUMIZA JINSI WACHAWI NA MAJINI WALIVYOMSHAMBULIA HUYU MTU DAH😭😭😭 INAUMA SANA TAZAMA HAPO CHINI UKAONE 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽**th-cam.com/channels/Fe4_eicCAHCXppuPY3_9xw.html** 👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾 WANGA NA WACHAWI WAONEKANA LIVE* 😔😔😔😔
Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu
This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤
🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!
😂😂😂🇹🇿
Influence is power...
Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.?
Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.
Hatar mzee
Nishida mondi adi. Mpolini. Ankulikan. Kweli simba
Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam
Dunia ina maajab
Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.
Ahahahahahahaha
😆😆😆😆😆😆😆
Hahahahahh
🤣🤣😂😂😂
Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana
Love this from kenya
Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂
Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee
Mandishi be like; jina lako nani?
Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika.
Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅
Mwandishi; de ka brrizz!!!
😁😆😆😆
Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.
Mtuache wachagga
Wachaga zero kabisa na wezi haoooo
@@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani
@@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.
Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea
Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍
😀😀😀
Dudu kwaya
Chibuu km chibuuu 💪💪💪
Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌
😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe
Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣
Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond
😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo
Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna
Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini
Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi
@@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.
MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu
@@manyaraboy nakubali
MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋
Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?
😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe
Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee
Makarani wa sensa kazi mnayo!!
Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo
Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.
Mungu isaidie Africa
Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi
Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu
Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣
Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.
Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂
Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.
Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri
😂😂
Oya kausha
Hahaaaa umetishaaq
Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli
Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu
Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa
They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication
Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani
Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.
Allahu Akbar Allah tabaraq rahman
Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!
Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁
Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥
Hakika Kaka
Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥
Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo
Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂
Ako kakuku ni kakwako kaka wew😂😂😂
hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu
Jamn...nimewapenda🙈
Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe
Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu
Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁
Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂
Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia
@@kelvinjustin8168 dododonkoteaj
Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....
Hilo jina sasa mamae😁😁😁
💚 TANZANIA
Dah ndoa
Hapa ndio pale panaponifanya hata niwe katika hali gani nakumbuka tuu kuwa Mungu ni fundi. Angalia kwa nje tunaona lugha ngumu lakini wao huona wanaelewana.MUNGU wa mbinguni sifa na utukufu ni zako
- wachaga ...aika RUWA mbee
- wamasai .....Ashe ENGAI
- wapare ....Havache MULUNGU
- wameru ...,Haika IRUWA
Subuhanallah..!!
Hiii ni TANZANIA
Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣
Mamb mtoto mzur
Duh!¡! Atari sana dudu kweeee
Diamond Platinum
Atarii sana kitoweo nyani!!!!
Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣
😂😂😂kidogo nicheke
😂😂
@@nkelamei2870 😂😂
Duh.......
Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥
Watajidownlod
Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond
Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani
😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣
Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu
Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba
Kwahyo wapo inch gan xx
Wapo nchi gan
Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo
Mwenyewe nimechoka iyo lugha
nilitamani kuiyona ndefu hii
Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni
Huko ndo pakwenda kuolea sasa yani dume tatu za nyani na asari unachukua jiko raha sana achana na huku mpaka uwe na milioni mbili na zaid ndo uowe
Nyani sasa kumpta inshu sio km zamani wanapita ovyo kijjn kwetu
Make kwanza cheke dudukwe🤣🤣
Nyie Tanzania muapenda kutaja mambo ya usanii tuu
Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.
Dudukwe noma sana
Duh kweli lugha zipo kitoe nyani na asali
*INATISHA NA INAUMIZA JINSI WACHAWI NA MAJINI WALIVYOMSHAMBULIA HUYU MTU DAH😭😭😭 INAUMA SANA TAZAMA HAPO CHINI UKAONE 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽**th-cam.com/channels/Fe4_eicCAHCXppuPY3_9xw.html** 👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾 WANGA NA WACHAWI WAONEKANA LIVE* 😔😔😔😔
Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂
Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic
Hii ni mkoa gan kk?
Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣
😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆
Mpaka ulimi unalia dodod
Dudu khweeee😂😂
Mahali ni dume 2 za nyani 😀😀😀😀😀😀😀
Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz
wanavitambulisho vya NIDA hao Millard Ayo hujauliza hilo swali
Haaa haaa duh miaka tatu🤣🤣
Duuhh mecheklaaa sn
Ili kabila limenivunja mbavu majina Yao nimecheka kwasauti Yani ila nimeipenda sana
Hili kabla lipo wapi natamani kutembea apa
😂😂😂hii ni ngumu😂😂😂😂
sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa
Duh😀😃😄😁😆😅🤣😂 hayo majina
Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv
Jamii hii Ina kitu Cha kujinfunza kwasababu iko tofauti sana
😀😀😀😀😀😀 majina ni Noma kweli 😀😀😀😀