VIDEO: TAZAMA JAMII INAYOISHI KWA MATUNDA NA NYAMA,UTACHEKA MAJINA YAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2022

ความคิดเห็น • 452

  • @keiyalaitayo7903
    @keiyalaitayo7903 ปีที่แล้ว +15

    Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu

  • @trendvibeke
    @trendvibeke ปีที่แล้ว +21

    This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤

  • @maryamsaleh8438
    @maryamsaleh8438 ปีที่แล้ว +30

    🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!

  • @saljam82
    @saljam82 ปีที่แล้ว +29

    Influence is power...
    Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.?
    Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.

    • @jumakibe5032
      @jumakibe5032 ปีที่แล้ว +2

      Hatar mzee

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 ปีที่แล้ว

      Nishida mondi adi. Mpolini. Ankulikan. Kweli simba

  • @mkongomanidrc849
    @mkongomanidrc849 ปีที่แล้ว +5

    Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 ปีที่แล้ว +18

    Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.

  • @mtabiriwanyotashekhadinans7494
    @mtabiriwanyotashekhadinans7494 ปีที่แล้ว +19

    Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana

  • @Johny255Official
    @Johny255Official ปีที่แล้ว +1

    Love this from kenya

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 ปีที่แล้ว +5

    Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂

  • @kachubemaulid717
    @kachubemaulid717 ปีที่แล้ว +1

    Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee

  • @Willem_Mah
    @Willem_Mah ปีที่แล้ว +3

    Mandishi be like; jina lako nani?
    Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika.
    Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅
    Mwandishi; de ka brrizz!!!
    😁😆😆😆

  • @uledimtumwa2406
    @uledimtumwa2406 ปีที่แล้ว +13

    Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.

    • @palokuthereza2555
      @palokuthereza2555 ปีที่แล้ว +1

      Mtuache wachagga

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว +1

      Wachaga zero kabisa na wezi haoooo

    • @palokuthereza2555
      @palokuthereza2555 ปีที่แล้ว

      @@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani

    • @emmanuelzani2889
      @emmanuelzani2889 ปีที่แล้ว

      @@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.

    • @pus.4506
      @pus.4506 ปีที่แล้ว +1

      Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 ปีที่แล้ว +7

    Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍

  • @leahally4618
    @leahally4618 ปีที่แล้ว +3

    Chibuu km chibuuu 💪💪💪

  • @hadeeegahalmawali504
    @hadeeegahalmawali504 ปีที่แล้ว +1

    Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌

  • @anordjoseph6644
    @anordjoseph6644 9 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan3845 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣

    • @mariamomar1735
      @mariamomar1735 ปีที่แล้ว +1

      Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond

  • @saidymatejoe2212
    @saidymatejoe2212 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo

  • @ignaszyinzile5094
    @ignaszyinzile5094 ปีที่แล้ว +1

    Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 ปีที่แล้ว +10

    Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 ปีที่แล้ว +1

      Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 ปีที่แล้ว +3

      @@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.

    • @manyaraboy
      @manyaraboy ปีที่แล้ว

      MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 ปีที่แล้ว

      @@manyaraboy nakubali

  • @ommythetruth5449
    @ommythetruth5449 ปีที่แล้ว +1

    MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋

  • @maigecharles301
    @maigecharles301 ปีที่แล้ว

    Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 ปีที่แล้ว +3

    Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?

  • @aishawhite1107
    @aishawhite1107 ปีที่แล้ว +19

    😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe

    • @neemaruhembe6360
      @neemaruhembe6360 ปีที่แล้ว

      Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 ปีที่แล้ว +6

    Makarani wa sensa kazi mnayo!!

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 ปีที่แล้ว +1

    Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 6 หลายเดือนก่อน

    Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo

  • @majaliwajohn481
    @majaliwajohn481 ปีที่แล้ว +1

    Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.

  • @ruu6592
    @ruu6592 ปีที่แล้ว +1

    Mungu isaidie Africa

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 ปีที่แล้ว +3

    Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 ปีที่แล้ว

      Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 ปีที่แล้ว +4

    Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 ปีที่แล้ว

      Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.

  • @khalidngwembele9075
    @khalidngwembele9075 ปีที่แล้ว +13

    Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂

    • @uledimtumwa2406
      @uledimtumwa2406 ปีที่แล้ว

      Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.

    • @kasukukasuku3896
      @kasukukasuku3896 ปีที่แล้ว

      Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri

    • @mariammkwabi7101
      @mariammkwabi7101 ปีที่แล้ว

      😂😂

    • @hijazhija316
      @hijazhija316 ปีที่แล้ว +1

      Oya kausha

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 ปีที่แล้ว +1

      Hahaaaa umetishaaq

  • @peninamsuko4858
    @peninamsuko4858 ปีที่แล้ว +2

    Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli

  • @janetdaniely7945
    @janetdaniely7945 ปีที่แล้ว +1

    Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu

  • @chanjamtagwa8565
    @chanjamtagwa8565 ปีที่แล้ว +1

    Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa

  • @mohamedabdullahi8874
    @mohamedabdullahi8874 ปีที่แล้ว

    They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 ปีที่แล้ว +2

    Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani

  • @highmedland9280
    @highmedland9280 ปีที่แล้ว

    Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 ปีที่แล้ว +9

    Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 ปีที่แล้ว

    Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁

  • @rich.kizza10
    @rich.kizza10 ปีที่แล้ว +2

    Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥

  • @eliassteven5575
    @eliassteven5575 ปีที่แล้ว +2

    Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥

  • @jumakibe5032
    @jumakibe5032 ปีที่แล้ว +1

    Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo

  • @professorbenjamin1027
    @professorbenjamin1027 ปีที่แล้ว +1

    Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂

  • @whatisthetruth.8793
    @whatisthetruth.8793 ปีที่แล้ว +6

    hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu

  • @mariambwambo9885
    @mariambwambo9885 ปีที่แล้ว +1

    Jamn...nimewapenda🙈

  • @barakamwita1506
    @barakamwita1506 ปีที่แล้ว

    Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe

  • @bujimucharles153
    @bujimucharles153 ปีที่แล้ว +2

    Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 ปีที่แล้ว

    Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁

  • @tumaliciou8889
    @tumaliciou8889 ปีที่แล้ว +6

    Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂

    • @kelvinjustin8168
      @kelvinjustin8168 ปีที่แล้ว

      Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia

    • @mmn7480
      @mmn7480 ปีที่แล้ว

      @@kelvinjustin8168 dododonkoteaj

  • @yusrashabani2983
    @yusrashabani2983 ปีที่แล้ว +2

    Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @makereziron2918
      @makereziron2918 ปีที่แล้ว

      Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....

  • @aboubaqarally9834
    @aboubaqarally9834 ปีที่แล้ว

    Hilo jina sasa mamae😁😁😁

  • @Masai_kifimbo
    @Masai_kifimbo ปีที่แล้ว +1

    💚 TANZANIA

  • @AbuubakarJuma-se9cp
    @AbuubakarJuma-se9cp 6 หลายเดือนก่อน

    Dah ndoa

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 ปีที่แล้ว +5

    Hapa ndio pale panaponifanya hata niwe katika hali gani nakumbuka tuu kuwa Mungu ni fundi. Angalia kwa nje tunaona lugha ngumu lakini wao huona wanaelewana.MUNGU wa mbinguni sifa na utukufu ni zako
    - wachaga ...aika RUWA mbee
    - wamasai .....Ashe ENGAI
    - wapare ....Havache MULUNGU
    - wameru ...,Haika IRUWA

  • @ummuhafswa8980
    @ummuhafswa8980 ปีที่แล้ว

    Subuhanallah..!!

  • @rashidmhenga285
    @rashidmhenga285 ปีที่แล้ว

    Hiii ni TANZANIA

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 ปีที่แล้ว +6

    Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣

  • @shabanitetema3020
    @shabanitetema3020 ปีที่แล้ว

    Duh!¡! Atari sana dudu kweeee

  • @mkobaofficial8037
    @mkobaofficial8037 ปีที่แล้ว +1

    Diamond Platinum

  • @zainakibiki3489
    @zainakibiki3489 ปีที่แล้ว

    Atarii sana kitoweo nyani!!!!

  • @mwanziadavid5570
    @mwanziadavid5570 ปีที่แล้ว +4

    Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣

  • @faustinewilliam4908
    @faustinewilliam4908 ปีที่แล้ว +1

    Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥

  • @eriminewilsonpjo9540
    @eriminewilsonpjo9540 ปีที่แล้ว +1

    Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond

  • @anuarinyangasa9414
    @anuarinyangasa9414 ปีที่แล้ว

    Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani

  • @stinaismail846
    @stinaismail846 ปีที่แล้ว

    😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣

  • @peterdotto4055
    @peterdotto4055 8 หลายเดือนก่อน

    Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu

  • @athumanisalimu7771
    @athumanisalimu7771 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba

  • @erastomkulu6829
    @erastomkulu6829 ปีที่แล้ว

    Kwahyo wapo inch gan xx

  • @ananiamaduke2655
    @ananiamaduke2655 ปีที่แล้ว

    Wapo nchi gan

  • @mcback4384
    @mcback4384 ปีที่แล้ว

    Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 ปีที่แล้ว

    😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 ปีที่แล้ว +1

    nilitamani kuiyona ndefu hii

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 ปีที่แล้ว

    Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 ปีที่แล้ว +1

    Huko ndo pakwenda kuolea sasa yani dume tatu za nyani na asari unachukua jiko raha sana achana na huku mpaka uwe na milioni mbili na zaid ndo uowe

    • @mwaneyseifseif3059
      @mwaneyseifseif3059 ปีที่แล้ว

      Nyani sasa kumpta inshu sio km zamani wanapita ovyo kijjn kwetu

  • @sadabahla7120
    @sadabahla7120 ปีที่แล้ว

    Make kwanza cheke dudukwe🤣🤣

  • @husseinguyo4929
    @husseinguyo4929 ปีที่แล้ว

    Nyie Tanzania muapenda kutaja mambo ya usanii tuu

  • @saimonijonas4356
    @saimonijonas4356 ปีที่แล้ว +2

    Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.

  • @mohamedimalesa2995
    @mohamedimalesa2995 ปีที่แล้ว

    Dudukwe noma sana

  • @vanessahappy954
    @vanessahappy954 ปีที่แล้ว

    Duh kweli lugha zipo kitoe nyani na asali

  • @sheikhsharifmaduatz2871
    @sheikhsharifmaduatz2871 ปีที่แล้ว

    *INATISHA NA INAUMIZA JINSI WACHAWI NA MAJINI WALIVYOMSHAMBULIA HUYU MTU DAH😭😭😭 INAUMA SANA TAZAMA HAPO CHINI UKAONE 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽**th-cam.com/channels/Fe4_eicCAHCXppuPY3_9xw.html** 👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾👆🏾 WANGA NA WACHAWI WAONEKANA LIVE* 😔😔😔😔

  • @sayeedbinazan
    @sayeedbinazan ปีที่แล้ว

    Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂

  • @abbymkombozi4382
    @abbymkombozi4382 ปีที่แล้ว

    Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic

  • @gharibsalim3677
    @gharibsalim3677 ปีที่แล้ว

    Hii ni mkoa gan kk?

  • @zulfahamissi9266
    @zulfahamissi9266 ปีที่แล้ว

    Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣

  • @tedyokachu5013
    @tedyokachu5013 ปีที่แล้ว

    😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆

  • @issaladi1928
    @issaladi1928 9 หลายเดือนก่อน

    Dudu khweeee😂😂

  • @saketnicholaus9962
    @saketnicholaus9962 ปีที่แล้ว

    Mahali ni dume 2 za nyani 😀😀😀😀😀😀😀

  • @mwajumahamisi2006
    @mwajumahamisi2006 ปีที่แล้ว

    Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz

  • @athumanfuko199
    @athumanfuko199 ปีที่แล้ว

    wanavitambulisho vya NIDA hao Millard Ayo hujauliza hilo swali

  • @ramadhanikimbeho3016
    @ramadhanikimbeho3016 ปีที่แล้ว

    Haaa haaa duh miaka tatu🤣🤣

  • @astonomer
    @astonomer ปีที่แล้ว

    Duuhh mecheklaaa sn

  • @haniiniramzan9989
    @haniiniramzan9989 ปีที่แล้ว

    Ili kabila limenivunja mbavu majina Yao nimecheka kwasauti Yani ila nimeipenda sana

  • @hajimasoud1544
    @hajimasoud1544 ปีที่แล้ว

    Hili kabla lipo wapi natamani kutembea apa

  • @user-jx9qm8we4z
    @user-jx9qm8we4z 7 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂hii ni ngumu😂😂😂😂

  • @modysultan6170
    @modysultan6170 ปีที่แล้ว +1

    sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @zaituniselemani3247
      @zaituniselemani3247 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 ปีที่แล้ว

    Duh😀😃😄😁😆😅🤣😂 hayo majina

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 ปีที่แล้ว

    Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv

  • @kasukukasuku3896
    @kasukukasuku3896 ปีที่แล้ว +3

    Jamii hii Ina kitu Cha kujinfunza kwasababu iko tofauti sana

  • @Pascal1122
    @Pascal1122 ปีที่แล้ว

    😀😀😀😀😀😀 majina ni Noma kweli 😀😀😀😀