#LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
  • Karibu utazame chaneli yako pendwa ya Star TV Africa.
    Jiunge nasi kupata habari za kitaifa na kimataifa, makala, burudani na habari za michezo katika nyanja zote!
    Kutoka Ilemela - Mwanza, Tanzania mpaka ulipo, TUNAKUFIKIA!
    Star TV Brightens Your Day !

ความคิดเห็น • 223

  • @danielmpanguko759
    @danielmpanguko759 6 หลายเดือนก่อน +16

    Viva Lissu uishi miaka Mingi Mungu mwenyewe akupiganie

    • @musa-v3f
      @musa-v3f 6 หลายเดือนก่อน

      Thanks Nyanda for fair interview, very naive and cynical questions also you need to give Mhe.Lissu enough time to respond to questions posed.

  • @AnsbertNgurumo
    @AnsbertNgurumo 6 หลายเดือนก่อน +41

    Mtazamo wangu: Muulizaji hana subira, hasikilizi majibu, ni kama ana majibu yake, na anakusudia kufunika baadhi ya majibu anayopewa. Anauliza maswali halafu anaogopa majibu. Akikutana na muulizwaji legelege atamlisha maneno.

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 6 หลายเดือนก่อน +6

      Nimefurahi sana kuona comment yako Mzee NGURUMO ❤❤❤

    • @eliajimmy95
      @eliajimmy95 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hata wewe brother huwa nakuelewa sijawahi kosa kuangalia video zako uko vizuri sana.

    • @zamorad5654
      @zamorad5654 6 หลายเดือนก่อน

      Kakangu ngurumo nilikuwa nawaza kama wewe,mtangazajia alikuwa na majibu yake tsyari

    • @ezraochora8495
      @ezraochora8495 6 หลายเดือนก่อน +1

      Mchambuziwangu.mimi.naitwa.ezra.ochola.niko.tabora.tanzania.hatamimi.naona..mtangazaji.hana.subira..alos.nyanda.hua.nimuogasana..anwaogopasana.hawa.miamba.wa.chadema

    • @gaingabriel8982
      @gaingabriel8982 6 หลายเดือนก่อน +1

      Ttz muda

  • @giftyjackson2461
    @giftyjackson2461 6 หลายเดือนก่อน +14

    Safi sana makamu hsujawahi kuyumba kujibu maswali

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn 6 หลายเดือนก่อน +25

    Lissu ni hazina kwa taifa letu

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 6 หลายเดือนก่อน +6

    VIVA MH. LISSU....WATANZANIA WAMEKUELEWA SANA....UMEKUWA MUWAZI NA MKWELI SANA....BWANA MAKONDA NI MUUAJI ....NA AMEUWA WATU WENGI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU HATAMUACHA SALAMA.

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express 6 หลายเดือนก่อน +11

    Mtangazaji mpumbavu sana. Kama muda hautoshi uliza swali moja aelezee nusu saa nzima akimaliza funga kipindi umyite siku nyingine uulize swali moja alijibu kwa mapana, akimaliza funga kipindi umyite siku nyingine. Huu upumbavu wa kusema muda hautoshi halafu unauliza swali lingine ni ujuha uliopita kipimo. Hakuna asiye jua STER TV ni channel ya wale wale tu. Kama hamuwezi kuwahoji wapinzani achaneni nao.

    • @paulsamuel3976
      @paulsamuel3976 5 หลายเดือนก่อน

      Ni Kweli naona kabisa inamchoma

    • @DonMooSTUDIO_Express
      @DonMooSTUDIO_Express 4 หลายเดือนก่อน

      @@paulsamuel3976 wanamalengo yao kumuita

  • @ezekielezekiely8476
    @ezekielezekiely8476 6 หลายเดือนก่อน +15

    Ama kweli.chadema,ni chama cha kisayansi.viva ivctory.

  • @florencejohn6427
    @florencejohn6427 6 หลายเดือนก่อน +11

    Kama muda haitoshi kwanin huwa mnawaita watu wenye madini kama Lissu. Mwandishi anakwepa baadhi maelezo. Ovyoo

  • @driss4957
    @driss4957 6 หลายเดือนก่อน +12

    Wewe
    Mwandushi una tabia ya kuuliza maswali halafu wakati unajibiwa unaingilia, KAMA UNAOGOPA ACHA INTERVIEW, UNAZINGUA...

  • @kirariwilanya1850
    @kirariwilanya1850 6 หลายเดือนก่อน +9

    Nyanda anajaribu kuirinda Ajira yake na star ⭐ tv Yao.

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma 6 หลายเดือนก่อน +20

    Haya Mahojiano Kaka Nyanda please tafuta muda muyaendeleze....Kuna mengi ya kujifunza kutoka kwa Lissu.

    • @RichardJr-y8d
      @RichardJr-y8d 6 หลายเดือนก่อน

      Hakuna mtangazajii hapooo

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma 6 หลายเดือนก่อน

      @@RichardJr-y8d Kwa nini umesema hivyo?

    • @user-wn7nr9bh5m
      @user-wn7nr9bh5m 6 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa huyo Naye ni mtangazaji kwa anaelew definition ya interview Sasa anauliza swali lisu hajmaliza kujibu ashauliza lengne Sasa tutamwelewaje Basi Kam Ana majibu ake mwenyewe asingemsumbua jembe letu lissu kwa interview😊😊😊😮😮😮😮

  • @anordkazuba-ft5jr
    @anordkazuba-ft5jr 6 หลายเดือนก่อน +11

    Lisu tunakugemea sana

  • @danielsamwel4432
    @danielsamwel4432 6 หลายเดือนก่อน +4

    Usipomwelewa lissu sijui utamwelewa nani Sasa

  • @DenisGodwin-uu6zz
    @DenisGodwin-uu6zz 6 หลายเดือนก่อน +4

    Madini sana,watu ambao huwa napenda kuwasilikiliza🙏TAL umebarikiwa.

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 6 หลายเดือนก่อน +1

    Vivacommander Viva MH lissu mungu nimwema sana atazidi kutupigamia siai wapendahaki eemungu tusaidiye utujariye watu wenyeroho zamungu ktk Madaraka yanchihii,

  • @thomasmollel9465
    @thomasmollel9465 6 หลายเดือนก่อน +8

    Namkubali sana huyu mwamba pacha wake Lema yuko wapi

    • @RutinikiGosbert
      @RutinikiGosbert 6 หลายเดือนก่อน +2

      Ndugu sawa ila chadema ina watu wengi vichwa vya hatari tunajivunia ivyo

    • @user-fl7jl7vk3n
      @user-fl7jl7vk3n 6 หลายเดือนก่อน

      Lema ni dume

  • @peemoneybags410
    @peemoneybags410 6 หลายเดือนก่อน +2

    Genius Lissu

  • @leonardmartine662
    @leonardmartine662 6 หลายเดือนก่อน +4

    Lissu yuko smart sana

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 6 หลายเดือนก่อน +5

    Tuombe mungu makonda aje ashughulikiwe kikamilifu na watu alio waongoza kumpiga risu wapo nao waje washughulikiwe

  • @thomasmollel787
    @thomasmollel787 6 หลายเดือนก่อน +2

    Tundu lissu ni icon ya nchi

  • @nelsonkolukwi
    @nelsonkolukwi 6 หลายเดือนก่อน +7

    Nyanda anataka kukimbia😂😂

  • @kilangoable
    @kilangoable 6 หลายเดือนก่อน +8

    Mtangazaji hajui kazi yake

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 6 หลายเดือนก่อน +3

    Safi sana lisu dk 5 nizake asitubabaishe

  • @jumahungulu9891
    @jumahungulu9891 6 หลายเดือนก่อน +9

    I stand with lissu congratulations to you brother nanda

  • @karushakamusa5525
    @karushakamusa5525 6 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa fundi sana

  • @kilimohub580
    @kilimohub580 6 หลายเดือนก่อน +3

    Akili mingi

  • @Don-Brain.
    @Don-Brain. 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri sana lissu🎉

  • @christophermwampashe465
    @christophermwampashe465 6 หลายเดือนก่อน +12

    Lisu ni chuma pua.Huyasema mambo yaliyofanyiwa utafiti tu na ambayo ni ya uhakika.Sasa mtu kama huyo kukaa meza moja kwenye mdahalo unatakiwa kuwa makini sana.Vinginevyo njia rahisi ni kumkimbia tu.

    • @makeyhunter2006
      @makeyhunter2006 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @mackrankagenzi5236
      @mackrankagenzi5236 6 หลายเดือนก่อน

      Ndo maana wanamkimbia hawataki midahalo naye 😂😂#TunduLissu🙏

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @isayakihongile4921
      @isayakihongile4921 6 หลายเดือนก่อน +1

      Nikukimbia tu Kama alivyofanya Bashiru Ally hata mgombea mmoja wa ccm alikataa mdaharo wawagombea urais

    • @RamadhanNyangi
      @RamadhanNyangi 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

  • @HenryMathias-fe5uh
    @HenryMathias-fe5uh 6 หลายเดือนก่อน +4

    Lissu anayekuchukia wewe haipendi inchi yetu

  • @user-ks9bz4nf2n
    @user-ks9bz4nf2n 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji ni msenge sana

  • @oneagainstone593
    @oneagainstone593 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mtangazaji jifunze kutulia na kumuacha mtu ajieleze, unamkatisha kila dakika na kuharibu interview

  • @agtbss3463
    @agtbss3463 5 หลายเดือนก่อน

    Lissu forever

  • @IdeaIncubator_id
    @IdeaIncubator_id 6 หลายเดือนก่อน +5

    Hapa hakuna mtangazaji.

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 5 หลายเดือนก่อน

      Yupo yupo tu. Hajiamini na anahofia kuijua kweli..

  • @Fred-Ma
    @Fred-Ma 6 หลายเดือนก่อน +4

    Nategemea kuna part 2.. Haiwezekani mahojiano yameisha haraka hivi...Na Nyanda pia uko vizuri sana unamwacha Lissu azungumze..

    • @user-ng8wi6cw1p
      @user-ng8wi6cw1p 6 หลายเดือนก่อน

      Nyanda sometime bora hâta ww unajitahidi kuwaita wapinzan kwenye vipindi vyako,mawe me mengine we yavumilie tu

  • @user-cl7kd1pf6l
    @user-cl7kd1pf6l 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dr Tundu Antipas Mugwayi Lisu katika ubora wake.

  • @maheitumdintunya2928
    @maheitumdintunya2928 6 หลายเดือนก่อน +1

    kazi ipo kweli kweli big brain😂😂

  • @pastorstevenmdoe5143
    @pastorstevenmdoe5143 6 หลายเดือนก่อน +3

    Mtangazaji una kiherehere sana siumpe nafasi kiongozi aongee

  • @adenmwakalobo760
    @adenmwakalobo760 6 หลายเดือนก่อน +5

    Star TV ni ya Anthony Diallo (CCM), nadhani huyu bw Nyanda huwa anapewa maelekezo na mwenye chombo hicho asiruhusu majibu ya maswali anayouliza yasikike! Wengi tuliamini Chadema ilikosea kumfanya Lowassa mgombea wao wa u Rais licha ya wao wenyewe kumtaja ktk orodha ya watu wasiofaa (wahujumu wakubwa ktk nchi!). Lakini huyu Nyanda anakera kwa mtindo wake wa kutaka maswali aliyouliza yajibiwe atakavyo! Yaani kauliza swali lakini na jibu analazimisha alitoe yeye mwenyewe😂...kwa nini uwaite watu basi?? Star TV hawafai kwa sababu uendeshaji wao wa vipindi hauna PROFESSIONALISM. Na kasoro hiyo wanayo waandishi wa habari wao karibu wote

    • @ibrahimsengo2506
      @ibrahimsengo2506 6 หลายเดือนก่อน

      Nenda kaangalie BBC Hardtalk ndo utajua kua nyanda ni best

  • @abelmbagale2265
    @abelmbagale2265 6 หลายเดือนก่อน +1

    I wish Tanzania tupate kiongozi mkubwa kama huyu

  • @farhatfatma12
    @farhatfatma12 3 หลายเดือนก่อน

    Bring Ayub Abdikadir from kenya maybe can handle hounarable Lissu. I plaud Lissu such a courageous politician.

  • @user-yy5oi9zp2h
    @user-yy5oi9zp2h 6 หลายเดือนก่อน +3

    Hiki kipindi mwandishi hujakitendea haki weka muda wakutosha na mpe muda Lisu wakutosha

  • @user-my5yp6xx5s
    @user-my5yp6xx5s 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi usiwe chawa mwache lisu azungumze ili wahusika wasikie usiwakingie kifua watashugulikiwa TU lisu hata acha kulizungumzia swala lake ata ungekuwa wewe usingekoma

  • @DenisGodwin-uu6zz
    @DenisGodwin-uu6zz 6 หลายเดือนก่อน +2

    Hili la ''hapa ni uongo''hata mm nimecheka😅😅😅😅

  • @JohnsonBagambi
    @JohnsonBagambi 6 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana kaka

  • @mohoniajoseph9067
    @mohoniajoseph9067 6 หลายเดือนก่อน

    Akili za Lissu ni za viwango vya juu sana

  • @hashimuuhehwa1320
    @hashimuuhehwa1320 6 หลายเดือนก่อน +1

    Nyanda Nyanda Nyanda nimekuita mara tatu Lissu ni habari nyingine

  • @Views-mf8ir
    @Views-mf8ir 6 หลายเดือนก่อน +4

    Mungu akubariki sana Lissu.
    Taifa hili litakukumbuka sana.
    Hakika hukupona kwa bahati mbaya ..
    Waliotaka kukutanguliza walitangulia wao ..😊 Mungu huyu jaman...

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu Mwandishi Anatakiwa Akutane na Miguna Miguna Unauliza mtu Swali halafu Akiwa anakujibu Unamkatisha? Kukosa Adabu

  • @aggreymudinyu9465
    @aggreymudinyu9465 5 หลายเดือนก่อน

    The interviewer is impatient

  • @oscarsolomon4018
    @oscarsolomon4018 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazaji amekosa weledi anamkatisha Lissu kila mara pale anapo expose uchafu wa viongozi

  • @nurumvungi2210
    @nurumvungi2210 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji unaharibu ubora wa mahojiano,
    Kwanini usisubiri mtu amalize kujibu unamkatisha, katikati ya jibu unauliza swali jingine!!
    Angalia hilo ni tatizo.

  • @YahyaOTHMAN-t4p
    @YahyaOTHMAN-t4p 6 หลายเดือนก่อน +1

    Star TV hamna kitu hapa huyu sio muandish

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mh tukonyuma yako.

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi acha papara ujibiwe, au majibu yanakuwasha?

  • @user-kk6bf6bt6f
    @user-kk6bf6bt6f 6 หลายเดือนก่อน

    Good explanation for our nation

  • @augustinejohnp6383
    @augustinejohnp6383 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa mara ya kwanza TH-cam wamekula bando langu, na nimeinjoi na kupata elimu

  • @omaryidd4373
    @omaryidd4373 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu ninoma sn

  • @marcogodfreymboya7349
    @marcogodfreymboya7349 6 หลายเดือนก่อน +1

    Interviewer ana interupt every minute!

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 6 หลายเดือนก่อน

    Lissu🧠 ✌️

  • @robertedward7821
    @robertedward7821 6 หลายเดือนก่อน +1

    Iet him talk please

  • @hatibuyusufu4668
    @hatibuyusufu4668 6 หลายเดือนก่อน +1

    Lisu suala la Lowasa limewaweka Pabaya ,Sasa vipi Slaa alikimbia chama chenu,mbona Leo Tena Slaa mmemkubari Tena ,halafu Leo mnasema sasahivi CHADEMA inamuhitaji sana Slaa

    • @VictorMgodomi-xj1ey
      @VictorMgodomi-xj1ey 6 หลายเดือนก่อน

      Siasa sio uadui mbona sumai ,lowasa, membe, waitara, godwin na wengine wengi bila kumsahau nyarandu waliamia chadema na sasa wameludi ccm na wengine wamefia ccm kwahyo kwenye siasa kuhama na kurudi sio zambi

    • @hatibuyusufu4668
      @hatibuyusufu4668 6 หลายเดือนก่อน

      Infact ktk hii interview Lisu kachemka sio Lisu tunaemjua maswali alio ulizwa ni tatanishi Hana majibu yalio nyooka

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 6 หลายเดือนก่อน

    Naililia Tanzania yangu

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mwandishi, haujitambui

  • @wilfredkitelenya1140
    @wilfredkitelenya1140 6 หลายเดือนก่อน

    Hbr
    star TV tunaomba mahijiano yaho yaludiwe na yapewe muda wa kutosha.

  • @MARAMBOTv
    @MARAMBOTv 6 หลายเดือนก่อน +3

    Wwe nikiboko

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 6 หลายเดือนก่อน +2

    👊👍✌️

  • @user-vb2py5eg5j
    @user-vb2py5eg5j 6 หลายเดือนก่อน

    Thanks lissu

  • @MadeliTV
    @MadeliTV 6 หลายเดือนก่อน

    Anajikuta piers Morgan wa Kanda ya ziwa. Interruption Hadi zinaboa. Acha Lissu ashushe madini

  • @chanendimo7815
    @chanendimo7815 6 หลายเดือนก่อน

    Nyanda uko Jembe sana, very intelligent!

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 6 หลายเดือนก่อน +1

    Tindulisu hajawai kushindwa kujibu na majibu yake sahihi kabisa

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 6 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi wangu

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 6 หลายเดือนก่อน

    Mtu anazungumza juu ya kuumizwa unasema eti hii hadithi itakoma lini!!! Hadithi?

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 6 หลายเดือนก่อน +1

    huyu mwandishi msenge tuu

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 6 หลายเดือนก่อน

    Lkn Mhe Lisu wanasemaga kuwa kitendo cha Dereva kutokuonana na hadi leo tukio lilikuwa ni kijanja.

  • @godwinmushy4339
    @godwinmushy4339 6 หลายเดือนก่อน +1

    sijaona interviewer ambaye hana content kama huyu

  • @samweldaniel3774
    @samweldaniel3774 6 หลายเดือนก่อน +1

    Aisee huyu mwandishi chizi kwel kwel

  • @hellenngwilla550
    @hellenngwilla550 6 หลายเดือนก่อน

    Jembe la Taifa❤

  • @user-kp1jo6xw1r
    @user-kp1jo6xw1r 6 หลายเดือนก่อน

    Doooh Hatari

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 6 หลายเดือนก่อน

    Super Guru.

  • @user-hl6uz2cw1c
    @user-hl6uz2cw1c 6 หลายเดือนก่อน

    Asante kaka lisu

  • @meddy92
    @meddy92 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kama ulikuwa unaogopa majibu kwanini ulimwita?🚮🚮

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 6 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ukweli anaousema lissu ndio ulifanya mahojiano yake na wasafi kufutwa kwa amri kutoka juu.

  • @huldamichael4445
    @huldamichael4445 6 หลายเดือนก่อน

    Mbona muuliza maswali anaogopa majibu???anafunika na kurukaruka.Mh Lisu ana majibu yasiyoyumba

  • @mauamkamba4906
    @mauamkamba4906 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mahojiano yamekosa ladha kwa mtangazaji kumkatisha katisha mhojiwa

  • @mashimbazephania3511
    @mashimbazephania3511 5 หลายเดือนก่อน

    Bashiru ni mwalimu wa siasa PhD kwa hyo kuna gepu kubwa sana

  • @deogratiustweve2611
    @deogratiustweve2611 6 หลายเดือนก่อน

    Lisu niutithi wainchi yetu

  • @allenmambasa408
    @allenmambasa408 6 หลายเดือนก่อน

    Jamaa hatasubutu tena kumtafuta Lisu😂😂😂
    Alitaka umaarufu maskini😢
    Huyo mtu ana mambo mazito kichwani mwake, muulizeni mbowe😅😅😅yeye mwenyewe huwa anahenya naye😂
    Mwisho wa siku imebidi jamaa awe time keeper baada kuendesha mahojiano😢

  • @RichardJr-y8d
    @RichardJr-y8d 6 หลายเดือนก่อน

    Yaaan ujingaaa lissu Ana story nzuri mtangazajii anatunyimaaa hiyo story

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu Sio Mwandishi Ni CHAWA ANAYEJIPENDEKEZA

  • @emmapaul1766
    @emmapaul1766 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mtangazaji acha mihemko ya kina zembwela au kina kitenge be logical patient and well organised when interviewing people like lissu.

  • @user-ks9bz4nf2n
    @user-ks9bz4nf2n 6 หลายเดือนก่อน

    Nyanda leo umefeli sana ..Lissu sio mtu wa mchezo

  • @ramadhaningulinga217
    @ramadhaningulinga217 6 หลายเดือนก่อน

    U deserve better ishi sana mkuu

  • @josephatbwakome5711
    @josephatbwakome5711 6 หลายเดือนก่อน

    Tundu Antipasi Lissu ni msikivu sana anapokuwa anaulizwa maswali, ila muuliza maswali ndo miyeyusho.

  • @user-wn7nr9bh5m
    @user-wn7nr9bh5m 6 หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaaaa ana hakili kweli mbona kam hajui maana ya interview au anaigiza falaaa sanaaaa amuache lissu ajieleze bhanaaa mbona hajielew fala. Kabxaa😅😅😅😂😂😂

  • @donnngeta
    @donnngeta 6 หลายเดือนก่อน +2

    mwandishi una wengeee

  • @dominicksangu8934
    @dominicksangu8934 6 หลายเดือนก่อน

    Lissu jembeletu tz Mungu,azd kujulinda.

  • @BernardBahatiMallya
    @BernardBahatiMallya 6 หลายเดือนก่อน

    Star TV kwa mini hutaki Lisu waseme ya moyoni. Umwulize vyema lakini unamwekea mipaka ya majibu. BILA kuacha giza ulikuwa na agenda yako.

  • @user-sx6fx7xr2o
    @user-sx6fx7xr2o 5 หลายเดือนก่อน

    Nasema hivi kama makonda alihusika akatubu hasipo fanya hivo siku zake zinahesabika

  • @fredrickjoseph6133
    @fredrickjoseph6133 6 หลายเดือนก่อน

    Ifike atua hizi interview ziwe na dak za nyongez

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 6 หลายเดือนก่อน

    Kamati kuu ndiyo iliyojadili na kumleta hayati lowasa CHADEMA ninyi mnaemsema Mbowe mmepata majibu Mbowe tunae na tutaendelea kuwa nae