S2KIZZY Azungumzia KUFANYA KAZI na DIAMOND na ALIKIBA/"NATAKA KUONDOA TOFAUTI Zao"/"WASANII WENGINE.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024
- Producer S2kizzy ameweka wazi matamanio yake ya kutaka kuufikisha mbali muziki wa Bongoflava huku akifunguka namna ambavyo anaweza kufanya kazi hata na wasanii wanaodaiwa kuwa na tofauti katika kazi zao za muziki (Ugomvi)
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe TH-cam channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
Good answer watangazajii wanatafutaa content ili wauzee wajaribu kutafuta uhalisia siyo maneno ya uchonganishi
Nice zombie
Motoo
Alafu wewe rich Kuna siku utapelekwa mahakamani kwa kumsema kiba vibaya mtu. Kwenye uzinguzi Alisha Sema nyimbo ni yake alitaka kurapu mwenywe ndio bilinasi alikuwepo akajaribu akafiti na Kila mtu alisikiya. Kiba ajawai kusema uwongo wala kutaja alie andika atakuweka adharani
ety inasemekana ufinyu wa mawazo tu , watu wenyewe since day one ngoma inatoka unaambiwa Ali alishamaliza ngoma yote ila kwakua mnajisikiliza wenyewe mtajuaje nimewashusha saana