Lakini alkahaba ilikuwa sehemu ya kuabudia masanamu ilikuwaje ikawa nyumba takatifu. Leo ndo nimeamini mtume muhamadi alifanya mingu yote ya pale alkahaba kuwa mungu moja kubwa na kuabudiwa adi saiz.
Kumbe Biblia ni maneno ya kuhadithiwa Luka 1 .1 Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu, 2 kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo, 3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu, 4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.
Hakuna chuki ukisoma ktk Qur'an yenyewe huwezi Ona hiki wanachosimulia masheikh ndomana kila mtu Na chumvi zake shk Othman msikilize au shk Othman maiko nae
Jam huielew Quran ni vyema ujar kimya usiaibike aya unasema hatukuifanya ndoto inamaanisha haikuwa ndot ungesena tuliifanya ndot hapo sawa tungesema ilikuwa ndoto ama ulimkimbia teacher wa kiswahil saiv kibakulamba huelewi lugha😂
N ilkua ndoto hakuna Alie mshuhudia Hata mmoja hivi kweli akiwa Hai alipaa kwenda mbinguni Ila alpofariki mkamzika kwanini asingepaa maana mbingu alishaonyeshwa?
waislamu eti unamwelewa sule. badala ya kuhoji, kwanini aende yerusalem na sio macca munaoamini ndio mji mtakatifu, ameenda mbinguni nani alimuona?, alikutana na allah?, aliona nini huko mbinguni?, alifikaje mbinguni?
Kumbuka hii mitandao ni mitandao ya watu ayo matangazo hawaweki wao ni gugo wenyewe wanaweka na ndio unapoangalia tangazo ndio pesa inaingia lkn lengo la mashekhe ni kufikisha ujumbe
@@shabanramadhan7632 unaonrkan urlewa wako mdogo elewa sio wao wanaweka ni anaemiliki app ya TH-cam ndio maan inahesabu hapo pemben ukibonyeza hiyo skip baafa hizo sekunde inaonfoke we umrkaza fuvu unasema ni wao sio wao hata katikati wanaweza kata video eawek tangazo la kampun flun mgano glovo kwan dr sule anamilik glovo kuea muelewa bas hee
Shehe iyo milango uliiona au ni hadidhi zenu zile za siku zote ? Kwa nini mlango usiwepo tanzania? Kwa hiyo tukifa hapa tanzania tunakwenda kuingilia india kha!
Maashaallah Allah akupe umri mrefu uzidi kuwepo kuipigania dini ya Allah Inshaallah Allah atakulipa
Mashaallah umeelezea vizur kwenye nyongo na digestion system 😊😊
Wakristo hawawezi kuelewa hii,,,,
Dr sulle u always great 👍👍
Kumbe mlango upo India😢😢 sijuwi tunafanyeje huku si tuhamie karib na milango😂😂😂
so nyinyi ndo mnaelewa kumuabudu mohammed😁
@@favoritebrayoMuongo mkubwa we, waislam toka lini waka mwamini binaadam.
😂😂😂 wakristo hawakosi kwa dokta sule 😂😂😂 . Wanamfatilia balaa
Hakika Dr sule ni Nuru na zawadi kubwa katka uislam katk kuilingania dini mungu akupe maisha marefu inshallah.
Mashallah Shekhe wetu mungu akuweke sana tu
Sheikh mungu akujaalie maisha malefu tuweze kupata elimi iliyopanuka ila makosa aliyoyafanya Adam kwa kudanganywa na Hawa hujaiyaja au haifahamiki
MashaAllah nakupenda sheikh Dr. Sule
Mashaallah kazi nzuri
Inshaallah mwenyezi Mungu atubariki
Allah akbar
Mashallah Mashallah Mashallah
Inshaallah Dr sule MUNGU azid 2wezexha
MashaAllah shukran Maalim
Unajua Sana Dr sule
Safi sanaa Dr sule Allah akuzidishie❤
Hizi hadithi ni nzuri na zinachekesha sana
MashaAllah Dr Sule Allah Atuhfadh waislam wte
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashaaallaah
Mashaallaah
Sule mwenyewe mbovu Allah amuongoze
Asante shekh,, nakuelewa Sana, Ila ndacha nikichwa maji Sana,, anaogopa kurudisha Gari ya kanisa na nyumba ya kanisa 😅
Mungu akusamee.
@@Alexfadhili6404 😂😂 mungu akusamehe ww
Wee kumbe sikuwa najua hilo😂😂
@@mohammedrajabumwamba1322 mna mezeshwa vitu vya ajabu sanaaaaa.
Mwambie atoe ayo maneno anayo yaongea anatoa wapi.
Atoe na maandiko kwenye iyo quaran. Aache uongo basi mungu sio mwanadamu shauri yenu
Kwamba wewe umeisoma quran kuliko yeye na unaona anachokisema ni uongo au sio 😃@@umdtv2749
Nakupata vizuri kutokea Dubai nakufatilia sana
Mashaallah
❤❤❤❤❤❤
Mashallah ❣️❣️❣️🥰🥰
Ishrra
Nakufatilia Dr sule kutka marekani napenda historia kama hizo
Mashaallah
kutoka kenya Dr upo sawa kihistory
Nakufatilia dr sulle kutoka miwaga dimani kibiti
Akuna binadamu mwenye kiswa bofu kama kumuona Dr sulle,anatoa MANENO ya kasfa lánatula nawashukia sana-sana
Uelewi usuchojua
Naipataje hiyo kadi sasa mimi nipo oman
Hadith gani au aya gani inasema ivoo?
Kuteremka kutoka mbingun kwan kuna ushahid kuwa adam kaumw mbingun allah anasema fil ardh nyny mnasema fi samai
Kasem nan
Shehe hivi wakina adamu wanashushwa duniani wafrika TULIKUWEPO AU HATUKUWEPO
😂😂😂😂😂😂 eti kuna milango 37 za kwenda peponi ila hakuna iliyoko africa 😂😂😂😂😂
Hawa alivuka mitoni mapori vipi mpaka afike saudi Arabia?
Yan ni vichekesho eti walipoteana miaka 40 😂😂😂 yani hawa jamaa kwa visa😂vya kijinga wana diplôme
Safari YA mtume alikuwa akisafiri Sana wapi
😮b
Lakini alkahaba ilikuwa sehemu ya kuabudia masanamu ilikuwaje ikawa nyumba takatifu.
Leo ndo nimeamini mtume muhamadi alifanya mingu yote ya pale alkahaba kuwa mungu moja kubwa na kuabudiwa adi saiz.
Aliye jenga alkaba Ibrahim kwa taarifa yako
Tatizo lako shekh video zako zaina hatupati next video
Ipo ya pil rud utaiona
Sadakta
27:44 P.O
V
Enseleeni kudanganyana waislam mnaishi kwa hadithi
Kumbe Biblia ni maneno ya kuhadithiwa
Luka 1
.1 Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
2 kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,
4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.
We mwenyewe unaish kwa hadith we ulimkuta yesu wew ama ulikuja kuhadithiwa na babu zako kuna yesu😏
Yan ivi kuna mtu anaweza kuamini huo upumbavu eti muhamadi alienda mbinguni ?
waongopee waislamu, eti milango 36 ya kuingilia mbinguni
Lione ili kafiri linavyoteseka kwan kakwambia ww uamini kenge ww??
😂😂😂😂😂😂😂
Kama una pointi na wewe toa usiponde za wenzio ?
Mbona nimesikia sauti ya mpira kwenye hii video
Chumba cha jirani wanaangalia mpira...
Sabb mpira sio haram
Dr sule je kufanya mazoezi ya meditation mazoezi ya kukaa kimya peke Yako na kutafakari ukiwa umefunga macho je ni haram? Kwajina lingine wanaita yoga
Peponi sawa cio mbinguni pepo yao ilikuw hapa hapa dunian ...mnapotesema wameshushwa mbingun ndo unajichanganya
Historia za waislamu n za kutunga sana kila shehe na stori yake kuhusu israa mnasoma kitabu gani?
Adam Na Eva walikua Eden Sio peponi Eden n hapahapa Duniani
Hiyo mahali ya Hawa alipewa nani
@@nicholouskavindi8512kwanz unajua mahali yake ilikuewa nn ama unauliza tu
Shekh yupi kaelezea tofauti ama ni chuk zako tu
Hakuna chuki ukisoma ktk Qur'an yenyewe huwezi Ona hiki wanachosimulia masheikh ndomana kila mtu Na chumvi zake shk Othman msikilize au shk Othman maiko nae
Iyo milango sio ya kuingilia mbinguni ila ni kuzimu
Hahaha 😂🙂😂 adam alilipa mahali kwa nani wakati wao ndo walikua watu wa kwanza
na pia safari hiyo ilikuwa ndoto kwa mujibu wa quruani 17:60
Jam huielew Quran ni vyema ujar kimya usiaibike aya unasema hatukuifanya ndoto inamaanisha haikuwa ndot ungesena tuliifanya ndot hapo sawa tungesema ilikuwa ndoto ama ulimkimbia teacher wa kiswahil saiv kibakulamba huelewi lugha😂
N ilkua ndoto hakuna Alie mshuhudia Hata mmoja hivi kweli akiwa Hai alipaa kwenda mbinguni Ila alpofariki mkamzika kwanini asingepaa maana mbingu alishaonyeshwa?
@@nicholouskavindi8512 kila nafsi itaonja mauti ndio maan wote hata walio wema waliobja maut hata yey lzm angepitia hapo
Sm dini br
Wapi imeandikwa milango yakuingia mbinguni ni 36?? Hii ni elmu ya mashetani yako cjui unatoa wapi hizi hekaya za abunwasi??
mimi namshangaa kwanza mohammed alikufa yeye anasema alienda mbinguni
waislamu eti unamwelewa sule. badala ya kuhoji, kwanini aende yerusalem na sio macca munaoamini ndio mji mtakatifu, ameenda mbinguni nani alimuona?, alikutana na allah?, aliona nini huko mbinguni?, alifikaje mbinguni?
Swali ni je mtume alienda mbinguni kwa mwili au ni roho
Hakuna😂cha kwenda mbinguni ni upumbavu tu mbinguni hakwéda Mussa ibrahim😂aende muhamadi yani kweli africa wajinga hawataisha
@@bellasi349ilo swali we umeelewa? Au unajibu kifala
Niwaambie TU Jamani mnakosea sana eti video ni ya mawaidha lakini ukiifungua inaanza na tangazo la mziki hivi kweli mko serious
Kumbuka hii mitandao ni mitandao ya watu ayo matangazo hawaweki wao ni gugo wenyewe wanaweka na ndio unapoangalia tangazo ndio pesa inaingia lkn lengo la mashekhe ni kufikisha ujumbe
@@shubebunyesi542FACTY
Acheb ushamba hayo ni matangazo ya weny media zao ama umenunua sim juz😂
@@miishhassn kwahyo unasapot kwenye taarifa ya msiba watu wacheke kidogo.
@@shabanramadhan7632 unaonrkan urlewa wako mdogo elewa sio wao wanaweka ni anaemiliki app ya TH-cam ndio maan inahesabu hapo pemben ukibonyeza hiyo skip baafa hizo sekunde inaonfoke we umrkaza fuvu unasema ni wao sio wao hata katikati wanaweza kata video eawek tangazo la kampun flun mgano glovo kwan dr sule anamilik glovo kuea muelewa bas hee
milango ni miwili tu wa kuzimu na peponi basi.mingine hiyo ni uongo kujifanya unajua bali upotoshaji
Kwa kudanganya wapo vizuri
😂😂😮😮
Kwakua nyie mnao wake weng sema ndoa zako sio ndoa yako.
Ila mtu unaoa wake 4 huko ni kudhini bwawa
Watu wa bara wa ngapi na wa kristo wana wake zaidi ya mmoja?
Solomon kaoa wake wangapi wewe ?
I kiboko
Shehe iyo milango uliiona au ni hadidhi zenu zile za siku zote ? Kwa nini mlango usiwepo tanzania? Kwa hiyo tukifa hapa tanzania tunakwenda kuingilia india kha!
Wewe mbona hukuumbwa paka umeumbwa binadamu...mlango kutokuwepo Tanzania ni mipango ya Mungu huezi mpangia Mungu cha kufanya bwege ww
Sio wewe ni lohoyako wewe utabakia uliko zikwa roho itakwenda kwenye iyo milango
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@amadimagadi7978mjibu kwaiyo watu wa africain wataîgilia india na wataéda kwa ndege😂au nini upumbavu jamani africa hapana
Asante kwa kwa kumuelewesha chizi
soma vitabu cha wito kwa mflme cha ahmad mizra utajifunza pepo ni nin mbingu ni nini
❤❤❤❤❤❤❤❤