DR.SULLE SAFARI YA MTUME MUHAMMAD S.A.W (SEHEMU YA 1)2024 ISRAA NA MIRAJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • #drsulle #tanzania #islaamic #health

ความคิดเห็น • 113

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 8 หลายเดือนก่อน +7

    Maashaallah Allah akupe umri mrefu uzidi kuwepo kuipigania dini ya Allah Inshaallah Allah atakulipa

  • @abuushomari7533
    @abuushomari7533 8 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah umeelezea vizur kwenye nyongo na digestion system 😊😊

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน +7

    Wakristo hawawezi kuelewa hii,,,,
    Dr sulle u always great 👍👍

    • @user13375
      @user13375 8 หลายเดือนก่อน

      Kumbe mlango upo India😢😢 sijuwi tunafanyeje huku si tuhamie karib na milango😂😂😂

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 8 หลายเดือนก่อน

      so nyinyi ndo mnaelewa kumuabudu mohammed😁

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@favoritebrayoMuongo mkubwa we, waislam toka lini waka mwamini binaadam.

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 wakristo hawakosi kwa dokta sule 😂😂😂 . Wanamfatilia balaa

  • @VenansiaIsack
    @VenansiaIsack 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika Dr sule ni Nuru na zawadi kubwa katka uislam katk kuilingania dini mungu akupe maisha marefu inshallah.

  • @aminahassani-jh5rp
    @aminahassani-jh5rp 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Shekhe wetu mungu akuweke sana tu

  • @ShafiiMawe-u8m
    @ShafiiMawe-u8m 8 หลายเดือนก่อน +1

    Sheikh mungu akujaalie maisha malefu tuweze kupata elimi iliyopanuka ila makosa aliyoyafanya Adam kwa kudanganywa na Hawa hujaiyaja au haifahamiki

  • @RASHIDALI-n7m3g
    @RASHIDALI-n7m3g 8 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah nakupenda sheikh Dr. Sule

  • @Yahyasalim-wg1fi
    @Yahyasalim-wg1fi 8 หลายเดือนก่อน +2

    Mashaallah kazi nzuri

  • @AliJanfar
    @AliJanfar 8 หลายเดือนก่อน +1

    Inshaallah mwenyezi Mungu atubariki

  • @allymohamedi2531
    @allymohamedi2531 หลายเดือนก่อน

    Allah akbar

  • @saudaumar3354
    @saudaumar3354 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah Mashallah Mashallah

  • @naxirybeachboy
    @naxirybeachboy 8 หลายเดือนก่อน +1

    Inshaallah Dr sule MUNGU azid 2wezexha

  • @fahadherrera8172
    @fahadherrera8172 8 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah shukran Maalim

  • @JumannePili-j5g
    @JumannePili-j5g 8 หลายเดือนก่อน +3

    Unajua Sana Dr sule

  • @MunaShamis
    @MunaShamis 7 หลายเดือนก่อน

    Safi sanaa Dr sule Allah akuzidishie❤

  • @DanielSJZ-y6r
    @DanielSJZ-y6r 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hizi hadithi ni nzuri na zinachekesha sana

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db 8 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah Dr Sule Allah Atuhfadh waislam wte

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 8 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mashaaallaah

  • @Kizua417
    @Kizua417 7 หลายเดือนก่อน

    Mashaallaah

  • @AbuuSiiriin
    @AbuuSiiriin 8 หลายเดือนก่อน

    Sule mwenyewe mbovu Allah amuongoze

  • @jamesrichard3971
    @jamesrichard3971 8 หลายเดือนก่อน +7

    Asante shekh,, nakuelewa Sana, Ila ndacha nikichwa maji Sana,, anaogopa kurudisha Gari ya kanisa na nyumba ya kanisa 😅

    • @Alexfadhili6404
      @Alexfadhili6404 8 หลายเดือนก่อน

      Mungu akusamee.

    • @mohammedrajabumwamba1322
      @mohammedrajabumwamba1322 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@Alexfadhili6404 😂😂 mungu akusamehe ww

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      Wee kumbe sikuwa najua hilo😂😂

    • @umdtv2749
      @umdtv2749 8 หลายเดือนก่อน

      @@mohammedrajabumwamba1322 mna mezeshwa vitu vya ajabu sanaaaaa.
      Mwambie atoe ayo maneno anayo yaongea anatoa wapi.
      Atoe na maandiko kwenye iyo quaran. Aache uongo basi mungu sio mwanadamu shauri yenu

    • @ahmedmpimbi9684
      @ahmedmpimbi9684 7 หลายเดือนก่อน

      Kwamba wewe umeisoma quran kuliko yeye na unaona anachokisema ni uongo au sio 😃​@@umdtv2749

  • @Fardadihd
    @Fardadihd 8 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupata vizuri kutokea Dubai nakufatilia sana

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah

  • @MasizieRahim-gw1bf
    @MasizieRahim-gw1bf 7 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤

  • @fatumaomari5978
    @fatumaomari5978 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mashallah ❣️❣️❣️🥰🥰

  • @fabimbilinyi2529
    @fabimbilinyi2529 8 หลายเดือนก่อน

    Ishrra

  • @BashiriAllyibrahim-kr3fb
    @BashiriAllyibrahim-kr3fb 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nakufatilia Dr sule kutka marekani napenda historia kama hizo

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน

      Mashaallah

  • @naxirybeachboy
    @naxirybeachboy 8 หลายเดือนก่อน

    kutoka kenya Dr upo sawa kihistory

  • @hamisimuhammad3656
    @hamisimuhammad3656 8 หลายเดือนก่อน

    Nakufatilia dr sulle kutoka miwaga dimani kibiti

  • @BacarMapahiee
    @BacarMapahiee 8 หลายเดือนก่อน

    Akuna binadamu mwenye kiswa bofu kama kumuona Dr sulle,anatoa MANENO ya kasfa lánatula nawashukia sana-sana

    • @kaoretosha6668
      @kaoretosha6668 8 หลายเดือนก่อน

      Uelewi usuchojua

  • @mariamharoon1840
    @mariamharoon1840 8 หลายเดือนก่อน +1

    Naipataje hiyo kadi sasa mimi nipo oman

  • @ChademaKandayaUnguja
    @ChademaKandayaUnguja 6 หลายเดือนก่อน

    Hadith gani au aya gani inasema ivoo?

  • @KhalfanMilole
    @KhalfanMilole 8 หลายเดือนก่อน

    Kuteremka kutoka mbingun kwan kuna ushahid kuwa adam kaumw mbingun allah anasema fil ardh nyny mnasema fi samai

  • @allysaidlyambange4500
    @allysaidlyambange4500 8 หลายเดือนก่อน

    Shehe hivi wakina adamu wanashushwa duniani wafrika TULIKUWEPO AU HATUKUWEPO

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂 eti kuna milango 37 za kwenda peponi ila hakuna iliyoko africa 😂😂😂😂😂

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa alivuka mitoni mapori vipi mpaka afike saudi Arabia?

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      Yan ni vichekesho eti walipoteana miaka 40 😂😂😂 yani hawa jamaa kwa visa😂vya kijinga wana diplôme

  • @FatmaHussein-j1p
    @FatmaHussein-j1p หลายเดือนก่อน

    Safari YA mtume alikuwa akisafiri Sana wapi

  • @hadjiemedy494
    @hadjiemedy494 6 หลายเดือนก่อน

    😮b

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 8 หลายเดือนก่อน +1

    Lakini alkahaba ilikuwa sehemu ya kuabudia masanamu ilikuwaje ikawa nyumba takatifu.
    Leo ndo nimeamini mtume muhamadi alifanya mingu yote ya pale alkahaba kuwa mungu moja kubwa na kuabudiwa adi saiz.

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 8 หลายเดือนก่อน

      Aliye jenga alkaba Ibrahim kwa taarifa yako

  • @BadiMwanengo
    @BadiMwanengo 8 หลายเดือนก่อน

    Tatizo lako shekh video zako zaina hatupati next video

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      Ipo ya pil rud utaiona

  • @BadiMwanengo
    @BadiMwanengo 8 หลายเดือนก่อน

    Sadakta

  • @ahmada2072
    @ahmada2072 6 หลายเดือนก่อน

    27:44 P.O
    V

  • @MgeniNyela
    @MgeniNyela 8 หลายเดือนก่อน

    Enseleeni kudanganyana waislam mnaishi kwa hadithi

    • @mwarabumbarak4342
      @mwarabumbarak4342 8 หลายเดือนก่อน

      Kumbe Biblia ni maneno ya kuhadithiwa
      Luka 1
      .1 Kwa kuwa watu wengi wametia mikono kutunga kwa taratibu habari za mambo yale yaliyotimizwa katikati yetu,
      2 kama walivyotuhadithia wale waliokuwa mashahidi wenye kuyaona, na watumishi wa lile neno tokea mwanzo,
      3 nimeona vema mimi nami, kwa kuwa nimejitafutia usahihi wa mambo hayo yote tangu mwanzo, kukuandikia kwa taratibu, Theofilo mtukufu,
      4 upate kujua hakika ya mambo yale uliyofundishwa.

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      We mwenyewe unaish kwa hadith we ulimkuta yesu wew ama ulikuja kuhadithiwa na babu zako kuna yesu😏

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      Yan ivi kuna mtu anaweza kuamini huo upumbavu eti muhamadi alienda mbinguni ?

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 7 หลายเดือนก่อน

    waongopee waislamu, eti milango 36 ya kuingilia mbinguni

    • @MuuYascohy-oc7os
      @MuuYascohy-oc7os 6 หลายเดือนก่อน

      Lione ili kafiri linavyoteseka kwan kakwambia ww uamini kenge ww??

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j หลายเดือนก่อน

      Kama una pointi na wewe toa usiponde za wenzio ?

  • @ManenoPapalu-ku3vl
    @ManenoPapalu-ku3vl 8 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona nimesikia sauti ya mpira kwenye hii video

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 8 หลายเดือนก่อน

      Chumba cha jirani wanaangalia mpira...

    • @IssaNasir-v2e
      @IssaNasir-v2e 8 หลายเดือนก่อน

      Sabb mpira sio haram

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 8 หลายเดือนก่อน +1

    Dr sule je kufanya mazoezi ya meditation mazoezi ya kukaa kimya peke Yako na kutafakari ukiwa umefunga macho je ni haram? Kwajina lingine wanaita yoga

  • @KhalfanMilole
    @KhalfanMilole 8 หลายเดือนก่อน

    Peponi sawa cio mbinguni pepo yao ilikuw hapa hapa dunian ...mnapotesema wameshushwa mbingun ndo unajichanganya

  • @nicholouskavindi8512
    @nicholouskavindi8512 8 หลายเดือนก่อน

    Historia za waislamu n za kutunga sana kila shehe na stori yake kuhusu israa mnasoma kitabu gani?

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 8 หลายเดือนก่อน

      Adam Na Eva walikua Eden Sio peponi Eden n hapahapa Duniani

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 8 หลายเดือนก่อน

      Hiyo mahali ya Hawa alipewa nani

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@nicholouskavindi8512kwanz unajua mahali yake ilikuewa nn ama unauliza tu

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      Shekh yupi kaelezea tofauti ama ni chuk zako tu

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 8 หลายเดือนก่อน

      Hakuna chuki ukisoma ktk Qur'an yenyewe huwezi Ona hiki wanachosimulia masheikh ndomana kila mtu Na chumvi zake shk Othman msikilize au shk Othman maiko nae

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 8 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo milango sio ya kuingilia mbinguni ila ni kuzimu

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 8 หลายเดือนก่อน +1

    Hahaha 😂🙂😂 adam alilipa mahali kwa nani wakati wao ndo walikua watu wa kwanza

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom8437 8 หลายเดือนก่อน

    na pia safari hiyo ilikuwa ndoto kwa mujibu wa quruani 17:60

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      Jam huielew Quran ni vyema ujar kimya usiaibike aya unasema hatukuifanya ndoto inamaanisha haikuwa ndot ungesena tuliifanya ndot hapo sawa tungesema ilikuwa ndoto ama ulimkimbia teacher wa kiswahil saiv kibakulamba huelewi lugha😂

    • @nicholouskavindi8512
      @nicholouskavindi8512 8 หลายเดือนก่อน

      N ilkua ndoto hakuna Alie mshuhudia Hata mmoja hivi kweli akiwa Hai alipaa kwenda mbinguni Ila alpofariki mkamzika kwanini asingepaa maana mbingu alishaonyeshwa?

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      @@nicholouskavindi8512 kila nafsi itaonja mauti ndio maan wote hata walio wema waliobja maut hata yey lzm angepitia hapo

    • @hansiselemani8025
      @hansiselemani8025 8 หลายเดือนก่อน

      Sm dini br

  • @princeacama401
    @princeacama401 8 หลายเดือนก่อน

    Wapi imeandikwa milango yakuingia mbinguni ni 36?? Hii ni elmu ya mashetani yako cjui unatoa wapi hizi hekaya za abunwasi??

    • @favoritebrayo
      @favoritebrayo 8 หลายเดือนก่อน

      mimi namshangaa kwanza mohammed alikufa yeye anasema alienda mbinguni

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 7 หลายเดือนก่อน

    waislamu eti unamwelewa sule. badala ya kuhoji, kwanini aende yerusalem na sio macca munaoamini ndio mji mtakatifu, ameenda mbinguni nani alimuona?, alikutana na allah?, aliona nini huko mbinguni?, alifikaje mbinguni?

  • @mosesmutharimi5837
    @mosesmutharimi5837 8 หลายเดือนก่อน

    Swali ni je mtume alienda mbinguni kwa mwili au ni roho

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน +1

      Hakuna😂cha kwenda mbinguni ni upumbavu tu mbinguni hakwéda Mussa ibrahim😂aende muhamadi yani kweli africa wajinga hawataisha

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j หลายเดือนก่อน

      ​@@bellasi349ilo swali we umeelewa? Au unajibu kifala

  • @shabanramadhan7632
    @shabanramadhan7632 8 หลายเดือนก่อน

    Niwaambie TU Jamani mnakosea sana eti video ni ya mawaidha lakini ukiifungua inaanza na tangazo la mziki hivi kweli mko serious

    • @shubebunyesi542
      @shubebunyesi542 8 หลายเดือนก่อน +1

      Kumbuka hii mitandao ni mitandao ya watu ayo matangazo hawaweki wao ni gugo wenyewe wanaweka na ndio unapoangalia tangazo ndio pesa inaingia lkn lengo la mashekhe ni kufikisha ujumbe

    • @abdulazizitwalib5859
      @abdulazizitwalib5859 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@shubebunyesi542FACTY

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      Acheb ushamba hayo ni matangazo ya weny media zao ama umenunua sim juz😂

    • @shabanramadhan7632
      @shabanramadhan7632 8 หลายเดือนก่อน

      @@miishhassn kwahyo unasapot kwenye taarifa ya msiba watu wacheke kidogo.

    • @miishhassn
      @miishhassn 8 หลายเดือนก่อน

      @@shabanramadhan7632 unaonrkan urlewa wako mdogo elewa sio wao wanaweka ni anaemiliki app ya TH-cam ndio maan inahesabu hapo pemben ukibonyeza hiyo skip baafa hizo sekunde inaonfoke we umrkaza fuvu unasema ni wao sio wao hata katikati wanaweza kata video eawek tangazo la kampun flun mgano glovo kwan dr sule anamilik glovo kuea muelewa bas hee

  • @obedkalinga9704
    @obedkalinga9704 7 หลายเดือนก่อน

    milango ni miwili tu wa kuzimu na peponi basi.mingine hiyo ni uongo kujifanya unajua bali upotoshaji

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      Kwa kudanganya wapo vizuri

  • @user13375
    @user13375 8 หลายเดือนก่อน

    😂😂😮😮

  • @umdtv2749
    @umdtv2749 8 หลายเดือนก่อน +1

    Kwakua nyie mnao wake weng sema ndoa zako sio ndoa yako.
    Ila mtu unaoa wake 4 huko ni kudhini bwawa

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw 8 หลายเดือนก่อน

      Watu wa bara wa ngapi na wa kristo wana wake zaidi ya mmoja?

    • @AmirJuma-p5j
      @AmirJuma-p5j หลายเดือนก่อน

      Solomon kaoa wake wangapi wewe ?

  • @emilioadremaneadremane2706
    @emilioadremaneadremane2706 8 หลายเดือนก่อน

    I kiboko

  • @SmilingAnacondaSnake-sp8ct
    @SmilingAnacondaSnake-sp8ct 8 หลายเดือนก่อน

    Shehe iyo milango uliiona au ni hadidhi zenu zile za siku zote ? Kwa nini mlango usiwepo tanzania? Kwa hiyo tukifa hapa tanzania tunakwenda kuingilia india kha!

    • @amadimagadi7978
      @amadimagadi7978 7 หลายเดือนก่อน

      Wewe mbona hukuumbwa paka umeumbwa binadamu...mlango kutokuwepo Tanzania ni mipango ya Mungu huezi mpangia Mungu cha kufanya bwege ww

    • @hashamyusuph2912
      @hashamyusuph2912 6 หลายเดือนก่อน

      Sio wewe ni lohoyako wewe utabakia uliko zikwa roho itakwenda kwenye iyo milango

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @bellasi349
      @bellasi349 6 หลายเดือนก่อน

      @@amadimagadi7978mjibu kwaiyo watu wa africain wataîgilia india na wataéda kwa ndege😂au nini upumbavu jamani africa hapana

    • @ShomiLongwa
      @ShomiLongwa 3 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa kwa kumuelewesha chizi

  • @josephchrizostom8437
    @josephchrizostom8437 8 หลายเดือนก่อน

    soma vitabu cha wito kwa mflme cha ahmad mizra utajifunza pepo ni nin mbingu ni nini

  • @ibrahmsafiry1575
    @ibrahmsafiry1575 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤❤❤