SHEIKH MUHAMAD IDDI -ANSWARI SUNA WA KWELI NI MKWELI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Ramiya Wetu
    Ramiya Wetu ni channel pendwa ya kukupa habari za kidini khaswa historiya za wanazuoni wetu africa masharik na kukuburudisha kwa qaswida ,quran kwa njia ya tajweed inshaallah naomba tuwe pamoja kwa kusubscribe maneno mekundu hapo chini Yaloandikwa (Subscribe)
    Zaidi nikufuatilia na kufanyia kazi pia Ruhsa ushauri,maoni na Ujumbe tunapokea kwa Maono mbali mbali na fikra Tufuatilie Whatsapp +254726068683 +254784546717 , +255748022635 #RAMIYA#WETU#WETUUPDATES

ความคิดเห็น • 37

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844 7 วันที่ผ่านมา +7

    Allah akujalie pepo ya juu pamoja na Masheikh zako na pamoja na Rasulu Allah.Ammmin

    • @ramiyawetutv
      @ramiyawetutv  7 วันที่ผ่านมา +1

      Amiiiiin Ya Rwabiiii shukraaaan

    • @ramiyawetutv
      @ramiyawetutv  7 วันที่ผ่านมา +1

      اللهم صل على سيدنا محمد وعلى اله وصحبه وسلم

    • @safiaothman5175
      @safiaothman5175 7 วันที่ผ่านมา

      Aamiin Yaa Rabbal Alaamiin

    • @user412
      @user412 7 วันที่ผ่านมา

      Elimu yenye manufaa

    • @abdurazaqiamisi1463
      @abdurazaqiamisi1463 3 วันที่ผ่านมา

      Allahumma amiin

  • @nadirmahfoudh1812
    @nadirmahfoudh1812 2 วันที่ผ่านมา

    Shk Abuu Eid, naku miss sana wallah. Namuomba Allah atukitanishe tena ktk Jannat Firdous nuzula.

  • @Hamisjuma-u6j
    @Hamisjuma-u6j 3 วันที่ผ่านมา

    الله اغفر له وارحمه ونور ووسع قبره واسكنه في الجنة

  • @AbdulkarimShosi
    @AbdulkarimShosi 7 วันที่ผ่านมา +3

    Mungu amrahamu abuu idd ameelezea kwa ufaswaha wa hali ya juu zaidi mas,ala ya muandamo wa mwezikwa kutumia vitabu vya masheikh wakubwa wakubwa kama vile al marhum al uthaimeen al marhum bin baazi mufti wa oman al bassam jee hawa nao ni makhurafi ama watu wa bidaa na jee fatawa zao ni za kijahil tuweni na inswaf katika mambo ya dini na tuache taasub yaani tuache mikao dini haiendeshwi na mirengo

  • @mbwanasendaro4707
    @mbwanasendaro4707 5 วันที่ผ่านมา +1

    Allahuma hufirahu warahmahu wasaknahu firjannah

  • @feizalmas
    @feizalmas 6 วันที่ผ่านมา +1

    Dah wallah Tanzania imepata pigo kuondokewa na mwanazuoni huyu

  • @mlolikamonja6492
    @mlolikamonja6492 7 วันที่ผ่านมา +1

    Huu msumari wa Wahabia kweli kweli acha wafurahie

  • @AishaH-e3k3w
    @AishaH-e3k3w 2 วันที่ผ่านมา

    Allah akuhifaz pahal pema

    • @ramiyawetutv
      @ramiyawetutv  2 วันที่ผ่านมา +1

      Amiiiiin ya Rwabiiii

    • @AishaH-e3k3w
      @AishaH-e3k3w 2 วันที่ผ่านมา

      @ramiyawetutv sheh Samahan nna wifi yang yuko sptali kafanjiw upreshen mara 3 kambiw chango yake inaganz akila anatapk naomba muuombe duw kwakwel

  • @AbdallahRassa
    @AbdallahRassa 6 วันที่ผ่านมา

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatu shkh Allah akulehemu hakika wenye kukuelewa wamekuelewa lkn hakika unacho kuongea Wala hakuna ubishi ukiona utafunga mwezi wa kimataifa hakuna shida ukiwa na mashaka unataka ufunge kwa mwezi wa afrika mashaliki hakuna shida lkn Hawa wenzetu wamekuja kutufarakanisha huo ndio ukweli

  • @RajabuKikoti
    @RajabuKikoti 7 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa ufaham huo na uelewa huo, Inatakiwa hata ndani ya Tanzania Kila Mji uliopo ndani Tanzania uangalie Mwezi Wao tu, hakuna kusikiliza Mji Mji Mwingine. {{Tusishindane bwana,, Tushike lenye Nguvu zaidi}}

    • @HemedSerious
      @HemedSerious 6 วันที่ผ่านมา

      Mpuuzi mkubwa mkubwa!!! Jaahil, 😂😂😂 kwani Tanzania mwezi una andama kwenye siku tofauti? Fikiria kabl hujaongea hiyo hoja ni ya msingi mpuuzi

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 7 วันที่ผ่านมา

    muislam anaemuukumu mwezie bila yakujua atimayeke mwenyewe uyo nijaili nauislam akifa musikumbuke mabaya yake kumbuken mema yake

  • @AbduNgarubulwa
    @AbduNgarubulwa 3 วันที่ผ่านมา

    Shekhe Allah akusamehe ww na cc kwani sasaivi anaendikiwa barua ni nan??inshu co murudi nyuma mwezi umethibiti tatehe fulani hapana inshu ni kwamba kwann taarifa za mwezi zinapatikana kwa wakat nacc tunabaki kusema huko co kwetu jee kwetu wapi kwa vipimo vya kisheria inshu ndo ipo hapo

  • @SaidWawa-n7o
    @SaidWawa-n7o 7 วันที่ผ่านมา +1

    Alikuwa mjinga vip wewe ndo bwege hauelewi kitu Jaahilu Murakkabu
    Hauwezi kumuelewa mwamba wakati wewe ni zuzu mjinga wa mwisho

  • @SaidWawa-n7o
    @SaidWawa-n7o 7 วันที่ผ่านมา +2

    Ahahaaa aisee mawahabi ni watu wapumbavu sana cjui akili zenu zimeumbwaje kiasi kwamba hamuelewi maneno ya wazi na yanayofahamika kama haya, hivi nyie mawahabi akili zenu aisee hazina akili

    • @hassanmzandy1421
      @hassanmzandy1421 7 วันที่ผ่านมา

      Siku zote bidaa hupambiw na watu wengi miongon mwao niww , kikubw dua kwa sheikh wako Amekufa kweny ukhurafy kutetea batwil , lakin tusisahau sote njia moja kikubwa tuishj kwakufuata Sunna, ...Mwisho.Allah amfanyie wepec.

    • @IbrahimMenjano-lj7df
      @IbrahimMenjano-lj7df 7 วันที่ผ่านมา

      Huthaimin pia hurafi?

  • @Kaankaraz
    @Kaankaraz 7 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa alikua mjinga sana

    • @AbdulkarimShosi
      @AbdulkarimShosi 7 วันที่ผ่านมา +1

      Mwanzo Hilo jina lako ni vituko kwa hakika mjinga ni wewe abuu idd katoa ushahidi wa vitabu vya masheikh sasa wewe lete vyako ili umtie abuu idd ujingani

    • @Kaankaraz
      @Kaankaraz 7 วันที่ผ่านมา

      @@AbdulkarimShosi unaona jina langu ni kituko kwa sababu Wew ni Mwanafunzi wa huyo mjinga

    • @omarchuo
      @omarchuo 7 วันที่ผ่านมา

      Unakataa hadi maandiko hakika wewe ni mjinga sanaa mbwa wewe

    • @salimakida95
      @salimakida95 7 วันที่ผ่านมา

      Hakushindi wewe

    • @joharifarahani2739
      @joharifarahani2739 7 วันที่ผ่านมา

      Ongera yko ww tupaki wa tanzania​@@Kaankaraz