ukweli apa tanzania kuna tim nyingi za ligi kuu ila chakushanga sana jemidari anaiongelea sana yanga kuona kila wanachofanya awajui je apo efm unalipwa kwaajili ya kuiongelea yanga tu fanya kazi yako kaka acha kuongelea tim isiyokuusu
Umeacha kusikiliza sasa mbona umetumia mb zako kuangalia shabikieni mpira acheni blaa blaa kila mtu ana Uhuru wa kuzungumza na kukosoa kikubwa usitukanwe Tu my brother
Huyo manara ni mshenzi sana, na anaroho mbaya sana, na mungu atampa zawadi yake. Haiwezekani Kila mtu agombane nae yeye, anafikia hatua ya kutaka waandishi wafukuzwe KAZI!!! Hii ni roho mbaya iliyopitiliza, ndio mana mungu kamfupisha, duuh sijawahi kumsikia mtu wa aina yake. Kakaangu. Jemedari mungu atakusimamia, inshaallah
Jemedali Said kazumali achana na kuingilia mambo ya Yanga hayakuhusu. Na wewe mwenye Jezi ya arsenal ni mpuuzi tu achana na manara nenda ccbrt pumbavu kbs wewe 😀
Manara anapenda ugomvi na waandishi wa habari kumbuken aligombana na Prisca Kishamba lkn pia Shafii Dauda alisha zinguana naye so ana udhaifu huo tumchukulie km alivyo tumvumilie Kaz iendelee
Haj manara yuko sahihi inamaana Tanzania timu yanga tu amna ingne naona post zake anaongoza kuponda tu yanga aina mazuri Tanzania bado sana kwenye mpila nyny wachambuz munaleta ushabik munapoteza mvuto wa radio watu wanahamia wasafi fc
Uyo manara afai uyo anatumia power kubwa sna kuaminisha watu kuwa yy ni yanga dam dam..... Msimsikilize uyo ni kiazi anasema E FM atuifatilii akati manara tv ndo sitaki ata kuiona
Safi sana kazimari wewe onyenya tu kuwa wewe sio levo yake, two wewe nisomi hasiekurupuka anapoliongelea Jambo na pia unajitambua,all in all huyo hajitambui,achana nae wewe piga kazi Kama kitu ni nyeupe means hivyo na kAma ni nyeusi means that is it.
Msukule bhana kipindi upo simba ulituaminisha kuwa jemedari ni yanga hana nia nzuri na simba lakin leo unatuaminisha tena kuwa jemedari ni mtu mbaya kwa yanga
Huyu jamaa aliyeva jezi ya Arsenal naye ameongea pumba kuhusu uanachama wa Haji Manara Simba, Haji Manara alishatamka tena hadharani kuwa yeye siyo na wala hajawahi kuwa mwanachama Simba Sports Club na alienda mbali kuthibitisha Hilo kwa kuutaka uongozi wa Simba kama alichokisema siyo kweli basi wa uthibitishie umma wa Soka kuwa yeye Haji Manara kama kweli alikuwa mwanachama wa Simba kadi yake ya uanachama ni namba ngapi? Jambo ambalo mpaka leo halijakanushwa na timu ya Simba. Kusema ukweli huyu jamaa Kazumari hatoshi kwenye kazi hii ya uandishi wa habari akiwa kama mchambuzi wa michezo hasa mchezo wa mpira wa miguu amekuwa ni mwandishi mwenye kukitumia chomba cha habari cha mwajiri wake vibaya na ndiyo maana wasikilizaji wengi wa vipindi vya michezo, wanasikiliza redio zingine Kama Wasafi Fm kuliko vya efm.
Mimi ni mkongomani iyo ni kweli kila mara ninavyo fatilia efm uyo jamaa uwa namuona kweli sio mchambuzi mbali ni mshabiki wa Simba na Mimi ivi nimekuwa na mda nikiona anahaza kuchabuwa nataka kuwafatilia
Jemedali kweli hana nia njema kabisa na Yanga. jaribuni kucheki kila maoni yake yananegative kwa Yanga. Jemedali nashauri ishu za yanga aziache anatukwanza sana. yote hayo kwa sababu ya mchezaji wake Metacha
Wew jemedari Kama umekosea jifunze kuomba msamaha Kama umekosea mwenzie ,mbona mnaingiza Mambo ya hovyo kwenye mpira ,Yani kwani haji kuwa yanga hata kama sio yanga kindaki ndaki inakuuma nini wew Kama sio umbea huo aiseeee toka manara alipo hamia yanga mnamtukana matusi kweli mpk mmesha mpatia majina ya hovyo hovyo, hata yeye Ana damu amevumilia kachoka na vijambo vya wahasimu wao wa jadi.
Br. Jemedali we piga kazi Mimi ni yanga lakini hapo Manara kazingua Kama anataka promo ya club awake mzigo. Hila naynyinyi watangazaji samtimee mnazunguaga kweli mnapitiliza.
Jemedari said mchambuz bora TANZANIA
Jemedali haipendi Yanga na hafai kuwa mtangazaji wa michezo maana hayuko fair. Manara anaongea ukweli
Wewe unafaaa
ukweli apa tanzania kuna tim nyingi za ligi kuu ila chakushanga sana jemidari anaiongelea sana yanga kuona kila wanachofanya awajui je apo efm unalipwa kwaajili ya kuiongelea yanga tu fanya kazi yako kaka acha kuongelea tim isiyokuusu
Hiyo radio yenu tuliishaacha kuisikia. Mnatumia nguvu nyingi kumtetea lakini hatumpendi hatumpendi hatumpendi
Umeacha kusikiliza sasa mbona umetumia mb zako kuangalia shabikieni mpira acheni blaa blaa kila mtu ana Uhuru wa kuzungumza na kukosoa kikubwa usitukanwe Tu my brother
Hatutaki aiongelee YANGA YETU KABISA
Kweli kabisa mana👍👍👍👍👍👍
Alafu huyo jamaa nadhani hata yanga hatumuamini mana Jana katuambia azizi deal done kubr uongo hatumtaki manara anatuvuruga
Nipe clip yoyote ambayo jemedari ameizungumzia vizuri yangaa alafu nikwambie
Please. Please. We. Gemedari. Achanaa. Na. Yanga. Haikuhusuu. Hataa. Kidogoo.
Duuuuu
Mnatumika sana jaribu kujitasmini
Kaka Jemedar fanya kazi yako tuna mfaham huyu Haji no Simba tuna. Mjua sisi wanayanga piga Kaz Kaka
Mm nafikiri wasemaji wote wa vilabu wawe atlest Wana diploma au degree moja na kuendelea
Huyo manara ni mshenzi sana, na anaroho mbaya sana, na mungu atampa zawadi yake. Haiwezekani Kila mtu agombane nae yeye, anafikia hatua ya kutaka waandishi wafukuzwe KAZI!!! Hii ni roho mbaya iliyopitiliza, ndio mana mungu kamfupisha, duuh sijawahi kumsikia mtu wa aina yake. Kakaangu. Jemedari mungu atakusimamia, inshaallah
Acha lugha za kipolipoli we unajijua undani wako?mibongo bwana
Huwezi kujua hata ww unaweza kupata mtoto kama huyo
Jemedal achana na yanga kuanzia leo
Manara kawazid mkubali nyinyi mazuzu
Jemedali Said kazumali achana na kuingilia mambo ya Yanga hayakuhusu. Na wewe mwenye Jezi ya arsenal ni mpuuzi tu achana na manara nenda ccbrt pumbavu kbs wewe 😀
Nyie mashabiki au wachambuzi wa mpira fateni mafanikio ya wachambuzi wa nje Jitafakari Mr Jemedari.
Shida ya jemedar kila kitu cha yy lazima akiponde ss niwadau wenu kabla amjabisha chukuen clip zake mzisikilize.uyu anataman yanga isiwepo uy anatumwa
Kama jemedali alitoa maoni na bugati katoa maoni kuwa Jemedali afukuzwe sasa tabu ipo wapi
Manara anapenda ugomvi na waandishi wa habari kumbuken aligombana na Prisca Kishamba lkn pia Shafii Dauda alisha zinguana naye so ana udhaifu huo tumchukulie km alivyo tumvumilie Kaz iendelee
Manara choko tu jemedari kazia hapo hapo
Haj manara yuko sahihi inamaana Tanzania timu yanga tu amna ingne naona post zake anaongoza kuponda tu yanga aina mazuri Tanzania bado sana kwenye mpila nyny wachambuz munaleta ushabik munapoteza mvuto wa radio watu wanahamia wasafi fc
Mimi. Shabiki. Wa. Yanga. Kutokaa. Zanzibar. Ni. Kwelii. Huyoo. Gemedari. Kazi. Yakee. Kubwaa. Kuiponda. Yanga. Tuu
Hamfai kabisa e f m
Ni kweli kabisa jemedar amezidi kuisema vbya yanga
Uyo manara afai uyo anatumia power kubwa sna kuaminisha watu kuwa yy ni yanga dam dam..... Msimsikilize uyo ni kiazi anasema E FM atuifatilii akati manara tv ndo sitaki ata kuiona
Haji ana roho mbaya na kibri ndio maana mungu kamuumba vile kwa sababu ya kumpunguza makali
albino manara anashida sana
Haji manara anaroho fitina ndo inayomuangaisha kamfiti babra kamshinda uyoo
Safi sana kazimari wewe onyenya tu kuwa wewe sio levo yake, two wewe nisomi hasiekurupuka anapoliongelea Jambo na pia unajitambua,all in all huyo hajitambui,achana nae wewe piga kazi Kama kitu ni nyeupe means hivyo na kAma ni nyeusi means that is it.
Wewe menyewe ukiwa simba mbona uliwatukana yanga kila siku mpuuz
Jemedari kazoea acheni kumtetea hakuna anayempinga heris said Sasa nyinyi hapo mnalopoka TU
Msukule bhana kipindi upo simba ulituaminisha kuwa jemedari ni yanga hana nia nzuri na simba lakin leo unatuaminisha tena kuwa jemedari ni mtu mbaya kwa yanga
Jemadari Haj kuchambua mpeni asome taarifa ya habari
Jemedari siyo mchambuzi,huyo ni mshabiki wa mpiratu, hajuwi kuchambuwa anakatisha watu tamaa. Atoke kweri.
kwani huyo manata ni msemaji su mhamasishaji?? mbona anajipa cheo si chske🤣🤣🤣
Manara chizi asiwadangaye Yanga ,na Simba hatumtaki
Akwende huyu Manara
Jemedar roho chafu mbaya inakusumbua tyu
Jemedari Kaza Buti Mkuu
Kuna Mtu kajiita Msemaji wa Yanga Huyo si Msemaji wa Yanga
Msemaji wa Yanga ni Hassan Bumbuli
Manara hajii wew ni Simba kindaki ndaki
Jemedari said ni mchambuzi mwenye upeo wahali ya juu,kasoro alizozisema nikweli kabisa ,
waandishi mko vizur ila naomba muamini hakuna mpira tanzania manara kama hutaki kusemwa acha kazi kua shabiki we ni mshamba tu
Mimi sioni kama kuna shida labda kama kunalingine liko nyuma ya pazia manara usiwe na roho mbaya bwana
Nyie mnazingua soon mtapoteza mwelekeo
Kama alivyomfukuzisha nugas siyo mtu huyo😀😀
Nasimama Na Buggati✊
Zima radio ya michongo kwa7bu ya mchambuzi wa michongo na ww mwenye t-shirt nyekundu na miwani yako kama kobe kaa kimya mpuuzi ww
Manara ni mshamba saana inamaana yeye ndo anawapangia waajiri Wa redio waajiri waandishi Wa namna gani?
Mtukomeeeee
Nyinyi pigen kaz achanen na choko uyo anawaswa
Ingieni mtaani muone washabiki wa yanga hawaitaji daraja wana daraja tayari mteteeni barge mwenzenu mabweni radio yenu hiyo uchwara
Manara kwa roho mbaya anakipaji.ameingia yanga watu kibao wameachishwa kazi kwaajiri yake.Mungu hapendi
Leo mmeingia aibu, sura zimewatusa mwenye kanzu buluu na Emirates
Jemedari said piga kazi na usiache kuuzungumzia ukweli hao wanaokupinga sio wapenda maendeleo acheni uchawa huo msiambiwe ukweli?
Sio kweli redio no 1 kwa michezo ni efm
Nakumbuka wakat yanga wameenda algeria mliisema sana yanga kwamba aiko sirias.juzi amemuongelea dikson job.alafu anasaau kuwa watanzania asilimia 70 tuna maumbo madogo.akuchambua kimpira alichambua kinaz kwakuwa hata uko tunapo waiga kimpira kuna mabeki wakat wafupi.puyo.canavaro.na pepe
uchambuzi wako jemedari uko tofauti na wengine kwako kuna kitu nyuma ya pazia na kwelo efm ni kichefuchefu ukiwasha unaambiwa toa hao
#Manara atengwe na watanzania nimchonganishi, Kwanza zandaani Yee simtanzania
Wawapi?
sioni mnacho suluhisho hapo,Bado mnatengeneza migogoro
Haji anatumia nguvu nyingi sana akisema watu anaona sawa lakini akiambiwa ukweli anaona kaonewa mpuuzi tu
Jemedari tuachie yanga yetu
Kweli jemedari unachokiongea ni kweli
Wewe mwenyewe mpuuzi tu
Huyo mwenyewe mwenye nyekundu sijui nani .. anaongea pumba sana..
Sanaaa
Sio kweli watangazi Mmekuwa Unbalanced sana ktk uchambuzi na mengineyo, sio nyinyi tu
Wapo wengine mnaboa sana?!!
Efm yote hawampendi manara kisa amekwenda yanga acheni roho mbaya
Huyu jamaa aliyeva jezi ya Arsenal naye ameongea pumba kuhusu uanachama wa Haji Manara Simba, Haji Manara alishatamka tena hadharani kuwa yeye siyo na wala hajawahi kuwa mwanachama Simba Sports Club na alienda mbali kuthibitisha Hilo kwa kuutaka uongozi wa Simba kama alichokisema siyo kweli basi wa uthibitishie umma wa Soka kuwa yeye Haji Manara kama kweli alikuwa mwanachama wa Simba kadi yake ya uanachama ni namba ngapi? Jambo ambalo mpaka leo halijakanushwa na timu ya Simba.
Kusema ukweli huyu jamaa Kazumari hatoshi kwenye kazi hii ya uandishi wa habari akiwa kama mchambuzi wa michezo hasa mchezo wa mpira wa miguu amekuwa ni mwandishi mwenye kukitumia chomba cha habari cha mwajiri wake vibaya na ndiyo maana wasikilizaji wengi wa vipindi vya michezo, wanasikiliza redio zingine Kama Wasafi Fm kuliko vya efm.
Usimsikilize Haji kwani ni mangapi Alisha SEMA na yote yauongo
Acha uongo manara.ulivyokua Simba ulisema redio zote ni yanga.leo vipi uchukie.hukumu hapahapa duniani na badooo.wanafiki wote jehanamu
Hahahaha duu hii Dunia
Efm ni kituo cha wahuni nyie njaa ndio zinawasumbua
Wee Jemedar fanya yako kwani lazma uiongelee Yanga
Manala kawazid mkubali tu tatizo la wabongo mtu akikutangulia mna nongwaaa😂😂😂😂😂😂
Mmeliambia ukweli mtupu linatumia nguvu kubwa sana kudanganya wanayanga
Nasimama Wilson Oruma
Uyo jemedali mnaf8kia sana muone sura yakeipo kinafiki
Uyu jamaa kweli anapoteza wasikilizaji
Aisee jemedari kazumari huwa namuelewa sana
hakuna mtu aliyekuwa anaitukan yanga kama manara dah kwel manara we ni mnafiki kinoma2
Achokiongea manara kipo sahihi fatalia post za jemedari said inamaana simba aina mabaya
Tena angetakiwa kushukuru na kuongeza ubora kwenye Club yetu ya Yanga
Tusitake kusifiwa hata kama tunakosea Tusifiiwe tu hapana sio kweli.
Wewe unajua mpir
@@songorosongoro9927
nakupongeza sana wewe unayejua mpira lakini unanisikitisha kutetea ujinga!!?
Tujitaidi kuwa balance Kwa pande zote
Yes kabisa
Mteeteni bwege mwenzenu huyo mnaua radio yenu hiyo
Maliam baa manala
Mimi ni mkongomani iyo ni kweli kila mara ninavyo fatilia efm uyo jamaa uwa namuona kweli sio mchambuzi mbali ni mshabiki wa Simba na Mimi ivi nimekuwa na mda nikiona anahaza kuchabuwa nataka kuwafatilia
Mimi mwenyewe sikuizi sisikilizi efm sababu ya uyu jemedari. Majizo fukuza uyo nzala. Awezi kuiongelea yanga mabaya na wachezaji wetu.
Kwani huyo kitenge humjui
Msiposikiliza utopolo kuna watu wanasikiliza tena wengi sana ... tafuten station yenu
Huyu jemadar huwa sio mchambuz Ila nimlopokaj tu karb kufatilia uchambuz wote wa jemedar
Ww unakaz gan kwanza ili tuanze na ww kukufukuza
Huyu jamaa alovaa jez ya arsenal hana points kma arsenal yenyewe, , Mara ngap huyo jemedar anaongea upumbafu
Kitenge mbona anabezi upande mmoja ,mbona amsemi
Jemedali kweli hana nia njema kabisa na Yanga. jaribuni kucheki kila maoni yake yananegative kwa Yanga. Jemedali nashauri ishu za yanga aziache anatukwanza sana. yote hayo kwa sababu ya mchezaji wake Metacha
Usiseme kwa jemedar tu kitenge huwa hamumuoni sio au ndo kujiziba macho!!???
Kwahio.kitenge.yy.yuko.sawa.kuiponda.simba
Katoa maoni yake kama Binadamu ..
Yanga hatuna shabiki km huyo wa arsenal yanga tunajjua wenyewe tulivyo
Wanayanga wanatakiwa wamkatae jemedari
Nikiwa na akil zangu hiyo n pumba plus mashudu kitenge nae tumkatae akiwasema makolo
Manara Yuko sahihi hebu jipimeni
We nimpumbavu jemedali sio yanga situdanganye
Wew jemedari Kama umekosea jifunze kuomba msamaha Kama umekosea mwenzie ,mbona mnaingiza Mambo ya hovyo kwenye mpira ,Yani kwani haji kuwa yanga hata kama sio yanga kindaki ndaki inakuuma nini wew Kama sio umbea huo aiseeee toka manara alipo hamia yanga mnamtukana matusi kweli mpk mmesha mpatia majina ya hovyo hovyo, hata yeye Ana damu amevumilia kachoka na vijambo vya wahasimu wao wa jadi.
Br.
Jemedali we piga kazi Mimi ni yanga lakini hapo Manara kazingua
Kama anataka promo ya club awake mzigo.
Hila naynyinyi watangazaji samtimee mnazunguaga kweli mnapitiliza.
Ww huwezi kuwa Yanga alafu unaongea pumba
Jemedar kazid nayeye
Mwenye jezi ya arsenal huyo akili moja na JEMEDARI wanajipooza na Timu lao kufanya vibaya
Alaf huy alievaa jez ya arsenal ndio hajuag kitu kabisa lkn anajion km dr.rick
Mbona kilakitu cha simba kitenge anaponda simba huyu manara fala kweli
MANARA NI MLEMAVU MNAPASWA KUMSAMEHE HAYOPO SAWA
ukuma wa wachambuzi wa efm wana2miaga vby nafas waliyo nayo kutaka kupambana na wale wanaowakosoa. Nakumbuka walivomjibu hata mwenyekiti wa tff, makuma nyie. Yawezekana kwl Manara yupo wrong lkn efm nyie ni mikundu michaf kumamake.
Kazimari wewe ni msenge tuuu huna akili ,falaaa tuu wewe na jemedarii