Mtanzania Daktari Bingwa USA 🇺🇸 aliyesoma Harvard University

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2022
  • Dr. Frank Minja ni Mtanzania Daktari bingwa wa Radiology aliyesoma Harvard University.
    Hii ni historia yake fupi
    #ebmscholars #ebmswahili #ughaibuni

ความคิดเห็น • 155

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj6474 ปีที่แล้ว +32

    Jamaa mtu humble sana anaongea kwa heshma na unyenyekevu Mungu amlinde

    • @berthatz
      @berthatz ปีที่แล้ว +3

      Sana sana..na hachanganyi.Kiswahili kimenyooka..Mungu akutunze kaka.@EBM asante kwa kazi njema ..Kazi nzuri sana kaka EBM👏🏾👏🏾👏🏾

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 ปีที่แล้ว +4

      Very humble guy, msomi kwelikweli, akili imetulia, wala haringiii, Kiswahili fasaha sana👌👌👌

    • @myamwezmyamwez8669
      @myamwezmyamwez8669 ปีที่แล้ว

      Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.

  • @Myplusbee
    @Myplusbee ปีที่แล้ว +37

    Miaka 27 ughaibuni!!
    Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza!
    Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA!
    Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza!
    PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 ปีที่แล้ว +1

      Watu wanaulimbukeni sana kaka,washamba tu

    • @rickrosswabongo4116
      @rickrosswabongo4116 ปีที่แล้ว

      Hapo kwa Harmonize ndo umeua kabisa😅Imebidi nitafute moja ya interviews zake nicheke kwanza😅

  • @hermentmrema6537
    @hermentmrema6537 ปีที่แล้ว +30

    Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 ปีที่แล้ว +1

      Hiyo miaka 9 ulikuwa huko kusoma au ulikuwa unafanya nini? Na sasa unafanya kilimo cha mazao gani? Asante

    • @mmasipeter4157
      @mmasipeter4157 ปีที่แล้ว

      Vzr sana kama ulichokipata utagawana na wengine na mungu atakubariki sana

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 ปีที่แล้ว

      Big Up kwako

    • @mohammedrashid2906
      @mohammedrashid2906 ปีที่แล้ว

      Nice

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 ปีที่แล้ว

      Mungu Akurahisishie

  • @kuhususheria4408
    @kuhususheria4408 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa kasoma top University duniani and he is still humble - Yale, Havard etc heshima kwake aisee

  • @kikalarashid9003
    @kikalarashid9003 ปีที่แล้ว +6

    Doctor yuko vizuri sana! Yani serikali itafute namna ya kuwachanfanya hawa watu wa ughaibuni wafaudishe wenzao huku. Doctor anaonekana mtu mzuri sana.

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 ปีที่แล้ว +10

    Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!

  • @AnasAli-xe6pg
    @AnasAli-xe6pg ปีที่แล้ว +5

    Safi sana hio ndio maana ya usomi. Unaongea lugha yako kwa ufasaha. Big up bro!

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 ปีที่แล้ว +3

    Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore.
    Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha
    Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!

  • @emanuelmhoja2411
    @emanuelmhoja2411 ปีที่แล้ว +17

    Mungu awabariki Watanzania wote wema mlioko nje na Mungu aibariki Tanzania

    • @minormine4417
      @minormine4417 ปีที่แล้ว +1

      Amen! Kwa kweli mtumuombee!

    • @fatumamuya7296
      @fatumamuya7296 ปีที่แล้ว

      Amiin

    • @batulii1248
      @batulii1248 ปีที่แล้ว

      Amini

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 ปีที่แล้ว

      Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India

  • @annatemu5902
    @annatemu5902 ปีที่แล้ว +10

    Hongera nyingi kwake Dr Minja, nimefurahia sana hii interview.Asante sana EBM

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 ปีที่แล้ว +6

    🤔Hongera Dr. Ni mfano mzuri kwetu sote. Asante EBM pia kwa kuturushia hii video🤛

  • @Mubarak552
    @Mubarak552 ปีที่แล้ว +2

    Dr. Minja hongera Sana kwa kazi nzuri mnafanya huko, nilikuwa naomba December tukutane Moshi kuhesabiwa hakikisha unafika

  • @levinekalikuela4916
    @levinekalikuela4916 ปีที่แล้ว +6

    Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!

  • @benedictaustard5583
    @benedictaustard5583 ปีที่แล้ว +6

    Nimependa sana hii Interview!.
    Asante EBM!

  • @aliakrabi8321
    @aliakrabi8321 ปีที่แล้ว +13

    Mwalimu wangu Dr. Minja, Neuroradiologist. Hongera sana. Emory University, Atlanta.

    • @abasisapi5474
      @abasisapi5474 ปีที่แล้ว +1

      Dr. Unamiss ugali? Unga wa ugali upo huko, wamarekani wanautumia kama dressing kwenye samaki wa kukaanga. Ulizia super markets!

    • @zawadikessy2098
      @zawadikessy2098 ปีที่แล้ว

      wooh good yupo peace

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 ปีที่แล้ว

      @@abasisapi5474 kunakilakitu vyote ivo ulivovitaja vipo

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว

      Woow. Very excited

  • @demariwa7606
    @demariwa7606 ปีที่แล้ว +2

    Wote, mtangazaji na Dr.Minja, mmegusa maisha yetu.Mahojiano mazuri sana, hongera Dr.Minja.

  • @jumahamis227
    @jumahamis227 ปีที่แล้ว +5

    Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.

  • @daniellyimo378
    @daniellyimo378 ปีที่แล้ว +3

    Kijana uko vizuri sana.mungu akubariki sana baadaye uje tusaidia Muhimbili.

  • @madimj5022
    @madimj5022 ปีที่แล้ว +3

    Very humble, tisha sana kaka mkubwa mungu aendelee kukupa moyo huohuo 🙏

  • @annatemu5902
    @annatemu5902 ปีที่แล้ว +9

    Kaka anaongea kiswahili kimenyooka vzr,.mnyenyekevu,Mungu azidi kumbariki sanaaa

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 ปีที่แล้ว

      Wako wengine ati wamesahau kiswahili kimechanganyika na kizungu nusu nusu, kwa mfano (mjomba aitwa mchomba) sio mchezo.

  • @kamanda007
    @kamanda007 ปีที่แล้ว +8

    Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha

  • @journeywithjesus
    @journeywithjesus ปีที่แล้ว +1

    Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Dr, mungu akulinde, nafurahi unawasaidia Watanzania na jumuia kwa jumla.

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 ปีที่แล้ว +1

    Asante EBM. Hongera sana Dr

  • @hildakinyunyu4314
    @hildakinyunyu4314 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana so inspiring

  • @jandreamk
    @jandreamk ปีที่แล้ว +2

    Hongera Dr. Nimejifunza kitu . Ahsante kwa EBM kwa interview hii 👍🏽

  • @Winstonfying
    @Winstonfying ปีที่แล้ว +2

    Safi sana, pia Hongera sana Daktari

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana for great achievement

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 ปีที่แล้ว +11

    Kaishi marekani miaka kibao, ila kiswahili kimenyooka na hachanganyi, sasa visanii hewa vya bongo hata kenya havijawahi kufika vihoji uone

    • @benedictormwalugaja5314
      @benedictormwalugaja5314 ปีที่แล้ว

      Aaah you know what this and that😂😂😂

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว +1

      Tena bongo amesoma Tanganyika international school

    • @georgeosmund727
      @georgeosmund727 ปีที่แล้ว

      Na badok Tz alisoma IST shule ya kishua

    • @bernardjohn8788
      @bernardjohn8788 ปีที่แล้ว

      @@georgeosmund727 hapo sasa

    • @sadih5333
      @sadih5333 ปีที่แล้ว +2

      Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.

  • @muhigwasiniibagiye6587
    @muhigwasiniibagiye6587 ปีที่แล้ว +1

    Nice one big up Dr Minja

  • @Mazoea
    @Mazoea ปีที่แล้ว +6

    Ongera zake jamani Kumbe tunawatu muhimu Marekani hiii

  • @lukelopatrick3187
    @lukelopatrick3187 ปีที่แล้ว

    Asante kwa kutujuza zaidi

  • @paulinemaswai8937
    @paulinemaswai8937 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Doc.

  • @mohamediomari1614
    @mohamediomari1614 ปีที่แล้ว +1

    Nakubali sanaa kaka, na mim naendaaa marekan sooo jamn in shaa Allah

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว +1

    Duuuh!!! Very excited Daktari. I wish to get connection jmn. I wish bt God will help me.

  • @ayramaa1619
    @ayramaa1619 ปีที่แล้ว

    Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid .
    Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .

  • @bas2823
    @bas2823 ปีที่แล้ว

    U DIG IT!👌👏🤝👍🏽 SUPER GREAT👌 KEEP UP👌 ALWAYS PROUD OF U N OTHERS LIKE U!👌!

  • @kiligrit
    @kiligrit 3 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa ni msharp, very sharp brain

  • @robertmgogosi8448
    @robertmgogosi8448 ปีที่แล้ว

    Safi sana Doctor

  • @makibadatela7865
    @makibadatela7865 ปีที่แล้ว +3

    Hongera Classmate Muhimbili Allumni 1988 na Upanga.

  • @willjames1332
    @willjames1332 ปีที่แล้ว +1

    Doctor oyeeee

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 ปีที่แล้ว +2

    Hı kaka zangu.Naomba msaada mm nına mıaka 49 nataman mtoto naomba msaada wa matıbabu nıpete mtoto.Mungu atawabarıkı.

    • @mussaelia8693
      @mussaelia8693 ปีที่แล้ว

      Fika hospitali ya karibu utapata pa kuanzia

  • @254interiorkenya5
    @254interiorkenya5 ปีที่แล้ว +3

    Keep it up my brother I will meet you one day

  • @taifaonlinetv.3670
    @taifaonlinetv.3670 ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana Dr. Minja , kupanuka kwa mawazo kunatuangusha sana

  • @wanyoikenaftali4114
    @wanyoikenaftali4114 ปีที่แล้ว

    Very humble God bless

  • @mhudumuonline9060
    @mhudumuonline9060 ปีที่แล้ว +1

    Congratulations nafurahia jinsi huyu jama Dr minja alivyo soma kweli akili ni mali.

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 ปีที่แล้ว +5

    Kati ya kitu wachaga walijaliwa ni unyenyekevu ndo maana wamefanikiwa sana sisi akina nanii sasa tumebaki kusema wachaga wanapenda hela,

  • @abdirizakhtuke2882
    @abdirizakhtuke2882 ปีที่แล้ว

    Hongera Dr Minja.

  • @mwajomberobert
    @mwajomberobert ปีที่แล้ว

    hongera sana Dr.

  • @mferekemwanyika6832
    @mferekemwanyika6832 ปีที่แล้ว

    Hongera Dr enedelea hivyo

  • @peterswai391
    @peterswai391 ปีที่แล้ว +2

    God bless more brother 🙏 Dr minja your very humble 🙏💪 , I learn something , Dodoma Tanzania

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 หลายเดือนก่อน

    Mungu amlinde

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 ปีที่แล้ว +3

    Kaka rudi utusaidie watanzania wenzako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 ปีที่แล้ว

      Pesa anayolipwa USA TZ hawawezi kumlipa yaani Nasemea Muhimbili

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 ปีที่แล้ว

    Hongera sana brother.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ ปีที่แล้ว

    Hongera saaana

  • @mwana4599
    @mwana4599 ปีที่แล้ว

    Wooow. Alisaidia mNo wskati wa COVID 19. HONGERAH Dr. Minja.

  • @afrocushitic
    @afrocushitic ปีที่แล้ว +2

    ❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥

  • @Sppah697
    @Sppah697 ปีที่แล้ว

    Ndugu mtangazaji hujui tofauti na matumizi ya la le li lo lu na ra re ri ro ru! Aibu kuuliza maswali ya nguoni!

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 5 หลายเดือนก่อน

    Kweli Mungu amekuinua sana, hongera kijana

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 ปีที่แล้ว +1

    Hawa ndo wenye passion asee

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 3 หลายเดือนก่อน

    Unapenda Sana pombe Kali kijanaa

  • @DaudiMazengoMasterDTEM
    @DaudiMazengoMasterDTEM 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Big up

  • @bas2823
    @bas2823 ปีที่แล้ว

    I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL IN SCHOOL! MY DAUGHTER HOLDER OF PHD. IN MEDICAL SCIENCE SHE SPECIALISE IN STEMS CELLS IN DIABETICS!👌👏🤝👍🏽👍🏽

  • @JobJohnson-gp1qz
    @JobJohnson-gp1qz หลายเดือนก่อน

    Uko vzr mkuu

  • @simplifiedchemtutorials8573
    @simplifiedchemtutorials8573 ปีที่แล้ว +2

    So inspiring

  • @annamayengela7100
    @annamayengela7100 ปีที่แล้ว

    Am in tz....yaan huyu Dr. Yuko humber Mungu amtunze kwa manufaa yake

  • @oxwad3836
    @oxwad3836 ปีที่แล้ว

    Kweli navutiwa sana kuona interview kama hizi ... uzidi kubarikiwa Mr EBM
    .
    🇹🇿

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 ปีที่แล้ว +1

    Nawafuatılıa sana sana kwa kwel mnatusaıdıa sana kutuelımısha

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 ปีที่แล้ว +2

    Hata Dr Shika naye alikuwa Dr ughaibuni vilevile 😁😁😁😁

  • @bertha_villagesactivitiest4077
    @bertha_villagesactivitiest4077 ปีที่แล้ว

    Tupo pamoja kaka

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita ปีที่แล้ว +1

    Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power

    • @upendomamuya7238
      @upendomamuya7238 ปีที่แล้ว

      Huwezi kupesha na serikali ya Marekani kama wewe sio rai wao, Labda ujilipie au upate scholarship.

  • @ufahamuzaidi2343
    @ufahamuzaidi2343 ปีที่แล้ว +10

    Great sessions we are inspired alot from 🇹🇿

    • @hajjmohd3602
      @hajjmohd3602 ปีที่แล้ว +1

      Yeye kakaa marekani miaka yote hio na anaongea kiswahili fasaha tu ww wajidai kizungu uchwara ongea kiswahili ustuchnganye😀😀

    • @ahz6907
      @ahz6907 ปีที่แล้ว

      Andika kiswahili tu 😁

    • @hajjmohd3602
      @hajjmohd3602 ปีที่แล้ว

      @@ahz6907 😀

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 ปีที่แล้ว +3

    Bado anaongea Kiswahili vizuri hongera daktari

  • @mhudumuonline9060
    @mhudumuonline9060 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana kuishi marekani na haya mambo mahojiano nipe fursa nikufanyie kazi.

  • @saadamwadini4657
    @saadamwadini4657 ปีที่แล้ว

    Mwambaaa kiswahili kizuriii

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge6794 ปีที่แล้ว +2

    Uje Tanzania Mwigulu nchemba akutoze tozo, tozo hongera kaka🤣😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana ndugu.

  • @slowclimbertothetop4572
    @slowclimbertothetop4572 ปีที่แล้ว

    Huyu anayeuliza maswali hajui namna nzuri ya kuuliza

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb 5 หลายเดือนก่อน +1

    Napenda unavoongea kiswahili bila kuchanganya na lugha za kigeni ,angojiwa harmonise hapo tungekoma kwa kizungu

  • @deejeydaev
    @deejeydaev ปีที่แล้ว +2

    Bora amecheka kidogo maana nikajua ni mtu wa u_serious

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything ปีที่แล้ว +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍

  • @phaustinegodfrey4056
    @phaustinegodfrey4056 ปีที่แล้ว +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪

  • @user-by3pv7cj5y
    @user-by3pv7cj5y 3 หลายเดือนก่อน

    Namba zake za cm wekeni bac

  • @vom84
    @vom84 ปีที่แล้ว +1

    Kubeba box ndio nn

  • @mcback4384
    @mcback4384 ปีที่แล้ว +3

    Mbona hamuongei jamaa anaonekana yanki kabisa ukilinganisha na muda alioenda mtoni? Mimi nikisimama nae na hizi mvi zangu nitaonekana kikongwe wakati nimezaliwa wakati jamaa ndio anaenda USA 🤣

  • @marthakimia4075
    @marthakimia4075 ปีที่แล้ว +1

    Wewe mtoto wa Mwalimu Minja?

  • @muhimbesingh4468
    @muhimbesingh4468 ปีที่แล้ว

    I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?

  • @JobJohnson-gp1qz
    @JobJohnson-gp1qz หลายเดือนก่อน

    11:46

  • @godfreyissa6231
    @godfreyissa6231 ปีที่แล้ว

    Sakua sakua

  • @thobiasthomas2269
    @thobiasthomas2269 8 หลายเดือนก่อน

    Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents

  • @hono1232
    @hono1232 ปีที่แล้ว

    Ingekuwa ni wale jamaa zetu , ingekuwa balaa!!

  • @vom84
    @vom84 ปีที่แล้ว

    Kubeba box ndio nn? Au ni kaz gan hiyo kaka EBM

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 ปีที่แล้ว +1

    wachaga wengi wapo ng'ambo asee than any other tribe

  • @drisayaambulatoryvetclinic1514
    @drisayaambulatoryvetclinic1514 ปีที่แล้ว

    Huyu Dr mbona anaonekana young sanaa wakati mie nazaliwa yeye ndo anaenda marekani na nikisimama nae naonekana nimezeeka

    • @innocentmanaseh4656
      @innocentmanaseh4656 ปีที่แล้ว +1

      Itakuwa vinasaba, labda kwenye familia yao hawazeeki haraka, na hela kidogo inaweza kusaidia hapo usizeeke haraka

  • @frankpro003
    @frankpro003 5 หลายเดือนก่อน

    TUNAPATAJE CONTACT YA HUYU

  • @mwana4599
    @mwana4599 ปีที่แล้ว

    ,Rudi Dr. Tanzania uje unvest jamani.

  • @upendomamuya7238
    @upendomamuya7238 ปีที่แล้ว

    Mafanikio yako yananitia hamasa, nitaiga kutoka kwako.

  • @nassorsaid696
    @nassorsaid696 ปีที่แล้ว

    EBM nasikia mwezi wa kumi utakuwepo Tanzania kusaidia watu kujaza lottery

  • @chakalaboti9709
    @chakalaboti9709 ปีที่แล้ว

    Shule yenyewe aliyosoma TANGANYIKA SCHOOL ada YAKE 🤔🤔🤔 millions of money

  • @miltonmachage2462
    @miltonmachage2462 ปีที่แล้ว +1

    Tuambieee mshahara wako bro

    • @ramadhanimtetu7246
      @ramadhanimtetu7246 ปีที่แล้ว

      Mkuu Mshahara bora asiseme Maana
      Mzee Mwingulu anaweza kumuibukia
      huko huko akamtaka tozo kumbuka
      huyu bado ni M-bongo
      😄😄😄😄😄