Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.
Miaka 27 ughaibuni!! Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza! Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA! Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza! PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!
Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana
Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!
Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore. Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!
Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India
Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!
Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.
Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha
Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.
Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.
Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid . Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .
Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power
Mbona hamuongei jamaa anaonekana yanki kabisa ukilinganisha na muda alioenda mtoni? Mimi nikisimama nae na hizi mvi zangu nitaonekana kikongwe wakati nimezaliwa wakati jamaa ndio anaenda USA 🤣
I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?
Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents
Jamaa mtu humble sana anaongea kwa heshma na unyenyekevu Mungu amlinde
Sana sana..na hachanganyi.Kiswahili kimenyooka..Mungu akutunze kaka.@EBM asante kwa kazi njema ..Kazi nzuri sana kaka EBM👏🏾👏🏾👏🏾
Very humble guy, msomi kwelikweli, akili imetulia, wala haringiii, Kiswahili fasaha sana👌👌👌
Kuna wasomi wa kweli ikisha kuna wasomi wasanii, huyu muonekano wake tu unajua kwamba ni kichwa hana haja ya kubabaisha na kutia usanii flani aonekane ati mjanja zaidi.
Miaka 27 ughaibuni!!
Msomi aliyesoma vyuo vikubwa na maarufu kabisa duniani lakini bado anazungumza Kiswahili vizuri kabisa lakini ndugu zangu Wakenya, mkifika tu Nairobi, mnajifanya hamjui tena Kiswahili! Kila entensi moja, 60% ya meneo ni Kiingereza!
Hata Wabongo nao ndo hivyo hivyo! Hasheem Thabeet alikaa Marekani miaka 4 tu, karudi Bongo akajifanya Kiswahili kinampa taabu!! Eti Harmonize nae ni Viingereza kwa kwenda mbele; JINGA KABISA!
Hata Mzee wa EBM nae anaongea Kiswahili safi kabisa na bila kuchechemea, lakini wengine mkienda kwa Ras Simba wiki 3 tu mnajifanya hamuwezi kuongea Kiswahili bila kuchanganya Kiingereza!
PENDENI LUGHA ZENU MIAFRIKA!!
Watu wanaulimbukeni sana kaka,washamba tu
Hapo kwa Harmonize ndo umeua kabisa😅Imebidi nitafute moja ya interviews zake nicheke kwanza😅
Uko vizuri sana Dr. MINJA na hongera sana. Mimi nimekaa hapo marekani miaka 9 nimerudi Tanzania na ninashukuru sana kwa fursa niliyopata. Ninaishi ndoto yangu ya kuhakikisha kila mtanzania ana kipato cha uhakika, cha kutosha na endelevu kutokana na kilimo. Niko hatua nzuri na Mungu akijalia ndani ya miaka 3 mtunda ya juhudi zangu yataonekana
Hiyo miaka 9 ulikuwa huko kusoma au ulikuwa unafanya nini? Na sasa unafanya kilimo cha mazao gani? Asante
Vzr sana kama ulichokipata utagawana na wengine na mungu atakubariki sana
Big Up kwako
Nice
Mungu Akurahisishie
Huyu jamaa kasoma top University duniani and he is still humble - Yale, Havard etc heshima kwake aisee
Doctor yuko vizuri sana! Yani serikali itafute namna ya kuwachanfanya hawa watu wa ughaibuni wafaudishe wenzao huku. Doctor anaonekana mtu mzuri sana.
Sijaziskia YES , NO , YOU KNOW , I'M , I'M.....!...Yaani kiswahili kimenyooka, safi kaka, na sisi tuko sehemu mbalimbali UGHAIBUNI tunabeba boksi za KITAALAM...!
😁😁😁
Safi sana hio ndio maana ya usomi. Unaongea lugha yako kwa ufasaha. Big up bro!
Asante sana Dr. Minja.., u mnyeyekevu sana. Ingekuwa wengine hapa dk 5 nyingi ungeshatu-bore.
Asante sana Ndugu Mtangazaji kwa namna unavyohoji maswali kiufasaha
Dr. Minja nakuombea Baraka nyingi sana kwa Mwenyenzi Mungu!!!!
Mungu awabariki Watanzania wote wema mlioko nje na Mungu aibariki Tanzania
Amen! Kwa kweli mtumuombee!
Amiin
Amini
Kuna wasomi wengi huko mfano ile vita ya Ukraine ilitosha kuonyesha kuwa tuna watu ambao wakiwa wazalendo na serikali zikawajali hatuna haja ya kutibiwa India
Hongera nyingi kwake Dr Minja, nimefurahia sana hii interview.Asante sana EBM
🤔Hongera Dr. Ni mfano mzuri kwetu sote. Asante EBM pia kwa kuturushia hii video🤛
Dr. Minja hongera Sana kwa kazi nzuri mnafanya huko, nilikuwa naomba December tukutane Moshi kuhesabiwa hakikisha unafika
Well done Doctor!!!!! If only you can establish a good hospital in Dar to support the many sick people who are dying for lack of expert doctors to help them. Thinknof that really!!!!!! I am writing out of experience I saw one patient who went through pain and suffering and was never helped and left us. It is pity anyway!!!!!!
Nimependa sana hii Interview!.
Asante EBM!
Mwalimu wangu Dr. Minja, Neuroradiologist. Hongera sana. Emory University, Atlanta.
Dr. Unamiss ugali? Unga wa ugali upo huko, wamarekani wanautumia kama dressing kwenye samaki wa kukaanga. Ulizia super markets!
wooh good yupo peace
@@abasisapi5474 kunakilakitu vyote ivo ulivovitaja vipo
Woow. Very excited
Wote, mtangazaji na Dr.Minja, mmegusa maisha yetu.Mahojiano mazuri sana, hongera Dr.Minja.
Jamaa yupo 🇺🇸 muda mrefu ila nimefurahi kuona amejitahidi sana kukihifadhi Kiswahili chake, hadi neno kung’amua bado liko kichwani 😂, watoto wenu pia ughaibuni inabidi wajue lugha yao kama vile wahindi.
Kijana uko vizuri sana.mungu akubariki sana baadaye uje tusaidia Muhimbili.
Very humble, tisha sana kaka mkubwa mungu aendelee kukupa moyo huohuo 🙏
Kaka anaongea kiswahili kimenyooka vzr,.mnyenyekevu,Mungu azidi kumbariki sanaaa
Wako wengine ati wamesahau kiswahili kimechanganyika na kizungu nusu nusu, kwa mfano (mjomba aitwa mchomba) sio mchezo.
Jamani kichwa sana nafikiri alitoka na point 7, na hakuna ujinga wa you know what I'm saying ingawaje lugha ipo vizuri 😁, wabongo take a hint mkiongea sio kuchanganya lugha
Take a hint 😂😂😂
Hongera kwa video nzuri na vizuri kujua kwamba kuna shule hapa Tanzania ambao wanatafuta talents na kutoa scholarships za uko Marekani. Doctor yuko smart sana na Mungu amtangulie. Nadhani serikali inabidi ifanye zaidi na hawa diaspora.
Hongera Dr, mungu akulinde, nafurahi unawasaidia Watanzania na jumuia kwa jumla.
Asante EBM. Hongera sana Dr
Hongera sana so inspiring
Hongera Dr. Nimejifunza kitu . Ahsante kwa EBM kwa interview hii 👍🏽
Safi sana, pia Hongera sana Daktari
Hongera sana for great achievement
Kaishi marekani miaka kibao, ila kiswahili kimenyooka na hachanganyi, sasa visanii hewa vya bongo hata kenya havijawahi kufika vihoji uone
Aaah you know what this and that😂😂😂
Tena bongo amesoma Tanganyika international school
Na badok Tz alisoma IST shule ya kishua
@@georgeosmund727 hapo sasa
Tupo wengi wa namna hio nipo hapa tokea 1999 na jamaa wengi tu wa 2000, hatujawahi kurudi hoko home na upumbavu huo wa vingereza tunapo ongea na watu wa kwetu hatuna kabisa.
Nice one big up Dr Minja
Ongera zake jamani Kumbe tunawatu muhimu Marekani hiii
Asante kwa kutujuza zaidi
Hongera Doc.
Nakubali sanaa kaka, na mim naendaaa marekan sooo jamn in shaa Allah
Duuuh!!! Very excited Daktari. I wish to get connection jmn. I wish bt God will help me.
Habari yako kaka kwanza hongera sana sana Mungu akubariq zaid .
Mm nlitaka kuuliza kwa wale waliokuja ulaya kwa ukimbizii unawaambiaje au unawashauri nini wafanye kufikia mafanyikio .
U DIG IT!👌👏🤝👍🏽 SUPER GREAT👌 KEEP UP👌 ALWAYS PROUD OF U N OTHERS LIKE U!👌!
Huyu jamaa ni msharp, very sharp brain
Safi sana Doctor
Hongera Classmate Muhimbili Allumni 1988 na Upanga.
Hongereni sana seniors
Doctor oyeeee
Hı kaka zangu.Naomba msaada mm nına mıaka 49 nataman mtoto naomba msaada wa matıbabu nıpete mtoto.Mungu atawabarıkı.
Fika hospitali ya karibu utapata pa kuanzia
Keep it up my brother I will meet you one day
Nimekuelewa sana Dr. Minja , kupanuka kwa mawazo kunatuangusha sana
Very humble God bless
Congratulations nafurahia jinsi huyu jama Dr minja alivyo soma kweli akili ni mali.
Kati ya kitu wachaga walijaliwa ni unyenyekevu ndo maana wamefanikiwa sana sisi akina nanii sasa tumebaki kusema wachaga wanapenda hela,
Hasa kwenye biashara wananyenyekea sana wateja,
@@mariandesario6468 kabisaaa
Hongera Dr Minja.
hongera sana Dr.
Hongera Dr enedelea hivyo
God bless more brother 🙏 Dr minja your very humble 🙏💪 , I learn something , Dodoma Tanzania
Ongea kiswahili. Wewe
Mungu amlinde
Kaka rudi utusaidie watanzania wenzako🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏
Pesa anayolipwa USA TZ hawawezi kumlipa yaani Nasemea Muhimbili
Hongera sana brother.
Hongera saaana
Wooow. Alisaidia mNo wskati wa COVID 19. HONGERAH Dr. Minja.
❤️❤️❤️❤️🔥🔥🔥
Ndugu mtangazaji hujui tofauti na matumizi ya la le li lo lu na ra re ri ro ru! Aibu kuuliza maswali ya nguoni!
Kweli Mungu amekuinua sana, hongera kijana
Hawa ndo wenye passion asee
Unapenda Sana pombe Kali kijanaa
Big up
I LOVE SCIENCE! SINCE I WAS SMALL GIRL IN SCHOOL! MY DAUGHTER HOLDER OF PHD. IN MEDICAL SCIENCE SHE SPECIALISE IN STEMS CELLS IN DIABETICS!👌👏🤝👍🏽👍🏽
Uko vzr mkuu
So inspiring
Am in tz....yaan huyu Dr. Yuko humber Mungu amtunze kwa manufaa yake
Kweli navutiwa sana kuona interview kama hizi ... uzidi kubarikiwa Mr EBM
.
🇹🇿
Nawafuatılıa sana sana kwa kwel mnatusaıdıa sana kutuelımısha
Hata Dr Shika naye alikuwa Dr ughaibuni vilevile 😁😁😁😁
Tupo pamoja kaka
Tunashukuru ameelezea vizuri sana. Sasa angeelezea pia je marekani alisoma pia kwa scholarship au ndo full ufungwa wa deni la udaktari? Kaka EBM naomba utuletee mbobezi wa maswala ya scholarship au njia za kusoma bila deni la taifa Marekani. Nitajifunza na kupata more info. Nina karesearch kwamba kulingana na jimbo lako unaweza pata some scholarships etc etc ila nadhani hiyo episode itasaidia pia wengi kuepukana na deni la masomo. Knowledge is power
Huwezi kupesha na serikali ya Marekani kama wewe sio rai wao, Labda ujilipie au upate scholarship.
Great sessions we are inspired alot from 🇹🇿
Yeye kakaa marekani miaka yote hio na anaongea kiswahili fasaha tu ww wajidai kizungu uchwara ongea kiswahili ustuchnganye😀😀
Andika kiswahili tu 😁
@@ahz6907 😀
Bado anaongea Kiswahili vizuri hongera daktari
.
Napenda sana kuishi marekani na haya mambo mahojiano nipe fursa nikufanyie kazi.
Mwambaaa kiswahili kizuriii
Uje Tanzania Mwigulu nchemba akutoze tozo, tozo hongera kaka🤣😂
Hongera sana ndugu.
Huyu anayeuliza maswali hajui namna nzuri ya kuuliza
Napenda unavoongea kiswahili bila kuchanganya na lugha za kigeni ,angojiwa harmonise hapo tungekoma kwa kizungu
Bora amecheka kidogo maana nikajua ni mtu wa u_serious
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪
Namba zake za cm wekeni bac
Kubeba box ndio nn
Mbona hamuongei jamaa anaonekana yanki kabisa ukilinganisha na muda alioenda mtoni? Mimi nikisimama nae na hizi mvi zangu nitaonekana kikongwe wakati nimezaliwa wakati jamaa ndio anaenda USA 🤣
😂😂😂
Wewe mtoto wa Mwalimu Minja?
I am Hassan from kigoma ujiji bakwata.ni mwanafunzi wa advance mchepuo wa PCB katika shule ya secondary sengerema mwanza. Ninandoto za kusomea marekani au India udiktar.Nitapataje scholarship?
11:46
Sakua sakua
Have many of people have talent problem government platform not based on person dream based on create employment in demand sector we naturally kill our talents
Ingekuwa ni wale jamaa zetu , ingekuwa balaa!!
Kubeba box ndio nn? Au ni kaz gan hiyo kaka EBM
wachaga wengi wapo ng'ambo asee than any other tribe
Huyu Dr mbona anaonekana young sanaa wakati mie nazaliwa yeye ndo anaenda marekani na nikisimama nae naonekana nimezeeka
Itakuwa vinasaba, labda kwenye familia yao hawazeeki haraka, na hela kidogo inaweza kusaidia hapo usizeeke haraka
TUNAPATAJE CONTACT YA HUYU
,Rudi Dr. Tanzania uje unvest jamani.
Mafanikio yako yananitia hamasa, nitaiga kutoka kwako.
EBM nasikia mwezi wa kumi utakuwepo Tanzania kusaidia watu kujaza lottery
Shule yenyewe aliyosoma TANGANYIKA SCHOOL ada YAKE 🤔🤔🤔 millions of money
64m huyu wa kishua kabisa
Tuambieee mshahara wako bro
Mkuu Mshahara bora asiseme Maana
Mzee Mwingulu anaweza kumuibukia
huko huko akamtaka tozo kumbuka
huyu bado ni M-bongo
😄😄😄😄😄