Fix You: Daktari huyu anakufundisha namna ya kutumia hela yako, ukimsikiliza huwezi kuwa Maskini

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 121

  • @citymaxbookshoptanzania2924
    @citymaxbookshoptanzania2924 ปีที่แล้ว +12

    Hongera sana Makrita wewe ni SHUJAA wangu wa NGUVU ni mtu mhimu sana Tanzania 🇹🇿

  • @godfreya6955
    @godfreya6955 ปีที่แล้ว +13

    Aiseeh!! I had to remain at work so I can finish this episode. Much respect to our Coach

    • @tp-kh8hl
      @tp-kh8hl ปีที่แล้ว +1

      Acha ubahili wwe sema ulikuwa unatumia wifi ya bure ndo maana ukwenda hom ili usitumie bando lako!..

  • @fevactv
    @fevactv ปีที่แล้ว +6

    Binafsi mimi umenisaidia sana kubadilisha maisha yangu,toka zamani tupo pamoja.#coachmakrita

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 ปีที่แล้ว +5

    Waoo hakika nimepata kitu kutoka kwa Dr. mada tam sana Irene ikikupendeza mrudishe tena 😉❤

  • @mohamedmbaruku6979
    @mohamedmbaruku6979 7 หลายเดือนก่อน

    Thanks god huu umekuwa mwaka wangu wa kutaka kaubadilika na nimekutana na hii interview nimejifunza mengi na nimesikilza za Joel nanauka kazi ipo kwangu maarifa ninayo ya kutosha. IRENE MUNGU AKUBARIKI

  • @agathakalulu1056
    @agathakalulu1056 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana Irene....kweli unatupatia vitu adim sana...hasa leo yani elim niliyoipata hadi nimejishangaaa mwenyewe daaa asante aseee🙌🙌🙌🙌

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 ปีที่แล้ว +2

    Asante Sana kwa elimu sns! Mungu awabariki Sana!

  • @leoniamayco8652
    @leoniamayco8652 ปีที่แล้ว +1

    Duhh nimejifunza vitu vingi 🙏 thanks kaka

  • @nathanjunior7694
    @nathanjunior7694 ปีที่แล้ว +3

    This is nice interview, Hii elimu vijana wengi sana wanahitaji

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 ปีที่แล้ว +3

    Doctor asante mi nina tabia nikiweka hela kwenye kibubu lazima ni bomoe lakin huu mwaka Mungu anisaidie

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 ปีที่แล้ว +3

    Ahsante sana kwa elimu bora kabisa

  • @hezekiamtera3559
    @hezekiamtera3559 ปีที่แล้ว +7

    Kuna fix costs ambazo hizo lazima ziwepo.1.Fungu la kumi 2. Umeme 3.Maji.4.Chakula 5.Usafiri wa kwenda kwenye shughuli zako.6.Nauli ya watoto kwenda shule.7.Kama wazazi wapo hai kiasi fulani.7. Ada za watoto.8.Matumizi ya simu kwa gharama ya chini.8.Kinachobaki ndio ujilipe na kufanya uwekezaji.

    • @agreymbwilo5874
      @agreymbwilo5874 ปีที่แล้ว +1

      Boss hiki unachokisema wewe ndio kila mtu anakifanya sasa hakipo sahihi kwasababu matumiz ni mengi kuliko kipato. Sasa ukiwa na uwezo wa kujilipa kabla ya kuwalipa wengine ndio unapojitengenezea nafasi ya kuhama kutoka nafasi moja kwenda nyingine. Me nlisoma hiki kitu kwenye kitabu (The Richman of Babylon) nmefanyia kazi. Niko mahali Pengine kiukweli 🤝

    • @JamesIzra
      @JamesIzra 8 หลายเดือนก่อน

      ​@@agreymbwilo5874kwahiyo umejifunza nn kwenye hicho kitabu

  • @beatricefrankngalubutu1448
    @beatricefrankngalubutu1448 ปีที่แล้ว +3

    Daah huyu jamaa ni noma hongera sana dada irine

  • @iragababien4092
    @iragababien4092 ปีที่แล้ว +2

    Much respect ❤you

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว +3

    Nimekusoma haswa hapa kwenye kujilipa mwenyew barikiwa bro.🙏

  • @andrewshustle1331
    @andrewshustle1331 ปีที่แล้ว +1

    Asante! Kwa madini 💎 🙌

  • @FrolahMsekalile-ql4gu
    @FrolahMsekalile-ql4gu 10 หลายเดือนก่อน

    Mmmmh da Irene sema kweli kwa kipndi hiki mmeshtua sanaaa mentality yang,,,thanks alot I learn something good.

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 ปีที่แล้ว +3

    Nakupenda sana dada Irene kamugisha

  • @boniphacemagese1033
    @boniphacemagese1033 ปีที่แล้ว +6

    Kweli leo namimi naanza

  • @pascalkasandakasela4541
    @pascalkasandakasela4541 ปีที่แล้ว +8

    Huyo ni mwamba kwenye tasnia hiyo

    • @ahmuhally4430
      @ahmuhally4430 ปีที่แล้ว +3

      Sana Namjua sana niliwahi kwenda kwenye semina zake

  • @neemamatanga2093
    @neemamatanga2093 ปีที่แล้ว

    Du,nimejifunza Jambo. Asante.

  • @salehsalim6052
    @salehsalim6052 ปีที่แล้ว +5

    Big up sis Irene ur very confident I like what ur doing 🫶👍

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 6 หลายเดือนก่อน

    Asanten sns nimejifunz vit vin leo

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 ปีที่แล้ว

    Asante Dr kwa mafunzo mazuri

  • @user-ipallangyo
    @user-ipallangyo ปีที่แล้ว +1

    I appreciate your work SNS, 😀

  • @danielgodfrey2449
    @danielgodfrey2449 ปีที่แล้ว +2

    Much respect kwa kipindi hiki

  • @ashamutambo3189
    @ashamutambo3189 ปีที่แล้ว +2

    Mi niko DRC🇨🇩 napataje vitabu hibyo jamani

  • @johneliezeri9786
    @johneliezeri9786 ปีที่แล้ว

    Dr nimekukubali sana

  • @Oye494
    @Oye494 ปีที่แล้ว +2

    Nimeoenda sana iki kipindi nimesoma sana kinanifundisha sana gisi yakutumikisha hera zangu. Kujiripa kwanza.

  • @mdoman9044
    @mdoman9044 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 ปีที่แล้ว +2

    Kwa umri wako vitabu 30 ...Nina mashaka na Experience Yako ...any way😊

  • @samwelchotola8149
    @samwelchotola8149 ปีที่แล้ว +2

    Hutu ni mwalimu wangu mkubwa sana yani karibia vutabu vyake vyote ninavyo najifunza kila siku kutoka kwake

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana 😍

  • @redmioman4371
    @redmioman4371 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mungu awabariki

  • @cocotz1892
    @cocotz1892 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa anafundisha vizuri

  • @elishamghase4559
    @elishamghase4559 3 หลายเดือนก่อน

    Big up sana.

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 ปีที่แล้ว

    Respect kwako mdg wangu 🙏

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 ปีที่แล้ว

    Ahsante Sana.

  • @EnidFisher-p1r
    @EnidFisher-p1r 8 หลายเดือนก่อน

    Make your books audio-more people can utilize/listen even during working hours & easy to revisit @ any environment-gym, office,leisure, travel,etc ! Reading can be impeding at times.🤷🏽‍♀️

  • @Amigotraders1
    @Amigotraders1 ปีที่แล้ว +1

    Nimeangalia Mara mbili mbili hii maana inahamasisha saana

  • @irakozegracia183
    @irakozegracia183 ปีที่แล้ว +1

    Ubalikiwe sana kaka wacha nimtumie mpenzi wangu ajifundishe na yeye

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 10 หลายเดือนก่อน

    Juzi Kati nimeokota laki Tatu yaan nilichokinunua cjakuon yaan ningeingz hat kweny cement inanium Sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢bora ningewek bank

  • @omarmahirizi-km8dc
    @omarmahirizi-km8dc ปีที่แล้ว

    Dada naomba katika hili somo jaribu pia umlete joel nanauka atufundishe hili somo naona joe ni mwalimu mjuzi zaika Ana ufasaha wa kuongea zaidi

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 ปีที่แล้ว

    Ulaya tumewekewa system ya (pension servings) ambayo huwezi kuwithdraw Kwa muda wa miaka Fulani uliyowekewa. Japokuwa tunaishi Kwa credit but hiyo pesa unahakikisha inatolewa automatic .

  • @andrews_kodeson
    @andrews_kodeson ปีที่แล้ว +1

    Jama mbaya sana

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 ปีที่แล้ว

    Having a liability as a means of facilitating deals chasing sio shida..but liability iwe na minimum costs..so kama ni basi gari nunua hybrid car ambayo ina very low running costs kuliko hata bajaj

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay ปีที่แล้ว +2

    Irene sisi ambao tuko nje ya nchi tunaomba namba zake za whatsap

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 ปีที่แล้ว

    Ipo sawa

  • @GilbertNkitoz
    @GilbertNkitoz 4 หลายเดือนก่อน

    Wueh! Sasa mimi napata hiki baada ya mwaka?

  • @habibubinmoss72
    @habibubinmoss72 ปีที่แล้ว +4

    Sema doctr anafeli hana social media

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 ปีที่แล้ว

      Ni Dr wa binadamu?

    • @knowledgetv5594
      @knowledgetv5594 ปีที่แล้ว

      Mtafute TH-cam yupo majina, Dr Makirita Amani.

  • @lucialaurent-nq2zf
    @lucialaurent-nq2zf 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu kaka ni mdogo lkn ana akili sana❤❤

  • @johnchristopher8583
    @johnchristopher8583 ปีที่แล้ว

    Sio mara zote gari linakuwa liability, na sifa ya asset sio kuingiza tu income.

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 ปีที่แล้ว

    Ngoja niskilize kwa makin

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 ปีที่แล้ว +1

    Nimejifunza

  • @BenjaAmosi-i4k
    @BenjaAmosi-i4k ปีที่แล้ว +1

  • @gildasnyaki3812
    @gildasnyaki3812 ปีที่แล้ว

    Daah mkali Sana

  • @stephenmbwana603
    @stephenmbwana603 ปีที่แล้ว +1

    Nikiitaji hicho kitabu nakipataje

  • @kiumbekiumbe4711
    @kiumbekiumbe4711 ปีที่แล้ว +3

    What if you live outside the country how can we get the book 📕?

  • @syprianfrank3283
    @syprianfrank3283 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa yuko vizur lakin anapita kwa rich dad poor dad
    Naisi rich dad poor dad ni kitabu kinachoeleza kila kitu kuhusu fedha

    • @daudmadaha4168
      @daudmadaha4168 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂 rich dad poor dad ndo namalizia kusoma

    • @izobinyoizobinyo
      @izobinyoizobinyo 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂copy

    • @mwasitiiddy1089
      @mwasitiiddy1089 6 หลายเดือนก่อน

      Unakipat wap

  • @annastaziaemmanuel8664
    @annastaziaemmanuel8664 8 หลายเดือนก่อน

    Vitabu vinapatikana wapi?nakihitaji hicho

  • @Happy-tx7p
    @Happy-tx7p ปีที่แล้ว

    Dada napata vip namb yk na mkasa nilitaman nikuambie uweze nitafutia ushaur

  • @mussafoum6562
    @mussafoum6562 ปีที่แล้ว

    Nice one 💯💯💯

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 ปีที่แล้ว +1

    Tatizo hamsem ni wapi tunavipata hata tuliopo mikoani

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha ปีที่แล้ว

      Ametoa namba yake unaweza kumcheki

  • @marrykamera611
    @marrykamera611 ปีที่แล้ว

    Me binafs nimekuelewa sana

  • @cosmaslunyembeleka251
    @cosmaslunyembeleka251 ปีที่แล้ว

    Vitabu vinapatikana wapi

  • @victorwilliam9987
    @victorwilliam9987 ปีที่แล้ว +1

    nina uhakika asilimia 100 huyu jamaa ni mchaga😄
    anyway nitawarudia kucoment baaada ha mwaka mmoja.

  • @belindalowasa2819
    @belindalowasa2819 ปีที่แล้ว +1

    ❤❤❤❤😊😊🎉

  • @adolphmarimbo7731
    @adolphmarimbo7731 ปีที่แล้ว

    Vitabu tutapata wapi

  • @RayMakini
    @RayMakini 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @rahaytv26
    @rahaytv26 6 หลายเดือนก่อน

    🎉🎉🎉

  • @alexjustin2788
    @alexjustin2788 ปีที่แล้ว

    mangi nimekukubali.

  • @susans4490
    @susans4490 ปีที่แล้ว

    Huyu Dr. Serious kidogo utani na kucheka sana

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 ปีที่แล้ว +3

    sasa kama Gari ni liability kwa maana ya kuwa ukishainunua inatumia pesa na haingizi pesa yeyote. sasa kwa mtiririko huo wa kufikiria, swali ni je, watoto pia ni Liability?

    • @GUSAMEDIA
      @GUSAMEDIA ปีที่แล้ว +1

      Liability sio kitu kibaya

    • @GUSAMEDIA
      @GUSAMEDIA ปีที่แล้ว +2

      Kuna liability za kuepuka na kuna ambazo haziepukiki

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 ปีที่แล้ว +1

      @@GUSAMEDIA wow 👌 👏

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme ปีที่แล้ว

      NDIO

    • @knowledgetv5594
      @knowledgetv5594 ปีที่แล้ว +1

      Liability ni chochote kisichokuzalishia faida. Kama una gari na unalitumia kwenda kazini na linasave pesa ambayo ungeilipa kwenye daladala nk, lakini pia, unakuwa kama ni usafili wako wa haraka kukufanya kuwahi kutimiza majukumu yako.
      Liability kwa Gari ni ile hali ya kutumia gari kwa starehe binafsi zisizo na faida yoyote ile.

  • @allybakari7888
    @allybakari7888 ปีที่แล้ว

    aisee umeuliza swali zuli saana

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 ปีที่แล้ว +1

    Tunawezaje kupata hivyo vitabu

  • @Oye494
    @Oye494 ปีที่แล้ว

    Jina Kamugisha ina origine ya Rwanda. Sasa nimetaka kujuwa kama Kamugusha iko na origine Rwandaise ao?

  • @lillianapondi2175
    @lillianapondi2175 ปีที่แล้ว

    I have a question,
    What is I want to buy a piece of land and I don't have money. Is it ok if I take a loan to buy a land

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha ปีที่แล้ว

      How long it will take for the land to appreciate in value, matters when making such a decision

  • @zaharamwaruka3138
    @zaharamwaruka3138 ปีที่แล้ว

    Mimi binafsi naomba no ya Makita nafeli kila cku biashara zinakufa

  • @lucyjeremia1381
    @lucyjeremia1381 ปีที่แล้ว +1

    vitabu tunavipataje jmn

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha ปีที่แล้ว

      Ukisikiliza kipindi mpaka mwisho, alitaja namba!

  • @mwasitiiddy1089
    @mwasitiiddy1089 6 หลายเดือนก่อน

    Vitab tunatoa wap

  • @ADMIN-yo7wu
    @ADMIN-yo7wu ปีที่แล้ว +1

    Irene asante sana kwa kumleta mtu huyu, kwa sababu ana vitu vingi sana, sisi tuliyosoma vitabu vyake tuna ushuuda mzuri zaidi,
    Ombi langu, ukipata nafasi muite kwenye fix you mtu mmoja anaitwa Joel Nanauka, naye ana maajabu yake kwenye angle hiyo ya masomo ya maisha.

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 ปีที่แล้ว

    Vitabu vinapatikn wap

  • @izack9191
    @izack9191 ปีที่แล้ว

    Kwanza anajiusisha na biashara gani na anapesa ngapi kwa account yake

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 ปีที่แล้ว +1

      Hata kama huoni, je husikii?

    • @estermahenge5972
      @estermahenge5972 ปีที่แล้ว

      @@elimidakashumba2422 atakua ana vyote 😄😄😄

    • @AshaAljasry
      @AshaAljasry 8 หลายเดือนก่อน

      Mm niko Omn, wapi ntapata hivyo vitabu?

  • @Bob-kz2ql
    @Bob-kz2ql ปีที่แล้ว

    Wap muongozo wa bilionaire😂😂😂😂😂😂 dah ni njia ya kutengeneza pesa tu maana yy ni muandishi ila utajiri ni nidhamu yako kwa ujumla kuanzia ndani na nje…huyo dokta kwan ni billionaire😂😂 mamae

  • @abdulazizbrek4980
    @abdulazizbrek4980 ปีที่แล้ว

    Uyu jamaa yake you tube channel inaitwa?

    • @irenekamugisha
      @irenekamugisha ปีที่แล้ว

      Hana TH-cam channel

    • @knowledgetv5594
      @knowledgetv5594 ปีที่แล้ว

      Anayo TH-cam chanel yake, mtafute ni mtaalamu mno.
      Jina analotumia TH-cam ni,
      Dr Makirita Amani.

    • @abdulazizbrek4980
      @abdulazizbrek4980 ปีที่แล้ว +1

      @@knowledgetv5594 poa shukran

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme ปีที่แล้ว +1

    Asante sana

    • @belinakabunduguru
      @belinakabunduguru ปีที่แล้ว +1

      Dada Iren huyu coach tunaweza kupataje namba yake ya wasap

  • @redmioman4371
    @redmioman4371 ปีที่แล้ว

    Jamani mungu awabariki

  • @salehsalim6052
    @salehsalim6052 ปีที่แล้ว

    Big up sis Irene ur very confident I like what ur doing 🫶👍