Thanks god huu umekuwa mwaka wangu wa kutaka kaubadilika na nimekutana na hii interview nimejifunza mengi na nimesikilza za Joel nanauka kazi ipo kwangu maarifa ninayo ya kutosha. IRENE MUNGU AKUBARIKI
Kuna fix costs ambazo hizo lazima ziwepo.1.Fungu la kumi 2. Umeme 3.Maji.4.Chakula 5.Usafiri wa kwenda kwenye shughuli zako.6.Nauli ya watoto kwenda shule.7.Kama wazazi wapo hai kiasi fulani.7. Ada za watoto.8.Matumizi ya simu kwa gharama ya chini.8.Kinachobaki ndio ujilipe na kufanya uwekezaji.
Boss hiki unachokisema wewe ndio kila mtu anakifanya sasa hakipo sahihi kwasababu matumiz ni mengi kuliko kipato. Sasa ukiwa na uwezo wa kujilipa kabla ya kuwalipa wengine ndio unapojitengenezea nafasi ya kuhama kutoka nafasi moja kwenda nyingine. Me nlisoma hiki kitu kwenye kitabu (The Richman of Babylon) nmefanyia kazi. Niko mahali Pengine kiukweli 🤝
Make your books audio-more people can utilize/listen even during working hours & easy to revisit @ any environment-gym, office,leisure, travel,etc ! Reading can be impeding at times.🤷🏽♀️
Ulaya tumewekewa system ya (pension servings) ambayo huwezi kuwithdraw Kwa muda wa miaka Fulani uliyowekewa. Japokuwa tunaishi Kwa credit but hiyo pesa unahakikisha inatolewa automatic .
Having a liability as a means of facilitating deals chasing sio shida..but liability iwe na minimum costs..so kama ni basi gari nunua hybrid car ambayo ina very low running costs kuliko hata bajaj
sasa kama Gari ni liability kwa maana ya kuwa ukishainunua inatumia pesa na haingizi pesa yeyote. sasa kwa mtiririko huo wa kufikiria, swali ni je, watoto pia ni Liability?
Liability ni chochote kisichokuzalishia faida. Kama una gari na unalitumia kwenda kazini na linasave pesa ambayo ungeilipa kwenye daladala nk, lakini pia, unakuwa kama ni usafili wako wa haraka kukufanya kuwahi kutimiza majukumu yako. Liability kwa Gari ni ile hali ya kutumia gari kwa starehe binafsi zisizo na faida yoyote ile.
Irene asante sana kwa kumleta mtu huyu, kwa sababu ana vitu vingi sana, sisi tuliyosoma vitabu vyake tuna ushuuda mzuri zaidi, Ombi langu, ukipata nafasi muite kwenye fix you mtu mmoja anaitwa Joel Nanauka, naye ana maajabu yake kwenye angle hiyo ya masomo ya maisha.
Wap muongozo wa bilionaire😂😂😂😂😂😂 dah ni njia ya kutengeneza pesa tu maana yy ni muandishi ila utajiri ni nidhamu yako kwa ujumla kuanzia ndani na nje…huyo dokta kwan ni billionaire😂😂 mamae
Hongera sana Makrita wewe ni SHUJAA wangu wa NGUVU ni mtu mhimu sana Tanzania 🇹🇿
Aiseeh!! I had to remain at work so I can finish this episode. Much respect to our Coach
Acha ubahili wwe sema ulikuwa unatumia wifi ya bure ndo maana ukwenda hom ili usitumie bando lako!..
Binafsi mimi umenisaidia sana kubadilisha maisha yangu,toka zamani tupo pamoja.#coachmakrita
Waoo hakika nimepata kitu kutoka kwa Dr. mada tam sana Irene ikikupendeza mrudishe tena 😉❤
Thanks god huu umekuwa mwaka wangu wa kutaka kaubadilika na nimekutana na hii interview nimejifunza mengi na nimesikilza za Joel nanauka kazi ipo kwangu maarifa ninayo ya kutosha. IRENE MUNGU AKUBARIKI
Asante sana Irene....kweli unatupatia vitu adim sana...hasa leo yani elim niliyoipata hadi nimejishangaaa mwenyewe daaa asante aseee🙌🙌🙌🙌
Asante Sana kwa elimu sns! Mungu awabariki Sana!
Duhh nimejifunza vitu vingi 🙏 thanks kaka
This is nice interview, Hii elimu vijana wengi sana wanahitaji
Doctor asante mi nina tabia nikiweka hela kwenye kibubu lazima ni bomoe lakin huu mwaka Mungu anisaidie
Hhhh
Ahsante sana kwa elimu bora kabisa
Kuna fix costs ambazo hizo lazima ziwepo.1.Fungu la kumi 2. Umeme 3.Maji.4.Chakula 5.Usafiri wa kwenda kwenye shughuli zako.6.Nauli ya watoto kwenda shule.7.Kama wazazi wapo hai kiasi fulani.7. Ada za watoto.8.Matumizi ya simu kwa gharama ya chini.8.Kinachobaki ndio ujilipe na kufanya uwekezaji.
Boss hiki unachokisema wewe ndio kila mtu anakifanya sasa hakipo sahihi kwasababu matumiz ni mengi kuliko kipato. Sasa ukiwa na uwezo wa kujilipa kabla ya kuwalipa wengine ndio unapojitengenezea nafasi ya kuhama kutoka nafasi moja kwenda nyingine. Me nlisoma hiki kitu kwenye kitabu (The Richman of Babylon) nmefanyia kazi. Niko mahali Pengine kiukweli 🤝
@@agreymbwilo5874kwahiyo umejifunza nn kwenye hicho kitabu
Daah huyu jamaa ni noma hongera sana dada irine
Much respect ❤you
Nimekusoma haswa hapa kwenye kujilipa mwenyew barikiwa bro.🙏
Asante! Kwa madini 💎 🙌
Mmmmh da Irene sema kweli kwa kipndi hiki mmeshtua sanaaa mentality yang,,,thanks alot I learn something good.
Nakupenda sana dada Irene kamugisha
Kweli leo namimi naanza
Huyo ni mwamba kwenye tasnia hiyo
Sana Namjua sana niliwahi kwenda kwenye semina zake
Du,nimejifunza Jambo. Asante.
Big up sis Irene ur very confident I like what ur doing 🫶👍
Thanks🙏
Asanten sns nimejifunz vit vin leo
Asante Dr kwa mafunzo mazuri
I appreciate your work SNS, 😀
Much respect kwa kipindi hiki
Mi niko DRC🇨🇩 napataje vitabu hibyo jamani
Dr nimekukubali sana
Nimeoenda sana iki kipindi nimesoma sana kinanifundisha sana gisi yakutumikisha hera zangu. Kujiripa kwanza.
Asante sana
Kwa umri wako vitabu 30 ...Nina mashaka na Experience Yako ...any way😊
Hutu ni mwalimu wangu mkubwa sana yani karibia vutabu vyake vyote ninavyo najifunza kila siku kutoka kwake
Asante sana 😍
Jamani mungu awabariki
Nimependa anafundisha vizuri
Big up sana.
Respect kwako mdg wangu 🙏
Ahsante Sana.
Make your books audio-more people can utilize/listen even during working hours & easy to revisit @ any environment-gym, office,leisure, travel,etc ! Reading can be impeding at times.🤷🏽♀️
Nimeangalia Mara mbili mbili hii maana inahamasisha saana
Ubalikiwe sana kaka wacha nimtumie mpenzi wangu ajifundishe na yeye
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Juzi Kati nimeokota laki Tatu yaan nilichokinunua cjakuon yaan ningeingz hat kweny cement inanium Sana 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢bora ningewek bank
Dada naomba katika hili somo jaribu pia umlete joel nanauka atufundishe hili somo naona joe ni mwalimu mjuzi zaika Ana ufasaha wa kuongea zaidi
Ulaya tumewekewa system ya (pension servings) ambayo huwezi kuwithdraw Kwa muda wa miaka Fulani uliyowekewa. Japokuwa tunaishi Kwa credit but hiyo pesa unahakikisha inatolewa automatic .
Jama mbaya sana
Having a liability as a means of facilitating deals chasing sio shida..but liability iwe na minimum costs..so kama ni basi gari nunua hybrid car ambayo ina very low running costs kuliko hata bajaj
Irene sisi ambao tuko nje ya nchi tunaomba namba zake za whatsap
Ipo sawa
Wueh! Sasa mimi napata hiki baada ya mwaka?
Sema doctr anafeli hana social media
Ni Dr wa binadamu?
Mtafute TH-cam yupo majina, Dr Makirita Amani.
Huyu kaka ni mdogo lkn ana akili sana❤❤
Sio mara zote gari linakuwa liability, na sifa ya asset sio kuingiza tu income.
Ngoja niskilize kwa makin
Nimejifunza
❤
Daah mkali Sana
Nikiitaji hicho kitabu nakipataje
What if you live outside the country how can we get the book 📕?
Good question.
Jamaa yuko vizur lakin anapita kwa rich dad poor dad
Naisi rich dad poor dad ni kitabu kinachoeleza kila kitu kuhusu fedha
😂😂😂😂😂 rich dad poor dad ndo namalizia kusoma
😂😂copy
Unakipat wap
Vitabu vinapatikana wapi?nakihitaji hicho
Dada napata vip namb yk na mkasa nilitaman nikuambie uweze nitafutia ushaur
Nice one 💯💯💯
Tatizo hamsem ni wapi tunavipata hata tuliopo mikoani
Ametoa namba yake unaweza kumcheki
Me binafs nimekuelewa sana
Vitabu vinapatikana wapi
nina uhakika asilimia 100 huyu jamaa ni mchaga😄
anyway nitawarudia kucoment baaada ha mwaka mmoja.
❤❤❤❤😊😊🎉
Vitabu tutapata wapi
❤❤❤❤
🎉🎉🎉
mangi nimekukubali.
Huyu Dr. Serious kidogo utani na kucheka sana
sasa kama Gari ni liability kwa maana ya kuwa ukishainunua inatumia pesa na haingizi pesa yeyote. sasa kwa mtiririko huo wa kufikiria, swali ni je, watoto pia ni Liability?
Liability sio kitu kibaya
Kuna liability za kuepuka na kuna ambazo haziepukiki
@@GUSAMEDIA wow 👌 👏
NDIO
Liability ni chochote kisichokuzalishia faida. Kama una gari na unalitumia kwenda kazini na linasave pesa ambayo ungeilipa kwenye daladala nk, lakini pia, unakuwa kama ni usafili wako wa haraka kukufanya kuwahi kutimiza majukumu yako.
Liability kwa Gari ni ile hali ya kutumia gari kwa starehe binafsi zisizo na faida yoyote ile.
aisee umeuliza swali zuli saana
Tunawezaje kupata hivyo vitabu
Mwishoni alitaja namba yake
Jina Kamugisha ina origine ya Rwanda. Sasa nimetaka kujuwa kama Kamugusha iko na origine Rwandaise ao?
I have a question,
What is I want to buy a piece of land and I don't have money. Is it ok if I take a loan to buy a land
How long it will take for the land to appreciate in value, matters when making such a decision
Mimi binafsi naomba no ya Makita nafeli kila cku biashara zinakufa
vitabu tunavipataje jmn
Ukisikiliza kipindi mpaka mwisho, alitaja namba!
Vitab tunatoa wap
Irene asante sana kwa kumleta mtu huyu, kwa sababu ana vitu vingi sana, sisi tuliyosoma vitabu vyake tuna ushuuda mzuri zaidi,
Ombi langu, ukipata nafasi muite kwenye fix you mtu mmoja anaitwa Joel Nanauka, naye ana maajabu yake kwenye angle hiyo ya masomo ya maisha.
Nitafanya hivyo
Vitabu vinapatikn wap
Kwanza anajiusisha na biashara gani na anapesa ngapi kwa account yake
Hata kama huoni, je husikii?
@@elimidakashumba2422 atakua ana vyote 😄😄😄
Mm niko Omn, wapi ntapata hivyo vitabu?
Wap muongozo wa bilionaire😂😂😂😂😂😂 dah ni njia ya kutengeneza pesa tu maana yy ni muandishi ila utajiri ni nidhamu yako kwa ujumla kuanzia ndani na nje…huyo dokta kwan ni billionaire😂😂 mamae
Uyu jamaa yake you tube channel inaitwa?
Hana TH-cam channel
Anayo TH-cam chanel yake, mtafute ni mtaalamu mno.
Jina analotumia TH-cam ni,
Dr Makirita Amani.
@@knowledgetv5594 poa shukran
Asante sana
Dada Iren huyu coach tunaweza kupataje namba yake ya wasap
Jamani mungu awabariki
Big up sis Irene ur very confident I like what ur doing 🫶👍