Mambo Yakuzingatia Ili Ufikie Uhuru Wa Kifedha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ธ.ค. 2022
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

ความคิดเห็น • 62

  • @godzidendera3027
    @godzidendera3027 ปีที่แล้ว +6

    Kama unamkubali Huyu mwandisi na unapenda mafundisho yake kama mimi gonga like hapa ❤❤❤❤

  • @frankharrison2984
    @frankharrison2984 ปีที่แล้ว +13

    Asant sana JOELY kupitia mafunzo yako nimekuwa siliasi Sana na ktk kupambana na umaskini nilipoanza kukufuatilia TU nikaanza kufanyia kazi mafunzo yako nilianza na elfu 15 adi Sasa Nina sh milioni 45 ndani ya miaka minne mungu akupe maisha marefu JOELY🙏

  • @issakatety3535
    @issakatety3535 ปีที่แล้ว +5

    Umeniongezea nguvu kwenye uwekaji wa akiba👏👏

  • @paulouma3958
    @paulouma3958 ปีที่แล้ว

    Number two brother

  • @user-os9nb8ub6k
    @user-os9nb8ub6k ปีที่แล้ว +1

    Asante sana kaka

  • @beatricemwita4380
    @beatricemwita4380 ปีที่แล้ว +4

    Kwenye kuzalisha, hapo nimeanza ila nahitaji maarifa na nguvu zaidi, kwa sasa nimeweza kuzalisha 250000 nje ya mshahara na allowance za kazini, kwa mwezi malengo yangu mpk December 2023 niwe nazalisha milioni 2 na nusu kwa mwezi nje ya mshahara na allowance za kazini,na Imani nitafanikiwa kwa uwezo wa Mungu nikiongeza maarifa muhimu na bidii zaidi

  • @marcngalo1271
    @marcngalo1271 หลายเดือนก่อน +1

    Amazing Asante Joel

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 ปีที่แล้ว +2

    Asante sana my brother from another mother

  • @zaburonsamwel4899
    @zaburonsamwel4899 6 หลายเดือนก่อน +1

    Thanks for this unique education 👏

  • @jamalhassan8000
    @jamalhassan8000 ปีที่แล้ว +1

    Ubalikiwe sana kaka unatufunza menge sana kuhus uchumi wetu

  • @marcopeter4091
    @marcopeter4091 ปีที่แล้ว

    Shukran mno

  • @aloyceakilumanga2649
    @aloyceakilumanga2649 ปีที่แล้ว

    Asantee sana Joel tatizo langu bajeti yangu mbayaaaaa sanaaa,natakiwa Sasa kuanza kubadilika

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 ปีที่แล้ว +1

    Mungu akulinde sana mbo mazuri sana

  • @franciscamoshi7671
    @franciscamoshi7671 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie uwezo ulionao ili uzidi kutuelimisha.Asante.ubarikiwe.

  • @emmanuelmakindi4409
    @emmanuelmakindi4409 ปีที่แล้ว +2

    Mimi napenda sana content zako, Leo nimewahi kuangalia video within a time aploaded

  • @hamisilaini739
    @hamisilaini739 ปีที่แล้ว

    eneo la uwekezaji

  • @erickathanas
    @erickathanas ปีที่แล้ว

    Asante bro Joel maana hapa tutaweza kutunza pesa zetu vzr

  • @athumaniabdallah6811
    @athumaniabdallah6811 ปีที่แล้ว +3

    Kwenye matumizi hapo nahitaji kuweka mkazo zaidi naingiza 5000/= natumia 7000/= kuna shida mahali

  • @ramadmikina1014
    @ramadmikina1014 ปีที่แล้ว

    Kwa kwel tunanufaika sana
    Ubarkiwe sana

  • @japhetjohn5697
    @japhetjohn5697 ปีที่แล้ว

    That is so Great,I Catch you,Mwl,Joel Nanauka,Bigg thanks 🙏

  • @uiavajiwgav5441
    @uiavajiwgav5441 ปีที่แล้ว

    Welove you so much wesh your long life 💘🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe sana kaka angu 😘🙌

  • @gracekomba968
    @gracekomba968 ปีที่แล้ว

    Asante sana kaka natamani kujiunga na makundi Yako ya kujifunza zaidi

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 ปีที่แล้ว

    Asante sana Nanauka

  • @joramjaphet2740
    @joramjaphet2740 ปีที่แล้ว

    Big up,see u at the top

  • @geofreymwaitalako9362
    @geofreymwaitalako9362 ปีที่แล้ว +1

    Imetulia sana mm hapo earning skills yangu inabidi niongeze nguvu zaidi

  • @salumkhamis8435
    @salumkhamis8435 ปีที่แล้ว

    Asnte sana kwa kutuelimisha

  • @juliawnjeri5913
    @juliawnjeri5913 ปีที่แล้ว

    Wow thankyou 💓

  • @johnabich2399
    @johnabich2399 ปีที่แล้ว

    Thanks so much kaka mkubwa
    Imenifungua sana 👍

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว

    Amina

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 7 หลายเดือนก่อน

    shukrani kaka kwa elimu❤

  • @daudkanyelele2017
    @daudkanyelele2017 ปีที่แล้ว

    Hapo ndio nakupata joel

  • @njoroboihustla125
    @njoroboihustla125 ปีที่แล้ว

    MONEY💰 FORMULA🎱📌

  • @japhetjohn5697
    @japhetjohn5697 ปีที่แล้ว

    Eneo la Mkazo Zaidi ni UTUNZAJI FEDHA .

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว

    Ahsante sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 ปีที่แล้ว

    Asante sana

  • @samwelisaid8363
    @samwelisaid8363 ปีที่แล้ว

    🙌🙌🙌

  • @mosescharles1921
    @mosescharles1921 ปีที่แล้ว

    Bajet natumia pesa viabya

  • @epimackalfred286
    @epimackalfred286 ปีที่แล้ว

    Brooo Joel video zako zimekuwa zikinipa motivation sana kwenye maisha yangu ya Kila siku ivi soon ntakuja na ushuhudaa

    • @rithamalisa4636
      @rithamalisa4636 ปีที่แล้ว

      Kazi nzuri sana bro joel Hap kwenye bima natakiwa nichukue hatau haraka san kwa kwelii

    • @rashidisaidi8535
      @rashidisaidi8535 10 หลายเดือนก่อน

      Naomba namba

  • @emanuelmanasekimaro
    @emanuelmanasekimaro ปีที่แล้ว

    See you at the top.

  • @ommynous8271
    @ommynous8271 ปีที่แล้ว

    B I M A ....

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 ปีที่แล้ว +1

    BIMA KITU MUHIMU SANA 🙌

  • @chrismassawe2939
    @chrismassawe2939 ปีที่แล้ว

    Shukrani sana Mwalimu Joel Nnauka kwa maarifa yenye faida tunayopata kutoka kwako

  • @iizalaw6674
    @iizalaw6674 ปีที่แล้ว

    Kaka Joel ..sasa ukiwa na bima na usipopata tatizo inakuaje??

  • @ShijaMakubi-rk6tw
    @ShijaMakubi-rk6tw 3 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi mimi nauliza kwann Watu wanabaki kuwa maskini hili linasababishwa n'a mfumo wanchi au ni Watu wenyewe.

  • @JohnGregory-im2ze
    @JohnGregory-im2ze ปีที่แล้ว

    Kaka naomba namba yako ya wasp

  • @hildamushashu5056
    @hildamushashu5056 4 หลายเดือนก่อน

    9:00 kwenye uwekezaji

  • @claudjohn
    @claudjohn 26 วันที่ผ่านมา

    Naomba msahada wa namna ya kuweka akiba bila kuigusa hela ya akiba

  • @sixtussperatus711
    @sixtussperatus711 ปีที่แล้ว

    Mimi apo kwenye akiba kaka nime feli kutunza

  • @moseskenedy7042
    @moseskenedy7042 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako

  • @Alama_Tv_online
    @Alama_Tv_online ปีที่แล้ว

    Pole kwa mafua kaka. Somo zuri

  • @jeremiahmussa2178
    @jeremiahmussa2178 ปีที่แล้ว +2

    hapo kwenye matumizi ndo tatizo kwangu nikipata ela natumia pakubwa sana. Kuliko kuweka akiba