Asant sana JOELY kupitia mafunzo yako nimekuwa siliasi Sana na ktk kupambana na umaskini nilipoanza kukufuatilia TU nikaanza kufanyia kazi mafunzo yako nilianza na elfu 15 adi Sasa Nina sh milioni 45 ndani ya miaka minne mungu akupe maisha marefu JOELY🙏
Kwenye kuzalisha, hapo nimeanza ila nahitaji maarifa na nguvu zaidi, kwa sasa nimeweza kuzalisha 250000 nje ya mshahara na allowance za kazini, kwa mwezi malengo yangu mpk December 2023 niwe nazalisha milioni 2 na nusu kwa mwezi nje ya mshahara na allowance za kazini,na Imani nitafanikiwa kwa uwezo wa Mungu nikiongeza maarifa muhimu na bidii zaidi
Kama unamkubali Huyu mwandisi na unapenda mafundisho yake kama mimi gonga like hapa ❤❤❤❤
Asant sana JOELY kupitia mafunzo yako nimekuwa siliasi Sana na ktk kupambana na umaskini nilipoanza kukufuatilia TU nikaanza kufanyia kazi mafunzo yako nilianza na elfu 15 adi Sasa Nina sh milioni 45 ndani ya miaka minne mungu akupe maisha marefu JOELY🙏
Kaka umetishaa saanaa miaka minne 45M inabidi niishi nayo hii ndani ya hyo miaka minne nione italuwajee
Bravo
Come on
Hongera ndugu.
Umeniongezea nguvu kwenye uwekaji wa akiba👏👏
Number two brother
Asante sana kaka
Kwenye kuzalisha, hapo nimeanza ila nahitaji maarifa na nguvu zaidi, kwa sasa nimeweza kuzalisha 250000 nje ya mshahara na allowance za kazini, kwa mwezi malengo yangu mpk December 2023 niwe nazalisha milioni 2 na nusu kwa mwezi nje ya mshahara na allowance za kazini,na Imani nitafanikiwa kwa uwezo wa Mungu nikiongeza maarifa muhimu na bidii zaidi
Ameeern
Amazing Asante Joel
Asante sana my brother from another mother
Thanks for this unique education 👏
Ubalikiwe sana kaka unatufunza menge sana kuhus uchumi wetu
Shukran mno
Asantee sana Joel tatizo langu bajeti yangu mbayaaaaa sanaaa,natakiwa Sasa kuanza kubadilika
Mungu akulinde sana mbo mazuri sana
Mungu akuzidishie uwezo ulionao ili uzidi kutuelimisha.Asante.ubarikiwe.
Mimi napenda sana content zako, Leo nimewahi kuangalia video within a time aploaded
eneo la uwekezaji
Asante bro Joel maana hapa tutaweza kutunza pesa zetu vzr
Kwenye matumizi hapo nahitaji kuweka mkazo zaidi naingiza 5000/= natumia 7000/= kuna shida mahali
Kwa kwel tunanufaika sana
Ubarkiwe sana
That is so Great,I Catch you,Mwl,Joel Nanauka,Bigg thanks 🙏
Welove you so much wesh your long life 💘🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Ubarikiwe sana kaka angu 😘🙌
Asante sana kaka natamani kujiunga na makundi Yako ya kujifunza zaidi
Asante sana Nanauka
Big up,see u at the top
Imetulia sana mm hapo earning skills yangu inabidi niongeze nguvu zaidi
Asnte sana kwa kutuelimisha
Wow thankyou 💓
Thanks so much kaka mkubwa
Imenifungua sana 👍
Amina
shukrani kaka kwa elimu❤
Hapo ndio nakupata joel
MONEY💰 FORMULA🎱📌
Eneo la Mkazo Zaidi ni UTUNZAJI FEDHA .
Ahsante sana
Asante sana
🙌🙌🙌
Bajet natumia pesa viabya
Brooo Joel video zako zimekuwa zikinipa motivation sana kwenye maisha yangu ya Kila siku ivi soon ntakuja na ushuhudaa
Kazi nzuri sana bro joel Hap kwenye bima natakiwa nichukue hatau haraka san kwa kwelii
Naomba namba
See you at the top.
B I M A ....
BIMA KITU MUHIMU SANA 🙌
Wafanya biashra t.
Shukrani sana Mwalimu Joel Nnauka kwa maarifa yenye faida tunayopata kutoka kwako
Kaka Joel ..sasa ukiwa na bima na usipopata tatizo inakuaje??
Kiongozi mimi nauliza kwann Watu wanabaki kuwa maskini hili linasababishwa n'a mfumo wanchi au ni Watu wenyewe.
Kaka naomba namba yako ya wasp
9:00 kwenye uwekezaji
Naomba msahada wa namna ya kuweka akiba bila kuigusa hela ya akiba
Mimi apo kwenye akiba kaka nime feli kutunza
Naomba namba yako
Pole kwa mafua kaka. Somo zuri
Nimeelimika sana kaka
hapo kwenye matumizi ndo tatizo kwangu nikipata ela natumia pakubwa sana. Kuliko kuweka akiba
Kuweka akiba ni issue sana Kwa wengi