Yaani kwa maoni yenu na mtazamo wenu mnaamini kwamba ndani ya Chadema mpaka leo bado hamjapata mtu jasiri wa kushika wadhifa wa M/Kiti wa chama kumshinda Mbowe na kwa hivyo kumfanya Mbowe kua M/Kiti wa maisha asie na ukomo, nyinyi watu wa ajabu sana. Lakini kichekesho nikwamba ndani ya Chadema mnaamini mnaweza mkapata Mtu akachaguliwa kua Rais wa Tanzania, mkapata wabunge na mawaziri na mkaunda serikali. Watu majasiri wa namna hiyo mnaamini mnao wa kutosha lakini hamana tu mtu zaidi ya Mbowe afaae kua M/kIti wa Chama. Mnafurahisha sana
Opposition is not ruling part change leadership into opposition is to killing opposition because we are on hard time same of opposition can take money and kiling political party so freeman mbowe and tundundulisu are ok on they position because they are sacrifice politician into lmotion so no need ccm force chadema change nation cherman of chadema and his voice national cherman of chadema even this business of province election is not good adier to opposition although we get to know new ganeretion politician apier on pablic gethering that also this yang politician is bright into opposition can creat lmotion into Tanzania pablic kwahiyo freeman angebaki ktk nafasi yake lakini uraisi tumpe tundundulisu sababu tundundulisu ni mtuu jasiri sana anaelewa sheria vizuri Sana mbowe anaweza kuwaonea huruma ccm wakati nchi inaitaji sheria iendeshe nchi tundundulisu nguvu hiyo anayo raisi tundundulisu makamo wake freeman mbowe
Umeongea vema Mr. Slaa. Mbona wamekazana sana na Mr. Mbowe??!!!. Tatizo la Watanzania hatuongei mambo muhimu ya maendeleo ya nchi yetu. Badala yake tunaongelea watu. Je Mr. Mbowe akiachia hicho cheo chake CHADEMA, matatizo ya Tanzania yatapungua?!
Kwa hiyo Mbowe mmpaka afe ndio apatikane kiongozi mungine hivi hi imekaa vizuri kweli watanzania wote Hawa kwa Mtazamo wa chadema hakuna mwenye uwezo wa Mbowe au kumzidi hata wewe Dr Slaa unakili Hilo Tena unawaita hao watu Maadui na mnajipambanua chama chenu ni chama Cha Democrasia kwa Maneno hayo na kwa Mtazamo huo huo mkingia Madarakani nyie hayo mnayoyafanya na kuyasema ndio mtakayo tutendea Leo hamna hata mgambo hivyo mkipata na mjeshi!!!? Nyie Daaah nimeamini kweli Mbowe chadema ndio mmiliki
Hizo habari za ukomo au kubadilisha viongozi kila baada ya awamu ni sera zinazoletwa na mataifa makubwa ni si maana halisi ya Demokrasia. Mfano Word Bank wana misingi yao ya kukidhi Demokrasia na vivyo hivyo other donor countries . Hivyo ukomo si kigezo inategemea ni mtazamo wa watu gani.
Mim nimezaliwa kuwafunza watu Kama nyie iko hivi Dk Silaa anachomanisha kuwa wao waliondoa ni ule ukomo wa mda wa uongozi kitu walichosema ni kwamba kipindi walikuwa wameweka ukomo kuna baadhi ya viongoz walikua wanamaliza mda wauongozi wanakosekana watu wa kugombea kwa sababu kwanza watu wanaogopa kubeba uongoz kwenye chama cha upinzani na Ukizingatia mtu alietoka yaweza kua ameongoza vizul tu ila kigezo cha mda ndo kimemuondoa ila sio eti wamemuachia aongoze milele hapana ndomana kila bada ya miaka mitano Mbowe amekua akigombea na watu ila uwa anawashinda na ukiona hivyo ujue bado anakubalika kwenye achama
Mbowe nakuomba chonde chonde utuongoza mpaka kiama na usibadilishwe hata siku moja pamoja na msikosuko ya gerezani lakn wewe ndo kwanza kumekucha anawalalua vikali .sisi tumekwamia mpaka kiama, mpaka Lyamba,
Huyu Mzee Toka nimjue amekua kigeugeu sana Sasa kama kiongozi wa chama Hana ukomo hayo mageuzi mnayataka ya nini huku ni kuwakuwa danganya tu watanza watanzania basi badili Hilo jina lisiwe la chama Cha demokrasia
Ukomo kwa kiongozi asie na madalaka ya nchi kama raisi makamu wa raisi usiwepo chadema itakufa siku ikiamgukia kwa akina msigwa na wenzake wenye mawazo ya chochote
Hapo ndio utaona Mtu Kama huyu akiwa raisi atabadirisha katiba akae milele huyu kamaa kabisa kwa misngi hiyo huyu slaaa inaonyesha anamuogopa huyu jamaa kumwambia I kweli ndio maana anajingatangata
CHAMA CHA KIFAMILIA HICHO
Yaani kwa maoni yenu na mtazamo wenu mnaamini kwamba ndani ya Chadema mpaka leo bado hamjapata mtu jasiri wa kushika wadhifa wa M/Kiti wa chama kumshinda Mbowe na kwa hivyo kumfanya Mbowe kua M/Kiti wa maisha asie na ukomo, nyinyi watu wa ajabu sana. Lakini kichekesho nikwamba ndani ya Chadema mnaamini mnaweza mkapata Mtu akachaguliwa kua Rais wa Tanzania, mkapata wabunge na mawaziri na mkaunda serikali. Watu majasiri wa namna hiyo mnaamini mnao wa kutosha lakini hamana tu mtu zaidi ya Mbowe afaae kua M/kIti wa Chama. Mnafurahisha sana
Chama cha familia hicho nyie wengine ni wapambe tu
Wanataka chama kife
chama cha upinzani siyo chama kinachoongoza hadi kishike madaraka ndiyo wanaondoa ukomo
Opposition is not ruling part change leadership into opposition is to killing opposition because we are on hard time same of opposition can take money and kiling political party so freeman mbowe and tundundulisu are ok on they position because they are sacrifice politician into lmotion so no need ccm force chadema change nation cherman of chadema and his voice national cherman of chadema even this business of province election is not good adier to opposition although we get to know new ganeretion politician apier on pablic gethering that also this yang politician is bright into opposition can creat lmotion into Tanzania pablic kwahiyo freeman angebaki ktk nafasi yake lakini uraisi tumpe tundundulisu sababu tundundulisu ni mtuu jasiri sana anaelewa sheria vizuri Sana mbowe anaweza kuwaonea huruma ccm wakati nchi inaitaji sheria iendeshe nchi tundundulisu nguvu hiyo anayo raisi tundundulisu makamo wake freeman mbowe
Kwa hiyo chadema hakuna demokrasia ndani ya chama.
Demokrasia NI pale watakapoongoza Dola?
Wanaohoji ukomo wa mbowe ni wale wenye tabia za kimalaya Malaya wanatk aondk ili aongoze Malaya wenzao wawanunue vzr ,
UMEONGEA UKWELI. MH. SLAA, NI WALE WANAO UMIA KWA UWEZO WA MH. MBOWE KUKIONGOZA CHAMA VIZURI NA KUWA IMARA
Umeongea vema Mr. Slaa. Mbona wamekazana sana na Mr. Mbowe??!!!. Tatizo la Watanzania hatuongei mambo muhimu ya maendeleo ya nchi yetu. Badala yake tunaongelea watu. Je Mr. Mbowe akiachia hicho cheo chake CHADEMA, matatizo ya Tanzania yatapungua?!
Kwa hiyo Mbowe mmpaka afe ndio apatikane kiongozi mungine hivi hi imekaa vizuri kweli watanzania wote Hawa kwa Mtazamo wa chadema hakuna mwenye uwezo wa Mbowe au kumzidi hata wewe Dr Slaa unakili Hilo Tena unawaita hao watu Maadui na mnajipambanua chama chenu ni chama Cha Democrasia kwa Maneno hayo na kwa Mtazamo huo huo mkingia Madarakani nyie hayo mnayoyafanya na kuyasema ndio mtakayo tutendea Leo hamna hata mgambo hivyo mkipata na mjeshi!!!? Nyie Daaah nimeamini kweli Mbowe chadema ndio mmiliki
Hizo habari za ukomo au kubadilisha viongozi kila baada ya awamu ni sera zinazoletwa na mataifa makubwa ni si maana halisi ya Demokrasia. Mfano Word Bank wana misingi yao ya kukidhi Demokrasia na vivyo hivyo other donor countries . Hivyo ukomo si kigezo inategemea ni mtazamo wa watu gani.
Mbona Nyerere alikuwa mwk ccm Toka miaka ya amsin mpaka miaka ya tisin nyie watangaji kwann amuoj ili la ccm ,nyie na mbowe TU au n machawA
Yani ktk watu wakiongea haeleweki ni huyu mzee chama nicha democrasia kiongozi ataki kupingwa ni zaidi ya mugabe
😂,mzee mwenye ukakasi
Mbowe hatoki pale siku akiwa hawezi chama tunampa mtoto wake jemusi mbowe chama hapewi mtu wa kawaida kawaida
Nyerere vp kaongoza miaka mingapi
Haya bwana twendeni😂@@user-bz3kk5te4m
Mim nimezaliwa kuwafunza watu Kama nyie iko hivi Dk Silaa anachomanisha kuwa wao waliondoa ni ule ukomo wa mda wa uongozi kitu walichosema ni kwamba kipindi walikuwa wameweka ukomo kuna baadhi ya viongoz walikua wanamaliza mda wauongozi wanakosekana watu wa kugombea kwa sababu kwanza watu wanaogopa kubeba uongoz kwenye chama cha upinzani na Ukizingatia mtu alietoka yaweza kua ameongoza vizul tu ila kigezo cha mda ndo kimemuondoa ila sio eti wamemuachia aongoze milele hapana ndomana kila bada ya miaka mitano Mbowe amekua akigombea na watu ila uwa anawashinda na ukiona hivyo ujue bado anakubalika kwenye achama
Mbowe nakuomba chonde chonde utuongoza mpaka kiama na usibadilishwe hata siku moja pamoja na msikosuko ya gerezani lakn wewe ndo kwanza kumekucha anawalalua vikali .sisi tumekwamia mpaka kiama, mpaka Lyamba,
Huyu Mzee Toka nimjue amekua kigeugeu sana Sasa kama kiongozi wa chama Hana ukomo hayo mageuzi mnayataka ya nini huku ni kuwakuwa danganya tu watanza watanzania basi badili Hilo jina lisiwe la chama Cha demokrasia
Kwan nyerere alikua na ukomo
Ww yko ni roho mbaya
Waache chadema yao
Ukomo kwa kiongozi asie na madalaka ya nchi kama raisi makamu wa raisi usiwepo chadema itakufa siku ikiamgukia kwa akina msigwa na wenzake wenye mawazo ya chochote
Km chadema wnyw wanaona anafaa
Ww tatzo lako nn kumbe mwanachadema ni mccm
Km croho mbaya yko nini
Hapo ndio utaona Mtu Kama huyu akiwa raisi atabadirisha katiba akae milele huyu kamaa kabisa kwa misngi hiyo huyu slaaa inaonyesha anamuogopa huyu jamaa kumwambia I kweli ndio maana anajingatangata
Nyerere alikua na ukomo? C had aliamua mwnyw kuacha
Chama Cha demokrasia na maendeleo lakin hakifuati misingi ya demokrasia 🤔 wajinga ndio waliwao