Wanaohoji Ukomo wa Mbowe Ni Maadui Zake

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ค. 2024
  • Dr Willibrod Slaa kwenye mahojiano maalum na Power Breakfast ya Clouds FM #PowerBreakfast

ความคิดเห็น • 29

  • @barakakevela245
    @barakakevela245 13 วันที่ผ่านมา

    CHAMA CHA KIFAMILIA HICHO

  • @rashidsuleiman9253
    @rashidsuleiman9253 14 วันที่ผ่านมา

    Yaani kwa maoni yenu na mtazamo wenu mnaamini kwamba ndani ya Chadema mpaka leo bado hamjapata mtu jasiri wa kushika wadhifa wa M/Kiti wa chama kumshinda Mbowe na kwa hivyo kumfanya Mbowe kua M/Kiti wa maisha asie na ukomo, nyinyi watu wa ajabu sana. Lakini kichekesho nikwamba ndani ya Chadema mnaamini mnaweza mkapata Mtu akachaguliwa kua Rais wa Tanzania, mkapata wabunge na mawaziri na mkaunda serikali. Watu majasiri wa namna hiyo mnaamini mnao wa kutosha lakini hamana tu mtu zaidi ya Mbowe afaae kua M/kIti wa Chama. Mnafurahisha sana

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 15 วันที่ผ่านมา +1

    Chama cha familia hicho nyie wengine ni wapambe tu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 15 วันที่ผ่านมา +2

    Wanataka chama kife

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 15 วันที่ผ่านมา +1

    chama cha upinzani siyo chama kinachoongoza hadi kishike madaraka ndiyo wanaondoa ukomo

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 15 วันที่ผ่านมา +1

    Opposition is not ruling part change leadership into opposition is to killing opposition because we are on hard time same of opposition can take money and kiling political party so freeman mbowe and tundundulisu are ok on they position because they are sacrifice politician into lmotion so no need ccm force chadema change nation cherman of chadema and his voice national cherman of chadema even this business of province election is not good adier to opposition although we get to know new ganeretion politician apier on pablic gethering that also this yang politician is bright into opposition can creat lmotion into Tanzania pablic kwahiyo freeman angebaki ktk nafasi yake lakini uraisi tumpe tundundulisu sababu tundundulisu ni mtuu jasiri sana anaelewa sheria vizuri Sana mbowe anaweza kuwaonea huruma ccm wakati nchi inaitaji sheria iendeshe nchi tundundulisu nguvu hiyo anayo raisi tundundulisu makamo wake freeman mbowe

  • @hassanshadhly3481
    @hassanshadhly3481 15 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa hiyo chadema hakuna demokrasia ndani ya chama.
    Demokrasia NI pale watakapoongoza Dola?

  • @MbegaMwangasha
    @MbegaMwangasha 13 วันที่ผ่านมา

    Wanaohoji ukomo wa mbowe ni wale wenye tabia za kimalaya Malaya wanatk aondk ili aongoze Malaya wenzao wawanunue vzr ,

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 15 วันที่ผ่านมา

    UMEONGEA UKWELI. MH. SLAA, NI WALE WANAO UMIA KWA UWEZO WA MH. MBOWE KUKIONGOZA CHAMA VIZURI NA KUWA IMARA

  • @gracefoya4609
    @gracefoya4609 15 วันที่ผ่านมา +1

    Umeongea vema Mr. Slaa. Mbona wamekazana sana na Mr. Mbowe??!!!. Tatizo la Watanzania hatuongei mambo muhimu ya maendeleo ya nchi yetu. Badala yake tunaongelea watu. Je Mr. Mbowe akiachia hicho cheo chake CHADEMA, matatizo ya Tanzania yatapungua?!

    • @MnubiMm
      @MnubiMm 14 วันที่ผ่านมา

      Kwa hiyo Mbowe mmpaka afe ndio apatikane kiongozi mungine hivi hi imekaa vizuri kweli watanzania wote Hawa kwa Mtazamo wa chadema hakuna mwenye uwezo wa Mbowe au kumzidi hata wewe Dr Slaa unakili Hilo Tena unawaita hao watu Maadui na mnajipambanua chama chenu ni chama Cha Democrasia kwa Maneno hayo na kwa Mtazamo huo huo mkingia Madarakani nyie hayo mnayoyafanya na kuyasema ndio mtakayo tutendea Leo hamna hata mgambo hivyo mkipata na mjeshi!!!? Nyie Daaah nimeamini kweli Mbowe chadema ndio mmiliki

  • @obeidmbahimwangwa6951
    @obeidmbahimwangwa6951 13 วันที่ผ่านมา

    Hizo habari za ukomo au kubadilisha viongozi kila baada ya awamu ni sera zinazoletwa na mataifa makubwa ni si maana halisi ya Demokrasia. Mfano Word Bank wana misingi yao ya kukidhi Demokrasia na vivyo hivyo other donor countries . Hivyo ukomo si kigezo inategemea ni mtazamo wa watu gani.

  • @JohnMwankina-sb6zb
    @JohnMwankina-sb6zb 15 วันที่ผ่านมา

    Mbona Nyerere alikuwa mwk ccm Toka miaka ya amsin mpaka miaka ya tisin nyie watangaji kwann amuoj ili la ccm ,nyie na mbowe TU au n machawA

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw 15 วันที่ผ่านมา +2

    Yani ktk watu wakiongea haeleweki ni huyu mzee chama nicha democrasia kiongozi ataki kupingwa ni zaidi ya mugabe

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 15 วันที่ผ่านมา

      😂,mzee mwenye ukakasi

    • @user-bz3kk5te4m
      @user-bz3kk5te4m 15 วันที่ผ่านมา

      Mbowe hatoki pale siku akiwa hawezi chama tunampa mtoto wake jemusi mbowe chama hapewi mtu wa kawaida kawaida

    • @lusajomwaipopo5042
      @lusajomwaipopo5042 15 วันที่ผ่านมา +1

      Nyerere vp kaongoza miaka mingapi

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 15 วันที่ผ่านมา

      Haya bwana twendeni😂​@@user-bz3kk5te4m

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 15 วันที่ผ่านมา

      Mim nimezaliwa kuwafunza watu Kama nyie iko hivi Dk Silaa anachomanisha kuwa wao waliondoa ni ule ukomo wa mda wa uongozi kitu walichosema ni kwamba kipindi walikuwa wameweka ukomo kuna baadhi ya viongoz walikua wanamaliza mda wauongozi wanakosekana watu wa kugombea kwa sababu kwanza watu wanaogopa kubeba uongoz kwenye chama cha upinzani na Ukizingatia mtu alietoka yaweza kua ameongoza vizul tu ila kigezo cha mda ndo kimemuondoa ila sio eti wamemuachia aongoze milele hapana ndomana kila bada ya miaka mitano Mbowe amekua akigombea na watu ila uwa anawashinda na ukiona hivyo ujue bado anakubalika kwenye achama

  • @AtuganyiraKabigumila-rz7ou
    @AtuganyiraKabigumila-rz7ou 15 วันที่ผ่านมา

    Mbowe nakuomba chonde chonde utuongoza mpaka kiama na usibadilishwe hata siku moja pamoja na msikosuko ya gerezani lakn wewe ndo kwanza kumekucha anawalalua vikali .sisi tumekwamia mpaka kiama, mpaka Lyamba,

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 14 วันที่ผ่านมา

    Huyu Mzee Toka nimjue amekua kigeugeu sana Sasa kama kiongozi wa chama Hana ukomo hayo mageuzi mnayataka ya nini huku ni kuwakuwa danganya tu watanza watanzania basi badili Hilo jina lisiwe la chama Cha demokrasia

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 3 วันที่ผ่านมา

      Kwan nyerere alikua na ukomo
      Ww yko ni roho mbaya
      Waache chadema yao

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s 15 วันที่ผ่านมา

    Ukomo kwa kiongozi asie na madalaka ya nchi kama raisi makamu wa raisi usiwepo chadema itakufa siku ikiamgukia kwa akina msigwa na wenzake wenye mawazo ya chochote

  • @HusseinSaguti-sj9nh
    @HusseinSaguti-sj9nh 3 วันที่ผ่านมา

    Km chadema wnyw wanaona anafaa
    Ww tatzo lako nn kumbe mwanachadema ni mccm
    Km croho mbaya yko nini

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 14 วันที่ผ่านมา

    Hapo ndio utaona Mtu Kama huyu akiwa raisi atabadirisha katiba akae milele huyu kamaa kabisa kwa misngi hiyo huyu slaaa inaonyesha anamuogopa huyu jamaa kumwambia I kweli ndio maana anajingatangata

    • @HusseinSaguti-sj9nh
      @HusseinSaguti-sj9nh 3 วันที่ผ่านมา

      Nyerere alikua na ukomo? C had aliamua mwnyw kuacha

  • @jacksportman5181
    @jacksportman5181 15 วันที่ผ่านมา

    Chama Cha demokrasia na maendeleo lakin hakifuati misingi ya demokrasia 🤔 wajinga ndio waliwao