Hatari: Mtangazaji wa CNN Larry Madowo na timu yake walivyopigwa mabomu ya machozi

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 60

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 วันที่ผ่านมา +13

    CNN imesha pata mtangazaji mzuri mwenye kuwasilisha kwa kuswahili

  • @mzungudacreativ
    @mzungudacreativ 3 วันที่ผ่านมา +10

    big up larry you deserve to be recognized.🎉 it wasn't easy.

  • @mariamkimtai693
    @mariamkimtai693 3 วันที่ผ่านมา +7

    VIVA Gen-Z your the best #Reject the bill 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪💪

  • @authorviviannehillary
    @authorviviannehillary 3 วันที่ผ่านมา +5

    Ukijipeleka kwa teargas utakula teargas barbie. 😂😂😂 But good job., 👏👏👏👏👏

  • @BaboumitengaMutenga
    @BaboumitengaMutenga 3 วันที่ผ่านมา +4

    Camera man never bombing 😅😅😅

  • @user-qf9uj2oc1b
    @user-qf9uj2oc1b 31 นาทีที่ผ่านมา

    Future présidente de ma nation Na lingi yo makasi ❤️🇨🇩❤️🙏

  • @user-qb1jv2dy2d
    @user-qb1jv2dy2d 2 วันที่ผ่านมา +1

    Sijui kama Tanganyika na Tanzania kama itakuja kuwa na wana Habari wa aina hii.

    • @user-vy2bc6xg3i
      @user-vy2bc6xg3i 2 วันที่ผ่านมา

      Sisi mambo mengine tunamuachia mungu yu kesho watakibu dhuruma walizozifanya.maandamamo sio mazuri maana kuna watu wamelazwa .wengine wamekufa .jana nimeona police mmoja alia mdogo wake kafa kwa risasi alizopigwa na police wenzie

  • @Slymill
    @Slymill 2 วันที่ผ่านมา +1

    Mnafnya nn ! wanarusha mabom ya cry atii .

  • @badboyjephanie-uh3mz
    @badboyjephanie-uh3mz 2 วันที่ผ่านมา

    😢 Kenya imekuwa kama Congo 🇨🇩 jmn

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 2 วันที่ผ่านมา

    YOUR OUR HERO❤❤❤❤❤ WE LOVE YOUU

  • @user-jz7bn2kx9o
    @user-jz7bn2kx9o 2 วันที่ผ่านมา +1

    Nahisi Kenya mabom ya machoz yameisha

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 3 วันที่ผ่านมา +2

    watangazaji hao ndio wa kuanza nao
    burundi machafuko 2015 yalivyotokea waliwatimua Rf bbc
    vyombo vyote ikawa inasikika redio ya taifa maandamano yakichukua siku mbili

  • @abdulsaid4579
    @abdulsaid4579 วันที่ผ่านมา

    daah " mnafanya nn?"....watu wamemchagua wenyewe huyo Ruto na huu ndio moto wake. 🙉

  • @ring-tone278
    @ring-tone278 3 วันที่ผ่านมา +6

    Ruto has lost control and is not serving Kenyans but foreign Interests and himself. A failed Presidency.

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 3 วันที่ผ่านมา

    Big up

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 วันที่ผ่านมา +2

    Washavuta bangi wakiwa kambini hata hawaelewi wanacho wafa 😮😮😮

  • @Nasbu-tb6cs
    @Nasbu-tb6cs วันที่ผ่านมา

    Police wanajikutaga sana dadeq🫵

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hii nikazi ngumu sana

  • @LucienJean-vi9fu
    @LucienJean-vi9fu 2 วันที่ผ่านมา

    Courage kaka

  • @vincej9275
    @vincej9275 2 วันที่ผ่านมา

    Police wa Kenya tunawajua sana. Furaha yao kuua, kuthulumu na kushika wakenya wenzao. These Police are acting very unprofessional just because they have weapons to hurt their fellow sisters and brothers.

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z 2 วันที่ผ่านมา

    Yangu masikio na macho

  • @ring-tone278
    @ring-tone278 3 วันที่ผ่านมา +1

    Boycott all functions of Ruto. Switch of all his speeches. And protests in every Kenyan Embassy. He should step down immediately.

  • @geofreyniyonkuru5724
    @geofreyniyonkuru5724 3 วันที่ผ่านมา +4

    ila hawa wandishi sijui kwanini huko ukrain hawapo gaza hawapo ila congo wanatangaza vita live sudan hivyo hivyo kenya ndio usiseme niliwahi kushuhudia ghasia za police na waanamanaji police akapigwa jiwe wote walipigwa kama maumbwa

  • @jebbymnyama2379
    @jebbymnyama2379 3 วันที่ผ่านมา

    So sad

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 3 วันที่ผ่านมา

    Very sad

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 3 วันที่ผ่านมา +1

    Aise police hao lengo kua raia

  • @BaboumitengaMutenga
    @BaboumitengaMutenga 3 วันที่ผ่านมา

    Camera man never bombimg 😅😅😅

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 2 วันที่ผ่านมา

    Hatimaye mandamanoyetu yamefanya kazi

  • @msafirimaulidi5054
    @msafirimaulidi5054 3 วันที่ผ่านมา

    Atafute historia ya mwangos

  • @blacktiger4439
    @blacktiger4439 2 วันที่ผ่านมา

    Hhhhhh....Ruto must ask for advice from Burundi president HE Evariste Ndayishimiye or his representatives... Butundi of 2015 was like this Kenya of nowerdays,ask what happened🙈🙈🙈

  • @ahmedussuf1640
    @ahmedussuf1640 3 วันที่ผ่านมา

    Hii ni leo ama jana

  • @juliasmaick
    @juliasmaick 3 วันที่ผ่านมา +1

    Wakenya polen sana😢

    • @Mariam-fm8vq
      @Mariam-fm8vq 3 วันที่ผ่านมา

      Asante japo sio rahisi 😢😢😢

    • @faustinaurio3703
      @faustinaurio3703 2 วันที่ผ่านมา

      Na haki yao wameipata🎉💪

  • @NdovuDentalClinic_
    @NdovuDentalClinic_ 2 วันที่ผ่านมา

    Cameraman haonekani

  • @ARNOLDKARISA-fs3ht
    @ARNOLDKARISA-fs3ht 3 วันที่ผ่านมา

    zakayo ashukee

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 3 วันที่ผ่านมา +2

    Hao wanaopigwa mabom leo ndo atarudi tena kuwaomba kula walai sisi afrika ni binadamu wa hovyo kuwahi kutokea..na watasema zakayo anatoshaaa 😂😂😂😂 nimekaa palee nawazoom tu

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 2 วันที่ผ่านมา

      Infact tunawapigia haki

    • @TrinaRoman345
      @TrinaRoman345 2 วันที่ผ่านมา +1

      @@yasminoluoch169 Naungana na nyie kabisa .. lakn dawa ni kuwa nyima kula hao mafisadi vibaraka wa wazungu.. hata kwetu wapoo

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashua 3 วันที่ผ่านมา

    Police wa kikalenjini hao hawajui sheria

  • @AshaMwamba
    @AshaMwamba 3 วันที่ผ่านมา

    Hawaogopiiii

  • @matjjoseph9708
    @matjjoseph9708 2 วันที่ผ่านมา

    Police wanalewa sanaa sifa ilimrad tu waonwe na madem zao

  • @ce-08
    @ce-08 3 วันที่ผ่านมา

    Mtuletee mbeya huko hali ya hewa kwenye migomo ya wafanya biashara

  • @gabrielchilumo2654
    @gabrielchilumo2654 3 วันที่ผ่านมา

    Bomu la machiozi ama tear gas canister

  • @user-vy2bc6xg3i
    @user-vy2bc6xg3i 2 วันที่ผ่านมา

    Ukiangalia mshahara yako ziro hata dada zako wanaofanya kazi gulf Qatar na Saudi nyingi tena mara mbili yk.halafu wanarusha mabomu tu .ndio maana mwenzao alinyofoka viganjwa

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwaandsh nae anamasif@

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 3 วันที่ผ่านมา +1

    Niliwahi kusema katiba ya kenya ni kati ya katiba mbovu kabisa hapa Afrika.
    Haya mambo ya uhuru wa kuandamana ni mambo ya kipuuzi tunayoletewa na wasio na nia njema na waafrika.
    Hata huko kwao watu wanapoandama, serkali inazuia au kupambana na waandamanaji.

    • @walio_na_tusio
      @walio_na_tusio 3 วันที่ผ่านมา +1

      ujui wewe nchi inavopambaniwa bola ukakaa kimya

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 3 วันที่ผ่านมา +3

      Hivi bila maandamano Uhuru ambao unao sasa kwenye nchi yako ungeupata kweli!?hata Nyerere aliandamana kudai haki na Uhuru wa nchi hii!ila ni sawa sio kosa lako mana mavuzi yenyewe umeota juzi juzi tuu!hujui maana ya maandamano wala nchi yako ilivyo patikana

    • @user-ir5ec5jn3w
      @user-ir5ec5jn3w 3 วันที่ผ่านมา +4

      What are you talking about?
      Umefika darasa la ngap?
      Unataka tukaliwe kifala kama mlivyokaliwa Tz?
      Nyie Endeleeni kuongelea Mpira asubui mpaka jioni, Endeleeni kumshangaa Chris Brown kucheza Komosava, Endeleeni kumsifia Mama anaupiga mwingi wakat hali mtaani sio poa 😅

    • @ChireGriffin
      @ChireGriffin 3 วันที่ผ่านมา +1

      Useless..katiba ya Kenya ndo bora sana

    • @sultanmswahilitv4864
      @sultanmswahilitv4864 2 วันที่ผ่านมา

      Tengenezeni yenu mzuri.umbwa nyinyi

  • @faithchelangat140
    @faithchelangat140 3 วันที่ผ่านมา

    Hawa maaskari ni magazia sana wanajifanya hapo na pia wanakatwa,fools!

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 3 วันที่ผ่านมา

    Muandishi akipigwa, waandishi wote wanacharuka, kwa kuwaandama maafisa wa polisi kua wamekosea kuwapiga raia na waandishi.
    Binafsi yeyote anaekaidi kufanya jambo, anastahili kupata adhabu.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 2 วันที่ผ่านมา

      Unamaanisha nini unaposema anaekaidi kufanya jambo anasitahili adhabu?

  • @walowemkanjala2525
    @walowemkanjala2525 2 วันที่ผ่านมา

    Kenya iko na demokrasia sio kama nchi zingine wananchi hawana uhuru wa kuzungumza... Kenge wewe!