Shukran sana Sma ila kwa upande wangu naona wakenya wanaunganisha doti. Mambo yanayoendelea ni kama wamepata sababau. Allah awafanyie wepesi si mambo yakushangilia na kushadadia hata kidogo. Yote wafanye lakini wasivunje amani. Mungu ibariki Afrika Mungu pamoja na watu wake.
Mmmmh mambo ni mengi muda mchache Dj Smaa tunasubiri makala yako mimi hata comment yangu siiamini kama ninavo kuamini wewe kaka etu Allah akutunze akujaalie Afya njema na siha njema 🤲🏼love from UK 🇬🇧🤍
Aliongea akiwa hajui kuwa ili serikali iende inahitaji fedha kama fuel😂nasio neno la Mungu pekee sasa ameingia kajua nini anahitaji zaidi uongozi unahitaji busara ,maarifa na subra hapo hekima itumike 🙏
Ndo politicians hao,wanakuaga na maneno matamu wakati wanatafuta kura za watu,wakisha pitishwa hua wanasau agano zote walizoahidi. Sasa ataona cha mutema kuni na wakenya...
Can't understand this hizi vyeo sma I think kuna kitu kimejificha nyuma sijui ni mashetani ama nini maana mtu anaingia iongozini akiwa mzuri mwezi haupiti anabadilika sielewi kabisa😢😢 ruto was our hope sahii siamini kama n yeye I swear siamini 😢😢
Mwanasiasa yoyote duniani akikumbia asaiv mchana toka nje kwanza angalia kweli mchana maana anaweza kukuambia mchana kumbe ni usiku mwanasiasa asili yao ni uongo
Mr tumepanga sh billion mia tano za uongo tumetenga tumepanga tutafanya, mr batman mr hostess flying every now and then hana time ya kukaa chini afanyie country kazi
I stend with Ruto, nchi imejaa madeni, tena yeye ameyakuta atalipa vipi? Wananchi ndio wakulipa, watalipa vipi, watalipa kwa kodi. Nchi za Africa zimekosa viongozi wabunifu hivyo maraisi wanafanya maendeleo ya nchi kwa mikopo ambayo itakuja kugharimu vizazi vya mbele,, subirini bongo miaka 20 mbele mtaniambia
Kabla kuongeza kodi, kwanza punguza matumizi / expenditure ya ubadhirifu.. Wananchi wa Kenya wanacholalamika sio kukataa kulipa kodi bali ubadhirifu na ufisadi unaoendelea..
Viongozi wanachanganya Dini na siasa. Na hii inathibitisha kushindwa kwa demokrasia kwani haiwezi kujisimamia. Kwahiyo wachague wanataka kuendeshe nchi kwa dini au siasa. Swali linarudi, je demokrasia ni mfumo bora kwa waafrika?
Wa Afrika wengi wanaamini Mungu, alijifunika mwamvuli kwa neno la Mungu kupata wafuasi wengi. Baada ya kuingia madarakani akalewa madaraka. Sma kwa mtazamo wako nini suluhisho la Kenya?
Huyu jamaa ukimsikiliza mikutano yake mingi anaonekana kama mtu mmoja muadilifu sana alafu ni muafrika aliyetimia kumbe ni kibaraka wa nguvu ndio wale mwalimu aliwaita viongozi malaya malaya snitch rogi bwege mtozeni yote yanamfaa
Mh Ruto amejikaaga kwa mafuta yake mwenyewe. Kauli yake na ufahamu wake wa maandiko na matendo yake ni tofauti. Mwezi Mungu hazihakiwi Ruto alimdhihaki Muumbaji.
Gen Z wa Bongo tunajipanga, waambie tumeanza kuwaza kimoyo moyo kwa miaka mingi sasa tumekaribia kuwaza kwa sauti, hamuwezi amini Tz itakavyokuwa. Ogopa mtu mkimya akichoshwa na vitu anageuka Mbogo.
Ruto ni muongo hata akiongea jambo lolote nzuri hata aksoma kitabu gani dunian munafiq. ruto anajali maslahi uake wala sio maslahi ya wakenya kama kiongozi
Sma Ubarikiwe sana, unatupea sana motisha na habari za ulimwengu, hata hili la jana limetokea baada ya wewe kutuhabarisha kuwa ule mkopo alipewa si bure, na kweli jamaa anataka kugeuza sheria za uchumi zitukamdamize, hata mashamba ya urithi anataka tulipie kodi
DJ SMA NAKUKUBALI ILA JITAHIDI KUMUWEKA MBALI NA KITU CHOCHOTE KUA HAFANANI KWA HIYO KAULI YA RUGE UKIITAMKA SEMA HIVI " KTK DUNIA OGOPA KUNA MUNGU, NA TEKCKNOLOJIA" USITAMKE KUNA VITU VIWILI KWA SABABU MUNGU SIO KITU HAFANANISHWI WALA HAFANANI NA KITU CHOCHOTE
Wana siasa sio watu wa kujali nyuma walisema nini ..huyo huyo atarudi tena kuwaomba kula na kauli yake #hustle 😂😂 na watampea ..Tena watasifia baba tuvushe tunakwenda na zakayo 😅😅😅😅😅
Siku zote hafadhari ya muhuni kuliko kushika dini na kwenda kinyume chake Hata hayo maandiko yanaelekeza kuchagua uwe moto au baridi na si vuguvugu coz mungu huwatapika
Shukran sana Sma ila kwa upande wangu naona wakenya wanaunganisha doti. Mambo yanayoendelea ni kama wamepata sababau. Allah awafanyie wepesi si mambo yakushangilia na kushadadia hata kidogo.
Yote wafanye lakini wasivunje amani. Mungu ibariki Afrika Mungu pamoja na watu wake.
Yani apo anatangaza amani na nyuma ameficha panga.... Ogopa
Apo ruto nae atajificha wapi😊😊
Mmmmh mambo ni mengi muda mchache Dj Smaa tunasubiri makala yako mimi hata comment yangu siiamini kama ninavo kuamini wewe kaka etu Allah akutunze akujaalie Afya njema na siha njema 🤲🏼love from UK 🇬🇧🤍
Amin kwa sote
Tunamkubali Ally Masubi ila dogo inabidi apunguze kutaka kuleta ubishi wakiana @@djsma255
@djsma255 Ni bunge ndio iliyopitisha sio Rais,the president work was to go through the finance bill and sign brains at work
@djsma255
WAENDELEAJ KIAFYA?
BINGWA WA UONGO.
JAMAA ANA KIPAJI CHA KUDANGANYA
Aliongea akiwa hajui kuwa ili serikali iende inahitaji fedha kama fuel😂nasio neno la Mungu pekee sasa ameingia kajua nini anahitaji zaidi uongozi unahitaji busara ,maarifa na subra hapo hekima itumike 🙏
Ukitaka kuwatapeli watu vizuri tumia neno la mungu tuu..
Ni sahihi
😂😂
Tumia neno lamungu nikweri uko sahihi
na ukitaperiwa na mutu wa hivyo ujue umeyakanyaga
😂😂😂😂😂😂😂
Rais,nimwana siasa yy haja yake ni kupata surport apate kile anataka,kwa wakati huo.
Ndo politicians hao,wanakuaga na maneno matamu wakati wanatafuta kura za watu,wakisha pitishwa hua wanasau agano zote walizoahidi. Sasa ataona cha mutema kuni na wakenya...
mwenyewe haamini Mungu anaamini jeshi kulinda cheo chake badala ya jeshi kulinda wananchi🤣🤣🤣🤣🤣
Ukitaka kuwatapeli watu tumia neno la mungu
Uko sahihi
Alichokikisema juzi..leo hii ndio amekitenda..hii ndio fimbo ya mwenyezi mungu
Can't understand this hizi vyeo sma I think kuna kitu kimejificha nyuma sijui ni mashetani ama nini maana mtu anaingia iongozini akiwa mzuri mwezi haupiti anabadilika sielewi kabisa😢😢 ruto was our hope sahii siamini kama n yeye I swear siamini 😢😢
Kudaadeck anafaa kuuawa tena hadharan wananch wamgawane kabisa
Hukumu ya Mungu imemfikia sasa!
Ngoja apangwe juu alisema hapangwingwi!kimeumana!
❤ Dj Sma #famefate
Pengine ruto ukute yupo sahihi ila chuki ya viongozi wake imekuwa kubwa sana
Ruto ni mnafik sana
Huyo tumemchoka ana uwezo wa kudanganya akikuangalia kwa macho hivo 😂 saa hii kimemramba
Mwanasiasa yoyote duniani akikumbia asaiv mchana toka nje kwanza angalia kweli mchana maana anaweza kukuambia mchana kumbe ni usiku mwanasiasa asili yao ni uongo
nchi nyingi za africa zimebkiza ufisadi , unright,kiongoz anateuliwa na wananch ana ahid meng kweny kampeni wakishmpa madark anakuwa msalit
Jamaa mwizi huyu
Mr tumepanga sh billion mia tano za uongo tumetenga tumepanga tutafanya, mr batman mr hostess flying every now and then hana time ya kukaa chini afanyie country kazi
Afrika hatuna viongozi tuna wanasiasa.
I stend with Ruto, nchi imejaa madeni, tena yeye ameyakuta atalipa vipi? Wananchi ndio wakulipa, watalipa vipi, watalipa kwa kodi. Nchi za Africa zimekosa viongozi wabunifu hivyo maraisi wanafanya maendeleo ya nchi kwa mikopo ambayo itakuja kugharimu vizazi vya mbele,, subirini bongo miaka 20 mbele mtaniambia
Kabla kuongeza kodi, kwanza punguza matumizi / expenditure ya ubadhirifu..
Wananchi wa Kenya wanacholalamika sio kukataa kulipa kodi bali ubadhirifu na ufisadi unaoendelea..
Huyu ni panya buku ndo maana sijawai mkubali hata siku moja... Namchukia kinoma😏
Viongozi wanachanganya Dini na siasa. Na hii inathibitisha kushindwa kwa demokrasia kwani haiwezi kujisimamia. Kwahiyo wachague wanataka kuendeshe nchi kwa dini au siasa.
Swali linarudi, je demokrasia ni mfumo bora kwa waafrika?
Zakayo
Hamna kiongozi hapo
Eti ruge jinias duuu😅😅😅😅
Wa Afrika wengi wanaamini Mungu, alijifunika mwamvuli kwa neno la Mungu kupata wafuasi wengi. Baada ya kuingia madarakani akalewa madaraka. Sma kwa mtazamo wako nini suluhisho la Kenya?
Politics
Unaongea ukwel Ruto🙏🙏🙏❤🇧🇮😂
Yeye naona Yuko kanisani anakusanya sadaka kupitia kondoo wake
Huyu jamaa ukimsikiliza mikutano yake mingi anaonekana kama mtu mmoja muadilifu sana alafu ni muafrika aliyetimia kumbe ni kibaraka wa nguvu ndio wale mwalimu aliwaita viongozi malaya malaya snitch rogi bwege mtozeni yote yanamfaa
Atajificha wapi hivi ghadhabu ya Mungu imemfika?
Mh Ruto amejikaaga kwa mafuta yake mwenyewe. Kauli yake na ufahamu wake wa maandiko na matendo yake ni tofauti. Mwezi Mungu hazihakiwi Ruto alimdhihaki Muumbaji.
ruto ni mbwa jike ya wazungu wa magharibi yaani kikaragozi.
Zakayo kinacho mfelisha ni uongo 😂kila siku TUTATENGA tumefanya tumejadili hajawahii fanya chochote chamaana liche yakusafiri n madege tu kapumbavuu kafupii
Gen Z wa Bongo tunajipanga, waambie tumeanza kuwaza kimoyo moyo kwa miaka mingi sasa tumekaribia kuwaza kwa sauti, hamuwezi amini Tz itakavyokuwa. Ogopa mtu mkimya akichoshwa na vitu anageuka Mbogo.
Akuna mwanasiasa muaminifu anaweza kukwambia mkinichagua nitawatengenezea Restaurants za kula bure
Jamaa sio kiongozi bora hilo ni waz nchi itamshinda very soon
Inamla mwenyewe sasa
Ruto ni conman
Tapeli mkubwa sana uyo,hana tofauti na tapeli mkubwa mwampo
Ni wwe Tu zakayo utajicha wapi
Sasa atajificha wapi ghadhabu za wananchi zina mtafuta
Nimeelewa kuwa, Siasa Siihasa🤣🤣🤣
Huyu tunawaletea ndugu watanzania😅😅😅
Hakika siasa mchezo mchafu
Uyu jamaa anatunyanyasa mbwa sanaa
Ame jijibu mwenyewe kabisa...😂😂😂
Hapo alikua sio shoga kama muda huu
This is Ruto, the thief conman of the century. Speaks from two ends of his mouth. Very dangerous guy
NDUMI LA KUWILI..
Sasa kwahuyu muda yeye atajificha wapi😂😂😂😂Raisi ni JP Magufuli wengine sijuwi
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ruto is hypocrite
Akuna watu waongo kama wana siasa
Unaongea ukwel Ruto🙏🙏🙏❤🇧🇮😂🙏
Ruto ni muongo hata akiongea jambo lolote nzuri hata aksoma kitabu gani dunian munafiq. ruto anajali maslahi uake wala sio maslahi ya wakenya kama kiongozi
Viongozi wengi wa Africa ndio wanaoiangamiza Africa yetu
Neno la Mwenyezi Mungu limetimia kwake
haki yamungu rimetimia da remetimiya kama alivyosema mwenyewe
Wewe mpuuzi tu tunaomba hio adabu ya MWENYEZI MUNGU ikufikie kwa kutudhulumu na kufanya vijana wauwawe
Sma Ubarikiwe sana, unatupea sana motisha na habari za ulimwengu, hata hili la jana limetokea baada ya wewe kutuhabarisha kuwa ule mkopo alipewa si bure, na kweli jamaa anataka kugeuza sheria za uchumi zitukamdamize, hata mashamba ya urithi anataka tulipie kodi
Naona umejamba ukatuachia shuzi ukapita hivi tushaelewa tulosoma cuba hatuhitah D mbili apo😂😂😂😂
nchi nyingi za africa zimebkiza ufisadi , unright,kiongoz anateuliwa na wananch ana ahid meng kweny kampeni wakishmpa madark anakuwa msalit
DJ SMA NAKUKUBALI ILA JITAHIDI KUMUWEKA MBALI NA KITU CHOCHOTE KUA HAFANANI KWA HIYO
KAULI YA RUGE UKIITAMKA SEMA HIVI " KTK DUNIA OGOPA KUNA MUNGU, NA TEKCKNOLOJIA" USITAMKE KUNA VITU VIWILI KWA SABABU MUNGU SIO KITU HAFANANISHWI WALA HAFANANI NA KITU CHOCHOTE
Binaadam tunadhuruka kwa kauli zeru na wkt nafsi zetu huwa chafu. Ndio kinachomkuta hyu binaadamu
Duu! Viongozi wetundivowalivo wakiwa wanaingia madalakani Wana manenomatam ngoja waingiasasa utawasahau
Mimi naitwa Kaka Moses,nipo Zambia Lusaka Kweli naona kama Ruto yuko na kipaji chakuongea na siyokutebda
Rais Ruto anawakati mgumu sana ingwa ugumu huo kautengeneza mwenyewe anataka kushindana na wenye nchi awe makini asije kukimbia nchi😮
Huwezi amini.hii ndiyo dunia.usimwamini MTU
Arifika madarakani Sasa tayari ameshasahau
Wana siasa sio watu wa kujali nyuma walisema nini ..huyo huyo atarudi tena kuwaomba kula na kauli yake #hustle 😂😂 na watampea ..Tena watasifia baba tuvushe tunakwenda na zakayo 😅😅😅😅😅
He got response from his own biblical quotes
Ruto Mutumishi wama beberu
Kesho tuko state house
Siasa ni uwongo
Kigeugeu
Never TRUST POLITICIANS 💯
Fuck
😢
😂
Siku zote hafadhari ya muhuni kuliko kushika dini na kwenda kinyume chake
Hata hayo maandiko yanaelekeza kuchagua uwe moto au baridi na si vuguvugu coz mungu huwatapika
Viongozi wachache sana wanao mjua Mungu ubarikiwe Raisi Ruto
Ukitaka kuchkua cha mtu tumia maneno ya mungu😂😂😂😂😂😂
Yani cc wananchi mindumi ya kuwili kweli kila kitu makofi tuu😂😂
Mwana sihasa si kiumbe cha kuamini hata siku moja
Amelipwa kuendana na mazungumzo yake
Ukiwamuongo usiwemsahalifu
Happ hakuna rais ni maluweruwe tu.
Duhhhhhhhhh hali nitete
Ruto mwanamke
Its Dj sma again ❤