Inasikitisha jinsi "Bora Kushukuru" wimbo wa OBBY ALPHA ulivyoandikwa, nilikua napitia mazito sana
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Nimependa unyenyekevu wa huyu Kaka mungu akubariki, na endelea kumsifu Mungu na usijikweze.
He is such a humble man.. Mungu aendelee kumwinua
Mungu akubariki sana mdogo wangu endeleea kumtumikia mungu kwa nguvu zote naye atakuinua juu sanaaa
Amazing song.watching from 254
Dah kaka uko vzr saan kaka mkubwa Imani ndo Kila kitu katika maisha yetu
Hakika Mungu amekutumia kupitia wimbo huu. Barikiwa sana
kabisa, kaka ni ngomma kubwa sana
Nimekuelewa kaka ubarikiwe na nyimbo nzuri
jamani nyimbo nzuriiiiii Sana Kaka anaweza by glory
Mungu akubariki Sana,huo wimbo umenitoa machozi jamni barikiwa Sana na Mungu akuinue Zaid 🙏
Huu wimbo umenitoa Machozi
Mungu akubariki bro
youre a true inspirition and God is Moving with You
Kaká ubarikiwe kwawimbo wako boraha... God bless you my brother thanks .
Shalom kk ubarikiwe sana na mungu akutunze vema
Umetisha kwa kweli by rehema mungu akubariki🎉🎉
Mungu azidi kuku inua na kukubariki ,ni nyimbo nzuri saaana huchoki kusikiliza
umeona heee?
wakwanza leo naombeni lik zng
Mungu akubariki na nyimbo zako
Kijana umetisha sana mungu akuzidishie san
Big up broh..karibu kenya 🎉
Very nice song 🎵 👏🏿👍🏿🙌🏿👋🏿
God bless you brother
God bless you abundantly young boy
Ubalikiwe sana bro uko vizuri sana kila wimbo ukitoa ni mzuri tu
Very talented boy
ukisikia bonge la nyimbo ndio hili sasa watu wa dini zote wanaeza kuimba hii nyumbo kwa kweli
umeniguza sana bro,,,,,tia bidii🙏🙏
Nakukubali sana kaka obby
😢 balikiwa sana obby dah kwel huduma ngum ila Hapo ulipo fika Mungu akupandish zaid
Nimekufahamu baada ya kukuona kwenye nyimbo za prophet David Richard.
Nakubali kaka
Ndugu ubarikiwe sanaa
Bro unapiga nyimbo kali
❤❤❤ unante kaisia zawatu
Duuuu bwana mdogo kiukweli unajua sana
Aisee.. huyu mwamba ni mkali .
Namkubali❤❤❤
Redgum🥳🎉
Mungu nimwema
Sikuwa namjuwa.lakini ku pitia uwimbo ndipo nikamfatilia nakumjuwa
Unajua sana alfha MUNGU azidi kukupambania
Mimi ni mu islamu ila naupenda uyu wimbo natokea burumbi🇧🇮
❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu hutenda makubwa pale unapoanza kukata tamaa
❤
👊👊👊
HUYU MWAMBA NAMUELEWA SANA
Sauti ya mtangazaji inataka kufanana na milard
Borakushukuru imefanya niweshabiki ako obby mziki mzuri haujifichi tunanategemea makubwa kutokakwako
❤❤❤❤❤❤❤❤❤