ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
From Dar.Mungu amemuinua. Azidi kuimarisha vipaji vyako kwakweli.. Umegusa wengi Alpha.
Wooooow!!!Historia yako imenigusa sana bro.Tangu nikuone kwenye video ya ombi langu umetokea kunivutia sana uimbaj wako na message yako.Nakuona mbali sana kaka ndani ya muda mfupi.Mungu azidi kukubariki na kukupa kibali zaidi.
Barkiwa
Uyu jamaa apewe tu sifa zake kwa ukweri maana daaa!! hii nyimbo ni noma Sana
Mungu hufanya njia pasipo na njia.
Nimekuja baada ya kusikia nyimbo yako mpya bora kushukuru, wewe kaka Mungu akuinue zaidi amen 🙏🙏
Obby your my favorite man of God popote ulipo mungu aniinue sana
Barikiwa Sana Obby Mungu aendelee kungariza Nuru za uso wake katika Kila hatua unayo ipiga na njia unayopita🎉
OBBY stay blessed my brother, you are blessing my Soul with ur Songsmy favorite song is KAA NAMI, l'm in Love with the song.keep On in CHRIST🖊️🤞
Kaka Obby umehubiri sana katika hii interview. Hongera kwa huduma. Usiinue mbawa tu mtumishi, kunakikubwa kwako, ila cha Bwana. Barikiwa sana.
Obby Alfa, uko vizuri sana brother. Big up sana 💪🏾💪🏾
Obby alpha ❤️❤️❤️faka ya mungu mung amekuaamini pepelusha bendela ya yesu kiristo
Sawa kaka
🙏
Ubarikiwe mtumishi kwa nyimbo za ujumbe
Mungu akubarki xanaa maana hii nyimbo imentoa mahal
KAZI yako ni nzuri mtoto wangu OBBY
Emmanuel from Tanzania 🎉🎉 mwanza ...God bless you obby
Kijana anaimba nyimbo nzuri Sana Kama unishangaze ni nzuri sana kwakweli
Kutoka Dubai. Yn hii nyimbo mi mwislam lkn naipenda sn
Jamani hongera sana Mdogo wangu endelea kumtetea Mungu usibadilike
Obby mungu akuongezee
Amen san kaka obby alpha mungu ni mungu wa nyakati na majila yake
I love Washangaze and Ombi langu..... Keep it up Mr.Obby
From Tanzania Exactly kuna wat Tunapt alipopit! Sem nn Anatuwek gado sanaa. Mung azd kukubarik
Kaka obby mungu akubariki zaidi nami natamani sana jamani lakini mungu yupo
waoo hongera sana kaka nakusikiliza nikiwa tanzania hapaa naitwa chris masongs mim piy nimuimbaji wanyimbo zainjili nahimani ipoo siku namim piy ndafikia hapoo hasantee
From Nairobi ,Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪nakukubali bro🙏👌
Wow u re an evangelist brother, u. Preach the gospel..Lusaka Zambia is watching
You are the best my brother go
Watch from Istanbul Turkey 🇹🇷 🦃 Pamoja sana
Mungu Akubariki sana sana wimbo wa ombi langu umenigusa sana na watu wengi. Mungi akupake mafuta mabichi kijana wetu. Hii interview nimejifunza mengi
Nipo America, Richmond Virginia.. wimbo wake ume kua baraka sana kwangu.
Du uyu kijana namkubari sana kama uu mwimbo wake ni bora nimshukuru mungu umenigusa sana unaweza baba sbgu
Yupo vizuri Mimi kama Mimi namkubali
More blessings my brother I like your works❤❤❤
Obby mungu azidi kukutunza na kuipigania huduma yako na ifike mbali na watu wamujue yeye to
Hongera sana OBBY. Swolwezi ZAMBIA
Yuko very humble! Mungu azidi kukubariki Obby! 🙏🏾
Namkubali sana brother
Brother uko vizuri Mungu wa mbinguni akibariki
School mate💯🙌
Hongeraaa sanaà kaka Kila atua dua
tnzania kaka mungu anabadilisha
Where are theUnited States uwa nawafatilia sana kwa kazi yenu zuri
Mungu akubariki sana,,yaani wimbo wako unanibariki sana,yaani kazini naimba nyumbani naimba nipo ndo wimbo wangu wa siku
Nice natizama kutoka india 🇮🇳 ubarikiwe
All the way from Denmark.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi mnoo..hongera sana mkuu
❤
He is talented, God bless you brother.watching from Arusha tz
Mungu azidi kukutumia kwa utukufu wake
Barikiwa Sana kazi yenu njema
Jambo ndugu yangu Mimi Ni COMEDY MUZEE LE ROI MULUNDA OFFICIEL 🇨🇩🌍 👍🎉❤❤
Uimbaji wako unanibariki sana, unaandika vizur sana. usibadilike
Zimbabwe
Obby ubalikiwe sana ❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 my brother 🙌
❤❤ pambana kk uko vizuri
From Burundi tupo online waje tujiconect nawao
Mimi nko lindi kaka ila naomba kufanya colabo na obby naitwa ivanny namtumikia Mungu katka uimbaji🙏
From Kenya 🇰🇪 natazama nikiwa saudia Arabia tuko
Canada 🇨🇦
Dah akika mungu mwema 🙏🙏🙏
Anamacho mazuri ❤
Mungu atamfungulia mengi historia yake inafanana n yangu leo nimeamini mapacha sio mpaka wafanane matendo na maisha sema 🥺
Mm Niko arusha kijenge mwanama
kupitia kwako vijana wengi wata mujuwa mungu❤
MbeyaTanzanianatazama tokea hapa
Mungu Azidi kukuinua
God bless u so much for the touching story brother 🙏🙏
Ubarikiwe sana
Sweden tunakupata vizuri
Am Tanzania mkowa wa songwe
mm nipo Saudi
Mwadhimishe bwana
Nasikiliza nipo Oman
Broo katika watu ambao na wakubalii hata kama unijui bro nakukubalii obby by dg tito
Inakua ❤❤❤❤
Kenya
God blessed
Everyone has a sad story so nikupambana tu wengi hunywa maji ya Moto na kulala
Ngoma nimeipenda
Keep it up
Nacheki nipo Oman
Pole Kwa changamoto ulizozipata
Bahrain huku nakufatilia
Tanzania
Texas Dallas USA 🇺🇸
Nlijua mkenya
Creez favors natanani kujuwa jina rako haris
Anaitwa Obby Alpha Mwalupogo
@@fabianomswima nashukuru sana
Kaka nakubali
Tanzania njombe
mimi kutoka Mozabique
Shida IMO kwa kila mitu Kulala bila chakula nikawaida
Natizama nikiwa Dubai
AISE NINAONA
Dah history yako imenigusa pia blood by m boanerge
Oman
🔥🔥🙌
Story yako inanifunzaaa mnooo😢
Mm nipo tz
Daah life 😭
Obby alpha
ongela
Na toka Congo DRC
From Dar.
Mungu amemuinua. Azidi kuimarisha vipaji vyako kwakweli.. Umegusa wengi Alpha.
Wooooow!!!Historia yako imenigusa sana bro.Tangu nikuone kwenye video ya ombi langu umetokea kunivutia sana uimbaj wako na message yako.Nakuona mbali sana kaka ndani ya muda mfupi.Mungu azidi kukubariki na kukupa kibali zaidi.
Barkiwa
Uyu jamaa apewe tu sifa zake kwa ukweri maana daaa!! hii nyimbo ni noma Sana
Mungu hufanya njia pasipo na njia.
Nimekuja baada ya kusikia nyimbo yako mpya bora kushukuru, wewe kaka Mungu akuinue zaidi amen 🙏🙏
Obby your my favorite man of God popote ulipo mungu aniinue sana
Barikiwa Sana Obby Mungu aendelee kungariza Nuru za uso wake katika Kila hatua unayo ipiga na njia unayopita🎉
OBBY stay blessed my brother, you are blessing my Soul with ur Songs
my favorite song is KAA NAMI, l'm in Love with the song.
keep On in CHRIST🖊️🤞
Kaka Obby umehubiri sana katika hii interview. Hongera kwa huduma. Usiinue mbawa tu mtumishi, kunakikubwa kwako, ila cha Bwana. Barikiwa sana.
Obby Alfa, uko vizuri sana brother. Big up sana 💪🏾💪🏾
Obby alpha ❤️❤️❤️faka ya mungu mung amekuaamini pepelusha bendela ya yesu kiristo
Sawa kaka
🙏
Ubarikiwe mtumishi kwa nyimbo za ujumbe
Mungu akubarki xanaa maana hii nyimbo imentoa mahal
KAZI yako ni nzuri mtoto wangu OBBY
Emmanuel from Tanzania 🎉🎉 mwanza ...God bless you obby
Kijana anaimba nyimbo nzuri Sana Kama unishangaze ni nzuri sana kwakweli
Kutoka Dubai. Yn hii nyimbo mi mwislam lkn naipenda sn
Jamani hongera sana Mdogo wangu endelea kumtetea Mungu usibadilike
Obby mungu akuongezee
Amen san kaka obby alpha mungu ni mungu wa nyakati na majila yake
I love Washangaze and Ombi langu..... Keep it up Mr.Obby
From Tanzania Exactly kuna wat Tunapt alipopit! Sem nn Anatuwek gado sanaa. Mung azd kukubarik
Kaka obby mungu akubariki zaidi nami natamani sana jamani lakini mungu yupo
waoo hongera sana kaka nakusikiliza nikiwa tanzania hapaa naitwa chris masongs mim piy nimuimbaji wanyimbo zainjili nahimani ipoo siku namim piy ndafikia hapoo hasantee
From Nairobi ,Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪nakukubali bro🙏👌
Wow u re an evangelist brother, u. Preach the gospel..Lusaka Zambia is watching
You are the best my brother go
Watch from Istanbul Turkey 🇹🇷 🦃 Pamoja sana
Mungu Akubariki sana sana wimbo wa ombi langu umenigusa sana na watu wengi. Mungi akupake mafuta mabichi kijana wetu. Hii interview nimejifunza mengi
Nipo America, Richmond Virginia.. wimbo wake ume kua baraka sana kwangu.
Du uyu kijana namkubari sana kama uu mwimbo wake ni bora nimshukuru mungu umenigusa sana unaweza baba sbgu
Yupo vizuri Mimi kama Mimi namkubali
More blessings my brother I like your works❤❤❤
Obby mungu azidi kukutunza na kuipigania huduma yako na ifike mbali na watu wamujue yeye to
Hongera sana OBBY. Swolwezi ZAMBIA
Yuko very humble! Mungu azidi kukubariki Obby! 🙏🏾
Namkubali sana brother
Brother uko vizuri Mungu wa mbinguni akibariki
School mate💯🙌
Hongeraaa sanaà kaka Kila atua dua
tnzania kaka mungu anabadilisha
Where are the
United States uwa nawafatilia sana kwa kazi yenu zuri
Mungu akubariki sana,,yaani wimbo wako unanibariki sana,yaani kazini naimba nyumbani naimba nipo ndo wimbo wangu wa siku
Nice natizama kutoka india 🇮🇳 ubarikiwe
All the way from Denmark.
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi mnoo..hongera sana mkuu
❤
He is talented, God bless you brother.watching from Arusha tz
Mungu azidi kukutumia kwa utukufu wake
Barikiwa Sana kazi yenu njema
Jambo ndugu yangu Mimi Ni COMEDY MUZEE LE ROI MULUNDA OFFICIEL 🇨🇩🌍 👍🎉❤❤
Uimbaji wako unanibariki sana, unaandika vizur sana. usibadilike
Zimbabwe
Obby ubalikiwe sana ❤❤
🔥🔥🔥🔥🔥🔥 my brother 🙌
❤❤ pambana kk uko vizuri
From Burundi tupo online waje tujiconect nawao
Mimi nko lindi kaka ila naomba kufanya colabo na obby naitwa ivanny namtumikia Mungu katka uimbaji🙏
From Kenya 🇰🇪 natazama nikiwa saudia Arabia tuko
Canada 🇨🇦
Dah akika mungu mwema 🙏🙏🙏
Anamacho mazuri ❤
Mungu atamfungulia mengi historia yake inafanana n yangu leo nimeamini mapacha sio mpaka wafanane matendo na maisha sema 🥺
Mm Niko arusha kijenge mwanama
kupitia kwako vijana wengi wata mujuwa mungu❤
Mbeya
Tanzania
natazama tokea hapa
Mungu Azidi kukuinua
God bless u so much for the touching story brother 🙏🙏
Ubarikiwe sana
Sweden tunakupata vizuri
Am Tanzania mkowa wa songwe
mm nipo Saudi
Mwadhimishe bwana
Nasikiliza nipo Oman
Broo katika watu ambao na wakubalii hata kama unijui bro nakukubalii obby by dg tito
Inakua ❤❤❤❤
Kenya
God blessed
Everyone has a sad story so nikupambana tu wengi hunywa maji ya Moto na kulala
Ngoma nimeipenda
Keep it up
Nacheki nipo Oman
Pole Kwa changamoto ulizozipata
Bahrain huku nakufatilia
Tanzania
Texas Dallas USA 🇺🇸
Nlijua mkenya
Creez favors natanani kujuwa jina rako haris
Anaitwa Obby Alpha Mwalupogo
@@fabianomswima nashukuru sana
Kaka nakubali
Tanzania njombe
mimi kutoka Mozabique
Shida IMO kwa kila mitu
Kulala bila chakula nikawaida
Natizama nikiwa Dubai
AISE NINAONA
Dah history yako imenigusa pia blood by m boanerge
Oman
🔥🔥🙌
Story yako inanifunzaaa mnooo😢
Mm nipo tz
Daah life 😭
Obby alpha
ongela
Na toka Congo DRC