KIJANA ASIYEONA MWENYE KIPAJI KIKALI CHA KUIMBA, ANATOKA KAMBI YA NYARUGUSU, ALIPOTOKA FOUNDER TZ
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ต.ค. 2024
- Kutana na Kijana @GodfreyMteule (19) mkazi wa kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma mwenye tatizo la kutoona(Kipofu) akiwa na kipaji cha uimbaji ambaye anasema pamoja na kua ni mtu asiyeona lakini hajachoka kupambania ndoto zake na kuamua kuja kwa watanzania kuomba msaada wa kukuza kipaji alichonacho.
Ripota wa Ayo TV Kigoma alifunga safari zaidi kilometers 150 hadi katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu kufuata kipaji hiki ambapo kijana huyu anasema kwao wamezaliwa watoto tisa na yeye ndiye mtoto wa kwanza ambaye anasema hawezi kumkufuru Mungu kwa jinsi alivyo.
Mawasiliano 0752768451 ( M-Pesa )Jina Bawili Issa.
Uki hambiwa hii ndiyo Nyarugusu camp
Unabidi usi hongei Mara pili🎉❤🙏🙏🫡
Mungu aku tangulie ndugu Yang 🙏
Mungu atakufanyia wepesi kwa maradhi yako
Jamani kama mmeguswa na na huyu dogo naomba tujuane
Hujafa hujaumbika ,Mungu wetu ni mwema hakunyimi kila kitu.
Polee sana 😢😢😢 Allah akufanyie wepesi inshallah 😢😢
Mungu akubariki Sana Kaka .... Hakika naona hukuu wa MUNGU Ndani Yako.... Amen 🙏🏼
PAMBANA SANA KAKA UNAKIPAJI
Mung hamutupi mjawake ukipewa kilema unapewa na mwendo mung atakujalia kaka usikate tamaa pia wew ni wasaman sana Niko pamoja na wewe 🎉🎉🎉.
Kama wewe mbembe nipe like yangu 😢😢😢😢
Mungu akutie nguvu .Amen mungu ni mwema katika kila jambo❤
Hiyo nyimbo naisubir jmosi hyo dogo anajua sana mungu awe nae
Mungu akupe tumaini nafaraja katika mapito yako
Dah mwenyezi mungu Akusimamie IshaAllah
Natamani ningekuwa na chochote kitu Cha kusupport huyu kijana ila Sina. Kikubwa ameonekana Kuna watu watamsaidia afikie malengo yake na ndoto zake zitimie
Kwa nn msimtengenezee laini tumchangie na mkaenayo nyinyi mumjengee vizurii alale pazurii angarau tuchangie kwa mwezi mzimaa embu fikirieni ivyoo. #millardayo
bila shaka namba inapatikana sehemu ya description,
Mungu azidi kumfungulia milango.
Mungu akikupa kilema hakunyimi mwendo 😢😢😢😢
Mashallah Allah akubaliki sana ufikie ndotozako inshaallah
Jaman kakaangu God bless you❤
Kama unaamin kipaji kipo kwa ndg yetu weka like hapa 👍
Daaaaaaah 😢😢😢😢 god preced you my brother 😢 💔
Halafu anajua kujieleza Hadi raha Mungu ampganie kwa kweli avuke maana yuko kwenye kipindi kigumu😢
Mungu awe nawee
Kipaji kipo mungu akuongoze
Mungu akuaaidie sana jamnii
Mungu akubariki sanq
Mungu yupo atafungwa njia
Mungu yupo one day yes 😭😭😭😭😭
Link ya wimbo please
aiseee huyu mkaka ako na kipajii
😭😭😭😭😭pole sana kaka🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Pole sana kaka😢
😭😭😭Dah, Mungu awe nawe
Poe kijana wanguuu😢😢😢😢
Allah huakbal
Alhamdullha 😢❤
😢😢Mungu hajashindwa kitu
🎉🎉
😭😭Mungu akutanguliye
NAOMBA namba ya mteule
😭😭Pole Sana
😢
Wa pili leo
Kutowa msada au kufanya nin😂😂😂 WATU WANAOMBA MSADA WEWE UNASEMA WA PILI KWA KOMENTI KUMANINA😂😂😂
Msenge ww
😭
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢