We ndo huna hakili wala hufatilii hii. Kwa sasa haya yanayotokea ni mpango mkakati wa putini na China kuishusha uchumi wa magharibi. Na hii sii kwa babati mbaya ni mpango huu
Hawa ulaya wanapotezwa na marekani. Ipo Siku watakuja kuamka wanakuta nchi maskini. Muda wote wao kuwaza vita, kufanya nchi za wenzao kuwa maskini wao wapate , hawawazi win-win situation
Wale ni wazungu sio weusi…Ulaya imekuwa na nguvu kihistoria..Tambua kuwa Romani Empire itafufuka tena. Kwa hiyo mnaotarajia Ulaya kuanguka, mtasubiri sana.
@@shubebunyesi542 Unajua mpinga Kristo atatokea wapi?? Yule mwana wa kuasi atakayetawala dunia na kuawaamru watu wote wamwabudu yeye, atatokea wapi????? Au hujui mambo ya kinabii ya huhusuyo siku za mwisho??
Kwani ye kwenda china itakusaidia nn wewe, tumeanza kushuhudia nyerere akienda china mala nyingi, na hakuna cha maana kutoka china, zaidi ya wao wachina wakituletea mikopo ya mashart ya hovyo, kweli, mauzo ya biashara yao kwetu 90% sisi tunapeleka bizaa zetu 3% wao huona kama bizaa zetu takataka TU. Tumia akili sio matope ulionayo kichwani mwako.
@@martinisadru9899 mpuuzi usikariri... lifes change Kwan ulipokuwa unavalishwa napi sasa hv wenzako wanavalishwa pempas... Hayo unayoongea hayana mantiki kwan anayekupa challenge na chake anataka na ww upambane na ww uwe na chako... halaf usichukulie hio mishoga yko mizungu mibaguz ni Sawa na wachina
Wale ambao wanataka Urusi amalizie Vita haraka kwa kutumia Rasilimali nyingi Sasa wanapata Majibu, Angefanya hivyo angepata madhara yeye....Lakini vita ikichukua mda mrefu Nchi za Magharibi ndio zitaumia zaidi kuliko Urusi, ijapokuwa uwezo wa kumaliza vita anao ni GAME PLAN TU.
Wangu wa ulaya ni wajnga Sana sisi Africa ni umaskini n Elimu ila ujnga wao wa kujitkiya wa kushkiwa na Wamarekani ndio uliyowafkiya apo Mrusi ni kama Maji usipoyanywa utayakoga hauna namna
Ninachoona hapa ni kwamba nchi za magharibi zinafuata sana mkumbo bila kujali wao wanahitaji nini, yaani wakiambiwa tu na bwana wao marekani wanafuata tu bila kuangalia wao wataathirika vipi, German waliambiwa na MAREKANI waache kutumia gesi ya urusi nao wakaacha hawangalii kuwa huyo anaewaambia yeye yuko very far na hategemei urusi kwenye nishati yake
Mchina hawezi kushindana na majitu yenye akili nyingi,, akina Elon musk, wameshatengeza engine za maji, tayari kuimaliza technology ya gari za umeme. Hivo mchina atabaki kutengeneza battery za simu.
NATO wamerusha jiwe gizani wamemfungia urusi uchumi wake udumae Ngoma inawarudia wenyewe Yani baada ya Ukraine kukubali vita viishe wataomba wao haraka soon😂😂Putin ni genius 🧠🧠
Mrusi aliwambia na hamkuskia leo nimatokeo sahihi na kwetu Africa huu niukombozi sahihi acha tuone panapo vuja zaidi
Hii game Marekani kaicheza vizuri sana yani Kaingiza Ulaya kwenye Vita ya Ukraine ili yeye uchumi wake ukue..
wote USA na ulaya wanapumilia pabaya blood,ila ulaya zaidi kwa sababu walikuwa tegemezi tangia kitambo
Hata marekani yenyewe amna kitu kiuchumi uchumi umezorota kinoma
Mbaka wasemeee kazi kazi ptini wabane mbaka wakubariii MUNGU wetu soteee😂😂😂😂😊
Asa putin anaingiaje apo kama sio uhaba wa elimu ujakukomboa paka saivi😂😂😂
We ndo huna hakili wala hufatilii hii. Kwa sasa haya yanayotokea ni mpango mkakati wa putini na China kuishusha uchumi wa magharibi. Na hii sii kwa babati mbaya ni mpango huu
@@tekashisixtynin9threewithd727 nishati kubwa wanachukuwa kutoka urusi. Msikilize huo mtangazaji vizuri
Hahahahaaaaa pitini hahusiki katka hili jamani bali ni ubunifu mpya wa kisasa ambao baada ya miaka kadhaa ijayo utasikia mengine tena
Afu ujue putin hamjui Mungu hiyo ni nchi ya miungu pamoja na China, india. Korea kasikazin pia!
Umeelezea vizuri sana Ali Masubi
Walionywa na rais wa urusi Mr. Putini hawakusikia sasa wacha dawa iwaingie
Chase game ya Narand modi,v Putin na Xi
Hawa ulaya wanapotezwa na marekani. Ipo Siku watakuja kuamka wanakuta nchi maskini. Muda wote wao kuwaza vita, kufanya nchi za wenzao kuwa maskini wao wapate , hawawazi win-win situation
Nchi za magharibi Trump huwa anawambia ukweli lakini wanamwona kama mjinga
Kumbe ulaya nao watumwa wa america?
Daaah kiukweli nimeumia sana kusikia hivyo sababu vw ndo gari la ndoto yangu
FUATILIA ISHU YA TOYOTA KUJA NA GARI INAYOTUMIA MAJI KUSHINDANA NA MAGARI YA UMEME
Ni Toyota model ghan series ghan hebu tupe code
Mtu wa kwanza kufumbuwa gari ,holikopta na pikipiki ambazo zinatumia maji ni kutoka Zimbabwe .
saafi saana aisee! wakowapo wale wapuuzi wanaosema russia ndiyo inaumia saana😂😂😂😂😂
China oyee
Rise of Rusian Empire ✌️✌️
Vikwazo vinawarudia wao.asante mungu
Ujerumani ndo itakapo jua kuwa kinacho jamba ni tumbo ila matako hutumika kama spika tu!
Wale ni wazungu sio weusi…Ulaya imekuwa na nguvu kihistoria..Tambua kuwa Romani Empire itafufuka tena. Kwa hiyo mnaotarajia Ulaya kuanguka, mtasubiri sana.
Kwan mzungu ndy mungu acha kufikil kwa muamko@@BarnabaBuhoma
@@BarnabaBuhoma hahaha ant ulaya man kufufuka tumsubili yesu kwanza
@@BarnabaBuhoma hawato anguka ila kuna viongozi watajiuzuru nawengine wapo watakao pigwa hadi risasi
@@shubebunyesi542 Unajua mpinga Kristo atatokea wapi?? Yule mwana wa kuasi atakayetawala dunia na kuawaamru watu wote wamwabudu yeye, atatokea wapi????? Au hujui mambo ya kinabii ya huhusuyo siku za mwisho??
Upo vizuri kk
Wafunge tu me mwenyewe nilifunga grosary mchawi visungura
Nchini Ulaya tena
waingie kuzalisha magari ya umeme
Unemployment rate itakuwa kubwa sna ghali ya uchumi ni mbaya sana
Mama Samia kafanya chaguo Sahihi kwnda China 🎉
Jamani unachekesha kweli
@@user-sy4ku4xm7qyuko sahh
Kwani ye kwenda china itakusaidia nn wewe, tumeanza kushuhudia nyerere akienda china mala nyingi, na hakuna cha maana kutoka china, zaidi ya wao wachina wakituletea mikopo ya mashart ya hovyo, kweli, mauzo ya biashara yao kwetu 90% sisi tunapeleka bizaa zetu 3% wao huona kama bizaa zetu takataka TU. Tumia akili sio matope ulionayo kichwani mwako.
@@martinisadru9899
Uko Sawa
@@martinisadru9899 mpuuzi usikariri... lifes change Kwan ulipokuwa unavalishwa napi sasa hv wenzako wanavalishwa pempas... Hayo unayoongea hayana mantiki kwan anayekupa challenge na chake anataka na ww upambane na ww uwe na chako... halaf usichukulie hio mishoga yko mizungu mibaguz ni Sawa na wachina
Safi, bado hawajasema
Wale ambao wanataka Urusi amalizie Vita haraka kwa kutumia Rasilimali nyingi Sasa wanapata Majibu, Angefanya hivyo angepata madhara yeye....Lakini vita ikichukua mda mrefu Nchi za Magharibi ndio zitaumia zaidi kuliko Urusi, ijapokuwa uwezo wa kumaliza vita anao ni GAME PLAN TU.
Kweli kabisaaaaaa!!
Dah lifebits not fare 😭😭 mchina Mungu anakuonaa
Ttzo wanamskilza marekan sanaa
Wangu wa ulaya ni wajnga Sana sisi Africa ni umaskini n Elimu ila ujnga wao wa kujitkiya wa kushkiwa na Wamarekani ndio uliyowafkiya apo Mrusi ni kama Maji usipoyanywa utayakoga hauna namna
Ninachoona hapa ni kwamba nchi za magharibi zinafuata sana mkumbo bila kujali wao wanahitaji nini, yaani wakiambiwa tu na bwana wao marekani wanafuata tu bila kuangalia wao wataathirika vipi, German waliambiwa na MAREKANI waache kutumia gesi ya urusi nao wakaacha hawangalii kuwa huyo anaewaambia yeye yuko very far na hategemei urusi kwenye nishati yake
USA anaua uchum wa ulaya bila ulaya yenyewe kujua rais wa zaman alisema ni mbaya kua adui wa marekan ila ni hatari mno kua rafiki wa marekani
Daah hatari sana hii
Ujerumani hamjui adui yake wala rafiki yake yupo t amemkumbatia mmarekean wakat kw mrusi alkua atapat kila kit kw unafuu
Myumbo wa kiuchumi😊
Hawa mpka wajitambue kuwa marekan anawatumia wao 😂😂😂ndo wataokoka
Amka amna kitu kama icho
Master plan amekaa pembeni saizi.ukiona mkubwa analia sio mchezo walishiliki kulipua bomba la gas ya mrusi leo inawaumiza Sana.
Watu laki 3 wanakosa ajira
Intel waje Tanzania tu
Baada ya muda nchi za magharib zitakuwa kwenye hali mbaya sana kiuchumi
Na bado watafunga kila kitu
Mpaka wanye mashoga pumbavu zao.
Mmarekan ndio mana anataka vita, dadeeki
Mchina hawezi kushindana na majitu yenye akili nyingi,, akina Elon musk, wameshatengeza engine za maji, tayari kuimaliza technology ya gari za umeme. Hivo mchina atabaki kutengeneza battery za simu.
Man sijui unafuatilia taarifa zako sehemu gani, wake up
Ya engine za maji zipo jiani so soon tuta slide 😂😂😂
Hata hay magari ya kutmia maji yakij yataanza moja tu na bad mchina atakuw juu vil vile
Never underestimates power of Chinese and Chinese economy broo.
@@anny19988 naifaham sana hiyo kampuni, mchina ana man power kubwa sana
Kunekucha kidile mwali kivika china
NATO wamerusha jiwe gizani wamemfungia urusi uchumi wake udumae Ngoma inawarudia wenyewe Yani baada ya Ukraine kukubali vita viishe wataomba wao haraka soon😂😂Putin ni genius 🧠🧠
Kipigo Russia
😅😅😅😅😅
Wazungu wanapropaganda sana yaani wanatuona wajinga sana eti
Mmarekan ndio mana anataka vita, dadeeki