Mwanga Wa Akili (Intelligence) Dr.Elie V.D Waminian.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ส.ค. 2024
- Sisi ambao tuna mwili tupo na medium yaani tupo katikati kwa sababu ya kudalishana.Watu wengi tunashida ya hilo kwa sababu hatuna medium sio fedha kama tunavyoitafuta bali tunatakiwa kutafuta vitu vinavyoendana na fedha kama medium kwaajili ya kubadilishana vitu mbalimbali.Fedha inapita kama medium na sio kwamba itakaa tu vile tunavyoiona,kumbuka fedha sio mbaya bali ni upendo utakao kaa ndani ya iyo fedha yaani kupenda fedha.
#ChomozaTv #DrElie #MwangaWaAkili
Good work,Kazi nzuri Hekima nzuri,maarifa mazuri,Busara nzuri kipindi kizuri.
My sincerely appreciation to team chomoza and special thanks to Dr. Elie, I pray Heavenly God to grant you many years! You are a blessing.
Asante dr
Dr. Ahsante tena kwa kuendelea kutumika.
Somo la leo limekuwa kubwa sana kwangu, bado naendelea kutafakari labda wiki ijayo nitafungua uelewa zaidi.
MUNGU akubariki.
Asante sana Dr eli umehuska kutumika kuwa mfunguzi wa mambo mengi yaliyo fichika
No ya Dr nnamaswali kwake
Wisdom
Mbarikiwe sana thank you time chomoza
Mungu awabark timu chomoza
Kwakweli huwa mnani gusa sana chomoza mungu awabariki sana jamani # dr elie shikamoo baba.
Real dr. Uko vizuri
Be blessed
Team chomoza na Dr Elly kazi yenu ni njema, Mungu azidi kuwabariki. Dr Elly naomba ufafanuzi zaidi nawezaje kujua kipaji changu?
kipindi kinacho nipa hamasa ya maisha mungu awe nanyi sana
Kazi inakwenda vizuri sana nawashukuru sana
Namuelewa sana Dr..... Mbarikiwe
Masomo haya kila uchao najifunza sana, leo umenilenga Mimi, thank Dr . God bless you.
From Qatar
Amen
Thanks doc
Iko poa. Nazidi imarika katika kuishi na binadamu wenzangu
nataka kuonana na dr jamani
Saf
kipindi changu bora na sijawai panga kukikosa