MAKOMANDO WATUA KWA HELIKOPTA KWENDA KUMUOKOA MWENZAO ALIVYOTEKWA, SILAHA NZITO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 414

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l 5 หลายเดือนก่อน +14

    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿 ♥️

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 5 หลายเดือนก่อน +5

    Hizi n comedy naona😂

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 5 หลายเดือนก่อน +8

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana

  • @IsaacfilsUnefamille
    @IsaacfilsUnefamille หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ni mwanzo na mwisho🙏🙏🔥

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 หลายเดือนก่อน +2

    Hatari sana jeshi letu mungu azidi kuwalinde

  • @FrankChuma-ug4bj
    @FrankChuma-ug4bj 6 วันที่ผ่านมา

    Kazi kaz❤

  • @TheBestPhone7918
    @TheBestPhone7918 5 หลายเดือนก่อน

    Wamejitahidi sana na hongeren majeshi yetu kwa kazi nzuri mmejitoa vilivyo

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 5 หลายเดือนก่อน +17

    Naipenda nchi yangu Tanzania 🇹🇿 ❤

    • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
      @sanoureyaliwadoakaroyo1696 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa Izo Comedy zao😂😂😂

    • @abdulmnondo76
      @abdulmnondo76 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@sanoureyaliwadoakaroyo1696 Fanya na ww hyo comedy
      Acha dharau
      Nyie ndo ambao mkiskia sauti ya risasi tu mnaanza kuhaha

    • @Bmsecret
      @Bmsecret 5 หลายเดือนก่อน

      Muongo huipendi nchi yako no TANGANYIKA znz haikuusu

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md 12 วันที่ผ่านมา

    Mama ana upiga mwingi💪♥️🇹🇿

  • @user-vh2nk5gz5p
    @user-vh2nk5gz5p 5 หลายเดือนก่อน +6

    Huwa natamani sana kusikia maswali ya mama kwa mkuu wa majeshi aonapo movie hizi kaliii live 😂😂😂
    Hongera kwa wanajeshi wetu,hongera kwa mama nchi imetulia chini ya uongozi wake...
    Afya njema na maisha marefu kwako Rais wetu ameeeen

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 5 หลายเดือนก่อน +12

    Nendeni Gaza mkafanyie practical😂

    • @stellanyamuhogota1832
      @stellanyamuhogota1832 5 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂

    • @ngoymulunda3978
      @ngoymulunda3978 5 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂

    • @user-bx7zk7to8k
      @user-bx7zk7to8k 5 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 5 หลายเดือนก่อน +1

      🤣🤣🤣🤣you pple you gonna kill me ooohh

    • @user-uo8xw9kr4b
      @user-uo8xw9kr4b 5 หลายเดือนก่อน +1

      Wapo congo sudan na kwengneko.

  • @micheckwachira
    @micheckwachira 10 วันที่ผ่านมา

    Hhhhaaaiiaa sijaona Kenya ikifanya hii waaa inapendeza

  • @samwelmigera7274
    @samwelmigera7274 หลายเดือนก่อน

    Kazi njema,Mungu azidi kuwatunza daima

  • @Pira-gm4gr
    @Pira-gm4gr 3 หลายเดือนก่อน

    Interesting. Love from Kenya

  • @bestmilltz7071
    @bestmilltz7071 5 หลายเดือนก่อน +3

    Yaan adui awaangalie bila kufyatua risasi😂😂😂

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 2 หลายเดือนก่อน +1

    very nice

  • @user-mj3un2iv6v
    @user-mj3un2iv6v หลายเดือนก่อน +2

    nataman kuwa mwanajeshi one day

  • @elizabethjakobo279
    @elizabethjakobo279 4 หลายเดือนก่อน

    Nawapenda Sana
    Naomba Mungu tu anipe mume mjeshi mimi❤

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md 12 วันที่ผ่านมา

    Cngilatueshen komamndo 🇹🇿♥️🌹

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 หลายเดือนก่อน +1

    Vizuri sana makomando

  • @CarlosedwardMlaponi
    @CarlosedwardMlaponi หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂wahuni 2 hawa😂😂😂

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu ibariki nchi yangu Tanzania

  • @user-dj5fo9fk9l
    @user-dj5fo9fk9l 5 หลายเดือนก่อน

    Hongereni Wana jeshi letu la tz kwa kituonyesha uhodari wenu nawaponeza sana tu.

  • @stevejeremiah4497
    @stevejeremiah4497 5 หลายเดือนก่อน +18

    😆😆😆😆kama hivi ndivyo tunavyoweza kuokolewa kutoka mikononi mwa adui,
    Basi tutaokolewa sote tukiwa maiti.
    Ila Bongo kuna vituko

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA 5 หลายเดือนก่อน +1

      Ukiwa hujui kitu usicoment

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 5 หลายเดือนก่อน +1

      Mapenzi mabaya kweli hivi hamars wana mateka na urusi pamoja kuws na jeshi bora duniani jumlisha washirika wake wameshindwa haya ni mazingaombwe kuiwalisia haipo ongera mapinduzi

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 5 หลายเดือนก่อน

      Nipe mbinu nyingine tofauti na hiyo inayotumika kuokoa watu ? Hawa kuna nchi umeona wanapeleka maroboti ? Punguza ujuaji😂

    • @simonmoneni6768
      @simonmoneni6768 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂,,hizi ni vituko gani jameni

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@AbdulatifSaidykuna mbinu nyingi sana, hii ni common mno among sf community huko dunian si kitu kipya

  • @gilbertchebet7411
    @gilbertchebet7411 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂hii movie ya dj afro hapa kenya

  • @erickotieno988
    @erickotieno988 2 หลายเดือนก่อน +2

    ❤ vipi

  • @BenMugo-tl9ef
    @BenMugo-tl9ef 25 วันที่ผ่านมา

    Nice pitch here...

  • @DicksonBanda-cq6wm
    @DicksonBanda-cq6wm 21 วันที่ผ่านมา

    This is so special deal of our Military personnel

  • @sonmsb1839
    @sonmsb1839 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana JW

  • @Sifa_film_tv72
    @Sifa_film_tv72 5 หลายเดือนก่อน

    Wow Mungu IBARIKI Tanzania🙏

  • @IssackMaingu-ng5lk
    @IssackMaingu-ng5lk 5 หลายเดือนก่อน +2

    Sherehe zimefana ila kubwa kuliko yote ni uhodari wa jeshi letu limetuonyesha ufanisi wa kazi wa hali juu sanaa, naomba mungu aendelee kuwapa nguvu, maarifa na afya ili tuendelee kuwa juu zaidi na zaidi(NIMEFURAHI SANA)

  • @jamestatio-wo9nr
    @jamestatio-wo9nr หลายเดือนก่อน

    Ee mungu saidia inchi yetu

  • @izzahboe1442
    @izzahboe1442 5 หลายเดือนก่อน +16

    Kwa izi mbinu zetu waafrika na technology ya sasa tunaweza kuwa tunapigika kila siku maana toka kwa nyerere ni ivi ivi tuu😅😅

    • @user-jo1zp7fj7r
      @user-jo1zp7fj7r 5 หลายเดือนก่อน

      Ahahahaha

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 5 หลายเดือนก่อน

      Nunueni Black Hawk helicopter za Marekani zisizo na sauti,mwulizeni Osama kilichomkuta.

    • @Pretty22750
      @Pretty22750 5 หลายเดือนก่อน

      ​@@pennymahombo9528😂😂😂😂kwn marehemu huwa wanaongea nowadays

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 5 หลายเดือนก่อน

      Kwenye mbinu za uokoaji type mbinu mpya tofuati na hizo za ndege au gari ? Au kuna nchi wanatumia roboti punguza ujuaji😂

    • @user-di9tm7el2r
      @user-di9tm7el2r 5 หลายเดือนก่อน

      Awee watakufa saana tusiombee

  • @jafarymsangi387
    @jafarymsangi387 3 หลายเดือนก่อน

    Harmonize ye alitua na makalio😢😢😢

  • @zaiduothmani5771
    @zaiduothmani5771 5 หลายเดือนก่อน +7

    Unataka tutangaze mbinu za siri ya nchi yetu ili ituumize iyo ni furaya yetu sisi tu wananchi ila sio kwasbb ya vita

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 5 หลายเดือนก่อน

      Walansi za siri, ni very common

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 5 หลายเดือนก่อน

      Hapo sawa nakubaari wapo sahihi kabisa

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mama yangu tuwaheshimu sana Askari wetu wanakazi kubwa sana JAMANI TUSIWASUMBUE TAFADHALI SANA🔥🔥🔥🔥

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 5 หลายเดือนก่อน +3

      Nawaza ao watekaj awajaskia saut ya helkopta😂

    • @emnanuelimtui1805
      @emnanuelimtui1805 5 หลายเดือนก่อน +1

      Kazi gani hzo zaidi ya kuonea wanyonge na kuwalinda waraji

    • @smarty1064
      @smarty1064 5 หลายเดือนก่อน

      @@msafirimaulidi5054 acha vurugu 😀😀😀😀

    • @smarty1064
      @smarty1064 5 หลายเดือนก่อน

      @@emnanuelimtui1805 wabora sana kwenye kuzuia maandamano sio kuokoa raia kwenye ndege iliyotua baharini

    • @AlwanKombo-hd3dt
      @AlwanKombo-hd3dt 5 หลายเดือนก่อน

      Haya niadui gan utakae nkamata ivoo amba mchezo wa govinda

  • @jackgodgivenzihindula
    @jackgodgivenzihindula 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 DRCongo 🇨🇩
    Iyi onyesho iliwashinda jm

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 5 หลายเดือนก่อน +2

    Ila wabongo hawajawah kuwa seriously

  • @StephensinganoNdululu-pd2ty
    @StephensinganoNdululu-pd2ty 3 หลายเดือนก่อน

    Certified well improve d

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti2996 5 หลายเดือนก่อน

    M nlipenda wanajeshi ndo muigize muv za kivita tanzania ningezipenda sana

  • @user-jv1ch4tr8q
    @user-jv1ch4tr8q หลายเดือนก่อน

    Mimi ni mburundi ila naipenda Tanzania sn

  • @franklevison9477
    @franklevison9477 5 หลายเดือนก่อน

    Yaaaan hapo badooooooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂 nchi bwana tucheke tuongeze siku za kuishi

  • @GadKasanga-je6mi
    @GadKasanga-je6mi 5 หลายเดือนก่อน

    Nakubali kazi ya jeshi

  • @justincostantine9662
    @justincostantine9662 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu ibariki tanzania

  • @ZulfaMalya
    @ZulfaMalya หลายเดือนก่อน

    Kama movie za kituruki😂

  • @user-fq7sy4lo9d
    @user-fq7sy4lo9d 4 หลายเดือนก่อน

    Noma san

  • @user-wf5up8rl1x
    @user-wf5up8rl1x 5 หลายเดือนก่อน

    Safi sanaaa..namm ningekuwa ivo.

  • @charletsada8779
    @charletsada8779 หลายเดือนก่อน

    Mko na mchezo nyinyi, polepole namna hiyo

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k 5 หลายเดือนก่อน +1

    Matumizi mabaya ya fedha

  • @reginasyomiti7862
    @reginasyomiti7862 3 หลายเดือนก่อน

    Kazi zuri kweri

  • @YahyaOmary-yi5el
    @YahyaOmary-yi5el หลายเดือนก่อน

    Ni hatari na nusu

  • @issayacharles9402
    @issayacharles9402 5 หลายเดือนก่อน

    Nilikua sipo sikia bodoo BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO BADOOOOO sanaaa😆😆😆😆 Yani BADOOOOO

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania salama iko fulu kiulinzi

  • @user-ws6rw1fj3o
    @user-ws6rw1fj3o 2 หลายเดือนก่อน

    Njoeni Mozambique mule chuma😂😂

  • @user-di9tm7el2r
    @user-di9tm7el2r 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂kama wana bomu si wanawalipua

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi 5 หลายเดือนก่อน

    Safi kabisa Tanzania oyeeeee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @geoffreywafula444
    @geoffreywafula444 วันที่ผ่านมา

    Ilikuwa lazima mugie kile askari wetu walifanya jamani?? Surely Tanzania??

  • @shaksboy-fs1pv
    @shaksboy-fs1pv 2 หลายเดือนก่อน

    One day yes

  • @alzawahirabdallah2299
    @alzawahirabdallah2299 5 หลายเดือนก่อน

    Wazee wa gaza wasinge waacha mnimginie hivyo

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd1590 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe walioteka waarabu koko😅😅😅😅😅😅😅 ila naipenda nchi yangu. Mapunduzi daima

  • @Chapesatv
    @Chapesatv 5 หลายเดือนก่อน +17

    Bora msioneshe huu upuuzi maana watu wako kwenye ubabe wa nuclear nyinyi mnaleta movies scripts 😢

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA 5 หลายเดือนก่อน +4

      Kwahiyo mateka wako unaweza kumuokoa kwa nuclear?? 😂😂😂Punguzeninujuaji

    • @fredlugome7952
      @fredlugome7952 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂kuji fanya unajua ndo madhara yakeeeee

    • @izzahboe1442
      @izzahboe1442 5 หลายเดือนก่อน +2

      Fact

    • @kabaranamaganga6646
      @kabaranamaganga6646 5 หลายเดือนก่อน +4

      Kuwa na heshima kwa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama. Cc km wazalendo tumeridhika na jeshi letu na tunalitakia kilalakheri ww endelea na Nyuklia

    • @Chapesatv
      @Chapesatv 5 หลายเดือนก่อน +1

      @@kabaranamaganga6646 Fala kweli elewa point ndio uwanze kutukana watu

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 5 หลายเดือนก่อน

    Tuliinjoi saana 😊😊

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mbinu izi msije kufanya tutawalilieni 😢😢😢

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 5 หลายเดือนก่อน

      kweeli broo ni it's very easy

    • @azmanmkwambe4917
      @azmanmkwambe4917 5 หลายเดือนก่อน

      Nirahisi sana vitu wanavyo vifanya japo sisi hatujui ila nirahisi mmno huwezi kumuokoa mtu kirahis vile et mateka jashikiriwa analindwa na mtu mmoja wee uliskiia waapi broo inatakiwa mtuoneshe mifano hai mpaka rahis mwenyew akubaari

  • @user-hx8yd9gp2q
    @user-hx8yd9gp2q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hamna kitu humu

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m 5 หลายเดือนก่อน +1

    Natamani waje na Idia nyingine mahana hii tumeizoea toka Enzi jk nyerere

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 หลายเดือนก่อน

    Wafanye mechi ya kirafiki😢na kenya 😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

    Hatar juu yahatar

  • @SonkoMolle-if3tz
    @SonkoMolle-if3tz หลายเดือนก่อน

    🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡🫡❤️🤝🤝🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿naipenda sana taifa langu😊

  • @user-me2nk2me9d
    @user-me2nk2me9d 5 หลายเดือนก่อน

    Nhhh bado sana kwan maadui wamelala

  • @edesjackson2183
    @edesjackson2183 5 หลายเดือนก่อน

    Heeeeee ngonjera ipo sk tutajamba. 😂😂😂😂 EXTRACTION. Hyo sk tutaweza kudifine vzr. Serikali iweke kipaumbele na kuimalisha vyombo vya dollar sio sanaa hivi tu. Jeshi la chini lieleweke na jeshi la anga lieleweke maendeleo yake, chuma zinaunguruma utatoka kwa EXTRACTION kwl❤ TZ

  • @HuliloDonard-gu9bp
    @HuliloDonard-gu9bp 5 หลายเดือนก่อน

    God bless my country

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hapa jwtz wanacherehesha tu ili maazimisho yapendeze mwingine akiona hiyo helicopter moyo wake unafurahi ingekuwa vita hapo uwanjani wote wangekimbia na wengi wangezimia watanzania tulipende jeshi letu kwani ndiyo letu wewe unaebeza SI upime kina cha maji harafu utajuwa kama Mzee Nyerere alikosea au hakukosea kuunda hili jeshi .

  • @user-or3gu4qc9v
    @user-or3gu4qc9v หลายเดือนก่อน

    Bado tuko nyuma ela mnapeleka wapi maneno ming ma viffaaa ya kizaman

  • @rukiamadati336
    @rukiamadati336 5 หลายเดือนก่อน

    Napenda Sana👏🇹🇿

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 5 หลายเดือนก่อน +10

    Kwa hii style ndege zitakuwa zishalipuliwa

    • @izzahboe1442
      @izzahboe1442 5 หลายเดือนก่อน +1

      Umeona wanazingua izo show za kuwaonyesha watoto

    • @siaelisteven6157
      @siaelisteven6157 5 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂😂

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 5 หลายเดือนก่อน

      Nenda katufute mbinu ya tofauti izo au kuokolewa kupitia gari ulete hapa punguza ujuaji tu😂

    • @flavourboyke
      @flavourboyke 5 หลายเดือนก่อน +1

      Huo ndio ukweli , sai technology ziko very advanced, nani atangojea mfanye hizi vitu wanafanya ama wanadhani ni movie

    • @Users2523
      @Users2523 5 หลายเดือนก่อน

      Wakikutana NA RPG za hamas hawa wamekwisha 😂😂😂😂 hizo style za kwenye movies 😂😂😂

  • @demicratia4071
    @demicratia4071 5 หลายเดือนก่อน

    Hao watekaji Watakywa wapi HADI muingie kilaini hivyo

  • @marylibaba2589
    @marylibaba2589 5 หลายเดือนก่อน

    Mamaaaaaaa,maaajabu sijawi kuona

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

    Mhh naogopa jinsi halikopta jinsi inavuzunguka

  • @vayeen
    @vayeen 5 หลายเดือนก่อน

    Ndo aseme kizimkazi jamani😂

  • @user-bv4gu5po4g
    @user-bv4gu5po4g 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂😂😂roh kazi kweli kweli

  • @ilmeldaliwanga-5772
    @ilmeldaliwanga-5772 หลายเดือนก่อน

    Safi sana Tanzania

  • @user-re6bk6cd6o
    @user-re6bk6cd6o หลายเดือนก่อน

    "Daima naimpenda nchi yangu 🇹🇿♥️

  • @daudmnanga7075
    @daudmnanga7075 4 หลายเดือนก่อน +1

    Tuko pamoja kwayote

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 5 หลายเดือนก่อน

    Good job

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 5 หลายเดือนก่อน

    Nendeni somali mkakadwee😅😅😅

  • @user-bp6vn2wi7z
    @user-bp6vn2wi7z 5 หลายเดือนก่อน +1

    Jeshi hatari Africa

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 5 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo hapo wapo kwenye anga ya kwako au anga ya adui??😂

  • @AnthonyVitalis-iy5su
    @AnthonyVitalis-iy5su 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa hapo si adui anakumaliza

  • @sierraminingltd1590
    @sierraminingltd1590 5 หลายเดือนก่อน

    Maaskari wanaulizana eti nimekaa sawa😂😂😂😂😂😂😂the Hii nchi tunacheka siku ziongezeke😂😂😂😂

  • @perisfranklin2918
    @perisfranklin2918 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tanzania mnakuanga na vituko sana, hiyo nn mnafanya kusema kweli?

  • @user-ho8lh9ke2d
    @user-ho8lh9ke2d หลายเดือนก่อน

    Sasa mbn hawagawi wastan kwa idadi

  • @KokoBidu-lu4qm
    @KokoBidu-lu4qm 4 หลายเดือนก่อน

    Kuna kosa 3,ikiwaniya ukweli mutalizwa.

  • @twahaissack7887
    @twahaissack7887 5 หลายเดือนก่อน

    Op entebee ,comoro walifanya hv hv,ongerenii

  •  5 หลายเดือนก่อน +1

    Milele festival since #coming coming

  • @Kishilibenjamin
    @Kishilibenjamin 4 หลายเดือนก่อน

    Je kungekuwapo na bomu la ardhini wangefanyaje kwa sababu hakuna ishara yeyote waliyoonyesha hususani upekuzi wa mabomu

  • @khansinterprisekhans3129
    @khansinterprisekhans3129 5 หลายเดือนก่อน

    Naipenda nchi yangu

  • @JocharlesJunior
    @JocharlesJunior หลายเดือนก่อน

    its fine

  • @Billy-gz7sr
    @Billy-gz7sr 4 หลายเดือนก่อน

    Nimefikiria Ni mchezo wa watoto

  • @yosefamlumbe7044
    @yosefamlumbe7044 5 หลายเดือนก่อน +1

    hiyo filam inatoka lin

  • @abumasoud1996
    @abumasoud1996 5 หลายเดือนก่อน +7

    Mfumo.wa.zamani huo.sasa hivindrone na satalite. Hayo maonyesho yashapitwa na wakati na wakati.dunia ya sasa hivi toknologie.watu hawatumii nguvu Bali utaalami wa nuclier

    • @JAYCLASSICMEDIA
      @JAYCLASSICMEDIA 5 หลายเดือนก่อน

      Mbna kaelezea kila kitu kwamba ulianza uchunguzi kisha wakatumwa waokozi,, Sasa hiyo drone inaweza kubeba mateka?? 😊😊Acheni ujuaji wa kishamba

    • @IssackMaingu-ng5lk
      @IssackMaingu-ng5lk 5 หลายเดือนก่อน

      Huwezi kuonyesha mafunzo yako yote kwa. sherehe kama hizi, yaliyobakia wanajua wao ila mm na ww hatujui

    • @AbdulatifSaidy
      @AbdulatifSaidy 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hayo ni maonyesho halafu drone ukatumie kuokoa mtu ? Eeh punguza ujuaji zile ni ndege ambazo hazina rubani lazma commando watumike kwenye uokoaji 😂

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 5 หลายเดือนก่อน

      Listen technology haiondoi basics za utendaji ...kinachopimwa ni utimamu na ubora wa utendaji wa jukumu ( efficiency and effectiveness ya utendaji)
      Silaha kubwa ya askari sio vifaa alivyonavyo bali ari na nia ya kupigana mpaka kufa.
      Taleban wamempiga america kule Afghanistan kwa sababu ya Nia ya kupigana mpaka kufa kwa nchi yao. Na sio silaha

    • @shaffihsiraji3141
      @shaffihsiraji3141 5 หลายเดือนก่อน

      Drone ya kubeba wanajeshi ipoje hiyo