HII NYUMBA YA YULE DADA WA UARABUNI ILIPOFIKIA SASA NIBALAA ITAZAME HII VIDEO MPAKA MWISHO UJIONEE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • #ujenzinafuu #ramanizanyumba #mwijaku

ความคิดเห็น • 133

  • @zainajirani5296
    @zainajirani5296 11 หลายเดือนก่อน +15

    Hongera Sana fundi... Ata mimi nitakutafutia.. Maana nimekufuatilia kwa hili yaan nimependa sana.. Good Job

  • @halimasanga3830
    @halimasanga3830 11 หลายเดือนก่อน +5

    Hongeraaa sana kaka. Endelea kuwa mwaminifu kwa kazi yako utafika mbaliii sana.

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 11 หลายเดือนก่อน +14

    Katika hii dunia hakuna kitu kizuli kama uwaminifu, hatakama uko masikini ila uwaminifu utakutoa hatua moja kukupeleka hatua nyingine, mimi mwenyewe nitakutafuta mdogo wangu.

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 8 วันที่ผ่านมา

    Yani we kaka wewe sina hata la kusema mimi ila tuombe dua tu inshaAllah nshapata fundi wa my dream house wallahi. Allah akuzidishie uhai na akulinde na vijicho Aamiiin🤲🏿

  • @jafariabdillah8585
    @jafariabdillah8585 11 หลายเดือนก่อน +5

    Ila kazi yako nzuri Alhamdulillah Allah akuhifadhi

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 10 หลายเดือนก่อน +2

    Bismilah ma shaa Allah, hongera sana fundi kwa kaz nzur. Na pia hongera mpambanaji mwenzetu umejitahidi ma shaa allah

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 11 หลายเดือนก่อน +6

    Asante sana fundi wangu,, ndo mimi mwenyewe mwenye huo mjengo,, nashkuru na nakuamini,,, InshaAllah ALLAH azidi kukufungulia,, maana ilikotoka hii nyumba na ilipo si mchezo, ww ni kiboko Yao,, tena unaweza sana,, hongera bro 👍👍💪umeisha kinoma

    • @faudhiasaidi3669
      @faudhiasaidi3669 11 หลายเดือนก่อน

      Naomba kukuuliza bati umenunua bei gani?

    • @ArafaAmirAmir-ci7ld
      @ArafaAmirAmir-ci7ld 11 หลายเดือนก่อน

      Nitumie namba zako nikulize

    • @aishahassan9812
      @aishahassan9812 11 หลายเดือนก่อน

      Mashallah umeweza mama hongera sana

    • @RachelRachel-zx6dx
      @RachelRachel-zx6dx 11 หลายเดือนก่อน

      Mnaekoment mnajuaje nikweli huu mtandao kila moja anajinad

    • @omanomqn4345
      @omanomqn4345 11 หลายเดือนก่อน

      Bati kwa gharama zote hadi kuezeka ni milioni 7 kesh

  • @Biligeti-bl2xz
    @Biligeti-bl2xz 11 หลายเดือนก่อน +1

    Alhamdulilah mungu aendelee kubaliki KAZI za mikono yetu 🙏🙏 SANUKA MEDIA 🇹🇿🔥🔥🔥💯💯💯. KAKA

  • @kakasteve7117
    @kakasteve7117 11 หลายเดือนก่อน +2

    Bila kupepesa macho bro uko vizuri sana.

  • @grasygrasy1701
    @grasygrasy1701 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera sana fundi kazi nzuri

  • @simonsmithajax
    @simonsmithajax 10 หลายเดือนก่อน +1

    Greetings from the Netherlands

  • @DotoMambo
    @DotoMambo วันที่ผ่านมา

    Kaka Mimi nipo Oman nitapokuwa tayali kwa ujenz inshallah ntakutafut

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm 3 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri sana kaka. Nitafute wassup tuongee nahitaji nyumba ya vyumba 3 uniambie garama niandae pesa kiasi gani

  • @SaudaMohm
    @SaudaMohm 11 หลายเดือนก่อน

    Inshaallah Mungu akupe umri mrefu Kwa kazi nzuri unazofanya

  • @daniellepari4525
    @daniellepari4525 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana fundi nimefutiwa na kazi yako nzuri

  • @asiasuleman8750
    @asiasuleman8750 2 หลายเดือนก่อน

    Nimependa sana kz yako nikifikia iyo hatua ntakutafuta insha allah

  • @Beatrice55-h4l
    @Beatrice55-h4l 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kwa kazi nzuri Mr house 🏠

  • @ashahassan2120
    @ashahassan2120 9 หลายเดือนก่อน

    Hongra sana kaka uendele kutusaidia na mungu akulinde

  • @MonadiNadi-j6s
    @MonadiNadi-j6s 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hyo milango nimeipenda na madirisha❤❤ ntakutafuta

  • @MaryamHAMISI-ei9fq
    @MaryamHAMISI-ei9fq 2 หลายเดือนก่อน

    Nakufatoli kakake umovizuli mashallah 🎉🎉

  • @munaomar9532
    @munaomar9532 11 หลายเดือนก่อน +5

    Jee zanzibar utanifanyia namimi nipo oman

    • @fuadmohammedamour9027
      @fuadmohammedamour9027 10 หลายเดือนก่อน

      tutakujengea wengine kwa hapa Zanzibar

    • @sophiakassim6784
      @sophiakassim6784 8 วันที่ผ่านมา

      ​@@fuadmohammedamour9027😅😅😅😅 nimecheka kama mazuri, shida sio kujenga jee uaminifu, ubunifu na upekee(uniqueness) unao?😂😂😂

  • @firdaus7428
    @firdaus7428 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mmekutana mitandaoni tuu kaka ni muanifu sana na waonesha unapenda Maendeleo huna husda kaka 👏

    • @zulekhasaud483
      @zulekhasaud483 11 หลายเดือนก่อน

      Jaribu na ww uwone

    • @firdaus7428
      @firdaus7428 11 หลายเดือนก่อน

      @@zulekhasaud483 In shaa Allah ukhty

  • @edsonjosephat4777
    @edsonjosephat4777 11 หลายเดือนก่อน

    Kazi nzuri kaka, Mungu akubariki.

  • @godwintenesi3307
    @godwintenesi3307 9 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri sana Mr House.

  • @felixrobert9734
    @felixrobert9734 11 หลายเดือนก่อน

    We bro hakika n fundi mungu atazidi kukuongezea ubunifu kwa ulicho kifanya kweny nyumba hii

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc 11 หลายเดือนก่อน +2

    Wa kwanza leo nipewe 🎉yangu

  • @fatmaathumani7116
    @fatmaathumani7116 หลายเดือนก่อน

    Fundi nitakutafuta inshallah ❤❤

  • @AbdulwahidAbdulla-qj8jh
    @AbdulwahidAbdulla-qj8jh 11 หลายเดือนก่อน

    Mashalla na kukubali najipanga kwa ajili ya zanzibar
    Mchango wangu switch za jikoni zimekuwa kidogo sana mana sasa unatumia mambo mengi ku Shere switch si vizuri ❤❤❤
    Uaminifu unakaribisha fursa.

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 11 หลายเดือนก่อน

      Nyumba nzuri ilipendeza tangu mwanzo paka ndugu yangu aliipenda ndio nguzo hazikuwa sawa

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 11 หลายเดือนก่อน

      Nyumba nzuri ilipendeza tangu mwanzo paka ndugu yangu aliipenda ndio nguzo hazikuwa sawa

    • @VickKulekana-si1ib
      @VickKulekana-si1ib 11 หลายเดือนก่อน

      Milango mizur ata buza nimeiona

    • @faridaabdallah7424
      @faridaabdallah7424 10 หลายเดือนก่อน

      ​@@VickKulekana-si1ibbuza sehemu gn my nahitaji naomba niulizie bei

  • @DotoJuma-q3x
    @DotoJuma-q3x 11 หลายเดือนก่อน

    Mashallah nyumb imebadilika sn asee kaka upo vinzuri sn mashallah

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana sasa hujibu msg

  • @felixrobert9734
    @felixrobert9734 11 หลายเดือนก่อน

    Napenda san content zako kaka sijui kwann haipit siku nisikusikilize

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 10 หลายเดือนก่อน +1

    Anajuwa kabisa sio siri mimi mwenye nina mkubali kwasababu nimejega sana amesahisha iyo nyumba vizuri

  • @SalumKizo
    @SalumKizo 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera kz nzr

  • @SamuMushi-gk7jy
    @SamuMushi-gk7jy 8 หลายเดือนก่อน

    Kaka nakuitaji Moshi Kuna makosa meng San kama ayoh na mm nakaz yangu nataka ufanyee 🎉🎉

  • @asa121amenahtanakshfrombur5
    @asa121amenahtanakshfrombur5 7 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum warahmatullah wabarakatuh
    Kaka miminilikutafuta nimekukoli hukunishikiya

  • @hidayamanda-gk7nf
    @hidayamanda-gk7nf 10 หลายเดือนก่อน

    Emetisha kaka imenogaje

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 10 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana fundi Nitakutafuta

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 11 หลายเดือนก่อน +1

    Masha ALLAH ❤ ❤ ❤ 🎉🎉🎉🎉

  • @SakinajosiaJosiasakina
    @SakinajosiaJosiasakina 10 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda sana fundi mm nitakutafuta unifanyie kila kitu

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 11 หลายเดือนก่อน

    Amazing ❤❤❤❤

  • @zayrkaucha3131
    @zayrkaucha3131 10 หลายเดือนก่อน

    Nyumba kubwa MashaAllah 🥰

  • @zulekhaboy
    @zulekhaboy 10 หลายเดือนก่อน

    Upo vizuri kaka

  • @salamabakari8384
    @salamabakari8384 13 วันที่ผ่านมา

    Mashallah ❤

  • @magdalenapeter6106
    @magdalenapeter6106 11 หลายเดือนก่อน

    WOW EE BANA EE IMEPENDEZA HATARIIII

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 11 หลายเดือนก่อน

    Hongera fundi

  • @peterjoseph-km1ge
    @peterjoseph-km1ge 11 หลายเดือนก่อน +2

    Namuomba mungu anijaalie nipate pesa siku moja ukuje unifanyie madecoration ya hatari kwenye kamjengo kangu

  • @eddyeddy1337
    @eddyeddy1337 8 หลายเดือนก่อน

    Safi sana bro

  • @raayMahmid
    @raayMahmid 10 หลายเดือนก่อน

    Ubarikiwe

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tunatumika uku usiku na mchana ili sikumoja turundi nyumbani tusiwe na presha zakupanga ila ndugu zetu mafudi na wasimamizi mutatuuwa na presha

  • @zainab8251
    @zainab8251 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @SalmaSaid-v3d
    @SalmaSaid-v3d 10 หลายเดือนก่อน +1

    Wa ughaibuni huumizwa sana na familia

    • @ManerhAl_alhenai
      @ManerhAl_alhenai 6 หลายเดือนก่อน

      Sio mm nitasumamia mwenyewe nikirud sitaki kujengewa

  • @janetsemahimbo8083
    @janetsemahimbo8083 11 หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana nitakutafuta fundi

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 10 หลายเดือนก่อน

    Mdogo wangu iyo kazi ni ya kawaida Sana sio kivile

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 2 หลายเดือนก่อน +1

      hiyo nyumba yeye kaibadilisha muonekano waliojenga mwanzo waliaribu tafuta vide ya nyuma uone hii nyumba ilivyokuwa tumpe jamaa ongera zake tuwache wivu usiokuwa na maana.

  • @BramaMrama
    @BramaMrama หลายเดือนก่อน

    Tuombe mungu kaka nitakutafuta

  • @ZaituniOmary-g8o
    @ZaituniOmary-g8o 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka ss wa morogoro tunapataje uduma zako

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 11 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah

  • @DuduMagau-sm3pd
    @DuduMagau-sm3pd 11 หลายเดือนก่อน

    DAH!! KAKA NAKUKUBALI SANA!! WEW NI MBUNIFU, NIMEIFATILIA HII NYUMBA

  • @siashayo8676
    @siashayo8676 6 หลายเดือนก่อน

    Hiyo milango frem ni ya mbao au bati?

  • @ZainabName
    @ZainabName 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa fundi mbona namba zako hazipatikani wasp

  • @khamismaulid8347
    @khamismaulid8347 11 หลายเดือนก่อน

    Kaka ivi unakuaje na camera man pasua ivo😅😅😅

  • @aminaabood2898
    @aminaabood2898 10 หลายเดือนก่อน

    Nitakutafta bro

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 11 หลายเดือนก่อน

    Masha'allah..nilifatilia toka mwanzo

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 11 หลายเดือนก่อน +1

    Milango bei gani

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf
    @DelightfulMacawBird-tl5hf 11 หลายเดือนก่อน

    Fundi uwe NA bei gani nyumba nzima

  • @SaidNassor-xj6yp
    @SaidNassor-xj6yp 10 หลายเดือนก่อน

    Maana mm nipo nchi za uarabuni pia. Lkn sikufichi. Siwezi kuamini mtu baki anisimamie nyumba Mpka ifike hapo.

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 11 หลายเดือนก่อน +1

    Umependeza japo Haina dondo kwenye msngi

  • @BbqVcl
    @BbqVcl 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah iyo milango shingapi?

    • @natanaelamarcel1271
      @natanaelamarcel1271 11 หลายเดือนก่อน

      Nyumba kama hiyo inagarimu bei gani Tsh

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 11 หลายเดือนก่อน

    Nyumba nzima ni shillings ngapi

  • @ZainabName
    @ZainabName 11 หลายเดือนก่อน

    Mm ninashida na ww sikupati

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 10 หลายเดือนก่อน

    Ilo kosa kumponda fundi ww fundi Gani wa kujisifia mwenyewe acha izo mbona ata iyo KAZI Yako sio nzuri

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 2 หลายเดือนก่อน

      pitia video ya mwanzo uone hiyo nyumba ilivyokuwa alafu uje tizama jamaa alivyoiweka ktk ubora usiongee tu kk watu ela utafuta kwa tabu

    • @joharifarahani2739
      @joharifarahani2739 21 วันที่ผ่านมา

      Au ww ndie fundi ulie aribu nini?

    • @rahemahassan3015
      @rahemahassan3015 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@joharifarahani2739😂😂😂😂😂Mana ana makasiriko

  • @Salome-bt7gt
    @Salome-bt7gt 10 หลายเดือนก่อน

    👍👍

  • @AminaJuma-r4y
    @AminaJuma-r4y 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤🎉

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 10 หลายเดือนก่อน

    Unaweza enda congo nikutume?

  • @catherinejullu6615
    @catherinejullu6615 5 หลายเดือนก่อน

    Nakufatiliya sana ila hupoke simu

    • @fatmakusilawe6978
      @fatmakusilawe6978 4 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli sijui wengine wanampataje

  • @jafariabdillah8585
    @jafariabdillah8585 11 หลายเดือนก่อน +1

    Tatizo wanaonufaika na uduma yako ni wale wa dar na mikoa ya karibu

  • @adamhatibu9993
    @adamhatibu9993 11 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏

  • @likangechibwanaalbert5545
    @likangechibwanaalbert5545 7 หลายเดือนก่อน

    Shida ni kwamba hapatikane kwenye WhatsApp.

  • @ZuwenaSoni
    @ZuwenaSoni 11 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤

  • @kheriramadhan4603
    @kheriramadhan4603 11 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥

  • @OmanOman-f7r2p
    @OmanOman-f7r2p 10 หลายเดือนก่อน

    Kaka Kuna fundi kanizilum

  • @FatumaMamlo-st8pj
    @FatumaMamlo-st8pj 11 หลายเดือนก่อน

    Mie nahitaji hio milango yapatikana wapi

    • @zainabufaidhi4799
      @zainabufaidhi4799 10 หลายเดือนก่อน

      Hata mm milango tu ndo ime nikosha

  • @MuhammadHassan-xp6dc
    @MuhammadHassan-xp6dc 11 หลายเดือนก่อน

    hakuna kitu kizuri kama uaminifu ongera sana kaka

  • @Mwadhani-z9t
    @Mwadhani-z9t 4 หลายเดือนก่อน

    Choo bei gani

  • @uwimana6533
    @uwimana6533 11 หลายเดือนก่อน

    Nakwitaji bro

  • @alhajindakala7655
    @alhajindakala7655 10 หลายเดือนก่อน

    kenchi liko karibu hivyo .
    nyumba fupi ndani
    pia mashimo hayo yanajaa maji angalia udogo kwanza

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 2 หลายเดือนก่อน

      kajitahidi sana kubadilisha hiyo nyumba maana mafundi wa mwanzo waliaribu yeye kapewa afanye mabadiliko hakujenga yeye

  • @siashayo8676
    @siashayo8676 6 หลายเดือนก่อน

    Moshi pia unafanya kazi?

  • @HijraSaleh
    @HijraSaleh 5 หลายเดือนก่อน

    Ntakutafuta

  • @SaidNassor-xj6yp
    @SaidNassor-xj6yp 10 หลายเดือนก่อน

    Jamani huu ni ukweli au ni comedy. Maana dunia ya leo upate mtu akujengee Mpka nyumba ifikie hapo. Kama ndugu yko turbo moja hawezi kukufanyia. Je mtu baki?

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 2 หลายเดือนก่อน

      yeye amepewa aibadilishe maana mafundi waliopewa mwanzo waliaribu sana jamaa nimuaminifu ndiyo maana watu ummtumia na kazi uzituma humuy

  • @totobest6913
    @totobest6913 7 หลายเดือนก่อน

    Huna ujualo

  • @fanni-ck6do
    @fanni-ck6do 11 หลายเดือนก่อน

    imebadilika hatari

  • @AD-qi3wb
    @AD-qi3wb 11 หลายเดือนก่อน +1

    Roughly hiyo nyumba gharama zake zikoje

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk 11 หลายเดือนก่อน

    Swafi

  • @NuruAbdallah-u2d
    @NuruAbdallah-u2d 11 หลายเดือนก่อน

    Sasa wewe bi kampuni

  • @MwanaKanyoro
    @MwanaKanyoro 11 หลายเดือนก่อน

    Kaka tutakutafut

  • @jacksonkimambo7714
    @jacksonkimambo7714 8 หลายเดือนก่อน

    Mbona hupokei simu bro ukiona sms hii nichek 0752579000

  • @SaudaMohm
    @SaudaMohm 11 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah

  • @mariammariam5723
    @mariammariam5723 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤