Tanzania ni Nchi yetu sote lakini Watanzania ni wanafki na waoga! Kenya kiongozi apotee muda huo pangechimbika lakini watanzania wengi ni wanafki sana, roho mbaya na ujinga mwingi
Hapana Mtumishi. Mahali pote inakuwa hivyo. Katibu Tawala wa Mkoa au wa Wilaya huwa hawakaimu nafasi ya Mkuu wa Wilaya wala wa Mkoa. Inawezekana Mkuu wa Wilaya akakaimu.
Haswaa umesema vyema kwa maana mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa hivyo kiustarabu kujua kiongozi wa mkoa yu wapi na wapewe jibu lenye uhakika mungu akubariki Sana
Vyema tukachukuana kwa wema. Akikosea tumsamehe maana ni mwanadamu. Hakika Watanzania tujifunze kusamehe wanadamu wenzetu ambao ni viongozi wanapokosea. Ajali za kisiasa pia kawaida . Mwajiri wake mbona hana wasiwasi? Kama kamtuma kazi maalumu leo akirudi mtasemaje? Kwani hana mje na familia? Hujiulizi mbona wako kimya? Kuna mtu anaweza kuwa na uchungu kuliko familia yake? Kaulizeni familia yake maana familia ndio yenye uchungunwa damu. Umesikia familia yake ikilalamika? Nendeni ktk familia Mbona hamuionei huruma familia yake mnanga'ng'ania ofisi? Anzia kwenye familia yake kama kweli unampenda .
Mtu akipotea ama hajulikani alipo kilio cha kwanza familia, ndugu, jamaa na kama ana mwajiri ndio hupiga kelele. Sasa hili la kutafuta mtu mzima barabarani bila kuanzia kwa wa nyumbani kwake ama mwajiri wake ambao wote hao hawapigi kelele kwa mwelewa utajua tu ni cheusi chekundu cha usisaha wa siasa za Tanzania kuwapotezea malengo wananchi. Mwenye uchungu na mtu kuna utaratibu wa kufuata kama haonekani. Kaanzie kwa mkewe na watoto, ndugu na majirani, mwajiri wake na walinzi ndoo utaeleweka.
Kwa sasa Tanzania imeongozwa na wanafiki wa kubwa. Ukwili hamuna kabisa. Ipo siku Tanzania itanuka. Ninyi kwa ninyi munamalizana kwa sababu hamna umungu. Hasa CCM chama cha wanafiki. Mungu atawangamiza siku moja.
Au ndo sitaili ya viongozi wa tz.inawezekana katiba yetu ipo hivo kwamba kiongozi akiomba likizo asionekane ajifiche mpaka likizo iishe.huo ni ujinga wa kuficha wasio fichwa watafichuka .au basi ficheni tutajua wenyewe
Sinema hiyo bado mnakuwa kama Tomaso mnatuletea mauzauza badala ya kuongerea suala la sukari wanataka kututoa kwenye kigagaziko cha mambo shida za wanaichi acheni upuuzi wenu!
Likizo ya makonda inaukakasi san hajafikisha hata miez kwann likizo mbona huyu wa daresalam hatujasikia likizo tuonyesheni makonda je likizo ndiy inamfanya asipotikan ata kwa simu ?
Makonda anavuna alichopanda Kama kweli atadhibika kapewa SUMU labda iwe Yuko likizo kweli kwa maoni y angu sikubali Kama Yuko likizo wametenda Mambo mabaya bila Shaka nao yanawarudia NGOJA TUONE
OFISI YA MKUU WA MKOA INAKAIMIWA NA MKUU WA WILAYA .MMOJAWAPO YA WAKUU WA WILAYA NDANI YA MKOA. MKUU WA MKOA MWINGINE AKIKAIMU MKOA MWINGINE KWAKE NANI ANAKAIMU?
Watumishi ninyi mbona mmekaa kimya hamkemei hivi vitendo vya kishetani kiongozi anapotea majibu hatupewi nanchi wanauwa kinyama harafu majibu yanakua kwamba niuzushi, je tujiulize misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini.
Hakuna viongozi was dini hapa wote walio wengi ni CHAWA wanadai eti ni watu wa AMANI ni UJINGA tu Kuna fununu kapewa SUMU kwanini nyinyi watu wa dini hamchukui hatua hata kuuliza mmekaa kimya hiyo AmANI ni ipi mnaoisimamia Kama si UCHAWA tuwapinge hawa
Wee mwandishi ni mpuuzi sana. Unataka kuleta uchaguzi wa kiitikadi ambao ni upumbavu. Makonda si kiongozi wa CCM. Ni kiongozi wa Serikali. Serikali ni ya watu wote. CCM hawana nchi yao peke yao wala Chadema haina nchi yao nyingine. Wote ni Watanzania. Tofauti wa vyama si uadui bali ni njia ya kuifanya Serikali isilale usingizi na iwajibike kuleta maendeleo kwa Wananchi.
Mkuu wa mkoa mwingine? Wanatokosea sana.. KWAHIYO LEO RAIS SAMIHA AKITOWEKA, INAMAANA ATAKUJA RUTO WA KENYA? Maana mkuu wa mkoa ni km raisi wa mkoa.. sasa raisi wa kilimanjaro anafata nini Arusha?
Asante sana ndugu yangu umeongea vizuri sana na Mungu akubaliki sana ndugu yangu
Asante mchungaji kutuombea Kwa serikali
We have to gather the nation to pray for this man who are the future leaders
Yesu alisema saa yangu bado ktk harusi ya Kana. Saa itatimia katiba ya umma itapatikana. Tulitafuta katiba mpya badala ya katiba ya umma.
Baba umeongea sana ..ubarikiwe na Mungu
Tanzania ni Nchi yetu sote lakini Watanzania ni wanafki na waoga! Kenya kiongozi apotee muda huo pangechimbika lakini watanzania wengi ni wanafki sana, roho mbaya na ujinga mwingi
Yy alishirikmatukio mangp ya kishenzi
Anza wewe basi
Serikali imepigwa na butwaa, watawaambiaje watanzania! Hii sio sahihi! MAKONDA YUKO WAPI?
Jaman inauma sana kiongoz wa serikali anapotea kama mtoto?Hii Dunia acha tuish tuondoke lakin Kuna binadamu hawana hofu ya mungu😭😭😭
Makonda yuko wapi jamani
Watanzania tumechoka kuwa naviongozi wazelendo wanakuwepi kwa mda mchache tumechoka kama wakimuwuwa makonda nami nawomba waniwuwetu!!! 😭😭😭😭🙏
Hapana Mtumishi. Mahali pote inakuwa hivyo. Katibu Tawala wa Mkoa au wa Wilaya huwa hawakaimu nafasi ya Mkuu wa Wilaya wala wa Mkoa. Inawezekana Mkuu wa Wilaya akakaimu.
Chanzo Halisi tukomboe watz na toba ya hiari ya moyo,utakaso na haki iwe juu ya makonda🎉
Haswaa umesema vyema kwa maana mkuu wa mkoa ni raisi wa mkoa hivyo kiustarabu kujua kiongozi wa mkoa yu wapi na wapewe jibu lenye uhakika mungu akubariki Sana
Anakaimu Mkuu wa Mkoa mwingine😢sthg aint right
Huyo anaejibu zero kabisa hakuna anachojua aisee
Vyema tukachukuana kwa wema. Akikosea tumsamehe maana ni mwanadamu. Hakika Watanzania tujifunze kusamehe wanadamu wenzetu ambao ni viongozi wanapokosea. Ajali za kisiasa pia kawaida . Mwajiri wake mbona hana wasiwasi? Kama kamtuma kazi maalumu leo akirudi mtasemaje? Kwani hana mje na familia? Hujiulizi mbona wako kimya? Kuna mtu anaweza kuwa na uchungu kuliko familia yake? Kaulizeni familia yake maana familia ndio yenye uchungunwa damu. Umesikia familia yake ikilalamika? Nendeni ktk familia Mbona hamuionei huruma familia yake mnanga'ng'ania ofisi? Anzia kwenye familia yake kama kweli unampenda .
Mtu akipotea ama hajulikani alipo kilio cha kwanza familia, ndugu, jamaa na kama ana mwajiri ndio hupiga kelele. Sasa hili la kutafuta mtu mzima barabarani bila kuanzia kwa wa nyumbani kwake ama mwajiri wake ambao wote hao hawapigi kelele kwa mwelewa utajua tu ni cheusi chekundu cha usisaha wa siasa za Tanzania kuwapotezea malengo wananchi. Mwenye uchungu na mtu kuna utaratibu wa kufuata kama haonekani. Kaanzie kwa mkewe na watoto, ndugu na majirani, mwajiri wake na walinzi ndoo utaeleweka.
Kwa sasa Tanzania imeongozwa na wanafiki wa kubwa. Ukwili hamuna kabisa. Ipo siku Tanzania itanuka. Ninyi kwa ninyi munamalizana kwa sababu hamna umungu. Hasa CCM chama cha wanafiki. Mungu atawangamiza siku moja.
Au ndo sitaili ya viongozi wa tz.inawezekana katiba yetu ipo hivo kwamba kiongozi akiomba likizo asionekane ajifiche mpaka likizo iishe.huo ni ujinga wa kuficha wasio fichwa watafichuka .au basi ficheni tutajua wenyewe
Hapana hajui taratibu za utumishi wa wakuu wa mikoa na wakuuu wilaya
UMEONGEA KITU MUHIMU SANA MCHUNGAJI ALIPASWA AKAIM DAS
Mamlaka ya uteuzi ndio inaona nani anafaa.
Kinyozi hajinyoi
Yy mwnyw kashutumia kua ndie aliepanga shambulizi la kutaka kumuua lisu
Huo ni mtego wa panya
Sinema hiyo bado mnakuwa kama Tomaso mnatuletea mauzauza badala ya kuongerea suala la sukari wanataka kututoa kwenye kigagaziko cha mambo shida za wanaichi acheni upuuzi wenu!
Likizo ya makonda inaukakasi san hajafikisha hata miez kwann likizo mbona huyu wa daresalam hatujasikia likizo tuonyesheni makonda je likizo ndiy inamfanya asipotikan ata kwa simu ?
Itifaki Das au Das hawatakiwi kukaimu nafasi ya RC na DC
@@agaikisare5010 UKO VZR MTU WANGU BARIKIWA SANA
Makonda anavuna alichopanda Kama kweli atadhibika kapewa SUMU labda iwe Yuko likizo kweli kwa maoni y angu sikubali Kama Yuko likizo wametenda Mambo mabaya bila Shaka nao yanawarudia NGOJA TUONE
Swali makonda Yuko wapi
Kazi ipo
OFISI YA MKUU WA MKOA INAKAIMIWA NA MKUU WA WILAYA .MMOJAWAPO YA WAKUU WA WILAYA NDANI YA MKOA.
MKUU WA MKOA MWINGINE AKIKAIMU MKOA MWINGINE KWAKE NANI ANAKAIMU?
Kaulize familia yake. Kama ni huruma anzia kwa familia yake.
hawataki kusema hao serikal baba ang kwakwel hawatutendei haki
Wezee wa arusha mko wapi kuhusu Makonda mbona kimia
Kwani nyinyi mnataka taarifa ipi subilieni likizo ikiisha makonda atard tu. Inshallah
ivi mwajiri wake raisi Samia kwa nn asiwambie watanzania mtt wetu aliko? Kwa maana anamlipa mshahara kwa Kodi zetu na sio pesa yake mfukoni.
Uwe mstari wa mbele utuongoze kwenda ofsini kwake
Mutupe taarifa tunayo yasikia nikweri au atuelewi
Watumishi ninyi mbona mmekaa kimya hamkemei hivi vitendo vya kishetani kiongozi anapotea majibu hatupewi nanchi wanauwa kinyama harafu majibu yanakua kwamba niuzushi, je tujiulize misingi ikiharibika mwenye haki atafanya nini.
Kama amepotea tufanyeje mtu mzima anapotea acheni mambo ya kitoto bwana
Hakuna viongozi was dini hapa wote walio wengi ni CHAWA wanadai eti ni watu wa AMANI ni UJINGA tu Kuna fununu kapewa SUMU kwanini nyinyi watu wa dini hamchukui hatua hata kuuliza mmekaa kimya hiyo AmANI ni ipi mnaoisimamia Kama si UCHAWA tuwapinge hawa
Mwadishi sealing gani hilo bwana
Ww mwandishi swali gan hilo
Yani hapo baba unaongea kitu sasahihi kabisa, maana wanaficha nn?
Wee mwandishi ni mpuuzi sana. Unataka kuleta uchaguzi wa kiitikadi ambao ni upumbavu. Makonda si kiongozi wa CCM. Ni kiongozi wa Serikali. Serikali ni ya watu wote. CCM hawana nchi yao peke yao wala Chadema haina nchi yao nyingine. Wote ni Watanzania. Tofauti wa vyama si uadui bali ni njia ya kuifanya Serikali isilale usingizi na iwajibike kuleta maendeleo kwa Wananchi.
Hakuhusu shuqulika na wakristo
Mkuu wa mkoa mwingine? Wanatokosea sana..
KWAHIYO LEO RAIS SAMIHA AKITOWEKA, INAMAANA ATAKUJA RUTO WA KENYA?
Maana mkuu wa mkoa ni km raisi wa mkoa.. sasa raisi wa kilimanjaro anafata nini Arusha?
Mh
KAJIFUNZE UONGOZI AFU UTAJUA ULICHOONGEA HATA HAKICHEKESHI BALI HUJUI CHOCHOTE
WW NI ZIRO KUBWA TU
Ww ndio shoga kabisa
@@suleysafari798
Bado sijakuelewa point yako