KIMENUKA MUME WA DIVA AFUNGUKA CHANZO CHA KUWAPELEKA POLISI JUMA LOKOLE NA DIDA / SITAKI MAZOEA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- SIKIA MWANZO MWISHO ALICHOKISEMA MUME WA MTANGAZAJI DIVAH THE BHOWSE KUTOKA WASAFI TV ASIMULIA MWANZO MWISHO CHANZO CHA MIGOGORO YA YA JUMA LOKOLE NA MKE WAKE DIVAH HADI KUFIKIA KUPELEKANA POLISI
#manaratv #divahthebowse #jumalokole #didashaibu - บันเทิง
Hao watu wanapendana ila wengine wanaumia mi sipendi kufatilia Maisha ya watu wakati yangu yananishinda
Kweli kabisa
Mm napenda mapenzi yenu msiwasikilize walimwengu
Hana mpango wote maneno mengi watakupenda hao wengine wanapenda bishoo
Mtangazaji yupo vizuri kwa maswali ❤❤
Mtangazaji fikiria maswali mengine Manara TV is big more than some of your questions
Abdul umependeza na miwani, umeongea kweli kabisa
Hapo kwenye 2003 umetupiga
Mimi nina stress nitakuja kukuona tu bwa Abdurazak nahisi stress zitaisha!
😂😂😂
Kuja kukuona tu shilingi ngapi sheikh?
Mtangazaji mzuri Manara muangaliye kwa jicho lapili
Hehehe wa tanzania bana yani nimarogi wakubwa yani wezi kama huyo shoga
MTAPANGA HADI LINI SHOO OFF
Jenga yako
Weee mtangazaji muongo hachukiwi anaonewa wivu tu.
Mm sina mausiano nitakuja 😂😂😂
Uko miko hakuna mkataba wa mwaka njo uondoke ?
Wanamwita mwamba wa taifa 😂😂
Hawawote niwehu
Wee mjinga so Magomeni ndiyo umeona sehemu dhalili sanaa mjinga we na meno yako yakungua kama umeuma mavi weee ulivyotoka kwenu Arusha huko si ulihifadhiwa Magomeni Chidya unalala ukumbini leo unaisemea ujinga Magomeni?!
Halafu wewe hujasoma kabisa na hujasoma chochote kile we ni tapeli tuu fala wewe
Juaa l na r
Taja degree diploma au NN acha maneno mengi nyie mnakazana na madrasa tuuu hapo
Hao ndo unawazagamua wewe mwenyewe.😂
Meno kama chenga za mchele
Mh acha zambi kaubwa na Mungu hata ww unakasoro zako
Mtangazajii acha bingereza bya kijinga òngea kiswahili
Kuja kukuona tu shilingi ngapi sheikh?