Yaani when I play back this I prove my self that I'm a smart man enough to make mines happy and give peace of mind. Sheikh Abdul Razzaak Allah akujaalie umpatie mtoto huyu QUEEN ili umwin umzima mzima mpaka asahau kama kama kuna PESA HELA MONEY hapa duniani. You proved her wrong you did it and it's done.
Siku ukisema mapenzi kwanza kisha pesa ndipo utakapoolewa tofauti na hapo utachezewa kwa kutamanishwa pesa Kisha uachwe. Unanini wewe Mungu akupe vyote kwa ukubwa unaouhitaji? Pata pesa kidogo na Mapenzi uyapate sasa wewe au kama unachagua pesa tafuta pesa mapenzi achana nayo. Kisicho ridhiki hakiliki na Mwenyezi Mungu ndiye apangaye huwezi kujipangia wewe unachokitaka kisha kiende kama ulivyotarajia Bali utapata vile vyote unavyostahili.
Yes alot of women love those kinds of guys (the things he does kwa social media) that's why she saw a chance and took it to advertise her self , desperation too comes with her age
Ilo ndo tatizo lako Diva na ukisubili ilo utazeeka adi unatembelea mkokoja omba Mungu akupe Mume mwema bc pesa si lolote wapo wanaishi kwenye majumba ya kifahali wanatembea na michepuko bodaboda yote wanakosa vitu adimu itakayowafanya mioyo yao itulie
Wanawake Kama Hawa ndio wanaoichafua dunia kwa tamaa zao fikrah zao ndogo hawajui thaman yao tafta pesa yako usiangalie pesa ya watu na jifunze kuwa unajaali Hali yako
Shekhe Uweza Bila Vita 🙌🙌
Aya Sasa umpe Raha ya ndoa aone Utam wa Dunia
Kumbe Mambo yalianza hpa,alaa kheri inshallah
Haahaahaa
😂😂😂😂😂 Kumbe Sheikh alimwambia naku promise nitakufanya uone hii Dunia haina Thamani, love is everything 😉👌 Leo hii Mke na Mme Mashaa Allah 🙌 💕😍👏
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani when I play back this I prove my self that I'm a smart man enough to make mines happy and give peace of mind. Sheikh Abdul Razzaak Allah akujaalie umpatie mtoto huyu QUEEN ili umwin umzima mzima mpaka asahau kama kama kuna PESA HELA MONEY hapa duniani. You proved her wrong you did it and it's done.
Hapa jamaa akamteka madam ❤❤
Diva nice sn sheikh abdrazak kumbe ndio mumeo w hali Allah akufanyie wepes kla hatua
Nawaona mbali Sana wawili hawa wote wanajua nini upendo kongole kwao ALLAH adumishe Ndoa yenu Inshallah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
I love that this man warned you,don't try him! And you tried him and he proved it.Big up kwa Shem 😀
😂😂😂 ndege mjanja
Sanaa
@@marymalaika476 Unasa kwenye tundu bovu 🤔
Wow I love when the guy said never try me.... and Diva's laughter came deep from her deepest part in her heart.... Never say Never
And now they are wife nd husband what a coincidence 🤔
MASHAALLAH MUNGU MKUBWA YAANI NDOA IMEANDIKWA MBINGUNI NIMEWAPENDA SANA
Nani amekuja hapa baada ya ndoa yao?? Congrats to u both
Mimi nimekuja hapa baada kusikia eti walifanya interview 2019😀😀
Shoga umbea utatuuwa 🤣
👆
Mi narudia tena HP diva alikufa kwa hii sauti
🤚
Haya kumbee hapo diva ulikuwa hooiii hahaa safii hongera maa ndoa ni jambo lenye heri!
alikua hoi na chini kwake kulikua kunatoa maji Diva
2023 gonga like 🔥
Mashallah mshallah .kweli hatujui kesho yake leo waneoana
Uyu jamaa alikuw anaongea kwa CODE sana mamaee😂😂🚀🚀
Yaaaani😂😂😂
Ukisikia doctor wa mapenziiii
😂😂chaliiii
Waah maajabu haya ...Diva umerogwa na huyu mganga🤣🤣🤣
Imebidi nirudie interview ...Diva kajipiga🤗
Km mm 😆😁
😆me too
Maashaallah shekhe mlete tumfanyie Duwa kadriaa
Nani kafika hapa Baada ya Harusi tujuane 😜 wambea
mimi naona drama tu hapo hakuna harusi
🤣🤣🤣🤣Tuko wengi tu
Kwa kweli mi nimeirudia nimeitafutaaa hatariii
Nipooooo
Mimi pia niko hapa baada ya harusi..kumbe wambea tupo wengi
Weeeeuweeeee shekhee Abdulrazaq
Siku ukisema mapenzi kwanza kisha pesa ndipo utakapoolewa tofauti na hapo utachezewa kwa kutamanishwa pesa Kisha uachwe. Unanini wewe Mungu akupe vyote kwa ukubwa unaouhitaji? Pata pesa kidogo na Mapenzi uyapate sasa wewe au kama unachagua pesa tafuta pesa mapenzi achana nayo. Kisicho ridhiki hakiliki na Mwenyezi Mungu ndiye apangaye huwezi kujipangia wewe unachokitaka kisha kiende kama ulivyotarajia Bali utapata vile vyote unavyostahili.
MashaAllah😍😍
Kumbe walipendana hapaa...Ukiolewa utafurahi..ahagaha
Diva kwa sasa upo kwenye ndoa na bwana mdogo ! Naomba rudia tena kuangalia hii interview!!!
Kabisa
Kila anaeon huyu jamaa ni mnafki like hapa😂🤣😅😂😂
Oooh Mimi napenda mzungu oooh mimi napenda hela,kavuliwa kama samaki mjinga kwenye bahari
Umeonaye
It seems this is the day Sheikh Abdul got into her heart
She was desperate advertising herself no wonder she's given her heart to this guy anyway wish you the best
Yes alot of women love those kinds of guys (the things he does kwa social media) that's why she saw a chance and took it to advertise her self , desperation too comes with her age
Watanzania tulokuja hapa baada ya ndoa tujuane jamany😂😂😂
Walikua wanajuana kitambo
Kwanza mie
Hapa kibonage😊😊
Love is everything fact
Jamani
Diva ubadilike basi sasa muislam jistiri vizuri karibu WiFi yetu
Ninewapenda Diva na jiyu
How do expect to find true love, when all that you value is money?? There are things that money can't buy...love, happiness, peace etc
Hapa ulimwambia asikutry kumbe ulijua wasema nini🤣🤣🤣I salute you sheikh😆😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅
Naangalia baada ya ndoa👏👏👏
Never try me Diva kazamaaa
Same name Ustad Abdirizak
Nimekuja hapa baada yakuskia wameoana
Wewe ujatulia wanaume wengi Ila pesa umeiweka mbele na kama unapenda utakutana nao Ila si Kwa upendo Bali kukichezea
Diva little did u know this was ur future hubby😍
Kumbe balaa limeanza hapa
nakupenda bure ww kaka
Wana Ndoa haooo 🔥🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Diva acha wakuchambe nilikua nakutegea kumbe ulijimalixa ivi🤣🤣
👍
Nani alie kuja uku baada ya dizzim interview aksema alimuona kwenye lavidavi 🤩🤩🤩 kumbe 5 moth and 2days request marry him 😄😀😆
Niko hapa
Diva how do you feel when playing back this interview?
That is why never say Never! God bless your marriage🙏
Ha ha ha ha 😂😆
Hahahaha 😂😂😂😂
Wameendana sanaa
Ni kweli kbsa
Nice interview 👌
Hatar th-cam.com/video/QqwlWQPV7QA/w-d-xo.html
✌️
Ilo ndo tatizo lako Diva na ukisubili ilo utazeeka adi unatembelea mkokoja omba Mungu akupe Mume mwema bc pesa si lolote wapo wanaishi kwenye majumba ya kifahali wanatembea na michepuko bodaboda yote wanakosa vitu adimu itakayowafanya mioyo yao itulie
Jamani sheikh amemuoa diva...sheikh wangu amenichanganya
Wanawake Kama Hawa ndio wanaoichafua dunia kwa tamaa zao fikrah zao ndogo hawajui thaman yao tafta pesa yako usiangalie pesa ya watu na jifunze kuwa unajaali Hali yako
Yyani nikiwaangalia nafeeling kuna kitu kati ya. Wao kuwa mke na mune
Wao
Ulicho dhamini pesa kwaiy sio love sometimes love it’s not money kwaiy sawa too ulivyo achwa by by 😅
Kumbe maneno yalikukolea hapa
Wewe kaka Ni mzur
Kwa hiyo bado utaolewa na Mzungu 🤣🤣Duuuh tuchunge midomo
Kwa kwel🤣🤣🤣🤣🙌🏾
Eti anajiita sheikh....Umalaya Tu kuwafunua waschana wa watu.
Jaman
Aliyerudia hiii story baada ya diva kuumizwa😢😢😅😅😅
Tamaa mbaya diva uliingia choo Cha kiume pole yake ndo ukome
Umepata mganga na maua 🤣🤣🤣🤣🤣
Nimerud Tena kumuangalia hii baada ya ndoa na diva na huyu shehe
Abdul kawasema wenzake hawajawahi kumfanyia mambo Mazuri Diva. Ngoja tuone yeye🤣🤣
Ila jama kajichanganya vibaya kwa huu mwanak kama poch yak haieleki hakika mzee utakuja nikumbuka baada ya myezi 6 badae ...dem anapenda hela kinyama
mimi napenda heeela
Kwa hiyo huyu ndio kamuoa diva mke wa pili
Duuuuh!! Kumbe huku ndo mlikotokea 🤣🤣 kweli uchawi upo kutoka kwenye hela hadi kwenye maua meeeeeeeeengi😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
this guy was so very serious when he told DIVA""don't try me""hahaaaaaa haaaaa
Tuliorudi kuangalia video baada ya ndoa yao mnipe likes hapa
Kumbe walianzana taratiib hapa kila mtu akajua mwenzake anatamani nin dah mapenzi haya hatari
Sheikh alimuelewa mpaka akachukua akaweka waaaaaa
Ndio matapeli ndio walivyo
its true bt si kila ndoa
Kumbe walianzia hapa😓
Nani kaja hapa badae ya voicenote za diva na mwajabu 😂😂😂😂
kwa hiyo hapa ndio Diva ulitongozwa na huyu mganga
Diva kama Diva
Duuh...Jamani tumetoka mbali Leo umemuoa diva😓😓😓
Kwaiyo kawa mkeo wa pili
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Divapesa ndio kwaheri tulia upendwe🤣🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Umeona eeh
@@mishiruw9916 nakwambia shuhuli kwelikweli
Nimerudi hapa bada ya kusikia uyu ndo mme wa diva akatowa mahali ya mauwa🤣🤣🤣🤣dunia hiyi hapana kwel
Nipo hapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mganga huyu kitabu kimehusika ndoa ndani ya siku mbili tu Haina kufikiria Wala kuwaza
@@dotnatajoseph2620 ni hatar🤣🤣🤣🤣
😁😁😁😁😁😁
Chezea kilinge we😝
Diva mzee mama wewe vua hio miwani
Ni pale wataachana ahaahhaa mm chekaa chekaaa
heheee Yani nimecheka kwanguvu,but diva kapatikana na alimambia Don't try me
Tupo wengi humu 🤣🤣🤣
Sasa diva ni bi mdogo mbona sielewi mpaka sasa 😅🤣🤣🤣
Yani hii intavyu ilikua nikutokozana nakujuana Sema Tu watu walikua hawajui
😂😂😂😂sheikh Ni fisi mjaribu diva atatulia mwenyewe
Kumbe jamaaa alianzia hapa 😄🤣😂
Hatimaye wameoana😂😂😂
Mshenxi sana huyu kijana
Dada diva sijui umefanyiwa nini mwezetu mpaka umekuli, ukasahau,millions 500,😂😂
Kwahyo leo hii ndo kawa mume wake sio😄😄😄
Kama umerudi hapa Tena after wameoana
Tuko 😆
Hapa walikuwa tayar n wapenz kumbe hamjui
Shehk kaowa owa uko unawa chezeya madada😀😀
Mambo yametiki kwa sheikh
Tatizo lilianziaa hapa