#EXCLUSIVE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024
- #EXCLUSIVE: ISHA MASHAUZI AWALIPUA SHILOLE na ESHA BUHETI - "WOTE HAWAJUI KUPIKA"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Mkurya mwenzangu uko vizir nakupenda sana hongera sana kipenz
dada Isha UPO vzr dada nakupenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Always love u Mashauz
Isha ww nomaaa nakupenda sn upo vzr sn nakuaminia
Dada isha ameongea mambo mazuri sana jamani wanawake tupendane
Uko vizuri nakupenda bure
Nakupenda sana mwali na mzee wako mabango❤❤❤🎉🎉🎉
Isha nimekupenda
❤❤🎉🎉Umeongea ukweli Mwali
Yaani dar Isha amezungumza kama wanawake kumi kwa pamoja❤
Kwel Isha anajua kupika sanaaaa
Nakupenda cn da Isha Mungu akutangulie ila nimeipenda CN kauli yk ila zidi kuwasihi na ndugu zetu waache uwo utoto akuna anaye ijua kesho yk
Kweli kabisa ukipika uwezi kula time iyo iyo mm huwaga ivo
Mimi nipo Kenya lakini huyu dada maongeo yake mazuri
Esha buheti ana wivu..kama unajua kupka siutulieee😂😂😂❤
Wivu anao esha
Isha mdogo mbali wale wakubwa sana
Na mimi nimeshangaa eti wadogo zake Yani waandishi.
Katika watu waneongea ukwel Kati ya wote kwenye hili sekeseke bac Isha mashauzi kaongea point
Wale sio wadogo zako ni dada zako ni Wakubwa sana
Hawana ukubwa wowote wale ni madogo tu kwa Isha ....
😂😂😂😂😂
Nahisi Esha Buheti ndo mkubwa wao
Ww Isha inaonekana kabisa w ni team shilole huna llt
Kura mbona zilikua wazi Dina akafuta comment zote angeacha tuhesabu upya hii tuzo ilikua ya Esha au Malkia food sio shilole
Kweli dada hata mm nikitoka jikono kupika huwaga siwezi kula tym oyo
Umeongea vizur ndug funga ndoa
Dada Isha una akili sana na unabusara
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hehehehe...siyajui😂
17:58
Mshinde ni esha njo mpishi
Mimi nasikia Isha unapika mara nyingi watu wanasema unapika Tena inakaa jikoni mwenyewe Kila mtu anakusifia Isha hata Mimi natamani nije nijifinze
Ntakuja isha unifunze
Mwanamke nikujiamini
Kuwagaraza wote itakuwa ngumu hayo maneno tu ya kujisifia
Uyudada anaongea ukweli daah hajapendelea hata umoja
Patima
Macho yanasema kwa sababu kuna verbal communication and non verbal communication hivyo macho yako kwenye non verbal communication kwa hiyo uko sawa
Yaan esha asingeongea chochote ameonekana analilia tuzo hata asingecomment kitu
Yeye akubali tu akisema mwenzake amenunua tuzo je yeye mwaka jana ali nunua pia ebu aache roho mbaya
Ajabu 😂
We nae mwehu nini? Unajua alie pata tuzo mwaka jana ni nani? Au una comment tu. Malikia food ndo alie shinda mwaka jana siku nyingine jitahidi kuandika au ku comment kitu unacho kijua.
Nikweli tunao pika tunajuw ila isha shilole anropokwa san kuna watuy wamefanikiw na hawasem shilole ni mshamba tuy
Yoote ni kua ASHA si mzaliwa wa bongo alikulia bongo!!hiyo tu ndo chuki ya shilole,atamani Esha aregeshwe aliko zaliwa.ila niwape hukweli.mombasa hatuna mpizani kwa mapishi..hakuna!!!!
Shishi bromley nilimbukeni katokea bara si mstaraabu hajui mahadhi ya pwani kwa hiyo saa zote kutamba mimi tajiri mimi najuwana na wakubwa mimi nauza sana majisifu mengi shishi hana mpango mjue
Unaongea kama hater 😂😂 unajua hilo? Niambie shilole kadanganya wapi yeye tajiri 😂😂
Hovyooo
Endelea kuringa na pwani yako, mwenzio katoka bara lkn kabutua, ww endelea na ustaarabu wako
Sasa ndo umesemaje😂😂😂
Yaan vijitu vya pwani bana viko kama vimelaaniwa😂😂😂😂 yaan bara hua tunaviumiza sana vichwa
Huyu nae na wkt kura tulipiga live inst
Na kura nyingi Esha alishinda
Shishi mkorofi Alianza na snura Akaja kwa Kiba anapenda sifa
12:28
Umetisha 😂😂
Buheti aache chuki, hadi inamtoka mishipa ya shingo,haya haya dada Esha au kuna mingine? Haha ushamba Buheti
@@JoycePeter-h1lkma eshe ana chuki ww tokea umjue shishi kashagombana na wangapi
Nikiru nitakuja kukuungisha inshaallah
Huwezi jua mtu anaroho mbaya mpaka ukanaye
Da esha tuzo sio kitu hata mtu usipotajwa muhimu mungu akupe riziki hizo tunzo sichochote
Huwezi tu kuuliza maswali mpaka usifie sana mtu?we pumbu nini?
😅😅ipumbu
Mafanikio ni maumivu ndo chanjo za ugomnvi
Jamani klamtuanajua kupika sema hawa nimaaruf2 lakn knawatu wanajua kupika
Tena hawajui mazogo tu hawa hzo biriani zao tu sura zke umeshiba maana hazivutii
SANA na wapo MITAANI tu
Kwa haraka tu Isha uko upande wa shilole ila ukweli Esha anajua kupika na kwa chuki hana kama dada unatakiwa kuwaionya wote
Shishi inaoneka kama alikuwa na nia mbaya kwenye roho siku nyingi kwa nini mengi yanamtoka sana kumwambia unaroho mbaya ndo hutajiriki hiyo ha make sense
Na huyo alosema mwenzie asimzike yeye ndio alikua anachuki