Muhammed Omar chukua ulilopewa masuala ya khitlafu ukiyazamia hutafanya ibada hata moja tumalizie kwa kusema Allahu yaalam basi. kila jambo linaendana na NIA .
Dini,ni nyepesi,Kama umefanya tendo la ndoa na Mkeo,usiku wa Ramadhan,Hakuna shaka,wala hulaumiwa Kisheria,Hata kama utaamka na Janaba,Janaba la usiku,halitengui funga
kweli ni faida sasa je baada ya kula daku si kuna kusali fajir ina maana hakusal pia baada ya kulala na janaba. na hio hadithi ya mtume s w a. ipo katika kitab gani alicho kosa kunawa hadi fajir kumpita.. asanteni alfatah kwa elimu tupeni ili zaidi na zaidi lakinu bado hapa nafkria hilo suali
Salama Khamis apa kuna khilafu gani wacheni kuifanya dini ngumu nynyi ivy vitabu mnavyosima mmevipata wapi na mashee woote wamejubaliana kuamka na janaba fynga ipo na hdithi za mtume zipo sasa khilafu imetoka wapi ktk kitabu chenu cha albani anasema kupiga nyeto(kujitoa manii kwa kukusudia) mchana wa ramadhani funga haibatiliki wakati maimamu wamekubaliana inabatilika iv mtu akipiga master bashen hapati janaba? acheni kuiingiza dini kwenye khilafu pasipi stahiki na hawa wapo sahh.
@@massoudhassan9255 Kuna kitu najiuliza sipati jibu so nimeona nikuulize ww huwenda ukanijuza sio kwa ubaya Bali ni kutaka kujua tu ,hizi hadith zinaonyesha mtume Muhammad alikua na janaba mi ninacho jiuliza ni hukusu swala ya alfajir je hajaswali siku hio?
Bacar Ali Kitemwe hamna kuamka asubuhi na janaba yani alfajiri huoga then akaenda kuswali hala funga huanza alfajir hvyo akiamka na sio asubuhi nielewe vizuuri.
jaman Mtume wetu hawezi kulala na janaba mpaka asbhi na hajaoga iyo haiingi akilini mutafte mifano mingine sio kumudhalilisha kiasi hicho kuna njia nyingi za kutufundisha tukaelewa.
Mie nataka kujuwa kwa mwanamke je Nae Analuusiwa kuonga kisha na kuendeleza funga mana navyojuwa mie mwanamke nilazima Ajitoe uchafu siemu ya sili ili onga na udhu wake ukamilike sasa apo ikakuwaje? Naombeni jibu mnao Elewa jamani
Masaallah hii nifaida kubwa kwa watumiaji simu kikweli heri itapatikana insha'Allah wanaokubaliana na mm gonga like yako hapa
Nzurisana
Nice
Allah akulipeni ujira uliokuwa mwema kwa ujumbe wenu mzuri mno kwenye jamii
Bin Ghulaam Mashaallah allah awalipe kubwa kwa kutufundisha juu ya jambo ili na mengine bihidhinn llah
@@mohamedkikunge5417 Amiin
Shukuran kwaujumbo allah wajalie mulete zaidii yahii
Mashaallah!! Ujumbe mzur Allah awabarik mzidi kutuelimisha
Mashaallah nimejifunza..shukran
Mashallah allah awajalie mue mnatuongoza km hivi
Inamafunzo sana mazur sana
Shukran Allah awalipe kheri inshaallah
Mashallah na shuklani kwa darasa hili 🙏🙏
Muhammed Omar chukua ulilopewa masuala ya khitlafu ukiyazamia hutafanya ibada hata moja tumalizie kwa kusema Allahu yaalam basi. kila jambo linaendana na NIA .
Ali Muhsin sahih kwa7b katika uislamu khitilafu zipo ila kufarakana ndo haramu
Dini,ni nyepesi,Kama umefanya tendo la ndoa na Mkeo,usiku wa Ramadhan,Hakuna shaka,wala hulaumiwa Kisheria,Hata kama utaamka na Janaba,Janaba la usiku,halitengui funga
Maa Shaa Allah
Kama hukuelewa kula daku kubwa na bila Kuosha mkono jua hayakuhusu
🤣🤣🤣🤣
Maa shaa Allah
من أصبح جنبا،أصبح مفطرا Hadithi Dhaifu
Ipo katka bukhari na muslim mfano wake
Masha Allah ujumbe mzur
Swadaktah hili darasa zuri saana hili
Masha allah
Shukran sana tumejifuza
mashaallah kwa njia yenu nzur ya kufkisha ujumbe tumefaham vya kutoshaaaaa
Hizo sauti za background zisizokwisha za nini ?
kweli ni faida sasa je baada ya kula daku si kuna kusali fajir ina maana hakusal pia baada ya kulala na janaba. na hio hadithi ya mtume s w a. ipo katika kitab gani alicho kosa kunawa hadi fajir kumpita.. asanteni alfatah kwa elimu tupeni ili zaidi na zaidi lakinu bado hapa nafkria hilo suali
Mashaa allah
Allah bark 4 message
Hashm Suleyman hyhyhy
Jazzakallah khair
مشاء الله بارك الله فيكم
Shukran Sana
Jamani masuala haya yakhitlafu yanahitaji ufafanuzi wakina watu wataelewa vibaya nalitafanywa linafaa
Salama Khamis apa kuna khilafu gani wacheni kuifanya dini ngumu nynyi ivy vitabu mnavyosima mmevipata wapi na mashee woote wamejubaliana kuamka na janaba fynga ipo na hdithi za mtume zipo sasa khilafu imetoka wapi ktk kitabu chenu cha albani anasema kupiga nyeto(kujitoa manii kwa kukusudia) mchana wa ramadhani funga haibatiliki wakati maimamu wamekubaliana inabatilika iv mtu akipiga master bashen hapati janaba?
acheni kuiingiza dini kwenye khilafu pasipi stahiki na hawa wapo sahh.
@@massoudhassan9255 Kuna kitu najiuliza sipati jibu so nimeona nikuulize ww huwenda ukanijuza sio kwa ubaya Bali ni kutaka kujua tu ,hizi hadith zinaonyesha mtume Muhammad alikua na janaba mi ninacho jiuliza ni hukusu swala ya alfajir je hajaswali siku hio?
Bacar Ali Kitemwe hamna kuamka asubuhi na janaba yani alfajiri huoga then akaenda kuswali hala funga huanza alfajir hvyo akiamka na sio asubuhi nielewe vizuuri.
jaman Mtume wetu hawezi kulala na janaba mpaka asbhi na hajaoga iyo haiingi akilini mutafte mifano mingine sio kumudhalilisha kiasi hicho kuna njia nyingi za kutufundisha tukaelewa.
massoud Hassan hiii
Mashaallah
Mashallah
Haya mafundisho ni kwa mtu ambae hajakusudia wala si mazoea yake.
(من أصبح جنبا أصبح مفطرا)
Sio sahihi na endelea kusoma utayajua
Mie nataka kujuwa kwa mwanamke je Nae Analuusiwa kuonga kisha na kuendeleza funga mana navyojuwa mie mwanamke nilazima Ajitoe uchafu siemu ya sili ili onga na udhu wake ukamilike sasa apo ikakuwaje? Naombeni jibu mnao Elewa jamani
Swali lako zuri
Santaaa
Mashaaallah
Mashallah ujumbe umefika
kihujuhuju munkisikia wenzangu? neno la
kikwetu khaswa ilo wakengeja mupo
Omar Mohamed 😁😁
Ulipo tupo kengeja ya wapi weye
Hahaha huo mkanda
Allah awalipe
Shukraan
Mashaa Allah