VISHETI VYA NAZI/ VISHETI VYA NAMBA NANE/ COCONUT DOUGHNUTS: Jinsi ya kupika visheti vitamu sana

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 60

  • @DEVIABUHINDA
    @DEVIABUHINDA หลายเดือนก่อน +1

    Nzuri sana mumy Ubarikiwe sana

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  หลายเดือนก่อน +1

      Ameen shukran dear

  • @salmasalum7735
    @salmasalum7735 15 วันที่ผ่านมา +1

    MashAllah MashAllah. Shukrn sn habbty wangu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  6 วันที่ผ่านมา

      Afwan hbbty wangu

  • @VictoriaTesha-t8u
    @VictoriaTesha-t8u 6 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akubariki dada unafundisha vizuri saanaa

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  6 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen.. asante sana

  • @RukayyaRukayyakassu
    @RukayyaRukayyakassu 9 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah delicious😋😋😋

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      Thank u dear

  • @hashimissa2449
    @hashimissa2449 9 หลายเดือนก่อน +2

    MaashaAllah another Zanzibari special donut a common delicious sweet bites

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      Thank u so much 💓

  • @MaryamYussuf-yu9tf
    @MaryamYussuf-yu9tf 9 หลายเดือนก่อน +2

    Mashallah nimependa ❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      Thank u dear 😘

  • @a.856
    @a.856 9 หลายเดือนก่อน +3

    Jazakallah khayran

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      ❤️❤️❤️

  • @LatifaRashid-b4c
    @LatifaRashid-b4c 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nice❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  7 หลายเดือนก่อน

      Thank u 💓

  • @LilianNelima-ij9yb
    @LilianNelima-ij9yb 9 หลายเดือนก่อน +2

    Yummy Yummy

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      Thank you 😊

  • @NuruNuru-z6b
    @NuruNuru-z6b 6 หลายเดือนก่อน +1

    Asante kwa pishi ila mm hakwenye shira nipate ujuzi zaid

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  6 หลายเดือนก่อน +1

      Ni muhimu kuiacha shira yk mpk ifanye povu na ukiona imeanza kuganda pembezoni mwa sufuria yk basi ipo tyr hy kuweka visheti vyako

  • @worshiperely1484
    @worshiperely1484 4 หลายเดือนก่อน +1

    Iyo Sheila nilazima utimize sukari?? Uwezi kutumia Asali??
    Ni lazima sukari❤
    Ila ahsantee saana umebarikiwa kuwa Mwalimu.

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  4 หลายเดือนก่อน +1

      Ameen kipenzi asante.. kusema ukweli sijawahi kujaribu kupika shira ya asali ila tuu km unataka kuepuka kutumia sukari na badili yake kutumia asali basi labda unyunyize kwa juu asali na enjoy visheti vyako

  • @MamaUmmy-k3j
    @MamaUmmy-k3j 5 หลายเดือนก่อน +1

    Umetumia samli gan

  • @zainabissa2433
    @zainabissa2433 9 หลายเดือนก่อน +2

    Maashallah very nice

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      Thank u maa 😘 💓 😘 💓

  • @FatmaMohamed-mf9kx
    @FatmaMohamed-mf9kx 7 หลายเดือนก่อน +1

    Thank you ❤

  • @FatmaNkerema
    @FatmaNkerema 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mbn mie nafeli kwenye chila inatakiwa iwe vp naona havimbambi

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  2 หลายเดือนก่อน +1

      Asante kwa swali lako na pole kwa changamoto.. kwanza pendelea kutumia sukari nyeupe km utakosa basi hy hy nyekundu weka maji na suraki kiwango nilichoeleza pika kwenye moto wa kiasi hk unaisaidia kuikoroga mpk iwe inachemka hakikisha inafanya povu na pia inaanza kuganda ganda kwenye surufia yako ndio hapo ujue tayar kuweka visheti unaweza kuweka kwenye moto hk unavipeta peta na pia viweke kwenye upepo km chinj ya feni ili visaidiwe kukauka na upepo

  • @FatmaNkerema
    @FatmaNkerema 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba unisaidie kwenye shila

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  2 หลายเดือนก่อน +1

      Usikate tamaa ukifeli jaribu tena mpk utaweza dear ndio kujifunza ata mm kuna vyakula vinanishinda najaribu tena na tena mpk nafanikiwa na wewe utafanikiwa inshallah

  • @kazijaameirussi2884
    @kazijaameirussi2884 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ahsant nielienda pish lako mm nahitaj vipimo Zaid ukitumia unga kilo 1 ,1 unusu ,2 na kuendelea please naomba vipimo pamoja na utumiaji wa sukar

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  6 หลายเดือนก่อน +1

      Asante kwa suali lako kipenzi.. tayari nimeshajibu kuhusiana na vipimo vya kilo moja naomba some comments ili uweze kuona jibu.. asante

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 9 หลายเดือนก่อน +2

    chef kiss🤌🏻💋

  • @SaumuMsuya-pj6hl
    @SaumuMsuya-pj6hl 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimempenda darasa lako

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  8 หลายเดือนก่อน

      Asante sanaaaaa

  • @AsnatMfaume
    @AsnatMfaume 8 หลายเดือนก่อน +1

    Habar kama unga wa ngano kr 2 naweka vichanganyio kiasi gani

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  8 หลายเดือนก่อน

      Salama. Asante kwa suali lako.. mimi nimefanya vikombe vitatu vya unga ambao haujatimia ata nusu kilo.. nusu kilo ya unga ni sawa na vikombe vinne kwahy kilo 2 ni sawa na vikombe 16 vya unga ambayo ni sawa na mara 5 ya vipimo nilivotumia mm. Kwahy utafanya mara 5 ya vipimo nilivoweka mm km ni nazi kikombe kimoja basi utaweka vitano na vipimo vengine naomba uangalie kwenye description na utaweka kwa idadi ya mara 5 yake.. I hope nimekujibu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  8 หลายเดือนก่อน

      Na pia nakukumbushia kua nimetumia vikombe vya kupimia vya jikoni ( measuring cups)

  • @joycechando100
    @joycechando100 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naweza kuvikanda bila sukari nije kutumia shira tu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  7 หลายเดือนก่อน +1

      Ndio unaweza dear

  • @HazlaRamadhani
    @HazlaRamadhani 8 หลายเดือนก่อน +3

    Asante dada nimelipenda pishi lako la visheti vya Nazi je kilo Moja ya unga wa ngano ntatumia sukari kiasi Gani ? Napia hapo kwenye kutengeneza Shira sukari itakuwa kiasi Gani na hamira kiasi Gani kadhalika maji pia Mimi Hanzla natoke Dar

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  8 หลายเดือนก่อน +3

      Asante na wewe pia kwa suali lako.. mm nimetumia kipimo cha vikombe vya kupimia vya jikoni yaani measuring cups na nimetumia vikombe vitatu ambavo havijatimia nusu kilo. Nusu kilo ni vikombe vinne kwahy kwa unga wa kilo 1, utatumia sukari vijiko vikubwa 4 mpk 5 na hamira utaweka vijiko vitatu vikubwa. Kwa upande wa shira sukari weka vikombe viwili na nusu na maji pia vikombe viwili na nusu. I hope nimekujibu

  • @kazijaameirussi2884
    @kazijaameirussi2884 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nahitaji unipatie vipimo kikamilif pmaja na upikaji wa Shira vpimo vyake kwa kila saiz ya unga mfano kilo moja

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  6 หลายเดือนก่อน

      Asante sana my dear hili suali tayar nimelijibu kwenye comment plz naomba usome comment utaona jibu la maswali yako yote.. shukran hbbty

  • @EmmanuelPaul-iq2wr
    @EmmanuelPaul-iq2wr 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nitajalibu

  • @Mariam-ln7pd
    @Mariam-ln7pd 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nikikosa nazi naweza tumia ata maziwa ama

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  7 หลายเดือนก่อน

      Ndio unaweza

    • @Mariam-ln7pd
      @Mariam-ln7pd 7 หลายเดือนก่อน

      Asante dada😊​@@RuhysKitchen

  • @FatmaSaid-j9o
    @FatmaSaid-j9o 9 หลายเดือนก่อน +1

    MashaAllah ❤hebu munisaidie jamani 😢mm sijui huwa nakosea wapu because time ya kueka shira huwa vyakatika nisaidieni please ni wapi nakosea😢

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      Ok dear wakati wa kuviweka shira hakikisha visheti vyako vimepoa kabisa ili kuepusha kukatika kwa visheti vyako pia pendelea kuvipeta na sio kuvikoroga sana na ata ukivikoroga basi ukoroge kwa utaratibu na uangalifu pia

    • @FatmaSaid-j9o
      @FatmaSaid-j9o 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@RuhysKitchen shukran dear🤗acha leo nijaribu inshaAllah

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  9 หลายเดือนก่อน

      @@FatmaSaid-j9o sure dear nasubir feedback 😃 😊

  • @FatmaNkerema
    @FatmaNkerema 2 หลายเดือนก่อน +1

    Naomba unisaidie kwenye shila

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen  2 หลายเดือนก่อน +1

      Pole kipenzi nimekuandikia maelekezo hebu jaribu hv na.pia sikiliza kwa makini video yangu na ufutae Inshallah utaweza