ruhys kitchen
ruhys kitchen
  • 78
  • 108 739

วีดีโอ

AVOCADO MANGO AND BLUEBERRIES SMOOTHIE
มุมมอง 3492 หลายเดือนก่อน
INGREDIENTS Avocado Mango Blueberries or strawberries Banana Condensed milk / sugar ( optional) Milk #avocado#avocadosmoothie#mango #mangosmoothie #bananasmoothierecipe #blueberry #blueberrysmoothie #colourfulsmoothies #avocadomangoblueberrysmoothie
CHAPATI: JIfunze kupika chapati na tips zake
มุมมอง 9382 หลายเดือนก่อน
CHAPATI: JIfunze kupika chapati na tips zake
CARAMEL PUDDING: Jinsi ya kupika pudding step by step
มุมมอง 5754 หลายเดือนก่อน
CARAMEL PUDDING: Jinsi ya kupika pudding step by step
CHOCOLATE DONUTS/VISHETI VYA CHOCOLATE: Jifunze kupika visheti vitamu sana vya chocolate na njugu
มุมมอง 3615 หลายเดือนก่อน
CHOCOLATE DONUTS/VISHETI VYA CHOCOLATE: Jifunze kupika visheti vitamu sana vya chocolate na njugu
CREAMY CHICKEN BUNS: Jifunze kupika buns za kuku tamu sana na laini pia
มุมมอง 7315 หลายเดือนก่อน
CREAMY CHICKEN BUNS: Jifunze kupika buns za kuku tamu sana na laini pia
MKATE WA MCHELE/ RICE CAKE: Jifunze kupika mkate wa mchele kwa kutumia cooker na oven kwa urahisi
มุมมอง 7246 หลายเดือนก่อน
MKATE WA MCHELE/ RICE CAKE: Jifunze kupika mkate wa mchele kwa kutumia cooker na oven kwa urahisi
CHICKEN DONUTS: Jinsi ya kupika donuts za kuku tamu sana na steps zake zote kwa urahisi
มุมมอง 6196 หลายเดือนก่อน
CHICKEN DONUTS: Jinsi ya kupika donuts za kuku tamu sana na steps zake zote kwa urahisi
VITUMBUA VYA NYAMA: Jifunze kupika vitumbua vitamu sana vya nyama kwa njia rahisi
มุมมอง 1.4K7 หลายเดือนก่อน
VITUMBUA VYA NYAMA: Jifunze kupika vitumbua vitamu sana vya nyama kwa njia rahisi
SPONGE CAKE/ MKATE WA MAYAI : Jinsi ya kupika mkate wa mayai mtamu sana na tips zake zote
มุมมอง 8347 หลายเดือนก่อน
SPONGE CAKE/ MKATE WA MAYAI : Jinsi ya kupika mkate wa mayai mtamu sana na tips zake zote
VILEJA VYA TAMBI NA CHOCOLATE/ VERMICELLI COOKIES WITH CHOCOLATE: Jifunze kupika vileja vya tambi
มุมมอง 1.3K8 หลายเดือนก่อน
VILEJA VYA TAMBI NA CHOCOLATE/ VERMICELLI COOKIES WITH CHOCOLATE: Jifunze kupika vileja vya tambi
FISH BUNS : Jinsi ya kutengeneza buns za samaki zenye muonekano mzuri wa samaki na laini sana
มุมมอง 4278 หลายเดือนก่อน
FISH BUNS : Jinsi ya kutengeneza buns za samaki zenye muonekano mzuri wa samaki na laini sana
NUTELLA TART: Jinsi ya kutengeneza tart tamu sana za Nutella na njugu
มุมมอง 6438 หลายเดือนก่อน
NUTELLA TART: Jinsi ya kutengeneza tart tamu sana za Nutella na njugu
CHOCOLATE CAKE / KEKI YA CHOCOLATE: Jinsi ya kupika chocolate cake tamu sana kwa njia rahisi sana
มุมมอง 2.1K8 หลายเดือนก่อน
CHOCOLATE CAKE / KEKI YA CHOCOLATE: Jinsi ya kupika chocolate cake tamu sana kwa njia rahisi sana
CHICKEN MANDI / MANDI YA KUKU: Jinsi ya kupika mandi ya kuku tamu sana
มุมมอง 1.1K8 หลายเดือนก่อน
CHICKEN MANDI / MANDI YA KUKU: Jinsi ya kupika mandi ya kuku tamu sana
CHOCOLATE NUT BALLS: Jinsi ya kutengeneza chocolate nut balls tamu sana kwa njia rahisi
มุมมอง 6078 หลายเดือนก่อน
CHOCOLATE NUT BALLS: Jinsi ya kutengeneza chocolate nut balls tamu sana kwa njia rahisi
BOREK / MKATE WA NYAMA : Jinsi ya kupika mkate wa nyama mtamu sana na steps zake
มุมมอง 9489 หลายเดือนก่อน
BOREK / MKATE WA NYAMA : Jinsi ya kupika mkate wa nyama mtamu sana na steps zake
VISHETI VYA NAZI/ VISHETI VYA NAMBA NANE/ COCONUT DOUGHNUTS: Jinsi ya kupika visheti vitamu sana
มุมมอง 10K9 หลายเดือนก่อน
VISHETI VYA NAZI/ VISHETI VYA NAMBA NANE/ COCONUT DOUGHNUTS: Jinsi ya kupika visheti vitamu sana
MBATATA NYEKUNDU NA CHATINE YA NAZI/ SAVOURY POTATOES IN RED SAUCE AND COCONUT CHUTNEY
มุมมอง 8329 หลายเดือนก่อน
MBATATA NYEKUNDU NA CHATINE YA NAZI/ SAVOURY POTATOES IN RED SAUCE AND COCONUT CHUTNEY
CHICKEN PANINI SANDWICH: Jinsi ya kupika panini sandwich za kuku tamu sana na ni rahisi kuzipika
มุมมอง 1.2K9 หลายเดือนก่อน
CHICKEN PANINI SANDWICH: Jinsi ya kupika panini sandwich za kuku tamu sana na ni rahisi kuzipika
COCONUT BURFI/ KASHATA ZA NAZI: Jinsi ya kupika kashata za nazi na maziwa tamu sana kwa njia rahisi
มุมมอง 7209 หลายเดือนก่อน
COCONUT BURFI/ KASHATA ZA NAZI: Jinsi ya kupika kashata za nazi na maziwa tamu sana kwa njia rahisi
SCHEZWAN CHICKEN: Jinsi ya kupika sauce tamu ya kuku kwa njia rahisi sana
มุมมอง 6639 หลายเดือนก่อน
SCHEZWAN CHICKEN: Jinsi ya kupika sauce tamu ya kuku kwa njia rahisi sana
JEERA RICE/ WALI WA UZILE MZIMA: Jinsi ya kupika jeera rice wali mtamu wa uzile kwa njia rahisi sana
มุมมอง 5809 หลายเดือนก่อน
JEERA RICE/ WALI WA UZILE MZIMA: Jinsi ya kupika jeera rice wali mtamu wa uzile kwa njia rahisi sana
STRAWBERRY SWISSROLL: Jinsi ya kupika swissroll ya strawberry yenye muonekano wa kuvutia na tamu san
มุมมอง 1K9 หลายเดือนก่อน
STRAWBERRY SWISSROLL: Jinsi ya kupika swissroll ya strawberry yenye muonekano wa kuvutia na tamu san
COOKIES / VILEJA: Jifunze kutengeneza vileja kwa kutumia mchanganyiko mmoja na kupata aina tafauti
มุมมอง 3.6K9 หลายเดือนก่อน
COOKIES / VILEJA: Jifunze kutengeneza vileja kwa kutumia mchanganyiko mmoja na kupata aina tafauti
FISH STICKS. Jinsi ya kujifunza kupika fish sticks tamu na kwa njia rahisi sana
มุมมอง 2.3K10 หลายเดือนก่อน
FISH STICKS. Jinsi ya kujifunza kupika fish sticks tamu na kwa njia rahisi sana
GULAB JAMUN: Jinsi ya kutengeneza Gulab Jamun rahisi sana na steps zake zote
มุมมอง 75410 หลายเดือนก่อน
GULAB JAMUN: Jinsi ya kutengeneza Gulab Jamun rahisi sana na steps zake zote
CHICKEN POCKETS / VIPOCHI VYA KUKU: Jinsi ya kutengeneza chicken pockets tamu sana na steps zake.
มุมมอง 66510 หลายเดือนก่อน
CHICKEN POCKETS / VIPOCHI VYA KUKU: Jinsi ya kutengeneza chicken pockets tamu sana na steps zake.
KUNAFA : Jinsi ya kupika kunafa tamu na yenye muonekano mzuri kwa njia rahisi sana
มุมมอง 77010 หลายเดือนก่อน
KUNAFA : Jinsi ya kupika kunafa tamu na yenye muonekano mzuri kwa njia rahisi sana
CHICKEN DRUM STICKS: Jifunze kupika chicken drum sticks tamu na rahisi sana kuzipika.
มุมมอง 71310 หลายเดือนก่อน
CHICKEN DRUM STICKS: Jifunze kupika chicken drum sticks tamu na rahisi sana kuzipika.

ความคิดเห็น

  • @khaymaapink8966
    @khaymaapink8966 4 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah ❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen วันที่ผ่านมา

      Shukran ❤️

  • @khaymaapink8966
    @khaymaapink8966 5 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen วันที่ผ่านมา

      Shukran ❤️

  • @khaymaapink8966
    @khaymaapink8966 5 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah ❤️

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen วันที่ผ่านมา

      Shukran ❤️

  • @khaymaapink8966
    @khaymaapink8966 5 วันที่ผ่านมา

  • @IbtisamSaid-q2j
    @IbtisamSaid-q2j 5 วันที่ผ่านมา

    Hbty nina swali maziwa gani umetumia

  • @KeyKhamis
    @KeyKhamis 11 วันที่ผ่านมา

    N mm

  • @salmasalum7735
    @salmasalum7735 14 วันที่ผ่านมา

    MashAllah MashAllah. Shukrn sn habbty wangu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 6 วันที่ผ่านมา

      Afwan hbbty wangu

  • @NaflahRamadhan
    @NaflahRamadhan หลายเดือนก่อน

    Kwa nini mimi nikipika mikate ya ufuta nikichoma inavimba kama bofu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Jee umefata vipimo hv na umefata maelezo yangu dear

  • @najmasalim2606
    @najmasalim2606 หลายเดือนก่อน

    unafahamisha vizur sana, Masha Allah, tunajifunza mengi wallah Allah akubarik

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Ameen thumma ameen shukran mu dear ❤️

  • @najmasalim2606
    @najmasalim2606 หลายเดือนก่อน

    Masha Allah😊

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Shukran ❤️

  • @DEVIABUHINDA
    @DEVIABUHINDA หลายเดือนก่อน

    Nzuri sana mumy Ubarikiwe sana

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Ameen shukran dear

  • @MariamMbarak-i6e
    @MariamMbarak-i6e หลายเดือนก่อน

    So niceeeeeeeeee

  • @IlhamSilim
    @IlhamSilim หลายเดือนก่อน

    Mashaallah, mambo kwa ushahidi,nimependa sana huu ubunifu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Thank u hbbty wangu

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 หลายเดือนก่อน

    my chef mashaallah 🤤🤌🏻

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Thank u darling 💓

  • @alwatansharyf9294
    @alwatansharyf9294 หลายเดือนก่อน

    Mashallah Ruhina ❤ good job

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Thank u my love

  • @salimibrahim5407
    @salimibrahim5407 หลายเดือนก่อน

    mashallah ❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Thank u 💓 💗

    • @shamzone388
      @shamzone388 หลายเดือนก่อน

      Mash allah leo umenifurahisha sana kuona benderA yetu❤❤❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      @@shamzone388 hahahahah asante

  • @fatyscooking8080
    @fatyscooking8080 หลายเดือนก่อน

    Mashallah milaini sana

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen หลายเดือนก่อน

      Shukran hbbty wangu

  • @asyaomar8757
    @asyaomar8757 2 หลายเดือนก่อน

    Umetumia unga upi aunty?

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Ppf

    • @asyaomar8757
      @asyaomar8757 2 หลายเดือนก่อน

      Okay thanks

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      @@asyaomar8757 welcome

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

    yaani this is my favorite pilipili 🤤unawezakulia anything hlf inalisha😋🤌🏻

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Umeonaa.. ukiwa na hii pilipili diet ikae upande 😂😂

    • @saeemaabdulatif13
      @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

      @ kwakweli🤣

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

    yummy 😩🤌🏻

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank u 💓 💗

    • @saeemaabdulatif13
      @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

      @ always my chef💋

  • @salimibrahim5407
    @salimibrahim5407 2 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      😍😍😍

  • @najmasalim2606
    @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

    mpaka umenitoa mate dah😊 pambe alaf wew msafiiiii Masha Allah😊

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Hahahha pole kipenzi.. shukran hbbty usafi ndio muhim hbbty 😍

    • @najmasalim2606
      @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

      @@RuhysKitchen enh usafi muhimu mpaka chakula unakula kwa amani mazingara yakiwa safi

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      @@najmasalim2606 hakika hbbty

  • @samihamansour1893
    @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

    Asalam alaykm habbty mchele umetumia aina gani hapo

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Waleikum salaam nimechanganya basmat ya bulbul na mapembe

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Ok asante kwaiyo unaweza ata kwa chila vitumbua pia ivo ivo

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      @samihamansour1893 nitakuja kuwafundisha hivo vina utafauti kdg

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Oooh okay

  • @salimibrahim5407
    @salimibrahim5407 2 หลายเดือนก่อน

    mashallah yummy ❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank you ❤️ 😍

  • @najmasalim2606
    @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

    hatar, Masha Allah, jaman pambe tu😊

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Hahahahhaha asante kipenzi changu 😍😍

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Chocolate umetumia gani habbty hapo

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Mashallah mashallah 🥰 ntakuja kuhania kwako mie 😅😅😅😅

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Mm nimetumia plain dairy milk

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana utanisaidia kuosha vyombo tuu hbbty 🤣🤣

  • @salmasalum7735
    @salmasalum7735 2 หลายเดือนก่อน

    Shukrn habbty ruhy Leo nimefanya mikate ya ufuta MashAllah MashAllah imekua muzur na imekua laini MashAllah. Shukrn. Na pia ningependa kushare na mwenzangu ukitaka mkate utoke haraka kwenye chuma baada ya kuiba unachukua sinia unatia maji kiasi kisha unatia chuma mara moja mkate unatoka. Ila maji yasiwe mengi yakaingia ndani ya chuma mkate ukaroa😅.

    • @salmasalum7735
      @salmasalum7735 2 หลายเดือนก่อน

      Sorry si kuiba ni kuivaaa😅. Typing error 😅

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Oww mashallah shukran sanaa hbbty for the feedback.. shukran for the tip also sikua naijua hii Inshallah nitaijaribu na mimi Allah bareek hbbty 💞💞

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      👍👍👍

    • @salmasalum7735
      @salmasalum7735 2 หลายเดือนก่อน

      @@RuhysKitchen afwan habbty. Amin kwa St habbty

  • @salmasalum7735
    @salmasalum7735 2 หลายเดือนก่อน

    Shukrn ruhy wangu Leo nimefanya mandi MashAllah MashAllah imekua tamu sn. Allah barik

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Oww mashallah afwan hbbty

  • @noornasir4378
    @noornasir4378 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah nzuri. Ntajaribu kuzifanya napenda sana barfi.

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Inshallah hbbty

  • @salimibrahim5407
    @salimibrahim5407 2 หลายเดือนก่อน

    mashallah yummy ❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank u 💓

  • @samihamansour1893
    @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran tutakuomba utuekee na vipimo mana wengine hatujasoma😂

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona vipimo vipo hbbty kwenye description box na pia naandika chini na pia naeleza kwa maelezo vipimo vyote hbbty just sikiliza tuu kwa makini

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      @ nilikua sijaona nishaona kipnz sorry

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      @samihamansour1893 without sorry my dear 😍

  • @samihamansour1893
    @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

    Habbty naomba kukuliza zile cups za kupimia iko ambayo 3/4 kwa ajili ya unga mana sijafaham unavotakiwa kupima unga hapo

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Yes hbbty ipo iliyoandikwa 3/4 ndio utatumia hy

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Ooooh ok haya sawa inshallah mlale salama

  • @SoudMuhsin-fe4wz
    @SoudMuhsin-fe4wz 2 หลายเดือนก่อน

    Hiiiii no

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Kwanini noo jamanyyy ???

  • @samihamansour1893
    @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

    Mashallah utuekee mapishi habbty tunajifunza sanaa kupitia kwako unafundisha step by step tunafaham ramadhan inakuja

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Nakupenda buree❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Inshallah hbbty tuombe uzima na uhai.. yajayo yafurahisha 😍

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Asante.. na mm pia nakupenda ❤️

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      Utuoneshe cake ya kawaida kupika nikipika maish katikati mbichi sijui kwa nn🫣 au mbichi ukikata alimuradi maajabu tu

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      @samihamansour1893 inshallah hbbty ipo cake ya hiliki kwenye channel yangu lakini nitawaekea kwa video refu inshallah na kwa maelezo zaidi cake za aina tafauti Inshallah

  • @zainabissa2433
    @zainabissa2433 2 หลายเดือนก่อน

    Nice

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank u 💓 💗 💖

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

    yummy🤤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      So good yaani

  • @RukiaLaltia
    @RukiaLaltia 2 หลายเดือนก่อน

    mashallah mashallah 😋

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Shukran hbbty ❤️ 😍

  • @najmasalim2606
    @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

    vipimo habibty plz

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Done hbbty sorry majukumu 😃😃

    • @najmasalim2606
      @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

      @@RuhysKitchen ok dear shukran

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      @najmasalim2606 afwan hbbty

    • @samihamansour1893
      @samihamansour1893 2 หลายเดือนก่อน

      @@RuhysKitchen

  • @MariamMbarak-i6e
    @MariamMbarak-i6e 2 หลายเดือนก่อน

    Ma shall ah

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Shukran ❤️

  • @a.856
    @a.856 2 หลายเดือนก่อน

    Jazaka Allah khayran

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      😍😍😍

  • @shamzone388
    @shamzone388 2 หลายเดือนก่อน

    Shukran sana ❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Afwan hbbty

  • @khadijakassim8366
    @khadijakassim8366 2 หลายเดือนก่อน

    mashaAllah yummy

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Shukran ❤️

  • @MaryamShebeIslem
    @MaryamShebeIslem 2 หลายเดือนก่อน

    Mashaalah

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Shukran ❤️

  • @zainabissa2433
    @zainabissa2433 2 หลายเดือนก่อน

    BARFI MM yummy

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      😋 yummy

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

    chefs kiss yaan🤌🏻💋

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank u ❤️

  • @saeemaabdulatif13
    @saeemaabdulatif13 2 หลายเดือนก่อน

    yummyyyy🤤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank u hbbty

  • @FatmaNkerema
    @FatmaNkerema 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba unisaidie kwenye shila

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Pole kipenzi nimekuandikia maelekezo hebu jaribu hv na.pia sikiliza kwa makini video yangu na ufutae Inshallah utaweza

  • @FatmaNkerema
    @FatmaNkerema 2 หลายเดือนก่อน

    Naomba unisaidie kwenye shila

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Usikate tamaa ukifeli jaribu tena mpk utaweza dear ndio kujifunza ata mm kuna vyakula vinanishinda najaribu tena na tena mpk nafanikiwa na wewe utafanikiwa inshallah

  • @FatmaNkerema
    @FatmaNkerema 2 หลายเดือนก่อน

    Mbn mie nafeli kwenye chila inatakiwa iwe vp naona havimbambi

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Asante kwa swali lako na pole kwa changamoto.. kwanza pendelea kutumia sukari nyeupe km utakosa basi hy hy nyekundu weka maji na suraki kiwango nilichoeleza pika kwenye moto wa kiasi hk unaisaidia kuikoroga mpk iwe inachemka hakikisha inafanya povu na pia inaanza kuganda ganda kwenye surufia yako ndio hapo ujue tayar kuweka visheti unaweza kuweka kwenye moto hk unavipeta peta na pia viweke kwenye upepo km chinj ya feni ili visaidiwe kukauka na upepo

  • @salimibrahim5407
    @salimibrahim5407 2 หลายเดือนก่อน

    mashallah ❤❤

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Thank you ❤️

  • @najmasalim2606
    @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

    habibty naomba uwe unatuekea vipimo kwenye discription box😊 inaonekana utam wa ajab hapo

    • @RuhysKitchen
      @RuhysKitchen 2 หลายเดือนก่อน

      Mbona nakua naweka vipimo hbbty hii nahisi nimesahau ila zengine zote naweka.. haya ngoja nikaiandike shukran kwa kunikumbusha hapa

    • @najmasalim2606
      @najmasalim2606 2 หลายเดือนก่อน

      @RuhysKitchen ooh ok dear